Recent posts
9 December 2025, 1:41 pm
Jinsi bahari ya Pangani inavyokula watu
“Wazazi wanapaswa kuwalinda watoto wao kuhakikisha hawafiki katika maeneo ya hatari wakati wa kuogelea” Na Hamisi Makungu Watoto wawili wenye umri wa miaka 13 hadi 14 wamepoteza maisha siku ya Jumatatu jioni wakiwa wanaogelea katika Bahari ya Hindi hapa Wilayani…
8 December 2025, 2:31 pm
Unyago unaovutia ndoa za utotoni
Na Saa Zumo Uhusiano huo unatajwa kutoa fursa kwa vijana kutumia siku ya kilele cha sherehe za unyago kuchagua wachumba ambapo maandalizi ya ndoa yanaanza mara moja. Kwa urefu sikiliza makala hii
5 December 2025, 5:45 pm
‘Madhila ya ukatili kwa wanawake Mwaloni’
Na Hamisi Makungu. Kipindi cha Sauti ya Mwanamke kimeangazia Mabadiliko ya tabianchi yanavyopelekea ukatili wa kijinsia, hasa kwa wanawake waliopo kwenye mnyororo wa uchumi wa buluu. Katika Mjadala kupitia kipindi hiki, wanawake wachuuzi wa Samaki wamepaza sauti zao juu ya…
3 December 2025, 11:47 am
Je, tuendelee kulaumiana kuhusu vitendo vya ukatili wa kijinsia?
“Kitengo cha dawati la jinsia jeshi la polisi Pangani tuliandaa program ya kuwapa elimu jamii, tulifika katika maskani mbalimbali na nyumba za ibada hivyo imesaidia jamii kuripoti matukio ya ukatili mapema.“Majid Ismail Ally afisa wa polisi kitengo cha dawati la…
2 December 2025, 7:16 pm
Maambukizi ya VVU yaongezeka Pangani
“Sisi wana Pangani tukiweka nguvu za pamoja tutaweza kutokemeza janga hili na wilaya yetu inaendelea kupambana na gonjwa hili katika jamii zetu”. Amesema Bi. Sophia Kabome Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani. Na Rajabu Mrope Maambukizi ya Virusi…
27 November 2025, 5:36 pm
‘Utabiri wa jadi unalipa’
Zamani tulikuwa hatufuatilii utabiri wa hali ya hewa, wakati mvua zinanyesha sisi tunaandaa mashamba , mvua ikikata sisi tunapanda matokeo yake mbegu zashambuliwa na wadudu lakini sasa hivi tunafuatilia utabiri na tunavuna vizuri, ahsanteni CAN TZ. Na Cosmas Clement Elimu…
24 November 2025, 12:54 pm
Ukeketaji vigoli, jinamizi linaloitesa Kilindi
Na Saa Zumo Ukeketaji kwa wasichana vigoli wilayani kilindi mkoani Tanga Unafanyika kipindi ambacho Msichana amevunja ungo, na anakutana na shughuli ya awali ya kukeketwa, kisha kuchezewa sherehe ya unyago kwa ajili ya maandalizi ya kuingia katika hatua ya ukubwa…
24 September 2025, 10:47 pm
Wasira atembelea jimbo la Pangani
“Amani ni hewa unavuta bila ushuru lakini kwakuwa ipo unaweza kuona ni jambo lakawaida ni sawa na amani ikiwemo unaona kama haina haja ila ikitoweka ndiyo unona faida yake.” Wasira Na Cosmas Clement Makamu mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi bara…
4 September 2025, 10:06 pm
We world, 4H Tanzania katika mradi wa kujenga amani
Shirika la We world linashirikiana kwa pamoja na 4H Tanzania kwa ajili ya kukuza uelewa kwa wanafunzi katika baadhi ya shule wilayani Pangani. Na Abdilhalim Shukran Shirika la we world kwakushirikiana na 4H Tanzania, wamekutanisha wanafunzi, walimu na baadhi ya…
2 September 2025, 6:58 pm
Makala:Jinsi siafu wanavyotumika kutabiri msimu wa mvua
Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania imekuwa ikitoa taarifa utabiri wa hali ya hewa uliopimwa kwa njia za kisayansi kisha kusambazwa kwa wananchi katika maeneo husika. Hata hivyo katika jamii za wakulima na wafugaji na wavuvi wilayani Pangani, wapo wagunduzi…