Zenj FM

Recent posts

12 March 2024, 6:45 pm

Wizara ya Afya Zanzibar yatoa ripoti vifo vya watoto tisa

Na Mary Julius Kufuatia vifo vya watoto tisa waliofariki kwa kula nyama ya kasa, Wizara ya Afya Zanzibar imewataka wananchi visiwani humo kuacha kula nyama hiyo. Wizara ya Afya Zanzibar imetoa ripoti ya utafiti uliofanywa kufuatia watoto tisa kufariki dunia…

12 March 2024, 5:15 pm

Jeshi la polisi Kusini Unguja kuimarisha ulinzi, usalama

Na Mary Julius. Katika kuhakikisha wananchi wanaofanya ibada za usiku katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhan wanakuwa salama, Jeshi la Polisi laahidi kulinda watu na mali zao. Jeshi la polisi mkoa wa Kusini Unguja limejipanga kuimrisha ulinzi na…

11 March 2024, 5:12 pm

Jamii yatakiwa kuona umuhimu wa kuchangia damu kwa hiari

Na Mary Julius. Mkuu wa mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Mohamed  Mahamoud  amesema  serikali inahitaji kuwa na akiba ya kutosha ya damu salama ili kuokoa maisha ya watu pale wanapokabiliwa na majanga. Akizungumza katika zoezi la uchangiaji damu huko  kiwanja…

7 March 2024, 3:58 pm

Siku ya wanawake yaadhimishwa kwa kufanya usafi Zanzibar

“Endapo mwanamke atakuwa imara katika majukumu ya kila siku ataweza kuleta maendeleo makubwa katika jamii na nchi kwa ujumla”. Na.Mary Julius Wanawake wa Wilaya ya Kati Zanzibar wameshauriwa kuwa viongozi bora katika maeneo yao ya kazi pamoja na familia zao…

13 December 2023, 3:47 pm

Wafanyabiashara Pemba wahimizwa kulipa kodi kwa hiari

Na Is-haka Mohammed. Mamlaka ya Mapato Zanzibar(ZRA) Pemba imezindua mwezi wa kurejesha shukrani kwa mlipa kodi kwa kutoa elimu kwa wafanyabiashara na wananchi wa Manispaa ya Chake Chake juu kulipa kodi kwa hiari na kutoa risiti za Kielekronik. Katika uzinduzi…

30 November 2023, 6:16 pm

Mazingira duni, malezi tishio haki za watu wenye ulemavu Zanzibar

Licha ya utaoji wa elimu na hatuambalimbali zinazochukuliwa na SerIkali ya Mapinduzi ya Zanzibar juu ya jamii kutambua haki, wajibu na usawa kwa watu wenye mahitaji maalum, bado inaonesha kuwa  mwamko ni mdogo  kutokana na baadhi ya jamii kuwa na…

29 November 2023, 1:52 pm

Viongozi Zanzibar watakiwa kuhamasisha ulinzi shirikishi

Jukumu la usalama wa wananchi si  la Jeshi la Polisi pekee hivyo  uwepo wa vikundi hivyo  utasaidia kupunguza ongezeko la vitendo vya kihalifu katika jamii. Na Omar Hassan. Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar CP Hamad Khamis Hamad amewataka  wananchi…

29 November 2023, 1:30 pm

TRA Pemba warejesha shukrani kwa walipa kodi

Amesema wao kama wakala wa serikali wa ukusanyaji wa kodi kila mwaka wamekuwa na utaratibu wa kurejesha shukurani kwa walipa kodi ili waone kwamba kodi wanayoitoa hurudi kwao kwa njia tofauti ikiwemo hiyo ya kutoa misaada ya kijamii. Na Is-haka…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group