Orkonerei FM

Recent posts

30 December 2023, 8:48 am

Walinzi wa uhifadhi wanavyohatarisha maisha kulinda shoroba.

Juhudi zinazo fanywa na  askari wa uhifadhi ,Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kushirikiana na wananchi walio  jirani katika  maeneo ya uhifadhi haswa shoroba ama mapitio ya wanayapori kama Kwakuchinja zinahitajika kuongezwa na kuboreshwa ili  kufikia azma kuu ya nchi…

14 December 2023, 11:41 am

Kufanya mazoezi pamoja kwatajwa kuongeza ushirikiano

[picha kwa msaada wa mtandao] “Kwanza michezo inaleta watu pamoja, kufahamiana kuleta ule undugu …pia mazoezi yanaongeza muda wa kuishi” Mratibu ndg. Mbaga Na Isack Dickson Mratibu wa michezo wilaya ya simanjiro mkoa wa manyara bwana CHARLES MSENGI MBAGA Amesema…

13 December 2023, 3:27 pm

Biashara ya nyama choma kijiji cha Terrat

Biashara ya nyama choma ni moja ya biashara inayofanya vizuri haswa katika maeneo ya mijini lakini je Vijijini hali ikoje ? Kijiji cha Terrat kilichopo wilaya ya Simanjiro Mkoa wa Manyara huwa na Soko kila siku ya alhamisi ambapo wachuuzi…

13 December 2023, 5:25 am

Mafunzo ya matumizi ya mtandao kwa watangazaji wa Orkonerei FM Redio

Mafunzo ya Matumizi ya Mtandao kwa redio wanachama wa mtandao wa vyombo vya habari vyenye maudhui ya kijamii nchini Tanzania TADIO yameendelea kushika kasi katika vituo vya redio zilizopo kanda ya kaskazini. Na Baraka David Ole Maika, Mafunzo ya matumizi…

10 December 2023, 11:51 am

Viongozi wa kimila wilayani Longido, wamuombea Dua Rais Samia

Viongozi wa mila wa jamii ya kimasai na viongozi wa dini wamuonbea dua ya heri, mafanikio na ushindi Rais Samia Suluhu Hassan Na Baraka David Ole Maika. Viongozi wa mila wa jamii ya kimasai na viongozi wa dini kutoka wilaya…

8 December 2023, 4:40 pm

Jamii wahimizwa kujitokeza kuchanjwa chanjo ya UVIKO-19

Jamii wametakiwa kujitokeza kuchanjwa chanjo ya UVIKO19 ili kukabiliana na Maambukizi ya Ugonjwa wa Virusi vya Korona. Na Baraka David Ole Maika Wito huo umetolewa na Mratibu wa Chanjo Wilaya ya Simanjiro Bw Hassan Bakari Keya alipofanya mahojiano na Orkonerei…

8 December 2023, 11:09 am

Makala: Bei ya mahindi katika soko la Terrat

Wachuuzi wa mahindi katika soko la Terrat Wakaazi wa kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro wamelalamikia hali ya mfumuko wa bei ya mahindi ulivyongezeka kwa zaidi ya asilimia 100 kutoka shilingi elfu 7,000 hadi shilingi elfu 15,000. Na Isack Dickson.…

7 December 2023, 5:36 pm

Uhaba wa miundombinu, vifaa tiba kituo cha afya Mererani

Kituo cha afya Mererani. Picha na Mwandishi wetu Joyce Elius Kituo cha afya Merereni kilichopo kata ya Endiamutu mji mdogo wa Mererani wilayani Simanjiro kinakabiliwa na uhaba wa miundombinu na vifaa tiba hali inayosababisha wananchi wa eneo hilo kulazimika kupatia…

7 December 2023, 2:11 pm

Mfumko bei ya mahindi waitesa Simanjiro

Mfumko wa bei kwa mazao ya nafaka hasa mahindi umeendelea kuwa changamoto kwa jamii ya wafugaji wilayani Simanjiro mkoani Manyara kutoka shilingi 7,000 hadi shilingi 15,000 hali inayosababisha baadhi ya familia kushindwa kumudu gharama za kununua mahindi kwa matumizi ya…

Dira na Dhamira

DIRA:

Kuwa na jamii ya kifugaji yenye uelewa na ufahamu mpana katika maendeleo kupitia upashanaji wa habari

DHAMIRA:

Kuandaa na kurusha vipindi vya kuboresha maisha ya jamii katika elimu, afya, usawa, uongozi na utawala Bora.

Orkonerei FM Redio ni Redio ya jamii iliyopo katika kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kuelimisha, Kuhabarisha na kuburudisha jamii za wafugaji na jamii zingine zilizopo katika mkoa wa Manyara,Arusha,Kilimanjaro na mkoa wa Tanga.

Orkonerei FM Redio inapatikana kwa masafa ya 94.3 MHz na kauli mbiu yetu ni “Sauti yako,Sauti ya jamii”