Recent posts
1 September 2026, 12:37 pm
Manyara watakiwa kujipanga kuepuka madhara ya El Nino
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Mkoa wa Manyara imetoa tahadhari kwa wananchi kuhusu msimu wa mvua za Vuli zinazotarajiwa kuambatana na hali ya El Nino. Mamlaka imeonya kuwa mvua hizo zitakuwa nyingi zaidi ya wastani wa kawaida na…
28 August 2026, 3:32 pm
Simanjiro watakiwa kufuata misingi bora ya kilimo kupata mavuno mengi
Afisa Kilimo kutoka Wilaya ya Simanjiro, Jenifar Mbuya, amewataka wakulima mkoani humo kufuata kanuni na misingi bora ya kilimo ili kujiwekea mazingira ya kupata mavuno mengi na yenye tija. Na Dorcas Charles Akizungumza na Mwandishi wetu Dorcas Charles amesema taratibu…
27 August 2026, 1:13 pm
Kampeni ya kitaifa chanjo ya polio yaanza kutolewa
Mratibu wa Elimu ya Afya kwa Umma (DHO) Wilaya ya Simanjiro, Ghati Megewa, akiwa studio za Orkonerei Fm Radio (Picha na Isack Dickson) Katika kuunga mkono juhudi za serikali za kulinda afya za watoto nchini, Wilaya ya Simanjiro imekamilisha maandalizi…
26 August 2026, 7:30 pm
Dk 30 za taarifa kamili ya habari 26 Agosti 2026
Karibu kusikiliza taarifa yetu ya habari ya tarehe 30 Agosti 2026 iliyosomwa na Isack Dickson ambapo utasikia Habvari za kijamii,Kitaifa,kimataifa na michezo na Burudani
26 August 2026, 4:03 pm
Kampeni ya polio Simanjiro: Watoto zaidi ya laki moja kufikiwa
Na Joyce Elius Zaidi ya watoto 116,125 wenye umri chini ya miaka 10 katika Wilaya ya Simanjiro, Mkoani Manyara, wanatarajiwa kufikiwa na kupatiwa chanjo ya matone ya Polio. Kampeni hiyo kabambe inalenga kukinga kundi hilo dhidi ya maambukizi ya virusi…
26 August 2026, 11:49 am
Jamii yashauriwa kutumia mifuko ya ‘kinga njaa’ kuhifadhi chakula sa…
Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro imewataka wananchi na wakulima wilayani humo kutumia njia salama na zilizothibitishwa katika kuhifadhi mazao ya chakula, hususan yale yanayotengwa kwa ajili ya matumizi ya familia, ili kuepuka madhara ya kiafya yanayoweza kusababishwa na matumizi yasiyo…
25 August 2026, 5:46 pm
Dk 30 za Taarifa kamili ya habari Tar 25-08-2026
Karibu kusikiliza taarifa yetu ya habari ya tarehe 30 Agosti 2026 iliyosomwa na Isack Dickson ambapo utasikia Habvari za kijamii,Kitaifa,kimataifa na michezo na Burudani
24 August 2026, 11:15 am
Simanjiro kuwafikia watoto zaidi ya laki moja chanjo ya polio
Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro inatarajia kuwafikia watoto 116,152 chini ya umri wa miaka 10 kwenye Kampeni Maalum ya Chanjo ya Polio itakayofanyika kwa awamu mbili kuanzia mwezi huu wa Agosti. Na Dorcas Charles Mkoa wa Manyara, kupitia Halmashauri ya…
20 August 2026, 1:50 pm
Manyara yajipanga chanjo ya Polio kwa watoto 675,630
Na Isack Dickson Mkoani Manyara, maandalizi yamekamilika kuelekea kampeni ya chanjo ya matone ya Polio itakayofanyika Agosti 27 hadi 30, 2026. Watoto 675,630 walio chini ya umri wa miaka 10 wanatarajiwa kufikiwa na chanjo hiyo. Wanahabari wamepewa elimu ili kusaidia…
19 June 2026, 9:13 am
Ongezeko la Vituo vya Afya Lachochea Akina Mama Kujifungulia Hospitalini
Ongezeko la vituo vya afya katika maeneo mbalimbali limeongeza upatikanaji wa huduma za afya ya uzazi kwa kuwafikishia wananchi huduma karibu zaidi. Hali hii imechangia akina mama wengi kuchagua kujifungulia hospitalini kwa urahisi na usalama zaidi. Kurunzi Maalum Uwekezaji unaoendelea…