Radio Tadio

Maendeleo

21 May 2026, 17:44

Wakulima wa zabibu walia na changamoto ya soko la uhakika

Licha ya changamoto ya wanunuzi wa zabibu msimu wa mavuno pia wanaiomba serikali kuwapatia mbegu bora kwa bei nafuu ili waweze kuzalisha zabibu zenye ubora. Na Victor Chigwada. Wakulima wa zabibu katika Kata ya Handali wilayani Chamwino wameiomba Serikali kutatua…

18 May 2026, 5:57 pm

CHADEMA Katavi yazindua mkutano wake wa kwanza Kakese

“Tunashinikiza serikali imuachie Tundu Lissu” Na Leah Kamala Wananchi kata ya Kakese manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamepongeza hatua ya kuruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara kwa CHADEMA katika kujadili masuala mbalimbali ikiwemo umuhimu wa Katiba mpya. Hayo yamejiri katika mkutano…

15 May 2026, 10:43 am

Bunda TC yatakiwa kukamilisha miradi kwa wakati

Madiwani pamoja na wataalamu wa halmashauri wana wajibu wa kufuatilia kwa karibu utekelezaji wa miradi hiyo kuanzia hatua za mwanzo hadi kukamilika kwake. Na Thomas Masalu Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda, Salum Mtelela, ameielekeza Halmashauri ya Mji wa Bunda…

17 April 2026, 8:24 pm

Serikali Manyara yasitisha mnada wa uuzaji mali za umma

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara kupitia katibu Tawala msaidizi rasilimali Dominic Mbwete,  amesitisha mnada wa mali za umma zilizokuwa zimetangazwa kuuzwa katika  mnada kutokana na kuibuka sintofahamu kutoka kwa wafanyabiashara waliohudhuria kwa ajili ya  kununua mali hizo. Na…

30 January 2024, 17:38

Kamati zote zijengewe uwezo usimamizi miradi

Na mwandishi wetu Mkuu wa wilaya ya Chunya Mrakibu Mwandamizi wa Uhamiaji Mhe. Mbaraka Alhaji Batenga ameagiza kamati zote za ujenzi zinazosimamamia Miradi mbalimbali ya Ujenzi wilayani Chunya zijengewe uwezo wa kusimamia miradi husika ili watakapokiuka maelekezo waweze kuchukuliwa hatua…

16 January 2024, 10:19

Wananchi wajenga shule ya sekondari, serikali yatia mkono

Na mwandishi wetu Isaka sekondari, shule mpya katika kata ya Nkunga ambayo imesajiliwa kwa namba S. 6491 na tayari imeanza kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza. Kuanzishwa kwa shule hii kumesaidia kuondoa msongamano wa wanafunzi darasani katika shule ya sekondari…