17 March 2026, 10:01 am

Wananchi terat waelezwa faida za Mama kujifungulia hospitalini

“Ushauri wangu ni kwamba mama anapoanza kuhisi dalili za uchungu, asisubiri mpaka dakika ya mwisho. Ni vyema awahi hospitalini mapema ili kupata huduma stahiki na kuepuka vifo vya mama na mtoto” Na Baraka Olemaika Akina mama wajawazito nchini wameshauriwa kuhakikisha…

Play internet radio

Recent posts

17 March 2026, 10:01 am

Wananchi terat waelezwa faida za Mama kujifungulia hospitalini

“Ushauri wangu ni kwamba mama anapoanza kuhisi dalili za uchungu, asisubiri mpaka dakika ya mwisho. Ni vyema awahi hospitalini mapema ili kupata huduma stahiki na kuepuka vifo vya mama na mtoto” Na Baraka Olemaika Akina mama wajawazito nchini wameshauriwa kuhakikisha…

17 March 2026, 9:51 am

Walazimika Kubebwa Mikononi Kuvushwa Korongoni

Walilazimika kubeba mgonjwa kwa shida ili kuvuka korongo hilo baada ya kushindwa kupata usafiri. Na Evanda Barnaba Wananchi wa Kijiji cha Oldonyo, Kata ya Lemooti wilayani Monduli wamelalamikia hali mbaya ya korongo linalowaunganisha na Kijiji cha Lolkisale wakisema limekuwa hatari…

23 February 2026, 1:57 pm

Serikali yapunguza bei ya mbegu kwa 25%

Na Dorcas Charles Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Wizara ya Kilimo na Mamlaka ya Udhibiti wa Pembejeo, imetangaza punguzo la asilimia 25 ya gharama za mbegu ili kumpunguzia mzigo mkulima na kuongeza tija katika uzalishaji. Picha ya…

17 February 2026, 2:03 pm

‘Unaweza fungwa kwa kupakia picha ya mwanao mtandaoni’

Wazazi na walezi wameaswa kuacha tabia ya kupakia picha za watoto wao kwenye mitandao ya kijamii, kwani hilo ni kosa la jinai linaloweza kuwafunga jela kwa miaka mitatu Na Joyce Elius Hayo yamesemwa Mapema leo kwenye kipindi cha Mchaka Mchaka…

16 February 2026, 2:16 pm

Diwani Marambo Aweka Wazi Mikakati ya Maendeleo Kiutu

Na Nyangusi Olesang’ida Picha ya Diwani ya Kata ya Kiutu Diwani wa Kata ya Kiutu, Malaki Marambo, amewashukuru wananchi kwa kumuamini tena na kuahidi kuimarisha ushirikiano ili kuchochea maendeleo ya kata hiyo. Kipaumbele chake kikubwa ni uboreshaji wa miundombinu, akipambania…

15 February 2026, 5:46 am

Sekta muhimu zapewa kipaumbele bajeti 2026/27 Simanjiro

Baraza la Madiwani Simanjiro lamepitisha rasimu ya bajeti ya Sh45.1 bilioni kwa mwaka wa fedha 2026/2027 ambapo Sekta za Elimu, Afya, Kilimo, na Mifugo zimepewa kipaumbele. Na Mwandishi Wetu Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara,…

12 February 2026, 3:44 pm

Wanawake watumia kilimo cha nyasi kuukabili ukame

Na Isack Dickson Katika wilaya ya Simanjiro, mabadiliko ya tabianchi yamesababisha vifo vya zaidi ya mifugo 92,000 kwa mwaka mmoja pekee,lakini katikati ya changamoto hiyo, kundi la wanawake mashujaa, kwa msaada wa Baraza la Wanawake Wafugaji (PWC) na mashirika mengine…

5 February 2026, 1:22 pm

Mwenyekiti Kimelok na mfumo mpya wa michango ya maafa

Na Nyangusi Olesang’ida Mwenyekiti wa Kitongoji cha Kimelok, wilayani Arumeru, Bwana Hoshim Saitabau, ametangaza mabadiliko ya mfumo wa ukusanyaji wa michango ya maafa, akieleza kuwa sasa wataacha kutumia nguvu na badala yake watajielekeza kwenye elimu na hiari kwa wananchi. Hoshim…

3 February 2026, 11:49 am

CCM Simanjiro yaadhimisha miaka 49, yajivunia mafanikio

Na Dorcas Charles Wakati CCM ikiazimisha miaka 49 tangu kuasisiwa kwake mwaka 1977, Katibu wa CCM Wilaya ya Simanjiro, Bi. Wambura Igembya, ameelezea mabadiliko makubwa ya kijamii na kiuchumi yaliyopatikana wilayani humo. Katibu amebainisha kuwa tangu kuzaliwa kwa chama hicho,…

Dira na Dhamira

DIRA:

Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari

DHAMIRA:

Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.

Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.

Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”