28 March 2025, 12:48 pm

‘Mwambie Nimesafiri’: Wajawazito Terrat wapambana na hali zao

Katika jamii nyingi za Kitanzania, ujauzito ni safari ambayo inapaswa kuwa ya wawili, lakini kwa wanawake wengi wa maeneo ya vijijini kama Terrat, safari hiyo inageuka kuwa ya upweke, huzuni na changamoto kubwa. Kupitia simulizi ya sauti yenye mguso wa…

On air
Play internet radio

Recent posts

6 January 2026, 4:04 pm

Malezi ya watoto likizo wazazi watakiwa kuwa makini

Mwaandishi na Joyce Elias Wazazi wametakiwa kuzingatia kwa karibu malezi ya watoto wao katika kipindi cha likizo ili kuwalinda dhidi ya kushuka kimasomo na  mmomonyoko wa maadili. Akizungumza na Orkonerei FM kupitia kipindi cha Mchaka Mchaka Bwana Hassan Fusa amesema…

22 December 2025, 9:30 am

Kilimo cha umwagiliaji kinavyowawezesha wanawake Simanjiro

Na Isack Dickson, Katika Wilaya ya Simanjiro, mabadiliko ya tabianchi si hadithi tena, bali ni ukweli mchungu unaohatarisha usalama wa chakula, hata hivyo kundi la wanawake 111 katika vijiji 5 limeamua kubadili mwelekeo. Kupitia ushirikiano na shirika la TACCEI, wanawake…

12 December 2025, 8:16 pm

Umuhimu wa klinik ya mtoto wakati wote

picha kwa msaada wa AI Na mwandishi wetu Evanda Barnaba Kuhudhuria maadhurio ya kliniki ya mtoto ni jambo la muhimu sana kwa mzazi, kwani ni fursa ya kipekee ya kufuatilia maendeleo ya afya ya mtoto wako. Kliniki inatoa nafasi ya…

28 November 2025, 6:11 pm

Wakazi wa Simanjiro,Kiteto wapewa elimu kuweneda na mabadiliko ya tabianchi

Baadhi ya wanawake wakiwa katika mafunzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Manyara Hall -Ilaramatak Terrat Simanjiro kuhusu kuendana na adhari za mabadiliko ya tabianchi yaliyotolewa na shirika lisilo la kiserikali la PINGOs Forum leo Novembar 28,2025 (picha Evanda Barnaba). Na Joyce…

28 November 2025, 9:14 am

Kilimo cha Umwagiliaji: Suluhisho la Ukame na Njia ya Uhakika ya Kipato

KURUNZI MAALUMU Katika hali ya ukame uliokolea na utegemezi wa mvua, hasa Manyara, Orkonerei FM inakuletea Kurunzi Maalumu inayoangazia Kilimo cha Umwagiliaji kama mkombozi mkuu. Sikiliza jinsi wakulima wa Kata ya Terrat, Simanjiro, wanavyotumia vyanzo vidogo vya maji kama korongo…

25 November 2025, 1:19 pm

Ukatili wa kijinsia bado ni changamoto

Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Kupinga Ukatili wa Kijinsia Duniani, wananchi wameendelea kukumbushwa umuhimu wa kulinda haki, usalama na utu wa wanawake, wanaume na watoto katika jamii Akizungumza Orkonerei fm kupita kipindi cha mchaka mchaka kwa njia ya simu Bi…

24 November 2025, 9:10 pm

Mitandao ya kijamii inavyogeuka jukwaa la kipato

Je, unatumia mitandao ya kijamii kwa burudani tu, au umetambua fursa ya soko iliyopo? Katika kipindi chetu cha KURUNZI MAALUM, tumechambua kwa kina namna ya kutumia ongezeko la watumiaji wa intaneti nchini kufanya biashara na kujiingizia kipato. Usikose: Kupata maana…

18 November 2025, 10:20 am

Umuhimu wa elimu ya jinsia kwa njia ya asili

Kurunzi maalum Elimu ya kijinsia ni mchakato wa kujifunza na kupata maarifa, stadi na mitazamo sahihi kuhusu masuala yote yanayohusu jinsia ya binadamu. Sikiliza makala hii kwa elimu zaidi. Lengo la msingi wa elimu ya jinsia ni kuwapa watu uwezo…

Dira na Dhamira

DIRA:

Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari

DHAMIRA:

Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.

Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.

Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”