Zenj FM
Zenj FM
16 June 2026, 21:24
Wazazi na walezi wametakiwa kufuatilia maendeleo ya watoto wao na kushiriki kikamilifu katika kuwafundisha kusoma, kuandika na kuhesabu ili kuimarisha elimu yao. Wito huo umetolewa katika maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika, ambapo imeelezwa kuwa malezi na elimu ya…
15 June 2026, 14:05
Nyumba tano katika eneo la Magogoni, Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, zimepigwa faini ya shilingi 50,000 kila moja kwa kosa la kutiririsha maji machafu katika maeneo ya wazi na kuchafua mazingira. Hatua hiyo imechukuliwa na Manispaa ya Magharibi “B” kupitia…
14 June 2026, 15:31
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba Zanzibar, Sultan Said Suleiman, amewahimiza wahitimu wa kidato cha sita kutokata tamaa na kuzingatia nidhamu, bidii na kujiamini ili kufikia mafanikio. Amesema vijana wanapaswa kutumia maarifa na vipaji vyao kujiajiri, kuajiri wengine. Na Mary…
14 June 2026, 13:36
Walimu na wazazi wametakiwa kushirikiana kuhakikisha watoto wote wa kike wenye umri wa miaka tisa wanapata chanjo ya HPV kwa ajili ya kujikinga na saratani ya shingo ya kizazi. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inalenga kuwachanja watoto 28,498 wanaostahili huduma…
13 June 2026, 22:10
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kushirikiana na SOS Children’s Village imetoa mafunzo ya ulinzi na hifadhi ya mtoto kwa askari wa vyombo vya ulinzi na usalama ili kuimarisha mapambano dhidi ya ukatili kwa watoto. Mafunzo…
12 June 2026, 15:34
Na Mariamu Seif Mohd Wananchi wa Shehia ya Fuoni Mnarani, Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, wameeleza wasiwasi wao kuhusu ongezeko la utupaji holela wa taka katika maeneo mbalimbali ya shehia hiyo, wakisema hali hiyo ni tishio kwa afya na mazingira…
12 June 2026, 14:38
Waziri wa Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora, Haroun Ali Suleiman amesema Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia imechangia maendeleo ya wananchi kwa kusaidia kutatua changamoto mbalimbali za kisheria na kijamii. Awamu ya kwanza ya kampeni hiyo iliwafikia…
11 June 2026, 14:47
Waziri wa Kazi na Uwekezaji, Sharif Ali Sharif, amesema watoto milioni 138 duniani wanajihusisha na ajira za watoto, huku milioni 54 wakifanya kazi hatarishi. Amesema Zanzibar asilimia 7.5 ya watoto wenye umri wa miaka 5 hadi 17 wanahusika katika ajira…
11 June 2026, 14:44
Wananchi wa Zanzibar wamepongeza juhudi za Serikali ya Awamu ya Nane kwa kusogeza huduma za afya za kibingwa katika hospitali za wilaya, hatua iliyopunguza gharama na usumbufu wa kusafiri nje ya visiwa kwa matibabu. Na Mary Julius. Serikali ya Awamu…
8 June 2026, 19:01
Baadhi ya wanufaika wa mradi wa utoaji wa miguu bandia Zanzibar wamewataka watu wenye ulemavu wa miguu kujitokeza kwa wingi kupata huduma hiyo muhimu. Miguu hiyo inatolewa kupitia mradi wa Zanzibar 100 Limb Project unaolenga kuwasaidia wananchi 100 kurejea katika…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group