Recent posts
29 May 2026, 1:31 pm
Maadhimisho ya Siku ya Hedhi: Jamii Yatakiwa Kuweka Mazingira Salama na Kuondoa…
Na Dorcas Charles Picha ya Afisa Muuguzi Msaidizi na Mkunga kutoka Kituo cha Afya cha Terat, Asumwisye Ndumwaisemba, akiwa studio za Orkonerei Fm Radio, Picha na Evanda Barnaba. Jamii imetakiwa kuweka mazingira wezeshi na salama kwa wanawake na wasichana ili…
28 May 2026, 2:23 pm
Wazazi na walezi wahimiza ushirikiano wa baba na mama katika malezi
Na Joyce Elius Baadhi ya wazazi kutoka Kijiji cha Terrat wilayani Simanjiro, wameshauri wazazi na walezi kutenga muda mwingi wa kukaa na watoto wao ili kuwajenga katika misingi bora ya kimadili, ufahamu, na upendo kuanzia hatua za awali za ukuaji…
28 May 2026, 2:11 pm
Msaidizi wa kisheria afafanua umuhimu wa mikataba wafanyakazi wa ndani
Picha kwa msaada wa Mtandao Wadau wa kisheria wamesisitiza umuhimu wa wafanyakazi wa ndani kufahamu sheria za ajira na mahusiano kazini, pamoja na kuhakikisha wanakuwa na mikataba halali inayofafanua majukumu na maslahi yao kabla ya kuanza kazi. Na Dorcas Charles…
26 May 2026, 3:08 pm
Wataalamu Wafichua Faida za Maziwa ya Kwanza ya Mama Baada ya Kujifungua
Na Dorcas Charles Wazazi Simanjiro na Maoneo yote Nchini wamekumbushwa umuhimu wa kuwanyonyesha watoto maziwa ya mama pekee kwa kipindi cha miezi sita ya mwanzo bila kuwapa kitu kingine chochote, ili kuwajengea kinga imara dhidi ya magonjwa yanayoweza kuzuilika. Picha…
26 May 2026, 2:39 pm
Umuhimu wa Kadi ya Kliniki: Jinsi Inavyookoa Maisha na Afya ya Mtoto Wako
Na Joyce Elius Picha ya kadi ya Kliniki ya mtoto. Wazazi na walezi Wilayani Simanjiro wameshauriwa kuzingatia matumizi sahihi ya kadi za kliniki za watoto ili kurahisisha ufuatiliaji wa afya na makuzi yao, hatua itakayosaidia kuepusha vifo na magonjwa yanayoweza…
25 May 2026, 2:24 pm
Adhabu kubwa kwa mwanafunzi lazima ziidhinishwe na mwalimu mkuu
Na Dorcas Charles Picha ikiwaonyesha Baadhi ya wanafunzi wa shule ya Msingi Terrat, Picha na Joyce Elius Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Shule ya Msingi Terrat Wilayani Simanjiro Elinema Kimambo, amewaahauri walimu kufuata sheria na taratibu zilizowekwa wakati wa kutoa adhabu…
22 May 2026, 5:11 pm
Mpira wa kikapu washika kasi Arusha, ligi ya vijana kufikia tamati wikendi hii
Na Isack Dickson Picha inawaontesha watoto wakicheza mchezo wa BaskettBall Mwamko wa mchezo wa mpira wa kikapu, au basketball, umezidi kushika kasi jijini Arusha, huku vijana wadogo wakionyesha vipaji vya hali ya juu kupitia programu za mitaani na mashuleni. Hii…
22 May 2026, 12:10 pm
Halmashauri ya Arusha yakopesha zaidi ya Tsh mil. 596 bila riba
Na Nyangusi Olesang’ida Halmashauri ya Wilaya ya Arusha imetoa jumla ya Shilingi milioni 596,000,000 kama mikopo isiyo na riba kwa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2025/2026, inayolenga kuyawezesha makundi maalum kiuchumi ikihusisha vikundi 18 vya wanawake, vikundi 26…
22 May 2026, 5:32 am
Kunywa damu mbichi hatari kwa afya-Utafiti
Na Dorcas Charles Wafugaji katika Wilaya ya Simanjiro na maeneo mengine nchini wametakiwa kuzingatia usalama wa maziwa na kuacha kabisa utamaduni wa kutumia damu mbichi. Wito huo unafuatia matokeo ya uchunguzi wa sampuli za maziwa uliobaini uwepo wa viashiria vya…
21 May 2026, 1:31 pm
Jamii za kifugaji zatakiwa kutoa kipaumbele katika elimu
Wazazi na walezi, hasa kutoka katika jamii za kifugaji Wilayani Simanjiro, wameshauriwa kubadili fikra na kuwapa watoto wao kipaumbele cha elimu badala ya kuwatanguliza katika shughuli za uchungaji wa mifugo wakati wa masomo. Na Baraka Olemaika Ushauri huo umetolewa kufuatia…