Recent posts
20 May 2026, 1:46 pm
Daktari Atuhumiwa Kumbaka Binti Yake wa Darasa la Saba, Kisha kumpa sh. 500 ya B…
Na Nyangusi Oleng’ida Daktari mmoja wa kituo cha afya jijini Arusha anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kumbaka mtoto wake wa kumzaa anayesoma darasa la saba, huku kukiwa na malalamiko kutoka kwa mama mzazi kuwa mtuhumiwa ameachiwa kwa…
19 May 2026, 1:44 pm
Osim Women Organization: Malezi ya Vitisho na Hasira Yanaharibu Mustakabali wa W…
Na Baraka Olemaika Mwanaharakati wa kutetea haki za wanawake na watoto kutoka shirika la Osim Women Organization, Bi. Christina Solomoni Lekui, ametoa wito kwa wazazi kubadili mfumo wa malezi na kuachana na matumizi ya nguvu au vitisho, akisisitiza kuwa njia…
7 May 2026, 11:55 am
Wanahabari watakiwa kuwa vinara wa mapambano dhidi ya katili
Waandishi wa habari na watangazaji wa vipindi vya watoto, malezi, matunzo ya mtoto na familia nchini, wametakiwa kuwa vinara wa kuibua na kufuatilia habari zinazohusu vitendo vya kikatili vinavyofanywa katika jamii. Na Joyce Elius Wito huo umetolewa na wawezeshaji Victor…
17 March 2026, 10:01 am
Wananchi terat waelezwa faida za Mama kujifungulia hospitalini
“Ushauri wangu ni kwamba mama anapoanza kuhisi dalili za uchungu, asisubiri mpaka dakika ya mwisho. Ni vyema awahi hospitalini mapema ili kupata huduma stahiki na kuepuka vifo vya mama na mtoto” Na Baraka Olemaika Akina mama wajawazito nchini wameshauriwa kuhakikisha…
17 March 2026, 9:51 am
Walazimika Kubebwa Mikononi Kuvushwa Korongoni
Walilazimika kubeba mgonjwa kwa shida ili kuvuka korongo hilo baada ya kushindwa kupata usafiri. Na Evanda Barnaba Wananchi wa Kijiji cha Oldonyo, Kata ya Lemooti wilayani Monduli wamelalamikia hali mbaya ya korongo linalowaunganisha na Kijiji cha Lolkisale wakisema limekuwa hatari…
23 February 2026, 1:57 pm
Serikali yapunguza bei ya mbegu kwa 25%
Na Dorcas Charles Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Wizara ya Kilimo na Mamlaka ya Udhibiti wa Pembejeo, imetangaza punguzo la asilimia 25 ya gharama za mbegu ili kumpunguzia mzigo mkulima na kuongeza tija katika uzalishaji. Picha ya…
17 February 2026, 2:16 pm
Maandalizi ya mapema yanavyoweza kuokoa maisha ya mama na mtoto Terrat
Picha kwa msaada wa mtandao Serikali na wadau wa afya nchini wameendelea kusisitiza umuhimu wa mama wajawazito kujifungulia katika vituo vya afya na zahanati ili kuhakikisha usalama wa mama na mtoto. Na Baraka David Ole Maika Pamoja na juhudi za…
17 February 2026, 2:03 pm
‘Unaweza fungwa kwa kupakia picha ya mwanao mtandaoni’
Wazazi na walezi wameaswa kuacha tabia ya kupakia picha za watoto wao kwenye mitandao ya kijamii, kwani hilo ni kosa la jinai linaloweza kuwafunga jela kwa miaka mitatu Na Joyce Elius Hayo yamesemwa Mapema leo kwenye kipindi cha Mchaka Mchaka…
16 February 2026, 2:16 pm
Diwani Marambo Aweka Wazi Mikakati ya Maendeleo Kiutu
Na Nyangusi Olesang’ida Picha ya Diwani ya Kata ya Kiutu Diwani wa Kata ya Kiutu, Malaki Marambo, amewashukuru wananchi kwa kumuamini tena na kuahidi kuimarisha ushirikiano ili kuchochea maendeleo ya kata hiyo. Kipaumbele chake kikubwa ni uboreshaji wa miundombinu, akipambania…
15 February 2026, 5:46 am
Sekta muhimu zapewa kipaumbele bajeti 2026/27 Simanjiro
Baraza la Madiwani Simanjiro lamepitisha rasimu ya bajeti ya Sh45.1 bilioni kwa mwaka wa fedha 2026/2027 ambapo Sekta za Elimu, Afya, Kilimo, na Mifugo zimepewa kipaumbele. Na Mwandishi Wetu Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara,…