Recent posts
27 June 2026, 10:51 am
Pombe yatajwa chanzo cha ukatili, vifo kwenye jamii
Takribani kifo kimoja kati ya vifo vitatu nchini kimehusishwa na matumizi ya pombe, huku wataalamu wakisisitiza haja ya serikali na taasisi husika kutoa takwimu sahihi kuhusu athari za pombe na dawa za kulevya ili kulinda jamii dhidi ya madhara yake.…
27 June 2026, 1:18 am
Mapambano dhidi ya dawa za kulevya yapamba moto Arusha
Jamii imetakiwa kuendelea kuungana katika mapambano dhidi ya matumizi na usambazaji wa dawa za kulevya, huku elimu ikitajwa kuwa silaha muhimu katika kuokoa maisha ya vijana. Na Mariam Mallya Kauli hiyo imetolewa katika na Afisa Kutoka mamlaka ya kudhibiti na…
12 June 2026, 7:35 am
Jackson afariki dunia kwa kuchomwa kisu na ndugu yake Arusha
Hali ya majonzi na simanzi imetanda katika Kijiji cha Sokon II, Kata ya Sokon II, Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha baada ya kijana mmoja aitwaye Jackson kufariki dunia kwa kuchomwa na kisu kufuatia ugomvi wa kifamilia. Na Michael Nanyaro Kwa…
31 May 2026, 5:29 pm
Youlead Summit 2026 tumaini jipya kwa vijana Afrika
Zaidi ya vijana 300 kutoka nchi mbalimbali barani Afrika wameshiriki katika Kongamano la YouLead Summit 2026 linalofanyika katika kituo cha MS TCDC kuanzia tarehe 25 hadi 29 Mei 2026. Na Gasper Sambweti Kongamano hilo limewakutanisha vijana kutoka mataifa mbalimbali ya…
8 May 2026, 6:56 pm
Vijana Arusha waonywa matumizi ya dawa za kulevya
Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya nchini DCEA kanda ya kaskazini imekabidhi vitanda 80 na magodoro 160 vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 43 kwa waraibu zaidi ya 500 wanaoishi katika nyumba za upataji nafuu mkoani…
1 May 2026, 2:26 pm
Wanahabari tunapaswa kufanya kazi bila kubugudhiwa-Meena
Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Vijijini Tanzania (RUJAT), Neville Meena, amesema kuwa siku ya uhuru wa vyombo vya habari ni muhimu kwani huwakutanisha wadau mbalimbali na wanahabari na kuwakubumbusha wanapaswa kufanya kazi kwa uhuru na bila kubugudhiwa.…
30 April 2026, 7:59 pm
Wadau wa habari wateta kukabiliana na mabadiliko ya teknolojia ya kidigitali
Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani mwaka 2026 yaendelea kuibua mijadala muhimu kuhusu mustakabali wa sekta ya habari nchini, huku wadau wakijadili kwa kina namna ya kukabiliana na mabadiliko ya teknolojia ya kidigitali. Na Mariam MallyaAkizungumza…
2 April 2026, 1:50 pm
Jamii yaonya unyanyapaa dhidi ya warahibu wa dawa za kulevya
Jamii imeaswa kuacha kuwanyanyapa warahibu wa dawa za kulevya kwani kufanya hivyo hupelekea waathirika hao kushindwa kufikia huduma za matibabu. Na Mariam Mallya Afisa Kutoka mamlaka ya kudhibiti na kupambana na Dawa za kulevvya kanda ya kaskazini Brenda Mbati amesema…
17 March 2026, 1:30 pm
Wananchi Arusha wahimizwa ushirikiano katika malezi ya watoto
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha, ndugu Seleman Msumi, amesema malezi bora ni kielelezo muhimu katika kufanikisha maendeleo endelevu katika jamii. Na Mariam Mallya Msumi ameeleza hayo jijini Arusha kwenye kongamano lililowakutanisha makundi ya malezi na walezi kutoka…
16 March 2026, 2:57 pm
Ushiriki wa baba katika malezi watajwa kuwa changamoto
Wadau wa masuala ya malezi na makuzi ya watoto wamesema ushiriki mdogo wa wanaume katika malezi ya watoto bado ni changamoto kubwa katika jamii, hali inayoweza kuathiri ukuaji na ustawi wa watoto. Na Mariam Mallya Mtaalam wa masuala ya ulinzi…