![](
https://radiotadio.co.tz/orkonereifm/wp-content/uploads/sites/37/2024/02/ors-logo-1500x800.jpg )
Recent posts
![](
https://radiotadio.co.tz/orkonereifm/wp-content/uploads/sites/37/2024/07/majii-350x350.jpeg )
26 July 2024, 4:12 pm
Maji safi na Salama
Picha kwa msaada wa mtandao Na Waandishi wetu Simanjiro ni moja ya wilaya zinazokumbwa na changamoto kubwa ya ukame, ambayo imeathiri sana upatikanaji wa maji safi kwa wakazi wake. Ukame huu umesababisha vyanzo vingi vya maji kukauka, na hivyo kuathiri…
![](http://placehold.jp/f4d629/003147/250x350.jpg?text=post+thumb+250x300)
26 July 2024, 11:47 am
Kiongozi wako anawajibikaje kukabiliana na athari za kiuchumi zinazoletwa na uka…
Nijuze Radio Show Kumekuwa na athari za kiuchumi zinazoletwa na ukame katika jamii mara kadhaa wa kadhaa mfano kwa wilaya ya Simanjiro kwa Mujibu wa Makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Simanjiro Ndg Sendeu Laizer January 13 mwaka 2022…
![](
https://radiotadio.co.tz/orkonereifm/wp-content/uploads/sites/37/2024/07/mahindi-pic-350x350.jpg )
24 July 2024, 2:37 pm
Mbinu bora za uhifadhi mazao ya chakula
Picha kwa msaada wa mtandao Na Evanda Barnaba Uhifadhi wa mazao ya chakula ni suala muhimu sana, hasa kwa wakulima na jamii zetu kwa ujumla. Mazao mengi yanaharibika baada ya mavuno kutokana na uhifadhi duni, jambo ambalo linaweza kusababisha upungufu…
![](
https://radiotadio.co.tz/orkonereifm/wp-content/uploads/sites/37/2024/07/pwc-350x350.jpg )
24 July 2024, 2:29 pm
Mwanamke unafanya shughuli gani kuongeza kipato kipindi cha ukame?
Picha kwa msaada wa mtandao Na waandishi wetu Kwa mujibu wa ofisi ya taifa ya takwimu nbs inasema 25.6% ya wanawake waliokati ya umri wa miaka 15- 64 sawa na milioni 25.6 hawafanyi kazi yoyote ya kuwapatia kipato. Kwenye jamii…
![](
https://radiotadio.co.tz/orkonereifm/wp-content/uploads/sites/37/2024/07/mazao-350x350.jpg )
23 July 2024, 12:39 pm
Mbinu bora za uhifadhi wa mazao ya chakula
Picha kwa masaada wa mtandaoni Na Mwaandishi wetu Evanda Barnaba Jamii na wakulima hawana uelewa wa namna bora ya kuhifadhi mazao ya chakula mwandishi wetu Evanda Barnaba Amemtembelea bwana Maulidi Hashimu kutoka kijiji cha loksale kuzungumza naye mchakato mzima kuanzia…
![](
https://radiotadio.co.tz/orkonereifm/wp-content/uploads/sites/37/2024/07/masaii-350x350.png )
17 July 2024, 2:40 pm
Mwanamke unafanya shughuli gani za kuongeza kipato kipindi cha ukame?
Kwenye jamii za kifugaji kuwa na shughuli nyingine ya kujiingizi kipato inakua ni ngumu kidogo, Hii ni kwasababu jamii hizi mara nyingi zinategemea ufugaji pekee, na hii inapelekea kipindi cha ukame kuwa na kipato kidogo sana kwenye familia Kwa mujibu…
![](
https://radiotadio.co.tz/orkonereifm/wp-content/uploads/sites/37/2024/07/ngombe-350x350.jpg )
15 July 2024, 2:22 pm
Ufugaji wa kisasa wenye tija katika jamii
Picha kwa msaada wa mtandao Na Joyce Elius Wafugaji wametakiwa Kutumia mbinu bora za ufugaji ili kujipatia kipato kutokana na shughuli hiyo ya ufugaji na kuweka kujikimu kipindi cha kiangazi hasa jamii ya Kimaasai ambayo inategemea ufugaji kama shughuli yao…
![](
https://radiotadio.co.tz/orkonereifm/wp-content/uploads/sites/37/2024/03/img-20240327-154140-803-350x350.jpg )
12 July 2024, 12:33 pm
Ufaulu wapaa baada ya shule kupata umeme
Picha joyce Elias Na Isack Dickson. Mkuu wa shule ya Sekondari Terrat Julius Maplani amesema kuwa ufaulu wa wanafunzi wa kidato cha Nne umekuwa ukiongezeka mwaka hadi mwaka mara baada ya kuwepo kwa umeme wa uhakika. Mwalimu Maplani amesema hayo…
![](
https://radiotadio.co.tz/orkonereifm/wp-content/uploads/sites/37/2024/07/picha-umeme-350x350.jpg )
12 July 2024, 11:51 am
Namna Umeme unavyochangia maendeleo Kata ya Terrat,Simanjiro
picha msaada wa mtandao Na Isack Dickson. Kwa mujibu wa REA hadi January 2024, usambazaji wa umeme vijijini umefikia asilimia 80 tangu kuanza kwa utekelezaji wa Mradi wa Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili mwezi Julai 2018 Na, kuna vijiji…
![](
https://radiotadio.co.tz/orkonereifm/wp-content/uploads/sites/37/2024/07/migogoro-habari-2-350x350.jpeg )
10 July 2024, 3:37 pm
Wananchi tafuteni hatimiliki za ardhi kupunguza migogoro
Na Isack Dickson. Wananchi wa kijiji cha Terrat na wanajamii kwa ujumla wametakiwa kuhakikisha wanamiliki hati miliki za ardhi ili kupunguza migogoro ya ardhi katika jamii. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Kijiji cha Terrat Ndg Kone P Medukenya katika mahojiano…