Orkonerei FM
Orkonerei FM
20 May 2026, 1:46 pm
Daktari mmoja wa kituo cha afya jijini Arusha anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kumbaka mtoto wake wa kumzaa anayesoma darasa la saba, huku kukiwa na malalamiko kutoka kwa mama mzazi kuwa mtuhumiwa ameachiwa kwa dhamana na upelelezi…
19 May 2026, 1:44 pm
Na Baraka Olemaika Mwanaharakati wa kutetea haki za wanawake na watoto kutoka shirika la Osim Women Organization, Bi. Christina Solomoni Lekui, ametoa wito kwa wazazi kubadili mfumo wa malezi na kuachana na matumizi ya nguvu au vitisho, akisisitiza kuwa njia…
7 May 2026, 11:55 am
Waandishi wa habari na watangazaji wa vipindi vya watoto, malezi, matunzo ya mtoto na familia nchini, wametakiwa kuwa vinara wa kuibua na kufuatilia habari zinazohusu vitendo vya kikatili vinavyofanywa katika jamii. Na Joyce Elius Wito huo umetolewa na wawezeshaji Victor…
17 March 2026, 10:01 am
“Ushauri wangu ni kwamba mama anapoanza kuhisi dalili za uchungu, asisubiri mpaka dakika ya mwisho. Ni vyema awahi hospitalini mapema ili kupata huduma stahiki na kuepuka vifo vya mama na mtoto” Na Baraka Olemaika Akina mama wajawazito nchini wameshauriwa kuhakikisha…
17 March 2026, 9:51 am
Walilazimika kubeba mgonjwa kwa shida ili kuvuka korongo hilo baada ya kushindwa kupata usafiri. Na Evanda Barnaba Wananchi wa Kijiji cha Oldonyo, Kata ya Lemooti wilayani Monduli wamelalamikia hali mbaya ya korongo linalowaunganisha na Kijiji cha Lolkisale wakisema limekuwa hatari…
23 February 2026, 1:57 pm
Na Dorcas Charles Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Wizara ya Kilimo na Mamlaka ya Udhibiti wa Pembejeo, imetangaza punguzo la asilimia 25 ya gharama za mbegu ili kumpunguzia mzigo mkulima na kuongeza tija katika uzalishaji. Picha ya…
17 February 2026, 2:16 pm
Picha kwa msaada wa mtandao Serikali na wadau wa afya nchini wameendelea kusisitiza umuhimu wa mama wajawazito kujifungulia katika vituo vya afya na zahanati ili kuhakikisha usalama wa mama na mtoto. Na Baraka David Ole Maika Pamoja na juhudi za…
17 February 2026, 2:03 pm
Wazazi na walezi wameaswa kuacha tabia ya kupakia picha za watoto wao kwenye mitandao ya kijamii, kwani hilo ni kosa la jinai linaloweza kuwafunga jela kwa miaka mitatu Na Joyce Elius Hayo yamesemwa Mapema leo kwenye kipindi cha Mchaka Mchaka…
16 February 2026, 2:16 pm
Na Nyangusi Olesang’ida Picha ya Diwani ya Kata ya Kiutu Diwani wa Kata ya Kiutu, Malaki Marambo, amewashukuru wananchi kwa kumuamini tena na kuahidi kuimarisha ushirikiano ili kuchochea maendeleo ya kata hiyo. Kipaumbele chake kikubwa ni uboreshaji wa miundombinu, akipambania…
15 February 2026, 5:46 am
Baraza la Madiwani Simanjiro lamepitisha rasimu ya bajeti ya Sh45.1 bilioni kwa mwaka wa fedha 2026/2027 ambapo Sekta za Elimu, Afya, Kilimo, na Mifugo zimepewa kipaumbele. Na Mwandishi Wetu Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara,…
DIRA:
Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari
DHAMIRA:
Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.
Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.
Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”