Zenj FM
Zenj FM
18 May 2026, 11:31
Mkurugenzi wa ZAPONET, Asia A. Hussein amesema taasisi hiyo inatambua changamoto zinazowakabili wasaidizi wa sheria nchini ikiwemo ukosefu wa ofisi na vifaa vya kazi. Kupitia ufadhili wa Enabel Belgian Development Agency, jumuiya za wasaidizi wa sheria zitapatiwa vifaa, ofisi na…
16 May 2026, 22:47
Mkuu wa Wilaya ya Kati Rajab Ali Rajab amewataka madiwani wa Wilaya ya Kati kubuni vyanzo vipya vya mapato pamoja na kusimamia ukusanyaji wa mapato katika wadi zao ili kuongeza mapato ya Baraza la Manispaa Kati. Na Hakika Mwinyi. Madiwani…
16 May 2026, 22:15
Mkurugenzi Mtendaji wa Zanzibar Weights and Measures Agency, Mohamed Mwalimu Simai, ametoa wito kwa jamii kuelewa matumizi sahihi ya vipimo katika biashara ili kujilinda dhidi ya udanganyifu. Amesema sayansi ya vipimo ina mchango mkubwa katika kujenga uaminifu kwenye biashara, uandaaji…
14 May 2026, 16:29
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeendelea kuimarisha huduma za afya ya mama na mtoto kupitia uwekezaji katika hospitali, huduma za dharura za uzazi na mifumo ya kidijitali. Kupitia Mradi wa ZHSF Mothers/Mom Care, wajawazito 2,871 wamenufaika na huduma bora za…
13 May 2026, 23:33
Vikundi vya VICOBA vinaendelea kuwa chachu ya maendeleo kwa kuwasaidia wananchi kujikwamua kiuchumi kupitia mfumo wa kuweka na kukopa. Zaidi ya wanachama 150 wamekutana Zanzibar kujifunza usimamizi wa vikundi, elimu ya fedha na fursa za uwekezaji kupitia kongamano hilo. Na…
8 May 2026, 21:47
Mradi wa Zanzibar 100 Limb Project unatarajiwa kutoa miguu bandia bure kwa watu 150 waliokatwa miguu visiwani Zanzibar kuanzia Juni 1 hadi Julai 1, 2026 katika Hospitali ya Wilaya ya Mbuzini. Mradi huo unalenga kuwasaidia watu wenye ulemavu kurejea katika…
8 May 2026, 14:04
Taasisi ya Zanzibar International Development Organization (ZIDO) imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 30 kwa watoto yatima na watu wenye ulemavu huko Dunga. Msaada huo umejumuisha vifaa vya skuli, visaidizi mwendo pamoja na mbuzi kwa familia…
4 May 2026, 17:26
Meneja wa ZECO, Haji Haji, amewataka wananchi kuacha mara moja kuharibu miundombinu ya umeme visiwani Zanzibar akibainisha kuwa vitendo hivyo vinaleta hasara kubwa kwa serikali. Na Mary Julius. Meneja wa Shirika la Umeme Zanzibar ZECO Haji Haji amewataka wananchi kuacha…
4 May 2026, 17:08
Mamlaka ya Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) kwa kushirikiana na UNCTAD na UN DESA imeendesha semina ya siku mbili kwa watendaji wake ili kuwajengea uwezo wa kutambua vyanzo vya fedha na kuandaa miradi yenye mvuto kwa wawekezaji, hususan katika sekta ya nishati…
2 May 2026, 21:28
ZFDA imeteketeza tani 4.8 za maziwa ya watoto aina ya SMA kwa tuhuma za kubainika kuchafuliwa na bakteria hatari. Uchafuzi huo unaweza kusababisha madhara kama kichefuchefu, kutapika, maumivu ya tumbo na kuharisha. Na Mary Julius/ Wakala wa Chakula, Dawa na…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group