Recent posts
17 March 2026, 10:01 am
Wananchi terat waelezwa faida za Mama kujifungulia hospitalini
“Ushauri wangu ni kwamba mama anapoanza kuhisi dalili za uchungu, asisubiri mpaka dakika ya mwisho. Ni vyema awahi hospitalini mapema ili kupata huduma stahiki na kuepuka vifo vya mama na mtoto” Na Baraka Olemaika Akina mama wajawazito nchini wameshauriwa kuhakikisha…
17 March 2026, 9:51 am
Walazimika Kubebwa Mikononi Kuvushwa Korongoni
Walilazimika kubeba mgonjwa kwa shida ili kuvuka korongo hilo baada ya kushindwa kupata usafiri. Na Evanda Barnaba Wananchi wa Kijiji cha Oldonyo, Kata ya Lemooti wilayani Monduli wamelalamikia hali mbaya ya korongo linalowaunganisha na Kijiji cha Lolkisale wakisema limekuwa hatari…
23 February 2026, 1:57 pm
Serikali yapunguza bei ya mbegu kwa 25%
Na Dorcas Charles Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Wizara ya Kilimo na Mamlaka ya Udhibiti wa Pembejeo, imetangaza punguzo la asilimia 25 ya gharama za mbegu ili kumpunguzia mzigo mkulima na kuongeza tija katika uzalishaji. Picha ya…
17 February 2026, 2:16 pm
Maandalizi ya mapema yanavyoweza kuokoa maisha ya mama na mtoto Terrat
Picha kwa msaada wa mtandao Serikali na wadau wa afya nchini wameendelea kusisitiza umuhimu wa mama wajawazito kujifungulia katika vituo vya afya na zahanati ili kuhakikisha usalama wa mama na mtoto. Na Baraka David Ole Maika Pamoja na juhudi za…
17 February 2026, 2:03 pm
‘Unaweza fungwa kwa kupakia picha ya mwanao mtandaoni’
Wazazi na walezi wameaswa kuacha tabia ya kupakia picha za watoto wao kwenye mitandao ya kijamii, kwani hilo ni kosa la jinai linaloweza kuwafunga jela kwa miaka mitatu Na Joyce Elius Hayo yamesemwa Mapema leo kwenye kipindi cha Mchaka Mchaka…
16 February 2026, 2:16 pm
Diwani Marambo Aweka Wazi Mikakati ya Maendeleo Kiutu
Na Nyangusi Olesang’ida Picha ya Diwani ya Kata ya Kiutu Diwani wa Kata ya Kiutu, Malaki Marambo, amewashukuru wananchi kwa kumuamini tena na kuahidi kuimarisha ushirikiano ili kuchochea maendeleo ya kata hiyo. Kipaumbele chake kikubwa ni uboreshaji wa miundombinu, akipambania…
15 February 2026, 5:46 am
Sekta muhimu zapewa kipaumbele bajeti 2026/27 Simanjiro
Baraza la Madiwani Simanjiro lamepitisha rasimu ya bajeti ya Sh45.1 bilioni kwa mwaka wa fedha 2026/2027 ambapo Sekta za Elimu, Afya, Kilimo, na Mifugo zimepewa kipaumbele. Na Mwandishi Wetu Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara,…
12 February 2026, 3:44 pm
Wanawake watumia kilimo cha nyasi kuukabili ukame
Na Isack Dickson Katika wilaya ya Simanjiro, mabadiliko ya tabianchi yamesababisha vifo vya zaidi ya mifugo 92,000 kwa mwaka mmoja pekee,lakini katikati ya changamoto hiyo, kundi la wanawake mashujaa, kwa msaada wa Baraza la Wanawake Wafugaji (PWC) na mashirika mengine…
5 February 2026, 1:22 pm
Mwenyekiti Kimelok na mfumo mpya wa michango ya maafa
Na Nyangusi Olesang’ida Mwenyekiti wa Kitongoji cha Kimelok, wilayani Arumeru, Bwana Hoshim Saitabau, ametangaza mabadiliko ya mfumo wa ukusanyaji wa michango ya maafa, akieleza kuwa sasa wataacha kutumia nguvu na badala yake watajielekeza kwenye elimu na hiari kwa wananchi. Hoshim…
3 February 2026, 11:49 am
CCM Simanjiro yaadhimisha miaka 49, yajivunia mafanikio
Na Dorcas Charles Wakati CCM ikiazimisha miaka 49 tangu kuasisiwa kwake mwaka 1977, Katibu wa CCM Wilaya ya Simanjiro, Bi. Wambura Igembya, ameelezea mabadiliko makubwa ya kijamii na kiuchumi yaliyopatikana wilayani humo. Katibu amebainisha kuwa tangu kuzaliwa kwa chama hicho,…