Zenj FM

Recent posts

7 August 2023, 11:13 am

Wananchi Micheweni watakiwa kushirikiana na Polisi Jamii

Kamishina Msaidizi wa polisi Dkt Emmanuel amesema bado kuna mwamko mdogo kwa wananchi wa micheweni katika kushirikiana na polisi jamii. Na Omary Hassan. Mkuu wa Polisi jamii Zanzibar, Kamishna Msaidizi wa Polisi Dkt. Egyne Emmanuel awewataka wananchi kuzitumia kamati za…

6 October 2022, 1:34 pm

Vikundi ni Njia ya Maendeleo kwa Jamii

NA: Mary Julius na Thuwaiba Mohd : Mwakilishi wa jimbo la Paje Soud Nahodha Hassan wamewataka wakinamama kujiunga kwenye vikundi vya ujasiriamali ili kuweza kusaidiawa katika kujiletea maendeleo na kujikwamua kiuchumi. Akizungumaza mara baada ya kuzindua na kukabidhi  kisima cha…

4 February 2022, 5:05 pm

Kaskazini A Unguja na Micheweni Pemba, kunufaika na Pharm Acces

Waziri wa Afya Ustawi wa Jamii Wazee na Watoto Nassor Ahmed  Mazrui amesema wizara ya afya itaendelea kushirikiana na mashirika binafsi  ili kuweza kuwasaidia wananchi wa visiwa vya Zanzibar. Akizungumza katika makabidhiano ya  kupokea vifaa vya kuboresha huduma za afya…

8 December 2021, 2:37 pm

WaTanzania wametakiwa kutumia bidhaa zinazozalishwa nchini

Na Mary Kitipwi na Thuwaiba Mohd:Watanzania wametakiwa kutumia bidhaa zinazozalishwa nchini ili kukuza biashara Tanzania na kufikia uchumi wa viwanda. Akizungumza na zenj fm mjasiriamali wa kusarifu Spice mbali mbali kutoka Fuoni kisiwani Unguja Fatma Mohd Fadhili  amesema ni vyema…

2 December 2021, 2:51 pm

Pharm Access waleta neema Zanzibar

Na Fatma Ali Mohd:Waziri wa Afya Ustawi wa Jamii Wazee  na Watoto Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ikishirikiana na Shirika lisilo la kiserikali Pharm Access linaandaa mikakati ya kuhakikisha Zanzibar inaanzisha mfuko wake  wa huduma…

30 November 2021, 12:55 pm

Wajasiriamali zanzibar watakiwa kuzalisha bidhaa zenye ubora

Na Mary Julius: Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Othman Masoud Othman, amewataka wajasiri amali hasa vijana kuzalisha bidhaa zenye ubora zinazoweza kuhimili ushindani wa soko la biashara nchini. Othman ameyasema hayo alipozungumza katika hafla ya kukabidhi ruzuku za…

24 November 2021, 1:26 pm

Madereva wa daladala watakiwa kutoingia na abiria sheli

Na Thuwaiba Mohd: Afisa  uhusiano wa mamlaka ya udhibiti wa huduma za maji na nisharti Zanzibar ZURA Hassan Juma Amour amewataka wasimamizi wa vituo vya  mafuta sheli kutoruhusu mtowa huduma kujaza mafuta kwenye gari ikiwa na abiria ili kuepusha  athari…

17 November 2021, 1:45 pm

Walokosa kuingizwa kaya maskini watakiwa kukata rufaa.

Na Mary Kitipwi:Mratibu wa mpango wa kunusuru kaya masikini unguja TASAF Makame Ali Haji amesema serikali ya mapinduzi imetoa nafasi kwa wale wote wenye sifa za kuingizwa katika maradi wa kaya maskini ambao majina ya yamekatwa katika awamu ya kwanza…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group