Zenj FM
Zenj FM
10 April 2026, 15:07
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi limekanusha vikali taarifa zinazosambaa mitandaoni zikidai kuwepo kwa matukio ya watu kupoteza au kuibiwa sehemu zao nyeti , likizitaja kuwa ni uzushi usio na ukweli. Polisi wamesema watu 10 wanashikiliwa kwa kusambaza taarifa…
10 April 2026, 14:35
Mkurugenzi Mwendeshaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ), Fahad Soud Hamid, amesema mikopo na uwezeshaji imeongezeka kwa asilimia 28, huku faida kabla ya kodi ikipanda kwa asilimia 20 kutokana na kuimarika kwa mapato na udhibiti wa matumizi. Aidha, benki…
7 April 2026, 23:20
Mbunge wa Fuoni, Asha Hussein Saleh, ameahidi kushirikiana na Wizara ya Vijana na Michezo kuendeleza michezo ya bao na drafti nchini. Amesema vipaji vingi vipo na tayari baadhi ya wachezaji wanafanya vizuri kimataifa. Na Mary Julius. Mbunge huyo amesema kuwa…
6 April 2026, 15:16
Mbunge wa Jimbo la Fuoni, Asha Hussein Saleh amesema mashindano hayo yanakusudia kuenzi mchango wa Karume katika Mapinduzi ya Zanzibar na Muungano. Pia ameahidi kuendeleza michezo ya asili ili kurejesha umaarufu wake katika jamii. Na Mary Julius Mbunge wa Jimbo…
1 April 2026, 18:46
Makala imeangazia changamoto ya pengo la kijinsia katika sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), hasa Zanzibar, ambapo wanawake wanakabiliwa na vikwazo vya kijamii, kiutamaduni na ukosefu wa rasilimali. Pamoja na changamoto hizo, juhudi mbalimbali zinaendelea kufanyika ikiwemo utoaji…
1 April 2026, 18:27
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Dkt. Khalid Salum Mohamed, amewataka Watanzania kuwaenzi na kuwaombea dua waasisi wa taifa kutokana na mchango wao mkubwa katika kupigania uhuru. Amesema ni muhimu kwa kizazi cha sasa kuendeleza mema waliyoacha kwa kudumisha amani na…
1 April 2026, 18:11
Kamati ya Baraza la Wawakilishi imesisitiza umuhimu wa uwajibikaji kwa masheha ili kupunguza matumizi ya dawa za kulevya na pombe haramu. Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Machano Othman Said, amesema viongozi hao wana jukumu la kulinda maadili na usalama wa jamii.…
25 March 2026, 16:32
Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar, Dk Juma Malik Akil, amesema Zanzibar itapata umeme wa uhakika ndani ya miezi michache ijayo kutokana na miradi mipya ya nishati. Amesema serikali inawekeza katika umeme wa jua na upepo ili kuongeza uzalishaji hadi…
23 March 2026, 16:31
Waziri wa Mawasiliano, Teknolojia ya Habari na Ubunifu, Mudrik Ramadhani Soraga, amesema serikali imefanikiwa kutoa mafunzo ya TEHAMA kwa wananchi zaidi ya 7,500 kupitia vituo vya TEHAMA jamii Unguja na Pemba. Na Mary Julius. Waziri wa Mawasiliano, Teknolojia ya Habari…
23 March 2026, 16:11
Zaidi ya vijana 250 wa Jimbo Katoliki la Zanzibar wametembelea Hospitali ya Wilaya ya Mbuzini kutoa msaada na faraja kwa wagonjwa ikiwa ni sehemu ya mfungo wa kwaresima. Na Mary Julius. Katika kipindi cha mfungo wa kwaresima, vijana zaidi ya…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group