Zenj FM

Recent posts

30 November 2023, 6:16 pm

Mazingira duni, malezi tishio haki za watu wenye ulemavu Zanzibar

Licha ya utaoji wa elimu na hatuambalimbali zinazochukuliwa na SerIkali ya Mapinduzi ya Zanzibar juu ya jamii kutambua haki, wajibu na usawa kwa watu wenye mahitaji maalum, bado inaonesha kuwa  mwamko ni mdogo  kutokana na baadhi ya jamii kuwa na…

29 November 2023, 1:52 pm

Viongozi Zanzibar watakiwa kuhamasisha ulinzi shirikishi

Jukumu la usalama wa wananchi si  la Jeshi la Polisi pekee hivyo  uwepo wa vikundi hivyo  utasaidia kupunguza ongezeko la vitendo vya kihalifu katika jamii. Na Omar Hassan. Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar CP Hamad Khamis Hamad amewataka  wananchi…

29 November 2023, 1:30 pm

TRA Pemba warejesha shukrani kwa walipa kodi

Amesema wao kama wakala wa serikali wa ukusanyaji wa kodi kila mwaka wamekuwa na utaratibu wa kurejesha shukurani kwa walipa kodi ili waone kwamba kodi wanayoitoa hurudi kwao kwa njia tofauti ikiwemo hiyo ya kutoa misaada ya kijamii. Na Is-haka…

27 November 2023, 7:31 pm

Mahakama maalum Zanzibar mwarobaini vitendo vya udhalilishaji

Kwa miaka mingi Zanzibar, vitendo vya ukatili wa kingono na ukatili wa kijinsia (SGBV) vimekuwa vikifanywa bila ya kuadhibiwa. Na Ivan Mapunda. Mwaka 2002 kwa mfano, TAMWA ilipokea ripoti kutoka Mahakama Kuu ikionesha 0% ya hatia dhidi ya kesi 200…

27 November 2023, 3:54 pm

Jeshi la Polisi Zanzibar kutumia vifaa vya kidijitali

Na Omary Hassan Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. Hamad Khamis Hamad amesema Utendaji wa kusimamia Sheria wa Jeshi la Polisi lazima ubadilike kwa kujikita katika matumizi ya taaluma na vifaa vya kisasa ili kukabiliana na mabadiliko ya Sayansi na Teknolojia yanaoendana na mabadiliko…

8 November 2023, 5:22 pm

Fawe yawafikia wajasiriamali Kusini Unguja

Mafunzo hayo ni utekelezaji wa mradi wa kuwawezesha wanawake kiuchumi unaoendeshwa na FAWE ndani ya mkoa wa Kusini Unguja ambapo jumla ya wajasiriamali 723 wamefikiwa  kati ya hao wanawake ni 671 na wanaume ni 53. Na. Ahmed Abdulla. Wajasiriamali kutoka…

8 November 2023, 3:17 pm

Wazanzibar watakiwa kujiandikisha katika daftari la wapiga kura

Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Jaji George Joseph Kazi amewataka wananchi walio timiza sifa za kupiga kura kujitokeza katika zoezi la uandikishaji kwenye daftari la kudumu la mpiga kura ili waweze kushiriki katika uchaguzi ujao wa…

25 October 2023, 5:26 pm

Airpay Tanzania kuwa mkombozi wa uchakavu wa noti nchini

Na Mary Julius. Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Dkt. Saada Mkuya Salum  amesema kuzinduliwa kwa mfumo wa kufanya malipo kwa njia ya mtandao wa Airpay Tanzania utaisadia noti za Tanzania kuwa katika mzunguko kwa muda mrefu. Waziri Saada  ameyasema…

6 October 2023, 2:35 pm

Wanafunzi Pemba watakiwa kuitumia mitandao vizuri

Shirika la Save the Children Tanzania limetoa mafunzo kwa wanafunzi kisiwani pemba kwa lengo la kuwawezesha kupelekea ujumbe wao kwa viongozi wenye mamlaka kupitia jukwaa hilo la mikutano ya mtandaoni. Na Is-haka Mohammed. Kuwepo kwa jukwaa la kuwasiliana mtandaoni kumeelezwa…

2 October 2023, 3:48 pm

Pemba waomba kuongezewa ATM

Katika kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja, wateja wa benki ya NMB wametakiwa kutoa maoni yao kila wanapoona changamoto katika utoaji wa huduma kwa kupitia visanduku hivyo vya maoni . Na Is- haka Mohammed Afisa Mdhamin Ofisi ya Rais Ikulu…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group