Zenj FM
Zenj FM
23 March 2026, 14:56
Waumini wa dini ya Kiislamu wamehimizwa kuwalea vijana katika misingi ya maadili mema ili waweze kuijua vyema dini ya Allah. Wito huo umetolewa na Sheikh Farid Hadi Ahmed wakati wa mahafali ya Eid yaliyofanyika Chake Chake, Pemba. Na Is-haka Mohammed…
20 March 2026, 22:29
Mbunge wa Jimbo la Fuoni, Asha Hussein Saleh, amegawa nyama ya ng’ombe kwa zaidi ya wananchi 200 ili kuwawezesha kusherehekea Eid el-Fitr kwa furaha. Hatua hiyo imelenga kuwasaidia wenye mahitaji maalum hasa. Na Mary Julius Katika kuhakikisha wananchi wenye mahitaji…
19 March 2026, 22:05
Balozi Zena Ahmed Said ameliomba Shirika la Bima la Taifa (NIC) kuangalia uwezekano wa kuanzisha bima ya Takaful, ili kuwasaidia wananchi ambao wana vikwazo vya kiimani kujiunga na huduma za bima. Na Mary Julius. Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa…
19 March 2026, 20:24
Kamanda wa Polisi Kusini Unguja, SACP Daniel Shillah, amewahimiza wananchi kusherehekea Eid kwa utulivu huku Jeshi la Polisi likiahidi kuimarisha ulinzi na usalama. Na Mary Julius. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Daniel…
19 March 2026, 19:55
Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi limewakamata vijana watano wanaotuhumiwa kujihusisha na vitendo vya uhalifu wa kimtandao, wakiwemo matapeli wanaojifanya mawakala wa huduma za simu au kutoa ajira ili kuwaibia wananchi fedha kwa njia ya udanganyifu.…
15 March 2026, 19:48
Mbunge wa Jimbo la Malindi, Muhsin Haji Ussy, amesema utoaji wa motisha ni muhimu kuhamasisha wanafunzi kusoma kwa bidii ili waweze kusaidia familia na jamii yao. Na Mary Julius. Mbunge wa Jimbo la Malindi, Muhsin Haji Ussy, amewaahidi zawadi wanafunzi…
14 March 2026, 18:13
Mafunzo hayo yaliyofunguliwa na Mkurugenzi Mkuu wa Kamesheni ya Kukabiliana na Maafa Zanzibar, Makame Khatib Makame, yamelenga kuwajengea uwezo masheha ili kufahamu wajibu wao. Na Hakika Mwinyi. Masheha wametakiwa kuyafanyia kazi Mafunzo waliyopatiwa pamoja nakufahamu wajibu wao pindi yanapotokea maafa…
12 March 2026, 19:41
Na Mary Julius. Waziri wa Fedha na Mipango Dkt Juma Malik Akil ameipongeza NCBA Bank kwa mchango wake mkubwa katika kukuza sekta ya fedha na kuchochea maendeleo ya uchumi wa visiwa vya Zanzibar. Akizungumza katika hafla ya futari iliyoandaliwa na…
7 March 2026, 17:44
Kampuni ya Puma Energy imejipanga kukabiliana na changamoto za hali ya kimataifa ili kuhakikisha upatikanaji wa mafuta unaendelea bila kukatika kwa wateja wake visiwani Zanzibar. Na Mary Julius. Waziri wa Maji, Nishati na Madini Zanzibar, Nadir Abdullatif Al‑wardy,amesema Serikali ya…
6 March 2026, 16:46
Na Hakika Mwinyi. Kamati za kukabiliana na maafa zimetakiwa kuwa na uelewa mpana kuhusu hatari zinazoweza kujitokeza katika jamii, hususan katika kipindi hiki cha mvua za masika zinazoendelea kunyesha. Wito huo umetolewa na Mkuu wa Divisheni ya Elimu Kinga na…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group