Pangani FM
Pangani FM
21 May 2026, 13:08

Na Abdilhalim Shukuran
Mkoa wa Tanga umefanikiwa kutoa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 6.8 kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu katika kipindi cha mwaka wa fedha 2024/2025, tangu ruhusa ilipotolewa kwa Halmashauri kuanza kutoa mikopo ya asilimia 10.
Sikiliza hapa makala iliyoandaliwa na Abdilhalim Shukuran.