Zenj FM

Recent posts

1 June 2026, 15:50

Ulinzi shirikishi wadumisha usalama Kusini Unguja

Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja amelipongeza Jeshi la Polisi kwa mafanikio makubwa ya kupunguza matukio ya uhalifu na kuimarisha usalama katika jamii. Akizungumza katika hafla ya utoaji wa zawadi kwa askari waliofanya vizuri, amesisitiza umuhimu wa kuendeleza ushirikiano kati…

31 May 2026, 14:54

Zanzibar kutumia kongamano kuvuta wawekezaji

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema Serikali kupitia ZIPA imekamilisha maandalizi ya kuwapokea wawekezaji wa kimataifa watakaoshiriki katika Kongamano la Uwekezaji 2026 (Zanzibar Investment Summit Zanzibar 2026). Mary Julius. Makamu wa Pili wa Rais wa…

30 May 2026, 23:42

Wahitimu mafunzo ya ubora wa afya watakiwa kuwa chachu ya mabadiliko

Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar, amewataka washiriki wa mafunzo ya usimamizi wa ubora kutumia maarifa waliyojifunza kuongeza ufanisi wa huduma na kupunguza malalamiko ya wananchi. Na Mary Julius. Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar, Dk Amour Suleiman…

28 May 2026, 17:22

Zanzibar yasema ipo salama dhidi ya Ebola

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema Zanzibar bado ipo salama dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa Ebola na inaendelea kuimarisha ulinzi wa afya mipakani ili kuzuia ugonjwa huo kuingia nchini. Na Mary Julius Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema Zanzibar…

28 May 2026, 16:20

Watu asilimia 92 wafikiwa chanjo Zanzibar

Wizara ya Afya Zanzibar imesema itaendelea kushirikiana na vyombo vya habari kutoa elimu ya chanjo kwa jamii ili kuhakikisha wananchi wote hususan watoto wanapatiwa chanjo kwa wakati. Mkurugenzi wa Kinga na Elimu ya Afya, Dk. Slim Salim Slim, amesema Serikali…

25 May 2026, 16:46

Kisiwa cha Uzi chalia na athari za mabadiliko ya tabia nchi

Mabadiliko ya tabia nchi yameendelea kuwa janga kubwa duniani kote, huku visiwa vya Zanzibar vikitajwa miongoni mwa maeneo yaliyoathirika zaidi. Na Berema Suleiman Kisiwa cha Uzi ni miongoni mwa sehemu zinazokumbwa na changamoto hizi kutokana na ukataji mkubwa wa miti…

24 May 2026, 21:27

Watoto Zanzibar wadai sheria imara kulinda haki zao

Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Zanzibar, Siti Abasi Ali, amesema serikali inaendelea kuboresha Sheria ya Mtoto ili kuhakikisha watoto wanaishi katika mazingira salama na yenye ulinzi bora.Watoto kupitia mabaraza yao ya Unguja na Pemba…

20 May 2026, 16:19

ZAWEMA yaendelea kuhamasisha matumizi sahihi ya vipimo Zanzibar

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais, Hamza Hassan Juma amesema Serikali kupitia Wakala wa Vipimo Zanzibar (ZAWEMA) itaendelea kuhamasisha matumizi ya vipimo sahihi ili kujenga mazingira ya biashara yenye haki na usawa. Aidha, amewataka wafanyabiashara kushirikiana…

19 May 2026, 22:54

Bilioni 405 kutekeleza mageuzi makubwa ya sekta ya afya Zanzibar

Kaimu Waziri wa Afya Zanzibar Saada Mkuya Salimu amesema Serikali itaendelea kuimarisha huduma za afya ya uzazi, mama na mtoto pamoja na huduma za afya ya msingi nchini. Serikali pia imepanga kuongeza ajira kwa wataalamu wa afya, kuboresha mifumo ya…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group