Recent posts
18 September 2024, 12:12 pm
Wananchi Simanjiro wapatiwa vipimo bure
Wananchi wakiendelea kupatiwa huduma na wataalam wa afya kutoka halimashauri ya wilay ya simanjiro (Picha na Joyce Elias) Na Joyce Elius Wataalam wa afya kutoka halimashauri ya wilaya ya simanjiro wameweza kutoa huduma mbalimbali katika kata za Terrat Naberera Emboreet …
14 September 2024, 7:07 pm
Ikolojia ya Simanjiro Lolkisale waaga watumishi wawili
Baadhi ya watumishi wa TAWA Ikolojia ya Simanjiro Lolkisale,viongozi wa serikali na wananchi katika picha ya pamoja kwenye hafla ya kuwaaga watumishi waliomaliza muda wao wa kutumikia Ofisi hiyo. (picha na Fransisca Fabiana) Na Joyce Elius na Grace Nyaki Mamlaka…
3 September 2024, 4:32 pm
Madhila kwa wanawake Lorokare wakitafuta maji
Kijiji cha Lorokare kata ya Oljoro No.5 wilaya ya Simanjiro wanafukua korongo la msimu ili kupata maji ya kutumia kwa shughuli zote za kibinadamu. Ikiwa utahitaji maji safi ya kunywa kutoka bombani basi itakulazimu kutembea umbali mrefu zaidi ya Km…
3 September 2024, 11:06 am
Maji bado ni changamoto Lorokare
“Kuna changamoto kubwa sana ya maji hapa yani unakuja unafukua korongo hapo kwenye mchanga kisha ndiyo uchote maji bila hivyo hakuna maji” Wananchi wa kijiji cha Lorokare katika kitongoji cha Songambele wamekuwa wakipitia adha kubwa ya kutokupatikana kwa maji ya…
29 August 2024, 4:16 pm
Unafanya nini ili mwanamke awe kiongozi?
Na Mwandishi wetu Evanda Barnaba Jamii ya Kimaasai ni moja ya jamii kubwa Kaskazini mwa Tanzania pia imekuwa ni moja ya jamii iliyoendelea kutunza mila, desturi na tamaduni nzuri lakini zipo baadhi ya mila ambazo ni mbaya, moja ya mila…
14 August 2024, 12:49 pm
Ole Sendeka ateta na wananchi, awaondolea hofu
Mbunge Christopher Ole Sendeka Picha na Evanda Barnaba Na mwandishi wetu Mmoja wa wakaazi katika kata ya Terrat wilayani Simanjiro mkoani Manyara alipata nafasi ya kuwasilisha kero ya barabara pamoja na swala la aridhi mbele ya Mbunge wa Simanjiro Chistopher…
13 August 2024, 5:47 pm
Kiongozi wako anawashirikisha vijana katika kukabiliana na ukatili wa kijinsia?
Nijuze Radio Show, Kwa mujibu wa Takwimu za Demografia na Afya Tanzania (TDHS) Za mwaka 2015/2016, 40% ya wanawake wenye umri wa miaka 15- 49 wameripoti kufanyiwa ukatili wa kimwili, 17% wameripoti kufanyiwa ukatili wa kingono. Katika mkoa wa Manyara,…
13 August 2024, 11:28 am
Kiongozi wako anawashirikisha vijana kukabiliana na ukatili wa kijinsia?
Picha kwa msaada wa mtandao Ushiriki wa vijana katika mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia ni muhimu kwa sababu wao ni sehemu kubwa ya idadi ya watu na wana nguvu ya kuleta mabadiliko chanya katika jamii. Kujihusisha kwao kunasaidia kujenga…
9 August 2024, 1:24 pm
Ziara ya mbunge kukangua miradi ya maendeleo kata ya Teerat
Waandishi wetu Baraka Ole Maika Msafara wa Mbunge Jimbo la Simanjiro Mh Christopher Ole Sendeka umezuiliwa na wanananchi wa kijiji cha Loswaki kutokana na kero ya maji inayowakabili kuwa muda mrefu. Mwandishi wetu Baraka Ole Maika alizungumza na wananchi na…
9 August 2024, 1:24 pm
Justdiggit wazindua Kijani App kwa ajili ya Wakulima
Shirika lisilo la kiserikali la Justdiggit limezindua rasmi programu inayofahamika kama Kijani App ili kuwasaidia wakulima kupata taarifa sahihi kuhusu mabadiliko ya tabia nchi katika kutekeleza shughuli zao za kilimo ili kujiletea maendeleo. Na Baraka David Ole Maika. Akizungumza na…