Zenj FM

Recent posts

16 May 2026, 22:15

ZAWEMA waeleza umuhimu wa vipimo katika maendeleo ya Zanzibar

Mkurugenzi Mtendaji wa Zanzibar Weights and Measures Agency, Mohamed Mwalimu Simai, ametoa wito kwa jamii kuelewa matumizi sahihi ya vipimo katika biashara ili kujilinda dhidi ya udanganyifu. Amesema sayansi ya vipimo ina mchango mkubwa katika kujenga uaminifu kwenye biashara, uandaaji…

13 May 2026, 23:33

Kongamano la vicoba Zanzibar lawajengea uwezo wanachama zaidi ya 150

Vikundi vya VICOBA vinaendelea kuwa chachu ya maendeleo kwa kuwasaidia wananchi kujikwamua kiuchumi kupitia mfumo wa kuweka na kukopa. Zaidi ya wanachama 150 wamekutana Zanzibar kujifunza usimamizi wa vikundi, elimu ya fedha na fursa za uwekezaji kupitia kongamano hilo. Na…

8 May 2026, 21:47

Tumaini jipya kwa waliokatwa miguu Zanzibar

Mradi wa Zanzibar 100 Limb Project unatarajiwa kutoa miguu bandia bure kwa watu 150 waliokatwa miguu visiwani Zanzibar kuanzia Juni 1 hadi Julai 1, 2026 katika Hospitali ya Wilaya ya Mbuzini. Mradi huo unalenga kuwasaidia watu wenye ulemavu kurejea katika…

8 May 2026, 14:04

ZIDO yawapa tabasamu yatima na watu wenye ulemavu kupitia misaada maalum

Taasisi ya Zanzibar International Development Organization (ZIDO) imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 30 kwa watoto yatima na watu wenye ulemavu huko Dunga. Msaada huo umejumuisha vifaa vya skuli, visaidizi mwendo pamoja na mbuzi kwa familia…

4 May 2026, 17:26

Uroa gizani kwa wizi wa transfoma, serikali yachukua hatua

Meneja wa ZECO, Haji Haji, amewataka wananchi kuacha mara moja kuharibu miundombinu ya umeme visiwani Zanzibar akibainisha kuwa vitendo hivyo vinaleta hasara kubwa kwa serikali. Na Mary Julius. Meneja wa Shirika la Umeme Zanzibar ZECO Haji Haji amewataka wananchi kuacha…

2 May 2026, 21:28

ZFDA yateketeza tani 4.8 za maziwa yenye bakteria

ZFDA imeteketeza tani 4.8 za maziwa ya watoto aina ya SMA kwa tuhuma za kubainika kuchafuliwa na bakteria hatari. Uchafuzi huo unaweza kusababisha madhara kama kichefuchefu, kutapika, maumivu ya tumbo na kuharisha. Na Mary Julius/ Wakala wa Chakula, Dawa na…

1 May 2026, 14:58

Rais Mwinyi aongeza kima cha chini cha mshahara Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Hussein Ali Mwinyi ametangaza kuongeza kima cha chini cha mshahara kutoka shilingi 300,000 hadi 500,000 kwa mwezi katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi tarehe 01 Mei 2026.Amesema mshahara huo mpya utaanza…

29 April 2026, 21:12

Uzembe wa dereva waua mwanafunzi, mwingine ajeruhiwa Kusini Unguja

Dereva mmoja anashikiliwa na Polisi Mkoa wa Kusini Unguja kwa tuhuma za kusababisha ajali mbaya katika eneo la Mtule. Ajali hiyo ilihusisha gari la abiria lililowagonga watoto wawili waliokuwa wakivuka barabara. Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group