Savvy FM

Recent posts

24 February 2026, 11:16 pm

Arusha kung’arishwa na mabasi ya mwendokasi

Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Paul Christian Makonda, amesema jiji la Arusha linaendelea kunufaika na fedha za maendeleo zinazotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kuboresha miundombinu na huduma za kijamii. Na Mariam Mallya Akizungumza mapema leo…

24 February 2026, 9:40 am

Wachafuzi wa mazingira kuswekwa ndani Arusha

Uzinduzi huo umefanyika wakati wa kampeni ya NG’ARISHA JIJI inayolenga kuhamasisha usafi wa mazingira na kujenga utamaduni wa utunzaji wa Mji. Na Mariam Mallya Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Joseph Mkude, hivi karibuni amezindua rasmi vikundi vya vijana vya ukamataji…

17 February 2026, 2:44 pm

Wadau walia na serikali utoroshaji wa punda nchini

Punda nchini Tanzania wanakabiliwa na changamoto kubwa za ustawi, ikiwemo ukosefu wa lishe bora, huduma za afya pamoja na ulinzi dhidi ya vitendo vya utoroshaji na biashara haramu. Na Mariam Mallya Wataalamu wa mifugo na wadau wa ustawi wa wanyama…

14 January 2026, 5:08 pm

Uzinduzi mradi wa pikipiki wainua uchumi wa vijana Arusha

Zaidi ya vijana 200 jijini Arusha wameanza kunufaika na mradi wa kuwawezesha kiuchumi kupitia mpango wa kukopeshana pikipiki kwa gharama nafuu, uliozinduliwa na Umoja wa Maafisa Usafirishaji jijini Arusha kwa kushirikiana na kampuni ya TVS (Trust Value Service), lengo likiwa…

6 January 2026, 5:10 pm

Wananchi 1,200 Arusha wanufaika na matibabu ya moyo bure

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Gabriel Makalla, amekagua na kuzindua kitengo cha programu ya vipimo na matibabu bure kwa magonjwa ya moyo inayotekelezwa kwa ushirikiano kati ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) na Hospitali ya Arusha…

4 January 2026, 6:06 pm

DC Arusha awataka wananchi kufanya uchunguzi wa afya mapema

Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Mheshimiwa Joseph Modest Mkude, ametoa wito kwa wananchi wa Mkoa wa Arusha na maeneo jirani kuzingatia afya zao kwa kufanya uchunguzi wa mara kwa mara ili kuepukana na magonjwa yasiyo ya lazima, hususan magonjwa yasiyoambukiza.…

4 January 2026, 5:57 pm

Meya Jiji la Arusha kukutana na mawakala wa uzoaji taka

Meya wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranqhe, ametoa maelekezo kwa Kaimu Mkurugenzi wa Jiji kuandaa kikao maalum cha kukutana na mawakala wa uzoaji wa taka ili kujadili masuala mbalimbali yanayohusu usafi wa Jiji la Arusha. Na Mariam Mallya Maelekezo hayo…

18 December 2025, 6:26 pm

Meya jiji la Arusha atoa tathmini Waziri wa Tamisemi

Meya wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe, amesema ziara ya Waziri wa tamisemi, Riziki Shemdoe, mkoani Arusha imelenga kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa jijini humo, ikiwemo ujenzi wa uwanja wa mpira na ujenzi wa soko. Na Mariam Malya Akizungumza…

16 December 2025, 4:07 pm

RC Makalla awataka madiwani, mkaguzi kuungana

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Amos Makalla, amewataka madiwani wa Jiji la Arusha kuhakikisha wanakusanya mapato na kusimamia kikamilifu miradi inayotekelezwa ndani ya Jiji ili iweze kukamilika kwa wakati. Akizungumza leo katika mkutano na Baraza la Madiwani na Menejimenti ya…

15 December 2025, 6:43 pm

RC Makalla awaagiza maDC kusikiliza, kutatua kero za wananchi

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla leo Jumatatu Disemba 15, 2025 amefungua na kuongoza Kikao cha kusikiliza kero na changamoto za bodaboda na Bajaji Mkoa wa Arusha, Kikao kilichofanyika kwenye Viwanja vya Makumbusho ya Azimio la…

Savvy FM


Savvy FM Proposal Summary

  1. Executive Summary
    Savvy FM is a privately owned radio station broadcasting from Arusha, Tanzania, with reach across Manyara,Kilimanjaro, parts of Dodoma, and Tanga.
    It primarily focuses on empowering women and youth through informative and inspiring content.
  2. Background & Profile
    Founded by three professional women from legal, marketing, and journalism backgrounds. Established in 2022 with a commercial broadcasting license from TCRA. Offers 24/7 programming tailored to local community needs. Operates with innovation, diversity, and inclusion at its core.
  3. Mission & Vision
    Mission: To empower and inspire women and youth through transformative and educational content.
    Vision: To become a financially strong, growth-oriented media platform that uplifts communities and drives change.
  4. Reach & Coverage
    Estimated listener base: 4 million+
    Covers: Arusha, Manyara, Kilimanjaro, and parts of Dodoma and Tanga.
    Expanding digital reach to global audiences via online streaming.
  5. Target Audience
    Broad age group: 14 to 70 years
    Includes youth, women, farmers, SMEs, and the general public.
    Special attention to rural listeners and marginalized groups.
  6. Programming & Content
    Includes segments like:
  • Anga La Asubuhi (Morning Drive)
  • Savvy Spoti (Sports)
  • Sauti Yako (Interactive listener shows)
    Savvy FM Proposal Summary
  • Savvy Masala (Entertainment)
    Also features educational programs, community shows, and live interviews.

Future Goals
Expand digital footprint internationally.
Maintain financial sustainability through ethical business practices.
Continue to innovate in programming and community service.
Contact Info
Phone: +255 787877778
Email: info@savvygroup.co.tz
Web: www.savvymediagroup.co.tz
Savvy FM Proposal Summary
Address: Plot 455, Block ‘C1’, Umoja Road, Njiro, Arusha, Tanzania