Orkonerei FM

Recent posts

12 February 2026, 3:44 pm

Wanawake watumia kilimo cha nyasi kuukabili ukame

Na Isack Dickson Katika wilaya ya Simanjiro, mabadiliko ya tabianchi yamesababisha vifo vya zaidi ya mifugo 92,000 kwa mwaka mmoja pekee,lakini katikati ya changamoto hiyo, kundi la wanawake mashujaa, kwa msaada wa Baraza la Wanawake Wafugaji (PWC) na mashirika mengine…

5 February 2026, 1:22 pm

Mwenyekiti Kimelok na mfumo mpya wa michango ya maafa

Na Nyangusi Olesang’ida Mwenyekiti wa Kitongoji cha Kimelok, wilayani Arumeru, Bwana Hoshim Saitabau, ametangaza mabadiliko ya mfumo wa ukusanyaji wa michango ya maafa, akieleza kuwa sasa wataacha kutumia nguvu na badala yake watajielekeza kwenye elimu na hiari kwa wananchi. Hoshim…

3 February 2026, 11:49 am

CCM Simanjiro yaadhimisha miaka 49, yajivunia mafanikio

Na Dorcas Charles Wakati CCM ikiazimisha miaka 49 tangu kuasisiwa kwake mwaka 1977, Katibu wa CCM Wilaya ya Simanjiro, Bi. Wambura Igembya, ameelezea mabadiliko makubwa ya kijamii na kiuchumi yaliyopatikana wilayani humo. Katibu amebainisha kuwa tangu kuzaliwa kwa chama hicho,…

31 January 2026, 12:26 pm

Simanjiro na mikakati ya kuinua ufaulu wa elimu 85%

Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro imetangaza mikakati mipya inayolenga kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya elimu, huku lengo kuu likiwa ni kupandisha kiwango cha ufaulu kutoka asilimia 66 ya sasa hadi kufikia asilimia 85. Na Isack Dickson Akizungumza katika kikao…

30 January 2026, 11:55 am

Vikundi 29 vyanufaika na mikopo Arusha

Na Nyangusi Olesang’ida Halmashauri ya Wilaya ya Arusha (Arusha DC) imevunja rekodi kwa kutoa mikopo ya asilimia 10 ya mapato ya ndani yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 559 kwa ajili ya kuviwezesha vikundi vya wanawake, vijana, na watu…

30 January 2026, 11:40 am

Mradi wa matangi waondoa adha ya maji Monduli

Na Nyangusi Olesang’ida Katika jitihada za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na uhaba wa maji, taasisi ya Vijana Assembly imezindua mradi mkubwa wa kugawa matangi ya maji kwa wananchi wa wilaya ya Monduli, mradi unaolenga kurahisisha upatikanaji wa maji ya…

30 January 2026, 11:18 am

Mwedukenya aupiga mwingi kitongoji cha Laizer

Na Nyangusi Olesang’ida Mwenyekiti wa Kitongoji cha Laizer, kata ya Oligilai Mkoani Arusha Willguard Eliakimu Medukenya, amewataka wananchi wa Kata ya Oligilai kujitokeza kujiandikisha kwa Diwani wa Kata ili kupata huduma ya umeme kupitia mradi wa REA. Mwedukenya ametoa wito…

14 January 2026, 12:00 pm

Wananchi wafunga ofisi ya kijiji, watuhumu kuhujumu maendeleo

Na Nyangusi Olesang’ida Hali ya sintofahamu imetanda katika kijiji cha Olmotonyi, Kata ya Olmotonyi, Halmashauri ya Arusha DC, baada ya wananchi wenye hasira kufunga ofisi ya Mwenyekiti wa kijiji hicho, Bwana Severini, wakimtuhumu kuwa kikwazo cha maendeleo. Wananchi hao, wakizungumza…

8 January 2026, 1:06 pm

Mzozo wa imani, mila Arusha, askofu Mwamba aanika chanzo

Na Nyangusi Olesang’ida Viongozi wa dini mkoani Arusha wameibua hofu juu ya mmomonyoko wa maadili na kupoteza sifa za kiroho kwa watumishi wa Mungu wanaojiingiza kwenye tamaduni za tohara za kienyeji ambazo zinakinzana na misingi ya kanisa. Askofu Dr. Joel…

6 January 2026, 4:04 pm

Malezi ya watoto likizo wazazi watakiwa kuwa makini

Mwaandishi na Joyce Elias Wazazi wametakiwa kuzingatia kwa karibu malezi ya watoto wao katika kipindi cha likizo ili kuwalinda dhidi ya kushuka kimasomo na  mmomonyoko wa maadili. Akizungumza na Orkonerei FM kupitia kipindi cha Mchaka Mchaka Bwana Hassan Fusa amesema…

Dira na Dhamira

DIRA:

Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari

DHAMIRA:

Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.

Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.

Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”