7 April 2026, 23:20

Mbunge kukuza mchezo wa bao na drafti nchini

Mbunge wa Fuoni, Asha Hussein Saleh, ameahidi kushirikiana na Wizara ya Vijana na Michezo kuendeleza michezo ya bao na drafti nchini. Amesema vipaji vingi vipo na tayari baadhi ya wachezaji wanafanya vizuri kimataifa. Na Mary Julius. Mbunge huyo amesema kuwa…

Play internet radio

Recent posts

6 July 2026, 17:09

Manispaa Zanzibar yahakikishia wananchi maboresho ukusanyaji wa taka

Mlundikano wa taka katika eneo la Nyerere, Wilaya ya Mjini, umeibua hofu ya kuongezeka kwa magonjwa kutokana na harufu mbaya na nzi wengi wanaozunguka maeneo ya makazi. Wananchi wameiomba Manispaa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa taka na Serikali kutafuta suluhisho…

5 July 2026, 21:00

Mradi wa 100 Limb wabadilisha maisha ya watu wenye ulemavu Zanzibar

Kambi ya mwezi mmoja ya utoaji wa miguu bandia kupitia mradi wa 100 Limb Project imewanufaisha watu 94 wenye ulemavu Zanzibar, huku wadau wakihimizwa kuendelea kuwawezesha ili wajitegemee kiuchumi. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeahidi kuendelea kushirikiana na taasisi zinazotoa…

5 July 2026, 08:02

CUF yasisitiza maridhiano ya kisiasa

Chama cha Wananchi (CUF) kimemtaka Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi kupitia upya uamuzi wa kuzuia mikutano ya kisiasa, kikisisitiza kuwa mazungumzo kati ya vyama ndiyo njia bora ya kuimarisha demokrasia, maridhiano na utulivu wa kisiasa nchini. Aidha, chama…

30 June 2026, 22:16

Jamii yahimizwa kushiriki malezi, ustawi wa watoto yatima

Diwani wa Kuteuliwa wa Wilaya ya Kati, Mhe. Amina Andrew Clement, ametoa wito kwa viongozi na wadau kuendelea kutembelea na kuwasaidia watoto yatima ili kuwapa faraja na kuwafanya wajisikie kuwa sehemu ya jamii. Katika ziara yake ya Kituo cha Maftuh…

30 June 2026, 19:31

Dkt. Mwinyi: PBZ ni nguzo ya uchumi wa Zanzibar

Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) imeendelea kuwa nguzo muhimu ya maendeleo ya uchumi na kuwataka kuongeza uwekezaji katika huduma za kidijitali ili kuboresha huduma kwa wananchi. Akizungumza katika maadhimisho ya miaka…

28 June 2026, 03:39

Zanzibar yajipanga kufikia viwango bora vya huduma za afya ifikapo 2030

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeahidi kuimarisha ubora wa huduma za afya kwa kuhakikisha uwekezaji uliofanywa katika sekta hiyo unawanufaisha wananchi moja kwa moja. Wadau wa afya wameeleza kuwa ushirikiano, matumizi ya takwimu na ufuatiliaji wa viwango vya huduma ni…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group