

22 March 2023, 9:20 am
Na Isack Dickson
Mkuu wa wilaya ya Simanjiro Dkt.Suleiman Serera amezindua mradi wa maji kwenye kijiji cha Emboreet kata ya Emboreet wilaya ya Simanjiro ikiwa ni wiki ya maji kidunia.
Kama ujuavyo akinamama ndiyo huwa na jukumu kubwa la kuhakikisha maji yapo nyumbani wakati wote haswa katika jamii ya kimaasai ambayo ndiyo kubwa katika kijiji hiki cha emboreet fuatana na Isack Dickson katika makala fupi hii ili kufahamu uzinduzi huo ulikuwa vipi?