Orkonerei FM

Recent posts

8 March 2024, 2:03 pm

Unashirikiana na kiongozi wako katika utunzaji wa vyanzo vya maji?

Jamii kwa ujumla ina nafasi kubwa katika kuhakikisha vyanzo vya maji vinaendelea kutunzwa lakini kuna changamoto kadhaa ikiwemo wao wenyewe kutofahamu umuhimu wa utunzaji wa vyanzo vya maji. Nchi yetu imejaliwa kuwa na vyanzo vya maji vya aina mbalimbali ikiwa…

7 March 2024, 4:54 pm

Ufunguzi wa soko la Alamayana kijiji cha Loswaki kata ya Terrat

Wananchi wa kijiji cha Loswaki kilichopo kata ya Terrat wilaya ya Simanjiro wameungana pamoja na wananchi wa vijiji vya jirani, wafanyabiashara, viongozi mbalimbali wa mila, chama na serikali katika ufunguzi wa soko la Alamayana katika kijiji cha Loswaki. Na Baraka…

27 February 2024, 4:07 pm

Ujirani mwema baina ya TAWA na jamii ya Simanjiro.

Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania – TAWA Kanda ya Kaskazini kitengo cha ujirani, ofisi ya Ikolojia Simanjiro Lokisale wametoa elimu ya uhifadhi na manufaa yatokanayo na Wanyamapori. Na Baraka David Ole Maika. Akizungumza na Viongozi mbalimbali, wazee mashuhuri na wakaazi…

24 February 2024, 12:12 pm

Shoroba za wanyamapori Simanjiro zaitesa jamii vijijini

Uwepo wa njia za wanyamapori maarufu kama shoroba kwenye maeneo ya vijijini imekuwa changamoto kwa wananchi kwa kile wanachodai kuwa hawakushirikishwa katika uanzishwaji wake. Na Baraka David Ole Maika. Wakizungumza na kipindi cha Uhifadhi na Mazingira cha Orkonerei FM Radio,…

20 February 2024, 3:28 pm

Uzinduzi soko la kijiji cha Engonongoi wilaya ya Simanjiro

Wakaazi wa kijiji cha Engonongoi iliyopo kata ya Terrat wilaya ya Simanjiro wameungana na wananchi wenzao na wafanyabiashara kutoka vijiji vya wilaya ya Simanjiro na wilaya za jirani katika ufunguzi wa soko katika kijiji cha Engonongoi. Na Baraka David Ole…

16 February 2024, 8:12 am

Ni muhimu kuwepo na uwiano wa kijinsia katika nafasi za uongozi?

Pamoja na jitihada na utekelezaji wa sera katika kuhakikisha kunapatikana usawa wa kjinsia katika nafasi za kiuongozi mashirika ya kijamii pia yananafasi kubwa mno haswa kuhamasisha jinsia ambazo hazishiriki kwa sehemu kubwa katika kutafuta nafasi hizo za kiuongozi. Na Wanahabari…

11 February 2024, 9:45 am

Malaigwanani wabadilisha mtazamo hasi juu ya wanawake jamii ya kimaasai

Na Isack Dickson. Wazee wa kimila wa jamii ya kimaasai malaigwanani (laigwanak) wamefanikiwa kubadilisha mitazamo hasi waliyokuwanayo wanajamii hao juu ya uwezo wa wanawake katika kufanya maamuzi ndani ya familia na hata kwenye jamii. Hayo yameelezwa na mwenyekiti wa malaigwanani…

9 February 2024, 10:39 am

Familia za jamii ya kimasai zabadilika katika maamuzi ya familia

Wapo wanaoamini kuwa ni muhimu wanawake kushiriki katika kutoa maamuzi kwenye ngazi ya familia na wengine wanaona si muhimu,wakiamini kuwa ni kinyume na mila na tamaduni za jamii ya kimaasai. NA Baraka David Ole Maika Jamii ya kimaasai ni jamii…

8 February 2024, 7:12 pm

Wanawake wanashiriki vipi katika kufanya maamuzi ya familia?

Wanakijiji wa kijiji cha Terrati Simanjiro mkoani Manyara Mwandishi wetu akifanya mahojiano na mwenyekiti wa Malaigwani wilaya ya Simanjiro Lesira Samburi. Mwanamke amekuwa akikosa nafasi ya kutoa maamuzi ngazi ya familia ikisemekana sababu kubwa ni mila na desturi za jamii…

Dira na Dhamira

DIRA:

Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari

DHAMIRA:

Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.

Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.

Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”