Orkonerei FM
Orkonerei FM
26 May 2026, 3:08 pm
Na Dorcas Charles Wazazi Simanjiro na Maoneo yote Nchini wamekumbushwa umuhimu wa kuwanyonyesha watoto maziwa ya mama pekee kwa kipindi cha miezi sita ya mwanzo bila kuwapa kitu kingine chochote, ili kuwajengea kinga imara dhidi ya magonjwa yanayoweza kuzuilika. Wito…
26 May 2026, 2:39 pm
Na Joyce Elius Wazazi na walezi Wilayani Simanjiro wameshauriwa kuzingatia matumizi sahihi ya kadi za kliniki za watoto ili kurahisisha ufuatiliaji wa afya na makuzi yao, hatua itakayosaidia kuepusha vifo na magonjwa yanayoweza kuzuilika. Wito huo umetolewa na Afisa Ustawi…
25 May 2026, 2:24 pm
Na Dorcas Charles Picha ikiwaonyesha Baadhi ya wanafunzi wa shule ya Msingi Terrat, Picha na Joyce Elius Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Shule ya Msingi Terrat Wilayani Simanjiro Elinema Kimambo, amewaahauri walimu kufuata sheria na taratibu zilizowekwa wakati wa kutoa adhabu…
22 May 2026, 5:11 pm
Na Isack Dickson Picha inawaontesha watoto wakicheza mchezo wa BaskettBall Mwamko wa mchezo wa mpira wa kikapu, au basketball, umezidi kushika kasi jijini Arusha, huku vijana wadogo wakionyesha vipaji vya hali ya juu kupitia programu za mitaani na mashuleni. Hii…
22 May 2026, 12:10 pm
Na Nyangusi Olesang’ida Halmashauri ya Wilaya ya Arusha imetoa jumla ya Shilingi milioni 596,000,000 kama mikopo isiyo na riba kwa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2025/2026, inayolenga kuyawezesha makundi maalum kiuchumi ikihusisha vikundi 18 vya wanawake, vikundi 26…
22 May 2026, 5:32 am
Na Dorcas Charles Wafugaji katika Wilaya ya Simanjiro na maeneo mengine nchini wametakiwa kuzingatia usalama wa maziwa na kuacha kabisa utamaduni wa kutumia damu mbichi. Wito huo unafuatia matokeo ya uchunguzi wa sampuli za maziwa uliobaini uwepo wa viashiria vya…
21 May 2026, 1:31 pm
Wazazi na walezi, hasa kutoka katika jamii za kifugaji Wilayani Simanjiro, wameshauriwa kubadili fikra na kuwapa watoto wao kipaumbele cha elimu badala ya kuwatanguliza katika shughuli za uchungaji wa mifugo wakati wa masomo. Na Baraka Olemaika Ushauri huo umetolewa kufuatia…
20 May 2026, 1:46 pm
Daktari mmoja wa kituo cha afya jijini Arusha anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kumbaka mtoto wake wa kumzaa anayesoma darasa la saba, huku kukiwa na malalamiko kutoka kwa mama mzazi kuwa mtuhumiwa ameachiwa kwa dhamana na upelelezi…
19 May 2026, 1:44 pm
Na Baraka Olemaika Mwanaharakati wa kutetea haki za wanawake na watoto kutoka shirika la Osim Women Organization, Bi. Christina Solomoni Lekui, ametoa wito kwa wazazi kubadili mfumo wa malezi na kuachana na matumizi ya nguvu au vitisho, akisisitiza kuwa njia…
7 May 2026, 11:55 am
Waandishi wa habari na watangazaji wa vipindi vya watoto, malezi, matunzo ya mtoto na familia nchini, wametakiwa kuwa vinara wa kuibua na kufuatilia habari zinazohusu vitendo vya kikatili vinavyofanywa katika jamii. Na Joyce Elius Wito huo umetolewa na wawezeshaji Victor…
DIRA:
Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari
DHAMIRA:
Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.
Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.
Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”