Zenj FM

Recent posts

25 February 2026, 4:05 pm

Usafiri baharini washuka, safari za anga zapaa Zanzibar

Na Berema Suleiman. Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Zanzibar imesema jumla ya mienendo ya vyombo vya baharini kwa mwezi wa Januari 2026 imefikia 1,211, ikiwa ni upungufu wa asilimia 35.6 ikilinganishwa na mienendo 1,879 iliyorekodiwa mwezi Januari 2025. Akiwasilisha…

25 February 2026, 3:25 pm

Hospitali ya Seifee Zanzibar yaunganisha taasisi za afya

Na Mary Julius. Mkuu wa Idara ya Huduma kwa Wateja wa Seifee Hospital Zanzibar Limited, Samuel Estomih, amesema lengo la kuandaa mashindano ya Ramadhan Football League ni kuimarisha ushirikiano na mshikamano miongoni mwa taasisi mbalimbali zinazotoa huduma za afya Zanzibar.…

25 February 2026, 1:06 am

Wasaidizi wa sheria waimarishwa kusogeza haki karibu na wananchi

Na Mary Julius. Taasisi za wasaidizi wa kisheria nchini zimeendelea kuwa nguzo muhimu katika kusogeza huduma za haki karibu na wananchi, hasa wasiokuwa na uwezo wa kumudu gharama za mawakili na wanasheria binafsi. Hayo yameelezwa na Afisa Miradi wa Mwavuli…

19 February 2026, 4:56 pm

Mahakama kuu Zanzibar yatupilia pingamizi ya matokeo ya uchaguzi

Mahakama Kuu ya Zanzibar imetupilia mbali maombi ya kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar yaliyohusu wajumbe wa Baraza la Wawakilishi katika majimbo nane (8) ya  Kiwani, Mkoani, Chake Chake, Chonga, Wawi, Wingwi, Micheweni na Kojani. Na Mwandishi wetu. Maombi…

19 February 2026, 4:33 pm

Vijana wakumbushwa kumcha Mungu na kujiepusha na vitendo vya kihalifu

Na Mary Julius. Afisa Saikolojia wa Wizara ya Afya, Dkt. Mussa Khamisi Juma, amewataka wanafunzi wanaoshiriki mashindano ya Qur’an kujiepusha na vitendo vyovyote vya kihalifu na kuzingatia maadili mema yanayowajenga katika misingi ya dini. Dkt. Juma ameyasema hayo wakati akitoa…

16 February 2026, 2:24 pm

Manispaa Kati yatoa onyo kali kwa wamiliki wa viwanja na magofu

Na Hakika Mwinyi. Wananchi wametakiwa kusafisha maeneo yao  yaliyo wazunguka pamoja na kuhakikisha Viwanja na Magofu vinakuwa safi kwa usalama wao na Jamii kwa ujumla. Mstahiki Meya wa Baraza la Manispaa Kati Said Hassan Shaaban ameyasema hayo wakati wa shughuli…

15 February 2026, 8:56 am

Baraza la Wawakilishi lawanoa waandishi

Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Hudhaima Mbarak Tahir, amewataka waandishi wa habari kuzingatia maadili ya taaluma yao, kuthibitisha taarifa kabla ya kuzichapisha au kuzitangaza, ili kuepuka upotoshaji unaoweza kuleta taharuki au mgawanyiko katika jamii.  Hudhaima ameyasema…

13 February 2026, 9:07 pm

Soraga afunguka matumizi mfumo wa anuani Zanzibar

Na Berema Nassor. Waziri wa Mawasiliano, Teknolojia ya Habari na Ubunifu Zanzibar,Mudrik Ramadhan Soraga, amesema uanzishwaji na utekelezaji wa mfumo wa anuani za makaazi ni hatua ya kimkakati inayolenga kurahisisha utambuzi wa makaazi, biashara na taasisi, sambamba na kuboresha upatikanaji…

13 February 2026, 8:44 pm

Ataka watoto wenye mahitaji maalum kuandikishwa shule

Wazazi na walezi wametakiwa kuhakikisha wanawaandikisha shule mapema watoto wenye mahitaji maalum, mara tu wanapofikia umri wa kuanza masomo ili wapate haki yao ya msingi ya elimu sawa na watoto wengine. Na Hakika Mwinyi. Wito huo umetolewa na Afisa Elimu…

13 February 2026, 5:01 pm

Mahakama Kuu ya Zanzibar, ACT Wazalendo na uteketezaji nyaraka za uchaguzi

Mary Julius. Mahakama Kuu ya Zanzibar imekubaliana na pingamizi lililowekwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar pamoja na mwanasheria  mkuu wa serikali na kuyatupilia mbali maombi ya kuweka zuio la kuteketeza nyaraka za uchaguzi yaliyowasilishwa na wagombea wa ACT Wazalendo. Uamuzi…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group