17 March 2026, 10:01 am

Wananchi terat waelezwa faida za Mama kujifungulia hospitalini

“Ushauri wangu ni kwamba mama anapoanza kuhisi dalili za uchungu, asisubiri mpaka dakika ya mwisho. Ni vyema awahi hospitalini mapema ili kupata huduma stahiki na kuepuka vifo vya mama na mtoto” Na Baraka Olemaika Akina mama wajawazito nchini wameshauriwa kuhakikisha…

Offline
Play internet radio

Recent posts

19 June 2026, 9:13 am

Ongezeko la Vituo vya Afya Lachochea Akina Mama Kujifungulia Hospitalini

Ongezeko la vituo vya afya katika maeneo mbalimbali limeongeza upatikanaji wa huduma za afya ya uzazi kwa kuwafikishia wananchi huduma karibu zaidi. Hali hii imechangia akina mama wengi kuchagua kujifungulia hospitalini kwa urahisi na usalama zaidi. Kurunzi Maalum Uwekezaji unaoendelea…

17 June 2026, 3:17 pm

Nilikatwa mkono, sikukata tamaa–Veronica Kidemi

Na Nyangusi Ole Sang’ida Wakati mwingine maisha hubadilika kwa sekunde chache tu, sekunde zinazoweza kuacha majeraha yasiyofutika na kumbukumbu za maisha yote. Tunakuletea simulizi ya mwanamke jasiri aliyepitia tukio la kusikitisha mwaka 2020, lakini akaamua kusimama tena na kuendelea na…

9 June 2026, 1:36 pm

Wazazi wafanye nini kipindi hiki cha likizo?

Picha ikiwaonyesha baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Terrat, Picha na Joyce Elius Wazazi na walezi wametakiwa kutenga muda wa kuwasimamia watoto wao kujisomea na kuwafundisha kazi za nyumbani katika kipindi hiki cha likizo, ili kuwajenga kuwa kizazi bora…

4 June 2026, 2:26 pm

Majukumu ya uchumi, utandawazi yanavyowanyima wazazi muda wa malezi

Mmomonyoko wa maadili na mabadiliko ya mifumo ya malezi katika zama hizi za utandawazi na mihangaiko ya kiuchumi, umezidi kutajwa kama chanzo kikubwa cha kuporomoka kwa maadili miongoni mwa watoto. Na Joyce Elius Tofauti na miaka ya nyuma ambapo malezi…

4 June 2026, 2:19 pm

Wafugaji Simanjiro washauriwa kuhifadhi malisho na kuchanja mifugo

Wafugaji katika Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara wameshauriwa kuchukua hatua za dharura za kuhifadhi malisho na kulinda vyanzo vya maji, ili kukabiliana na msimu wa kipupwe unaotarajiwa kuwa na baridi kali na ukavu mkubwa. Na Isack Dickson Rai hiyo imetolewa…

3 June 2026, 11:48 am

Vitongoji 89 Simanjiro vyakumbukwa na RUWASA

Na Isack Dickson Vitongoji themanini na tisa ambavyo havijafikiwa na huduma ya maji safi na salama katika Wilaya ya Simanjiro, vinatarajiwa kuondolewa kwenye changamoto hiyo ndani ya miaka miwili ijayo, kufuatia mkakati madhubuti kutoka kwa Wakala wa Maji na Usafi…

28 May 2026, 2:23 pm

Wazazi na walezi wahimiza ushirikiano wa baba na mama katika malezi

Na Joyce Elius Baadhi ya wazazi kutoka Kijiji cha Terrat wilayani Simanjiro, wameshauri wazazi na walezi kutenga muda mwingi wa kukaa na watoto wao ili kuwajenga katika misingi bora ya kimadili, ufahamu, na upendo kuanzia hatua za awali za ukuaji…

28 May 2026, 2:11 pm

Msaidizi wa kisheria afafanua umuhimu wa mikataba wafanyakazi wa ndani

Picha kwa msaada wa Mtandao Wadau wa kisheria wamesisitiza umuhimu wa wafanyakazi wa ndani kufahamu sheria za ajira na mahusiano kazini, pamoja na kuhakikisha wanakuwa na mikataba halali inayofafanua majukumu na maslahi yao kabla ya kuanza kazi. Na Dorcas Charles…

Dira na Dhamira

DIRA:

Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari

DHAMIRA:

Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.

Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.

Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”