Savvy FM
Savvy FM
24 February 2026, 11:16 pm
Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Paul Christian Makonda, amesema jiji la Arusha linaendelea kunufaika na fedha za maendeleo zinazotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kuboresha miundombinu na huduma za kijamii. Na Mariam Mallya Akizungumza mapema leo…
24 February 2026, 9:40 am
Uzinduzi huo umefanyika wakati wa kampeni ya NG’ARISHA JIJI inayolenga kuhamasisha usafi wa mazingira na kujenga utamaduni wa utunzaji wa Mji. Na Mariam Mallya Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Joseph Mkude, hivi karibuni amezindua rasmi vikundi vya vijana vya ukamataji…
17 February 2026, 2:44 pm
Punda nchini Tanzania wanakabiliwa na changamoto kubwa za ustawi, ikiwemo ukosefu wa lishe bora, huduma za afya pamoja na ulinzi dhidi ya vitendo vya utoroshaji na biashara haramu. Na Mariam Mallya Wataalamu wa mifugo na wadau wa ustawi wa wanyama…
14 January 2026, 5:08 pm
Zaidi ya vijana 200 jijini Arusha wameanza kunufaika na mradi wa kuwawezesha kiuchumi kupitia mpango wa kukopeshana pikipiki kwa gharama nafuu, uliozinduliwa na Umoja wa Maafisa Usafirishaji jijini Arusha kwa kushirikiana na kampuni ya TVS (Trust Value Service), lengo likiwa…
6 January 2026, 5:10 pm
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Gabriel Makalla, amekagua na kuzindua kitengo cha programu ya vipimo na matibabu bure kwa magonjwa ya moyo inayotekelezwa kwa ushirikiano kati ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) na Hospitali ya Arusha…
4 January 2026, 6:06 pm
Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Mheshimiwa Joseph Modest Mkude, ametoa wito kwa wananchi wa Mkoa wa Arusha na maeneo jirani kuzingatia afya zao kwa kufanya uchunguzi wa mara kwa mara ili kuepukana na magonjwa yasiyo ya lazima, hususan magonjwa yasiyoambukiza.…
4 January 2026, 5:57 pm
Meya wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranqhe, ametoa maelekezo kwa Kaimu Mkurugenzi wa Jiji kuandaa kikao maalum cha kukutana na mawakala wa uzoaji wa taka ili kujadili masuala mbalimbali yanayohusu usafi wa Jiji la Arusha. Na Mariam Mallya Maelekezo hayo…
18 December 2025, 6:26 pm
Meya wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe, amesema ziara ya Waziri wa tamisemi, Riziki Shemdoe, mkoani Arusha imelenga kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa jijini humo, ikiwemo ujenzi wa uwanja wa mpira na ujenzi wa soko. Na Mariam Malya Akizungumza…
16 December 2025, 4:07 pm
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Amos Makalla, amewataka madiwani wa Jiji la Arusha kuhakikisha wanakusanya mapato na kusimamia kikamilifu miradi inayotekelezwa ndani ya Jiji ili iweze kukamilika kwa wakati. Akizungumza leo katika mkutano na Baraza la Madiwani na Menejimenti ya…
15 December 2025, 6:43 pm
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla leo Jumatatu Disemba 15, 2025 amefungua na kuongoza Kikao cha kusikiliza kero na changamoto za bodaboda na Bajaji Mkoa wa Arusha, Kikao kilichofanyika kwenye Viwanja vya Makumbusho ya Azimio la…
Savvy FM Proposal Summary
Future Goals
Expand digital footprint internationally.
Maintain financial sustainability through ethical business practices.
Continue to innovate in programming and community service.
Contact Info
Phone: +255 787877778
Email: info@savvygroup.co.tz
Web: www.savvymediagroup.co.tz
Savvy FM Proposal Summary
Address: Plot 455, Block ‘C1’, Umoja Road, Njiro, Arusha, Tanzania