28 March 2025, 12:48 pm

‘Mwambie Nimesafiri’: Wajawazito Terrat wapambana na hali zao

Katika jamii nyingi za Kitanzania, ujauzito ni safari ambayo inapaswa kuwa ya wawili, lakini kwa wanawake wengi wa maeneo ya vijijini kama Terrat, safari hiyo inageuka kuwa ya upweke, huzuni na changamoto kubwa. Kupitia simulizi ya sauti yenye mguso wa…

On air
Play internet radio

Recent posts

10 November 2025, 8:00 am

Akili mnemba: mfariji mpya au tishio liliojificha?

Akili mnemba (AI) sasa imeingia kwenye maisha ya kila siku kuanzia vyuoni, biashara hadi mahusiano binafsi, Wengine wanaona ni mkombozi wa elimu na ufanisi, wengine wanaiona kama hatari inayotishia fikra za kibinadamu. Na Isack Dickson Kadiri dunia inavyokumbatia teknolojia, matumizi…

7 November 2025, 10:16 am

Makala ya kurunzi kuhusu matumizi ya AI

“Kutokana na uwezo wake wa kuboresha huduma katika sekta mbalimbali kama vile afya, elimu, usafiri, na biashara, AI inatoa faida nyingi“ Na Dorcus Charles Katika ulimwengu wa leo, teknolojia ya Akili Bandia (AI) imekuwa sehemu muhimu ya maisha yetu ya…

23 October 2025, 4:21 pm

“kabila la kimasai ni jeshi la jamii” Ole Lekisongo

Laigwanani mkuu wa jamii ya kimasai Isack ole Lekisongo akizungumza kwenye sherehe ya uzinduzi rasmi kuwaingiza vijana wa kime jandoni. (picha na Isack Dickson) Na Evanda Barnaba Laigwanani Mkuu wa Jamii ya Wamasai, Ndugu Isack Ole Lekisongo, ameongoza uzinduzi rasmi…

17 October 2025, 10:57 am

Changamoto za ankara za maji Terrat: Bili kubwa kuliko matumizi

Kurunzi Maalum Orkonerei FM Radio kupitia kipindi cha Kurunzi Maalumu inamulika sekta ya maji, ikizungumzia changamoto za bili (ankara) za maji katika Kata ya Terati, Wananchi wengi wanalalamika kupokea bili zinazokuja na gharama kubwa, na wakati mwingine wanaona ni kubwa…

17 October 2025, 8:18 am

Wahanga wa bili kubwa za maji Terrat waeleza changamoto

Na Isack Dickson Wakazi wa Kijiji cha Terrat, Wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wanakabiliwa na changamoto ya kupokea bili za maji ambazo hazilingani na matumizi yao halisi, huku wakidai kuwa bei hizo ni kubwa na zinawatesa. Baadhi yao wanasema kuwa bili…

15 October 2025, 11:54 am

Athari za utupaji wa taka ngumu hovyo kwenye mazingira

Kurunzi Maalum Katika Kurunzi Maalum ya juma hili, tunamulika tatizo linaloikabili jamii yetu: Athari za kimazingira za utupaji wa taka ngumu hovyo. Je, unafahamu madhara ya rundo la plastiki, chupa, matairi, na vifaa vingine vilivyoharibika vinavyotupwa kando ya barabara, mito,…

14 October 2025, 5:07 pm

Wiki ya nenda kwa usalama barabarani, kupunguza ajali

Na Isack Dickson Katika kukabiliana na takwimu za vifo zaidi ya milioni 1.3 vinavyotokana na ajali za barabarani duniani kila mwaka, Jeshi la Polisi nchini, kupitia kitengo cha usalama barabarani, limesisitiza kwa madereva wote kuhakikisha vyombo vyao vinakaguliwa kabla ya…

10 October 2025, 2:37 pm

Utupaji taka ngumu na athari kimazingira

Kurunzi Maalum Utupaji hovyo wa taka ngumu kama plastiki, chupa, matairi na vifaa vya elekroniki unazidi kuwa tatizo kubwa kwa mazingira, taka hizo huchukua muda mrefu sana kuoza, mara nyingi taka hizi huzuia mifereji ya maji, kusababisha mafuriko na kutoa…

3 October 2025, 1:30 pm

‘Chanjo ya mbwa ni kinga ya maisha’

Kurunzi Maalum Katika jitihada za kukabiliana na ugonjwa hatari wa kichaa cha mbwa, jamii na serikali zinahimizwa kushirikiana ili kuhakikisha idadi kubwa ya mbwa wanapata chanjo kila mwaka. Ugonjwa huu, unaosababishwa na virusi, bado unaendelea kuwa tishio kwa binadamu na…

3 October 2025, 12:19 pm

Vijana wa kike jamii ya wafugaji wanaingia kwenye siasa?

Na Dorcas Charles-Kurunzi Maalum Idadi ndogo ya vijana wa kike kutoka jamii za kifugaji katika Wilaya ya Simanjiro wanaojitokeza kugombea nafasi za uongozi inazua maswali mengi juu ya ushiriki wa wanawake vijana katika siasa. Hali hii inajiri wakati nchi ikiendelea…

Dira na Dhamira

DIRA:

Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari

DHAMIRA:

Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.

Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.

Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”