
Recent posts

November 29, 2023, 8:54 am
Polisi kukabiliana na vitendo vya kikatili Rungwe
ili kuweza kutokomeza vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia ikiwa ni pamoja na ukatili kwa wanawake na watoto jamii imetakiwa kuwa mstari wa mbele kutoa taarifa kwenye vyombo vya kisheria. RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Jamii imeshauriwa kuachana na vitendo vyaa kikatili…

November 23, 2023, 3:53 pm
Bei elekezi ya parachichi iliyotolewa na serikali yawanufaisha wakulima Rungwe
Kutokana na kuwepo kwa wanunuzi wanaowadanganya wakulima, serikali imeamua kutoa bei inayotakiwa kampuni zinunue parachichi ili kumkomboa mkulima. Mkuu wa mkoa akizungumza na wadau wa parachichi[picha na Lennox Mwamakula] Afisa kilimo wa wilaya Juma Mzala amebainisha utaratibu wakufuata kwa mnunuzi…

November 23, 2023, 10:18 am
Rungwe yakusanya 122.22% ya mapato robo ya kwanza
Elimu ya ulipaji wa kodi inayotolewa kwa jamii imeonesha matokeo chanya kwa baadhi ya halmashauri hapa nchini kwa kuvuka malengo ya ukusanyaji wa mapato. RUNGWE-MBEYA Na lennox mwamakula Halmashauri ya wilaya ya Rungwe katika kipindi cha robo ya kwanza kuanzia…

November 21, 2023, 3:17 pm
Tozo za maegesho zawakwamisha bodaboda
RUNGWE-MBEYA Sheria ndogo zinazopitishwa kwenye vikao vya mabaraza ya madiwani kukwamisha baadhi ya shughuli za kimaendeleo kwenye maeneo husika. Na Lennox mwamakula Kutokana na kuwepo kwa kamatakamata ya vyombo vya moto na kutozwa faini ya maegesho waendesha pikipiki maarufu bodadoda…

November 20, 2023, 4:10 pm
Michango ya chakula mashuleni kuchochea ufaulu Rungwe
uwepo wa chakula mashuleni kunasaidia kuongeza ufaulu kwa mwanafunzi pia kuna mjengea uwezo wa uwelewa RUNGWE -MBEYA Na Lennox mwamakula Mkuu wa shule ya msingi Mabonde iliyopo wilayani Rungwe mkoani Mbeya Christine Ndimbo amewaomba wazazi na walezi kujenga utamadudu wa…

November 20, 2023, 12:51 pm
Siku 16 za kupinga ukatili; “wekeza kuzuia ukatili wa kijinsia”
Na Sabina Martin: Rungwe- Mbeya Kuelekea siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, jamii wilayani Rungwe mkoani Mbeya imetakiwa kutoa taarifa ya vitendo vya ukatili vinavyoendelea katika maeneo yao ili kutokomeza vitendo hivyo. Akizungumza katika kipindi cha amka na chai…

November 16, 2023, 1:08 pm
Chai yenye ubora chachu ongezeko la bei
Imetajwa kuwa ongezeko la bei ya chai sokoni inategemea ubora wa majani mabichi ya chai kwani huzalisha majani makavu yenye kiwango kizuri hali inayopelekea kuuzwa kwa bei nzuri katika soko la kimataifa. Na Sabina Martin: Rungwe-Mbeya Kufuatia kuzinduliwa kwa mnada…

November 16, 2023, 12:24 pm
TARURA Rungwe yatakiwa kuboresha barabara za vijijini zipitike kipindi chote
Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini TARURA katika wilaya ya Rungwe wametakiwa kujenga miundombinu ya barabara za vijijini ili zipitike wakati wote hususani wakati wa mvua ili kurahisisha usafirishaji wa majani mabichi ya chai kutoka shambani hadi kiwandani. Hayo…

November 13, 2023, 3:27 pm
Familia ya Mwansasu yawashukuru watanzania
Jamii imeshauriwa kuwaombea viongozi wa serikali ili waweze kuwatumikia kwa moyo Mh,Tulia akiwashukuru wana Rungwe kwa kumuombea kwenye shuguli za Serikali [picha na lennox mwamakula] RUNGWE.MBEYA Na Lennox mwamakula Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Tulia Ackson…

November 1, 2023, 7:51 pm
Wakala afikishwa mahakamani kwa kosa la uhujumu uchumi Rungwe
Na Mwandishi wetu: Rungwe – Mbeya Wakala wa kukusanya ushuru katika halmashauri ya wilaya ya Rungwe amefikishwa mahakamani kutokana na kesi ya uhujumu uchumi. Oktoba 30, 2023 katika Mahakama ya Wilaya Rungwe, mbele ya Hakimu Mhe. Mwinjuma Bakari Banga imefunguliwa…