Orkonerei FM

Biashara ya nyama choma kijiji cha Terrat

13 December 2023, 3:27 pm

Biashara ya nyama choma ni moja ya biashara inayofanya vizuri haswa katika maeneo ya mijini lakini je Vijijini hali ikoje ?

Muuzaji wa nyama choma ( picha kwa Msaada wa mtandao)

Kijiji cha Terrat kilichopo wilaya ya Simanjiro Mkoa wa Manyara huwa na Soko kila siku ya alhamisi ambapo wachuuzi na wafanyabiashara mbalimbali hufika kutoa huduma zao.

Katika makala fupi hii Mwanahabari Dorcas Charles amefika katika Moja ya Bucha maarufu la kuchoma nyama katika soko hilo akiangazia kuhusiana na biashara ya kuchoma.