Recent posts
18 February 2026, 7:29 pm
Wakuu wa idara Handeni kuja kivingine
“Mafunzo haya yamenihuisha maarifa ya kiuongozi, kujitathimini na uwezo wa kuwasikiliza wananchi na nimejifunza kwamba unapokuwa kiongozi unapaswa kuwa na mguso hususani katika kusikiliza mwananchi” Na Cosmas Clement Wakuu wa idara na vitengo wa halmashauri ya wilaya ya Handeni Mkoani…
17 February 2026, 6:26 pm
Jinsi vyeo, nafasi za uongozi zinavyoumiza wananchi
“Mimi baada ya mafunzo haya nitakaa na vijana wangu pale ofisini ili niwaeleze njia sahihi za matumizi ya vyeo na nafasi zetu“ Na Cosmas Clement Matumizi yasiyo sahihi ya vyeo na nafasi kwa viongozi vimetajwa kuwa miongoni mwa mikwamo ya…
16 February 2026, 11:46 pm
Je unajua yalipo mafanikio yako?
“Hapo mwanzo tulikuwa tumepanga lakini baada ya migogoro yetu kuisha tumejenga nyumba na tumenunua shamba.“ Na Cosmas Clement Uwezo wa wanandoa kushughulikia migogoro baina yao imetajwa kuwa chachu ya kuwawezesha kupiga hatua za maendeleo katika familia zao. Hayo yamesemwa na…
16 February 2026, 11:27 pm
Hivi ndivyo uchumi wa wana-Pangani utakavyokuwa
“Ujenzi wa barabara hii na daraja la Mto Pangani imeweka alama isiyofutika katika wilaya ya Pangani” Na Cosmas Clement Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dokta Mwigulu Nchemba ameiagiza wizara ya ujenzi kuhakikisha vipande vya barabara vinavyoendelea…
9 December 2025, 1:41 pm
Jinsi bahari ya Pangani inavyokula watu
“Wazazi wanapaswa kuwalinda watoto wao kuhakikisha hawafiki katika maeneo ya hatari wakati wa kuogelea” Na Hamisi Makungu Watoto wawili wenye umri wa miaka 13 hadi 14 wamepoteza maisha siku ya Jumatatu jioni wakiwa wanaogelea katika Bahari ya Hindi hapa Wilayani…
8 December 2025, 2:31 pm
Unyago unaovutia ndoa za utotoni
Na Saa Zumo Uhusiano huo unatajwa kutoa fursa kwa vijana kutumia siku ya kilele cha sherehe za unyago kuchagua wachumba ambapo maandalizi ya ndoa yanaanza mara moja. Kwa urefu sikiliza makala hii
5 December 2025, 5:45 pm
‘Madhila ya ukatili kwa wanawake Mwaloni’
Na Hamisi Makungu. Kipindi cha Sauti ya Mwanamke kimeangazia Mabadiliko ya tabianchi yanavyopelekea ukatili wa kijinsia, hasa kwa wanawake waliopo kwenye mnyororo wa uchumi wa buluu. Katika Mjadala kupitia kipindi hiki, wanawake wachuuzi wa Samaki wamepaza sauti zao juu ya…
3 December 2025, 11:47 am
Je, tuendelee kulaumiana kuhusu vitendo vya ukatili wa kijinsia?
“Kitengo cha dawati la jinsia jeshi la polisi Pangani tuliandaa program ya kuwapa elimu jamii, tulifika katika maskani mbalimbali na nyumba za ibada hivyo imesaidia jamii kuripoti matukio ya ukatili mapema.“Majid Ismail Ally afisa wa polisi kitengo cha dawati la…
2 December 2025, 7:16 pm
Maambukizi ya VVU yaongezeka Pangani
“Sisi wana Pangani tukiweka nguvu za pamoja tutaweza kutokemeza janga hili na wilaya yetu inaendelea kupambana na gonjwa hili katika jamii zetu”. Amesema Bi. Sophia Kabome Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani. Na Rajabu Mrope Maambukizi ya Virusi…
27 November 2025, 5:36 pm
‘Utabiri wa jadi unalipa’
Zamani tulikuwa hatufuatilii utabiri wa hali ya hewa, wakati mvua zinanyesha sisi tunaandaa mashamba , mvua ikikata sisi tunapanda matokeo yake mbegu zashambuliwa na wadudu lakini sasa hivi tunafuatilia utabiri na tunavuna vizuri, ahsanteni CAN TZ. Na Cosmas Clement Elimu…