Recent posts
12 June 2026, 7:35 am
Jackson afariki dunia kwa kuchomwa kisu na ndugu yake Arusha
Hali ya majonzi na simanzi imetanda katika Kijiji cha Sokon II, Kata ya Sokon II, Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha baada ya kijana mmoja aitwaye Jackson kufariki dunia kwa kuchomwa na kisu kufuatia ugomvi wa kifamilia. Na Michael Nanyaro Kwa…
31 May 2026, 5:29 pm
Youlead Summit 2026 tumaini jipya kwa vijana Afrika
Zaidi ya vijana 300 kutoka nchi mbalimbali barani Afrika wameshiriki katika Kongamano la YouLead Summit 2026 linalofanyika katika kituo cha MS TCDC kuanzia tarehe 25 hadi 29 Mei 2026. Na Gasper Sambweti Kongamano hilo limewakutanisha vijana kutoka mataifa mbalimbali ya…
8 May 2026, 6:56 pm
Vijana Arusha waonywa matumizi ya dawa za kulevya
Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya nchini DCEA kanda ya kaskazini imekabidhi vitanda 80 na magodoro 160 vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 43 kwa waraibu zaidi ya 500 wanaoishi katika nyumba za upataji nafuu mkoani…
1 May 2026, 2:26 pm
Wanahabari tunapaswa kufanya kazi bila kubugudhiwa-Meena
Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Vijijini Tanzania (RUJAT), Neville Meena, amesema kuwa siku ya uhuru wa vyombo vya habari ni muhimu kwani huwakutanisha wadau mbalimbali na wanahabari na kuwakubumbusha wanapaswa kufanya kazi kwa uhuru na bila kubugudhiwa.…
30 April 2026, 7:59 pm
Wadau wa habari wateta kukabiliana na mabadiliko ya teknolojia ya kidigitali
Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani mwaka 2026 yaendelea kuibua mijadala muhimu kuhusu mustakabali wa sekta ya habari nchini, huku wadau wakijadili kwa kina namna ya kukabiliana na mabadiliko ya teknolojia ya kidigitali. Na Mariam MallyaAkizungumza…
2 April 2026, 1:50 pm
Jamii yaonya unyanyapaa dhidi ya warahibu wa dawa za kulevya
Jamii imeaswa kuacha kuwanyanyapa warahibu wa dawa za kulevya kwani kufanya hivyo hupelekea waathirika hao kushindwa kufikia huduma za matibabu. Na Mariam Mallya Afisa Kutoka mamlaka ya kudhibiti na kupambana na Dawa za kulevvya kanda ya kaskazini Brenda Mbati amesema…
17 March 2026, 1:30 pm
Wananchi Arusha wahimizwa ushirikiano katika malezi ya watoto
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha, ndugu Seleman Msumi, amesema malezi bora ni kielelezo muhimu katika kufanikisha maendeleo endelevu katika jamii. Na Mariam Mallya Msumi ameeleza hayo jijini Arusha kwenye kongamano lililowakutanisha makundi ya malezi na walezi kutoka…
16 March 2026, 2:57 pm
Ushiriki wa baba katika malezi watajwa kuwa changamoto
Wadau wa masuala ya malezi na makuzi ya watoto wamesema ushiriki mdogo wa wanaume katika malezi ya watoto bado ni changamoto kubwa katika jamii, hali inayoweza kuathiri ukuaji na ustawi wa watoto. Na Mariam Mallya Mtaalam wa masuala ya ulinzi…
3 March 2026, 11:13 pm
Arusha kuadhimisha siku ya wanawake duniani Machi 05
Wananchi wa jiji la Arusha wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yatakayofanyika kimkoa siku ya Machi 05/2026 katika viwanja vya Ngarenaro mkoani Arusha. Na Mariam Mallya Akizungumza katika Studio za Savvy FM Mratibu wa jinsia…
3 March 2026, 2:09 pm
Zaidi ya mataifa 23 duniani yakutana kujadili usawa wa kijinsia Arusha
Mkutano wa kimataifa wa mafunzo ya usawa na jinsia, ulemavu na ujumuishwaji wa kijamii umezikutanisha nchi zaidi ya 23 duniani lengo likiwa ni kujadili namna yakuendelea kuhudumia jamii kwa kuzingatia usawa wa kijinsia kwa makundi yenye mahitaji maalumu. Na Mariam…