Recent posts
8 May 2026, 6:56 pm
Vijana Arusha waonywa matumizi ya dawa za kulevya
Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya nchini DCEA kanda ya kaskazini imekabidhi vitanda 80 na magodoro 160 vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 43 kwa waraibu zaidi ya 500 wanaoishi katika nyumba za upataji nafuu mkoani…
1 May 2026, 2:26 pm
Wanahabari tunapaswa kufanya kazi bila kubugudhiwa-Meena
Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Vijijini Tanzania (RUJAT), Neville Meena, amesema kuwa siku ya uhuru wa vyombo vya habari ni muhimu kwani huwakutanisha wadau mbalimbali na wanahabari na kuwakubumbusha wanapaswa kufanya kazi kwa uhuru na bila kubugudhiwa.…
30 April 2026, 7:59 pm
Wadau wa habari wateta kukabiliana na mabadiliko ya teknolojia ya kidigitali
Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani mwaka 2026 yaendelea kuibua mijadala muhimu kuhusu mustakabali wa sekta ya habari nchini, huku wadau wakijadili kwa kina namna ya kukabiliana na mabadiliko ya teknolojia ya kidigitali. Na Mariam MallyaAkizungumza…
2 April 2026, 1:50 pm
Jamii yaonya unyanyapaa dhidi ya warahibu wa dawa za kulevya
Jamii imeaswa kuacha kuwanyanyapa warahibu wa dawa za kulevya kwani kufanya hivyo hupelekea waathirika hao kushindwa kufikia huduma za matibabu. Na Mariam Mallya Afisa Kutoka mamlaka ya kudhibiti na kupambana na Dawa za kulevvya kanda ya kaskazini Brenda Mbati amesema…
17 March 2026, 1:30 pm
Wananchi Arusha wahimizwa ushirikiano katika malezi ya watoto
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha, ndugu Seleman Msumi, amesema malezi bora ni kielelezo muhimu katika kufanikisha maendeleo endelevu katika jamii. Na Mariam Mallya Msumi ameeleza hayo jijini Arusha kwenye kongamano lililowakutanisha makundi ya malezi na walezi kutoka…
16 March 2026, 2:57 pm
Ushiriki wa baba katika malezi watajwa kuwa changamoto
Wadau wa masuala ya malezi na makuzi ya watoto wamesema ushiriki mdogo wa wanaume katika malezi ya watoto bado ni changamoto kubwa katika jamii, hali inayoweza kuathiri ukuaji na ustawi wa watoto. Na Mariam Mallya Mtaalam wa masuala ya ulinzi…
3 March 2026, 11:13 pm
Arusha kuadhimisha siku ya wanawake duniani Machi 05
Wananchi wa jiji la Arusha wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yatakayofanyika kimkoa siku ya Machi 05/2026 katika viwanja vya Ngarenaro mkoani Arusha. Na Mariam Mallya Akizungumza katika Studio za Savvy FM Mratibu wa jinsia…
3 March 2026, 2:09 pm
Zaidi ya mataifa 23 duniani yakutana kujadili usawa wa kijinsia Arusha
Mkutano wa kimataifa wa mafunzo ya usawa na jinsia, ulemavu na ujumuishwaji wa kijamii umezikutanisha nchi zaidi ya 23 duniani lengo likiwa ni kujadili namna yakuendelea kuhudumia jamii kwa kuzingatia usawa wa kijinsia kwa makundi yenye mahitaji maalumu. Na Mariam…
27 February 2026, 3:51 pm
Arusha DC kuwawekea mazingira rafiki watumishi wake
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha (DC ),Bwn Sulemani Msumi, amesema halmashauri inaendelea kuweka mazingira rafiki kwa watumishi wake, ikiwemo walimu, hususan katika kata za pembezoni kwa kuwajengea nyumba za kuishi. Na Mariam Mallya Amesema kuwa katika mwaka…
26 February 2026, 10:56 pm
Sekta ya viwanda, biashara yaweka mikakati kujiimarisha
Wasimamizi na watendaji wa taasisi zilizopo katika sekta ya viwanda na biashara wametakiwa kuondoa urasimu na kuwa wawezeshaji wa sekta binafsi, kuchochea shughuli za uzalishaji, masoko ya kimkakati na uchumi kwa maendeleo endelevu ya kisekta kwa Taifa. Na Mariam Mallya…