Pangani FM

Waziri Juma Aweso aipongeza Pangani FM

8 August 2024, 18:21

Waziri wa Maji Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Pangani Mhe, Juma Hamidu Aweso.

Mpaka sasa ni miaka kumi na tatu tangu Pangani FM ilipoanza kurusha matangazo mwaka 2011.

Na Majabu Ally

Waziri wa Maji na Mbunge wa jimbo la Pangani Mh. Jumaa Hamidu Aweso ameipongeza Pangani FM kwa kutimiza miaka kumi na tatu katika utendaji wakazi wake.

Mhe. Aweso ametuma salamu zake akiwa katika ziara ya Mh. Rais Samia Suluhu Hassan mkoani Morogoro.

Sauti ya Mhe Juma Hamidu Aweso