Recent posts
12 March 2024, 6:45 pm
Wizara ya Afya Zanzibar yatoa ripoti vifo vya watoto tisa
Na Mary Julius Kufuatia vifo vya watoto tisa waliofariki kwa kula nyama ya kasa, Wizara ya Afya Zanzibar imewataka wananchi visiwani humo kuacha kula nyama hiyo. Wizara ya Afya Zanzibar imetoa ripoti ya utafiti uliofanywa kufuatia watoto tisa kufariki dunia…
12 March 2024, 5:42 pm
Balozi wa China akabidhi vifaa vya usafi Manispaa ya Mjini Zanzibar
Na Ussi Mussa Jamhuri ya watu wa China imesema watalii wengi wa China wamehamasika kuitembelea Zanzibar kutokana na mandhari nzuri iliyopo na utamaduni wa asili wa watu wake. Akikabidhi vifaa vya usafi kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala…
12 March 2024, 5:15 pm
Jeshi la polisi Kusini Unguja kuimarisha ulinzi, usalama
Na Mary Julius. Katika kuhakikisha wananchi wanaofanya ibada za usiku katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhan wanakuwa salama, Jeshi la Polisi laahidi kulinda watu na mali zao. Jeshi la polisi mkoa wa Kusini Unguja limejipanga kuimrisha ulinzi na…
11 March 2024, 5:12 pm
Jamii yatakiwa kuona umuhimu wa kuchangia damu kwa hiari
Na Mary Julius. Mkuu wa mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Mohamed Mahamoud amesema serikali inahitaji kuwa na akiba ya kutosha ya damu salama ili kuokoa maisha ya watu pale wanapokabiliwa na majanga. Akizungumza katika zoezi la uchangiaji damu huko kiwanja…
7 March 2024, 3:58 pm
Siku ya wanawake yaadhimishwa kwa kufanya usafi Zanzibar
“Endapo mwanamke atakuwa imara katika majukumu ya kila siku ataweza kuleta maendeleo makubwa katika jamii na nchi kwa ujumla”. Na.Mary Julius Wanawake wa Wilaya ya Kati Zanzibar wameshauriwa kuwa viongozi bora katika maeneo yao ya kazi pamoja na familia zao…
15 December 2023, 3:40 pm
Wafanyakazi Tume ya Uchaguzi Zanzibar watakiwa kufanya kazi kwa mashirikiano
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar George Joseph Kazi amewataka wafanyakazi wa tume hiyo kuendelea kufanya kazi kwa mashirikiano na kutoa michango katika jumuiya za kikanda. Mwenyekiti ameyasema hayo katika hafla ya kukabidhi tuzo ya mjumbe aliyeshiriki…
13 December 2023, 3:47 pm
Wafanyabiashara Pemba wahimizwa kulipa kodi kwa hiari
Na Is-haka Mohammed. Mamlaka ya Mapato Zanzibar(ZRA) Pemba imezindua mwezi wa kurejesha shukrani kwa mlipa kodi kwa kutoa elimu kwa wafanyabiashara na wananchi wa Manispaa ya Chake Chake juu kulipa kodi kwa hiari na kutoa risiti za Kielekronik. Katika uzinduzi…
30 November 2023, 6:16 pm
Mazingira duni, malezi tishio haki za watu wenye ulemavu Zanzibar
Licha ya utaoji wa elimu na hatuambalimbali zinazochukuliwa na SerIkali ya Mapinduzi ya Zanzibar juu ya jamii kutambua haki, wajibu na usawa kwa watu wenye mahitaji maalum, bado inaonesha kuwa mwamko ni mdogo kutokana na baadhi ya jamii kuwa na…
29 November 2023, 1:52 pm
Viongozi Zanzibar watakiwa kuhamasisha ulinzi shirikishi
Jukumu la usalama wa wananchi si la Jeshi la Polisi pekee hivyo uwepo wa vikundi hivyo utasaidia kupunguza ongezeko la vitendo vya kihalifu katika jamii. Na Omar Hassan. Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar CP Hamad Khamis Hamad amewataka wananchi…
29 November 2023, 1:30 pm
TRA Pemba warejesha shukrani kwa walipa kodi
Amesema wao kama wakala wa serikali wa ukusanyaji wa kodi kila mwaka wamekuwa na utaratibu wa kurejesha shukurani kwa walipa kodi ili waone kwamba kodi wanayoitoa hurudi kwao kwa njia tofauti ikiwemo hiyo ya kutoa misaada ya kijamii. Na Is-haka…