17 March 2026, 10:01 am

Wananchi terat waelezwa faida za Mama kujifungulia hospitalini

“Ushauri wangu ni kwamba mama anapoanza kuhisi dalili za uchungu, asisubiri mpaka dakika ya mwisho. Ni vyema awahi hospitalini mapema ili kupata huduma stahiki na kuepuka vifo vya mama na mtoto” Na Baraka Olemaika Akina mama wajawazito nchini wameshauriwa kuhakikisha…

Offline
Play internet radio

Recent posts

28 May 2026, 2:23 pm

Wazazi na walezi wahimiza ushirikiano wa baba na mama katika malezi

Na Joyce Elius Baadhi ya wazazi kutoka Kijiji cha Terrat wilayani Simanjiro, wameshauri wazazi na walezi kutenga muda mwingi wa kukaa na watoto wao ili kuwajenga katika misingi bora ya kimadili, ufahamu, na upendo kuanzia hatua za awali za ukuaji…

28 May 2026, 2:11 pm

Msaidizi wa kisheria afafanua umuhimu wa mikataba wafanyakazi wa ndani

Picha kwa msaada wa Mtandao Wadau wa kisheria wamesisitiza umuhimu wa wafanyakazi wa ndani kufahamu sheria za ajira na mahusiano kazini, pamoja na kuhakikisha wanakuwa na mikataba halali inayofafanua majukumu na maslahi yao kabla ya kuanza kazi. Na Dorcas Charles…

26 May 2026, 3:08 pm

Wataalamu Wafichua Faida za Maziwa ya Kwanza ya Mama Baada ya Kujifungua

Na Dorcas Charles Wazazi Simanjiro na Maoneo yote Nchini  wamekumbushwa umuhimu wa kuwanyonyesha watoto maziwa ya mama pekee kwa kipindi cha miezi sita ya mwanzo bila kuwapa kitu kingine chochote, ili kuwajengea kinga imara dhidi ya magonjwa yanayoweza kuzuilika. Picha…

25 May 2026, 2:24 pm

Adhabu kubwa kwa mwanafunzi lazima ziidhinishwe na mwalimu mkuu

Na Dorcas Charles Picha ikiwaonyesha Baadhi ya wanafunzi wa shule ya Msingi Terrat, Picha na Joyce Elius Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Shule ya Msingi Terrat Wilayani Simanjiro Elinema Kimambo, amewaahauri walimu kufuata sheria na taratibu zilizowekwa wakati wa kutoa adhabu…

22 May 2026, 12:10 pm

Halmashauri ya Arusha yakopesha zaidi ya Tsh mil. 596 bila riba

Na Nyangusi Olesang’ida Halmashauri ya Wilaya ya Arusha imetoa jumla ya Shilingi milioni 596,000,000 kama mikopo isiyo na riba kwa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2025/2026, inayolenga kuyawezesha makundi maalum kiuchumi ikihusisha vikundi 18 vya wanawake, vikundi 26…

22 May 2026, 5:32 am

Kunywa damu mbichi hatari kwa afya-Utafiti

Na Dorcas Charles Wafugaji katika Wilaya ya Simanjiro na maeneo mengine nchini wametakiwa kuzingatia usalama wa maziwa na kuacha kabisa utamaduni wa kutumia damu mbichi. Wito huo unafuatia matokeo ya uchunguzi wa sampuli za maziwa uliobaini uwepo wa viashiria vya…

21 May 2026, 1:31 pm

Jamii za kifugaji zatakiwa kutoa kipaumbele katika elimu

Wazazi na walezi, hasa kutoka katika jamii za kifugaji Wilayani Simanjiro, wameshauriwa kubadili fikra na kuwapa watoto wao kipaumbele cha elimu badala ya kuwatanguliza katika shughuli za uchungaji wa mifugo wakati wa masomo. Na Baraka Olemaika Ushauri huo umetolewa kufuatia…

Dira na Dhamira

DIRA:

Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari

DHAMIRA:

Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.

Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.

Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”