
Recent posts

28 March 2025, 12:48 pm
‘Mwambie Nimesafiri’: Wajawazito Terrat wapambana na hali zao
Katika jamii nyingi za Kitanzania, ujauzito ni safari ambayo inapaswa kuwa ya wawili, lakini kwa wanawake wengi wa maeneo ya vijijini kama Terrat, safari hiyo inageuka kuwa ya upweke, huzuni na changamoto kubwa. Kupitia simulizi ya sauti yenye mguso wa…

11 February 2025, 2:08 pm
AAI, CACHA, Simanjiro watoa huduma za matibabu Terrat, Komolo
Wadua wa afya African Afya Initiative, CACHA na halmashauri ya wilaya ya Simanjiro kwa pamoja wanashirikiana kutoa huduma za afya kwa magonjwa mbalimbali katika Kata za Terrat na Komolo wilayani Simanjiro. Na Baraka David Ole Maika. Akizungumza na Orkorenei Fm…

4 January 2025, 12:52 pm
Kituo cha afya Mererani chakabiliwa na uhaba wa vifaa tiba, miundombinu
Kituo cha afya Mererani picha na mwandishi wetu Joyce Elius Kituo cha afya Mererani kilichopo mkoa wa Manyara wilaya Simanyiro bado kinakabiliwa na baadhi ya changamoto ikiwamo vifaa tiba, majengo na miundombinu mingine. Hayo ya mebainishwa na Dkt. Namnyak Jackson…

12 November 2024, 12:23 pm
Wazazi wahimizwa kuwapeleka watoto wao shule
Wazazi wa Jamii ya Wafugaji wamaasai wametakiwa kutumia mifugo walionao na raslimali zingine kuwapeleka watoto wao Shule bila kuwabagua. Na Baraka David Ole Maika. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Shule ya Mchepuo wa Kiingereza ya Flaherty iliyopo Kijiji cha…

5 November 2024, 6:24 pm
Kijiji cha Loswaki chatengewa hekari 210 kilimo cha umwagiliaji
Picha na Evanda Barnaba Mwandishi Joice Elius Diwani wa kata ya terrat wilayani simanjiro ndg jackosn materi amesema kijiji cha loswaki kimetengewa hekari 210 kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji Ameyasema hayo katika mkutano wa wazi iliyofanyika kijijini hapo kupitia…

4 November 2024, 5:03 pm
Kipindi cha lishe bora wiki hii
Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa(FAO) kwa kushirikiana na Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania(TFNC) chini ya programu wa AGRICONNECT inaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya wamewezesha uzalishaji wa Vipindi vya redio kwa njia ya maigizo kuelimisha jamii…

29 October 2024, 12:15 am
Harambee ya Ujenzi wa nyumba ya Mapadri Engaruka yakuzanya zaidi ya Milioni 13.
Zaidi ya Shilingi milion kumi na tatu (13) na mifuko 9 ya saruji zimepatikana katika harambee ya kuchangia ujenzi wa nyumba ya Mapadri Kanisa la Katoliki Kigango cha Engaruka, Parokia ya Mtakatifu Yuda Thadei Mto wa Mbu wilayani Monduli. Na…

28 October 2024, 12:49 pm
Kipindi cha Lishe Bora wiki hii
Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa(FAO) kwa kushirikiana na Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania(TFNC) chini ya programu wa AGRICONNECT inaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya wamewezesha uzalishaji wa Vipindi vya redio kwa njia ya maigizo kuelimisha jamii…

21 October 2024, 11:51 pm
Kipindi cha Lishe Bora wiki hii
Na Baraka David Ole Maika. Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa(FAO) kwa kushirikiana na Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania(TFNC) chini ya programu wa AGRICONNECT inaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya wamewezesha uzalishaji wa Vipindi vya redio kwa…

17 October 2024, 1:27 pm
Kipindi cha Lishe Bora wiki hii.
Na Baraka David Ole Maika. Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa(FAO) kwa kushirikiana na Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania(TFNC) chini ya programu wa AGRICONNECT inaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya wamewezesha uzalishaji wa Vipindi vya redio kwa…