Uchumi
11 May 2024, 5:00 pm
Hakuna kupita bila kupingwa-ACT Wazalendo
Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar ambaye pia ni mwenyekiti wa ACT – Wazalendo Taifa, Mheshimiwa Othman Masoud Othman, amekabidhiwa uchifu (utemi wa nchi) na wazee wa Kahama, kuwa mtemi/chifu wa kabila la wasukuma na wanyamwezi. Zoezi hilo limefanyika…
9 May 2024, 3:36 am
TAS yatoa tamko baada ya mtoto mwenye ualbino kujeruhiwa
Tukio la kujeruhiwa mtoto (10) mwenye Ualbino mkazi wa mtaa wa Mtakuja kata ya Katoro wilayani na mkoani Geita limekiibua Chama cha watu wenye Ualbino (TAS) wilaya ya Geita. Na: Evance Mlyakado – Geita Katibu wa TAS wilaya ya Geita…
8 May 2024, 16:16
RUWASA Maswa yatakiwa kusajili pikipiki kwa namba za serikali
Vyombo vya watoa huduma wa maji ngazi ya jamii wilayani Maswa vimesaidia upatikanaji wa maji vijijini kutoka asilimia 68.9 hadi 74 na ifikapo 2025 kufikia asilimia 85. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Aswege Kaminyoge amemtaka…
7 May 2024, 19:54
DC Maswa akabidhi pikipiki kwa CBWSOs
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh. Aswege Kaminyoge amewataka viongozi wa CBWSOs zilizogawiwa pikipiki kuzitumia katika malengo yaliyokusudiwa ili kuleta mabadiliko katika utoaji wa huduma za maji na siyo shughuli binafsi zisizo na tija. Na Nicholaus Machunda Mkuu wa Wilaya …
7 March 2024, 4:54 pm
Ufunguzi wa soko la Alamayana kijiji cha Loswaki kata ya Terrat
Wananchi wa kijiji cha Loswaki kilichopo kata ya Terrat wilaya ya Simanjiro wameungana pamoja na wananchi wa vijiji vya jirani, wafanyabiashara, viongozi mbalimbali wa mila, chama na serikali katika ufunguzi wa soko la Alamayana katika kijiji cha Loswaki. Na Baraka…
3 March 2024, 7:29 pm
Jukwaa la Mwanamke Sengerema lawashika mkono watoto wanaoshi mazingira hatarishi
Kila mwaka ifikapo tar 08 Machi dunia huadhimisha siku ya mwanamke duniani ambapo hutanguliwa na matukio mbalimbali ambayo hufanywa na wanawake, Jukwaa la mwanamke Sengerema limeanza na kutoa msaada kwa wanafunzi wanaoishi mazingira hatarishi wilayani hapo. Na;Emmanuel Twimanye Zaidi ya…
1 February 2024, 10:49
Kigoma: Miradi ya kimkakati kuimarisha uchumi nchini, nchi jirani
Serikali imesema inaendelea kuhakikisha inaboresha miradi ya kimkakati kwenye sekta ya usafiri iliyopo ili kusaidia katika ukuaji wa uchumi hasa kupitia sekta ya usafirishaji kwa njia ya maziwa. Na, Tryphone Odace. Meneja Mipango kutoka kampuni ya huduma za meli nchini…
1 February 2024, 09:06
Bi. Mdidi: Epukeni rushwa, fuateni sheria za utumishi wa umma
Na mwandishi wetu Kaimu Mweka hazina Halmashauri ya wilaya ya Rungwe Bi. Kijakazi Mdidi ameongoza kikao cha watumishi wapya (Ajira ya Mkataba) katika sekta ya mapato lengo likiwa ni kuwajengea uwezo sambamba na kuwapa maelekezo dhidi ya namna bora ya…
19 January 2024, 11:31 am
Billioni 26.9 kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo 2024/2025 Busokelo
Na mwandishi wetu Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo imepanga kutumia shilingi bilioni 26.6 kwa mwaka fedha 2024/2025. Hayo yameleezwa katika kikao cha Baraza la madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri tarehe 18/01/2024 kwaajili ya kujadili mapendekezo ya Mpango na Bajeti …
16 January 2024, 19:45
PM Majaliwa ahitimisha ziara Mbeya, afungua CUoM
Na Hobokela Lwinga Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kasim Majaliwa ameondoka Mkoani Mbeya baada ya Kushiriki Hafla ya Ufunguzi wa Chuo Kikuu Cha Kikatoloki Mbeya (CUoM) Leo January 16 2024.