Zenj FM

Recent posts

7 June 2026, 23:33

Assalam International yang’ara uhifadhi wa mazingira

Shule ya Assalam International imepongezwa kwa juhudi zake za kuhifadhi mazingira na kuhamasisha uhifadhi wa bahari wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani. Viongozi na wananchi wamezitaka taasisi nyingine kuiga mfano huo ili kulinda mazingira na kukabiliana na athari…

7 June 2026, 22:08

Mfumo wa kidijitali kuboresha upatikanaji wa haki Zanzibar

Mahakama ya Zanzibar imezindua mfumo wa kielektroniki wa usimamizi wa mashauri unaotarajiwa kuanza kutumika kikamilifu katika mahakama zote kuanzia mwezi Julai 2026 Na Mary Julius. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Hussein Ali Mwinyi, amesema matumizi ya…

4 June 2026, 17:20

Mwinyi aitangaza Zanzibar kuwa kitovu kipya cha uwekezaji Afrika Mashariki

Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar imejipanga kuwa kitovu cha uwekezaji Afrika Mashariki kutokana na mazingira bora ya biashara, sera thabiti na miundombinu ya kisasa. Akifungua Jukwaa la Uwekezaji Zanzibar 2026 lililowakutanisha zaidi ya washiriki 700, amesema…

2 June 2026, 19:20

ZECO, Airtel Money zaunganisha nguvu kurahisisha ununuzi wa umeme Zanzibar

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeahidi kuendelea kuimarisha sekta ya nishati kwa kutumia teknolojia za kisasa ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya umeme ya kuaminika na nafuu. Hatua hiyo imejidhihirisha kupitia ushirikiano kati ya Shirika la Umeme Zanzibar (ZECO) na…

2 June 2026, 18:52

Mataifa 12 kushiriki tamasha la uwekezaji Zanzibar 2026

Zanzibar imekamilisha maandalizi ya Tamasha la Uwekezaji Zanzibar 2026 litakalofanyika kuanzia Juni 3 hadi 5, likiwakutanisha wawekezaji, wafanyabiashara na wadau wa maendeleo kutoka ndani na nje ya nchi. Zaidi ya washiriki 600 kutoka mataifa zaidi ya 12 wamejisajili kushiriki katika…

1 June 2026, 17:10

Wafanyabiashara Dunga kunufaika na mikopo nafuu

Wafanyabiashara na wajasiriamali wa Wilaya ya Kati wametakiwa kujiunga katika vikundi ili kunufaika na mikopo yenye masharti nafuu kwa ajili ya kuimarisha biashara zao. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Manispaa Kati, Dkt. Mwanaisha Ali Said, wakati wa mkutano wa…

1 June 2026, 16:48

Vita dhidi ya uchafu vashika kasi Jumbi na Tunguu

Wafanyabiashara wa Shehia za Jumbi na Tunguu wamehimizwa kutunza usafi wa mazingira katika maeneo yao ya biashara ili kuzuia magonjwa yanayosababishwa na uchafu. Wito huo umetolewa na Mkuu wa Divisheni ya Mazingira na Mipango Miji wa Baraza la Manispaa Kati,…

1 June 2026, 15:50

Ulinzi shirikishi wadumisha usalama Kusini Unguja

Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja amelipongeza Jeshi la Polisi kwa mafanikio makubwa ya kupunguza matukio ya uhalifu na kuimarisha usalama katika jamii. Akizungumza katika hafla ya utoaji wa zawadi kwa askari waliofanya vizuri, amesisitiza umuhimu wa kuendeleza ushirikiano kati…

31 May 2026, 14:54

Zanzibar kutumia kongamano kuvuta wawekezaji

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema Serikali kupitia ZIPA imekamilisha maandalizi ya kuwapokea wawekezaji wa kimataifa watakaoshiriki katika Kongamano la Uwekezaji 2026 (Zanzibar Investment Summit Zanzibar 2026). Mary Julius. Makamu wa Pili wa Rais wa…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group