28 March 2025, 12:48 pm

‘Mwambie Nimesafiri’: Wajawazito Terrat wapambana na hali zao

Katika jamii nyingi za Kitanzania, ujauzito ni safari ambayo inapaswa kuwa ya wawili, lakini kwa wanawake wengi wa maeneo ya vijijini kama Terrat, safari hiyo inageuka kuwa ya upweke, huzuni na changamoto kubwa. Kupitia simulizi ya sauti yenye mguso wa…

Offline
Play internet radio

Recent posts

1 June 2025, 11:37 am

Polisi Arusha waimarisha ukaguzi wa mabasi kukabiliana na ajali

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limefanya ukaguzi maalumu wa mabasi ya abiria ili kudhibiti ajali kutokana na ongezeko la wasafiri kipindi cha likizo za shule. Madereva wamehimizwa kuzingatia sheria za barabarani huku abiria wakitakiwa kununua tiketi kwenye ofisi rasmi…

30 May 2025, 2:56 pm

Madereva 800 wapatiwa mafunzo maalum msimu wa utalii Arusha

Jeshi la Polisi limeendesha mafunzo kwa madereva 800 wa magari ya utalii Arusha, kuelekea msimu wa utalii ili kuhakikisha sheria za barabarani zinafuatwa na usalama wa watalii unaimarishwa. Na Nyangusi Ole Sang’ida Zaidi ya madereva 800 wa magari ya utalii…

26 May 2025, 6:47 pm

Kijana auawa kwa kisu Arusha, wananchi wacharuka

“Kilichotokea ni mauaji, inaelezwa kwamba walikuwa baa, baada ya kuwa baa nadhani ugomvi ulitokea, wakapigana. Akachukuliwa akaenda kufia hospitalini. Vijana wengine kutoka kule anakotoka marehemu walikuja kuchoma moto nyumba ya mtuhumiwa na kuharibu migomba iliyokuwa karibu na nyumba hiyo,” amesema…

26 May 2025, 10:19 am

Lowassa: Jamii ya Maa kataa wanaotaka kuwachonganisha na serikali

“Serikali yetu haiwezi kufurahia kuona jamii yetu inahangaika na masuala ya malisho. Nimejiridhisha kwamba maeneo yetu yataendelea kutumika kwa malisho na mafunzo ya kijeshi,” alisema Lowassa. Na Nyangusi Ole Sang’ida Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mhe. Fredrick Lowassa amewataka wananchi…

25 May 2025, 9:50 am

Madereva wa serikali Arusha wanolewa usalama barabarani

Na Nyangusi Ole Sang’ida Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha limetoa mafunzo maalumu kwa madereva wanaoendesha magari ya Serikali mkoani humo, ili kuwajengea uwezo wa matumizi sahihi ya barabara na mifumo mipya ya Jeshi hilo. Akizungumza…

18 May 2025, 2:46 pm

Wadau waunganisha nguvu kulinda uoto wa Maasai Steppe

“Kwakweli ushirikiano huu ni muhimu sana kwani sisi wafugaji bila kuwa na mazingira bora, maisha yetu na mifugo yetu yatakuwa hatarini. Pia kwa kushirikiana tutaweza kupata fedha zaidi kutoka kwa wafadhili na kutumia rasilimali zetu kwa ufanisi zaidi kufikia maeneo…

17 May 2025, 10:13 am

Mama lishe Arusha wanufaika na majiko ya gesi safi

Mama Lishe na Baba Lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha wamemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia majiko ya gesi bure, wakisema yatapunguza madhara ya kiafya na kulinda mazingira. Viongozi wa halmashauri hiyo wamesema hatua hiyo inalenga kuondoa…

15 May 2025, 3:03 pm

Kumbukeni kujiandaa kukabiliana na ukame Terrat Simanjiro

“Huu ndiyo wakati wa kuhakikisha maeneo yetu ya malisho yanalindwa, kuhifadhi mbegu za majani, na kuhakikisha tunafuata utaratibu wa kulisha mifugo ili kipindi cha ukame kisitukute hatuna maandalizi,” Kone Medukenya Na Baraka David Ole Maiaka Jamii ya wafugaji wa kijiji…

12 May 2025, 11:39 am

Matumizi ya dawa kiholela: Ni tiba au sumu?

“Niliamka tu asubuhi nikawa ninajisikia vibaya nikaamua kwenda duka la dawa kununuwa dawa za malaria…kumbe ilikuwa UTI” Bi Fatuma Na Isack Dickson Aliamka asubuhi akiwa na maumivu ya kichwa, Akaenda duka la dawa, akaeleza dalili, na kupewa dawa. Bila vipimo,…

28 March 2025, 12:48 pm

‘Mwambie Nimesafiri’: Wajawazito Terrat wapambana na hali zao

Katika jamii nyingi za Kitanzania, ujauzito ni safari ambayo inapaswa kuwa ya wawili, lakini kwa wanawake wengi wa maeneo ya vijijini kama Terrat, safari hiyo inageuka kuwa ya upweke, huzuni na changamoto kubwa. Kupitia simulizi ya sauti yenye mguso wa…

Dira na Dhamira

DIRA:

Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari

DHAMIRA:

Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.

Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.

Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”