8 February 2024, 3:31 pm

Madiwani waonywa Rungwe

Wanasiasa wametakiwa kuwa msitari wa mbele kuwahamasisha wananchi katika shughuli za kimaendeleo ili kuimarisha uchumi wa mmojammoja na Taifa kwa ujumla. RUNGWE-MBEYA Na Lennox MwamakulaMkuu wa halmashauri ya wilaya ya Rungwe Jaffar Hanniu amewataka wafanyabiashara kutopanga bidhaa zao kando ya…

On air
Play internet radio

Recent posts

26 July 2024, 1:12 pm

Kuelekea msimu mpya wa NBC Premier League wadau watoa ya moyoni

Wakati vilabu mbalimbali vya mpira vinavyoshiriki ligi kuu ya NBC vikijiandaa na msimu mpya wa ligi mashabiki wa mpira wamekuwa na maoni tofauti kulingana na sajili zilizofanywa na vilabu vyao. Na Gwamaka Mwakisyala – Rungwe Kuelekea msimu mpya wa ligi…

14 July 2024, 12:22 pm

Mbunge akemea tabia za wizi wa nguzo za umeme jimbo la Busokelo

Kuwepo kwa watumishi wa umma wasio waaminifu kunapelekea kurudisha nyuma maendeleo ya nchi. BUSOKELO-MBEYA Na Lennox Mwamakula Mbunge wa Jimbo la Busokelo Atupele Freddy Mwakibete amemwagiza Meneja wa Tanesco wa halmashauri ya Busokelo kuzirejesha nguzo za umeme zilizoibwa kwenye makazi…

11 July 2024, 8:51 am

Wakulima kunufaika na soko jipya Rungwe

Katibu wa mbunge jimbo la Rungwe ndg Gabriel Mwakagenda akiongea na vyombo vya habari katika kukabiliana na changamoto ya masoko mbunge wa jimbo la Rungwe amesema kwamba serikali inatarajia kujenga soko la ndizi ili kuinua uchumi wa mkulima. RUNGWE-MBEYA Na…

10 July 2024, 12:45 pm

Maji chanzo zahanati ya Ngeleka kutofunguliwa

Na Lennox Mwamakula Kutokana na kukosekana kwa huduma ya maji katika zahanati ya Ngeleka katika kata ya Kisegese imesababisha zahanati hiyo kutoanza kufanya kazi kwa wakati ambapo mbunge wa jimbo la Busokelo Mh. Fredy Atupele Mwakibete amewaagiza RUWASA kushughulikia suala…

10 July 2024, 10:50 am

Aliyechoma picha ya Rais alipa faini

Ni takribani siku tano zimepita tangu mahakama ya wilaya ya Rungwe ilivyomtia hatiani na kumhukumu kifungo cha miaka miwili gerezani au kulipa faini ya shilingi milioni tano kijana Shadrack Chaula (24) sasa yupo huru baada ya kulipa faini. Na Ezekiel…

10 July 2024, 9:44 am

Halmashauri kuzuia magari kushusha na kupakia mizigo soko kuu Makambako

Na Cleef Mlelwa – Makambako Wafanyabiashara 112 wa mazao ambao waliingia ubia  na halmashauri ya mji wa Makambako katika ujenzi wa soko la mazao kiumba lilopo kata ya Lyamkena wametakiwa kuhamia kwenye soko hilo huku halmashauri ikikitakiwa kuzuia  magari makubwa…

4 July 2024, 4:49 pm

Aliyechoma picha ya rais ahukumiwa

“Kwakua umeshindwa kutetea taifa lako lisiathirike na ushoga hii video inakuhusu wewe na si mtu mwingine” Na Sabina Martin – Rungwe Mahakama ya wilaya ya Rungwe mapema leo julai 4. 2024 imemtia hatiani Bw. Shedrack Yusuph Chaula mwenye umri wa…

3 July 2024, 6:20 pm

Kiwango cha ufaulu chaongezeka Rungwe

Ili kuwa na jamii yenye uelewa walimu wameshauriwa kuwa mstari wa mbele kutoa elimu bora kwa wanafunzi kwa lengo la kujenga kizazi chenye elimu Rungwe-Mbeya Na Bahati Obel Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Jaffar Haniu amekemea tabia ya baadhi ya…

16 June 2024, 8:45 pm

Vitendo vya ukatili kwa watoto kukomeshwa Rungwe

wadau wa kupinga vitendo vya ukatili kushirikiana na wazazi kutokomeza vitendo vya vya ukatili vilivyopo kwenye maeneo mbalimbali wilayani Rungwe RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Ikiwa kila ifikapo juni  16 Tanzania inaungana na mataifa mengine ya nchi za Afrika kuadhimisha siku…

7 June 2024, 10:25 am

Shilingi milioni 90 kuboresha miundombinu Lupata

Ili kuhakikisha wanafunzi wanaendelea kupata elimu katika mazingira mazuri serikali imeendelea kuboresha miundombinu ya elimu nchini. RUNGWE-MBEYA Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Zuberi Homera ameridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo  katika Halmashauri ya Wilaya…