Zenj FM
Zenj FM
1 May 2026, 14:58
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Hussein Ali Mwinyi ametangaza kuongeza kima cha chini cha mshahara kutoka shilingi 300,000 hadi 500,000 kwa mwezi katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi tarehe 01 Mei 2026.Amesema mshahara huo mpya utaanza…
29 April 2026, 21:12
Dereva mmoja anashikiliwa na Polisi Mkoa wa Kusini Unguja kwa tuhuma za kusababisha ajali mbaya katika eneo la Mtule. Ajali hiyo ilihusisha gari la abiria lililowagonga watoto wawili waliokuwa wakivuka barabara. Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini…
28 April 2026, 13:04
Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya Mei Mosi yatakayofanyika Viwanja vya Dole.Maadhimisho hayo yatapambwa na maandamano pamoja na maonyesho kutoka taasisi za umma na binafsi. Na Mary Julius. Rais wa Zanzibar na…
26 April 2026, 21:48
Zanzibar itaadhimisha Siku ya Usalama na Afya Kazini kupitia kongamano maalum litakalofanyika Aprili 28. Mjadala mkuu utazingatia changamoto za msongo wa mawazo na afya ya akili kazini kwa lengo la kuboresha mazingira ya kazi na kuongeza tija sehemu za kazi.…
25 April 2026, 09:01
Makamu wa Rais Emmanuel Nchimbi amewahimiza wakazi wa Dunga kushirikiana na vyombo vya ulinzi kudumisha amani na utulivu nchini. Amesema ni muhimu kutoa taarifa kuhusu wahamiaji haramu na vitendo vinavyokiuka sheria ili kulinda usalama wa taifa. Na Mary Julius. Makamu…
24 April 2026, 21:49
Waziri wa Kazi na Uwekezaji, Shariff Ali Shariff, amesema Tamasha la Uwekezaji Zanzibar 2026 litakuwa jukwaa muhimu la kukuza uchumi na maendeleo endelevu. Tamasha hilo, lililoandaliwa na Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar, litafanyika kuanzia Juni 3 hadi 5, 2026 katika…
19 April 2026, 17:19
Baraza la Manispaa Kati limepanga kukusanya jumla ya shilingi bilioni 2.3 kwa mwaka wa fedha 2026/2027, ikiwa ni ongezeko la zaidi ya milioni 400 kutoka mwaka uliopita. Mkurugenzi Dk. Mwanaisha Ali Said amesema ongezeko hilo linatokana na kuboresha ukusanyaji na…
17 April 2026, 15:33
Jeshi la Polisi Zanzibar limeripoti kupungua kwa makosa ya udhalilishaji kwa asilimia 32.1 kutoka mwaka 2024 hadi 2025. Mafanikio hayo yanachangiwa na ushirikiano kati ya Polisi, Ofisi ya Mufti Mkuu, na programu ya “Usalama Wetu Kwanza” mashuleni. Na Mary Julius.…
16 April 2026, 13:22
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeanzisha mpango wa miaka mitano wa kujenga vituo vya kulelea watoto ili kuwasaidia kina mama wafanyabiashara katika masoko mbalimbali. Mpango huo unalenga kuhakikisha watoto wanapata malezi bora, afya njema na usalama katika mazingira rafiki. Na…
13 April 2026, 16:33
Jumla ya matukio 29 yameripotiwa katika mikoa minne ya Zanzibar yakihusishwa na madai ya watu kushikwa mabega na kupoteza sehemu zao za siri. Kamishna wa Polisi Zanzibar, Kombo Khamis Kombo, amesema uchunguzi umebaini kuwa madai hayo si ya kweli, kwani…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group