17 March 2026, 10:01 am

Wananchi terat waelezwa faida za Mama kujifungulia hospitalini

“Ushauri wangu ni kwamba mama anapoanza kuhisi dalili za uchungu, asisubiri mpaka dakika ya mwisho. Ni vyema awahi hospitalini mapema ili kupata huduma stahiki na kuepuka vifo vya mama na mtoto” Na Baraka Olemaika Akina mama wajawazito nchini wameshauriwa kuhakikisha…

On air
Play internet radio

Recent posts

1 September 2026, 12:37 pm

Manyara watakiwa kujipanga kuepuka madhara ya El Nino

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Mkoa wa Manyara imetoa tahadhari kwa wananchi kuhusu msimu wa mvua za Vuli zinazotarajiwa kuambatana na hali ya El Nino. Mamlaka imeonya kuwa mvua hizo zitakuwa nyingi zaidi ya wastani wa kawaida na…

28 August 2026, 3:32 pm

Simanjiro watakiwa kufuata misingi bora ya kilimo kupata mavuno mengi

Afisa Kilimo kutoka Wilaya ya Simanjiro, Jenifar Mbuya, amewataka wakulima mkoani humo kufuata kanuni na misingi bora ya kilimo ili kujiwekea mazingira ya kupata mavuno mengi na yenye tija. Na Dorcas Charles Akizungumza na Mwandishi wetu Dorcas Charles amesema taratibu…

27 August 2026, 1:13 pm

Kampeni ya kitaifa chanjo ya polio yaanza kutolewa

Mratibu wa Elimu ya Afya kwa Umma (DHO) Wilaya ya Simanjiro, Ghati Megewa, akiwa studio za Orkonerei Fm Radio (Picha na Isack Dickson) Katika kuunga mkono juhudi za serikali za kulinda afya za watoto nchini, Wilaya ya Simanjiro imekamilisha maandalizi…

26 August 2026, 4:03 pm

Kampeni ya polio Simanjiro: Watoto zaidi ya laki moja kufikiwa

Na Joyce Elius Zaidi ya watoto 116,125 wenye umri chini ya miaka 10 katika Wilaya ya Simanjiro, Mkoani Manyara, wanatarajiwa kufikiwa na kupatiwa chanjo ya matone ya Polio. Kampeni hiyo kabambe inalenga kukinga kundi hilo dhidi ya maambukizi ya virusi…

26 August 2026, 11:49 am

Jamii yashauriwa kutumia mifuko ya ‘kinga njaa’ kuhifadhi chakula sa…

Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro imewataka wananchi na wakulima wilayani humo kutumia njia salama na zilizothibitishwa katika kuhifadhi mazao ya chakula, hususan yale yanayotengwa kwa ajili ya matumizi ya familia, ili kuepuka madhara ya kiafya yanayoweza kusababishwa na matumizi yasiyo…

24 August 2026, 11:15 am

Simanjiro kuwafikia watoto zaidi ya laki moja chanjo ya polio

Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro inatarajia kuwafikia watoto 116,152 chini ya umri wa miaka 10 kwenye Kampeni Maalum ya Chanjo ya Polio itakayofanyika kwa awamu mbili kuanzia mwezi huu wa Agosti. Na Dorcas Charles Mkoa wa Manyara, kupitia Halmashauri ya…

20 August 2026, 1:50 pm

Manyara yajipanga chanjo ya Polio kwa watoto 675,630

Na Isack Dickson Mkoani Manyara, maandalizi yamekamilika kuelekea kampeni ya chanjo ya matone ya Polio itakayofanyika Agosti 27 hadi 30, 2026. Watoto 675,630 walio chini ya umri wa miaka 10 wanatarajiwa kufikiwa na chanjo hiyo. Wanahabari wamepewa elimu ili kusaidia…

19 June 2026, 9:13 am

Ongezeko la Vituo vya Afya Lachochea Akina Mama Kujifungulia Hospitalini

Ongezeko la vituo vya afya katika maeneo mbalimbali limeongeza upatikanaji wa huduma za afya ya uzazi kwa kuwafikishia wananchi huduma karibu zaidi. Hali hii imechangia akina mama wengi kuchagua kujifungulia hospitalini kwa urahisi na usalama zaidi. Kurunzi Maalum Uwekezaji unaoendelea…

Dira na Dhamira

DIRA:

Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari

DHAMIRA:

Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.

Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.

Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”