Recent posts
3 December 2025, 11:47 am
Je, tuendelee kulaumiana kuhusu vitendo vya ukatili wa kijinsia?
“Kitengo cha dawati la jinsia jeshi la polisi Pangani tuliandaa program ya kuwapa elimu jamii, tulifika katika maskani mbalimbali na nyumba za ibada hivyo imesaidia jamii kuripoti matukio ya ukatili mapema.“Majid Ismail Ally afisa wa polisi kitengo cha dawati la…
2 December 2025, 7:16 pm
Maambukizi ya VVU yaongezeka Pangani
“Sisi wana Pangani tukiweka nguvu za pamoja tutaweza kutokemeza janga hili na wilaya yetu inaendelea kupambana na gonjwa hili katika jamii zetu”. Amesema Bi. Sophia Kabome Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani. Na Rajabu Mrope Maambukizi ya Virusi…
27 November 2025, 5:36 pm
‘Utabiri wa jadi unalipa’
Zamani tulikuwa hatufuatilii utabiri wa hali ya hewa, wakati mvua zinanyesha sisi tunaandaa mashamba , mvua ikikata sisi tunapanda matokeo yake mbegu zashambuliwa na wadudu lakini sasa hivi tunafuatilia utabiri na tunavuna vizuri, ahsanteni CAN TZ. Na Cosmas Clement Elimu…
24 September 2025, 10:47 pm
Wasira atembelea jimbo la Pangani
“Amani ni hewa unavuta bila ushuru lakini kwakuwa ipo unaweza kuona ni jambo lakawaida ni sawa na amani ikiwemo unaona kama haina haja ila ikitoweka ndiyo unona faida yake.” Wasira Na Cosmas Clement Makamu mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi bara…
4 September 2025, 10:06 pm
We world, 4H Tanzania katika mradi wa kujenga amani
Shirika la We world linashirikiana kwa pamoja na 4H Tanzania kwa ajili ya kukuza uelewa kwa wanafunzi katika baadhi ya shule wilayani Pangani. Na Abdilhalim Shukran Shirika la we world kwakushirikiana na 4H Tanzania, wamekutanisha wanafunzi, walimu na baadhi ya…
2 September 2025, 6:58 pm
Makala:Jinsi siafu wanavyotumika kutabiri msimu wa mvua
Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania imekuwa ikitoa taarifa utabiri wa hali ya hewa uliopimwa kwa njia za kisayansi kisha kusambazwa kwa wananchi katika maeneo husika. Hata hivyo katika jamii za wakulima na wafugaji na wavuvi wilayani Pangani, wapo wagunduzi…
29 August 2025, 11:31 am
Pangani watumia uraghbishi kuleta maendeleo
“Tunaona mambo makubwa yanakwenda kutokea kwa sababu lengo kubwa la huu Uraghbishi ni kuchochea uwajibikaji.” Na Cosmas Clement Utekelezwaji wa program ya uraghbishi inayoendeshwa na shirika la usaidizi wa kisheria (PACOPA) kwa kushirikiana na shirika la Twaweza wilayani Pangani umetajwa…
17 July 2025, 9:41 pm
Mwalimu ahukumiwa miaka 30 kwa ubakaji
Awali imeelezwa mahakamani kuwa mtuhumiwa alitenda makosa hayo kwa nyakati tofauti kuanzia tarehe 16 Julai 2024 ambapo alifanya vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia kwa wanafunzi watano wa kike na mmoja wa kiume, wote wenye umri kati ya miaka 14 na…
16 July 2025, 11:25 am
‘Kuwatenga hakusaidii kuachana na madawa ya kulevya’
“Ni vyema jamii ikaacha kuwatenga vijana waliojiingiza kwenye matumizi ya dawa za kulevya na kuwa karibu nao ili kuwawezesha kuacha kutumia dawa hizo na kubadili maisha yao.” Na Abdilhalim Shukran Jamii imeaswa kutowatenga vijana ambao wamejiingiza katika matumizi ya dawa…
16 July 2025, 10:45 am
Pangani wakiri kuchangia kupungua kwa kiwango cha mvua
“Kuna watu wanasema miti na binadamu inategemeana sasa tukiikata hii miti tutaishije?” Na Catherine Sekibaha Wananchi wilayani Pangani mkoani Tanga wametakiwa kutunza mazingira ili kunusuru hali ya uharibifu iliyopo kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho. Wakizungumza wakati wa…