24 February 2025, 15:44

Dokta Samia kufanya ziara Pangani, februari 26 2025

Katika Wilaya ya Pangani Mheshimiwa Rais pamoja na mambo mengine ataongea na wananchi katika uwanja wa Kumba kuanzia saa mbili kamili asubuhi hivyo wananchi mnaaswa kufika mapema kuumlaki mgeni wetu Mkuu wa (W) Pangani Bi Gift Msuya Na Maajab Ally…

On air
Play internet radio

Recent posts

30 March 2026, 13:48

Ushongo wapaa kwa ufaulu, kambi yachangia

Kupitia ushirikiano wa kamati hizo wanafunzi wanafanya vizuri darasani kwakuwa wanapatiwa chakula shuleni. Na Majabu Madiwa Ushirikiano wa kamati za Mtakuwa, kamati ya shule na Kamati ya BMU katika kijiji cha Ushongo wilayani Pangani  mkoani Tanga umetajwa kuongeza ufaulu wa…

27 March 2026, 13:50

Tanga waaswa kutowanyanyapaa wenye matatizo ya afya ya akili

“Hapa kwetu tuna vituo 33 vya kutolea matibabu ya afya ya akili, ambavyo vinajumuisha vituo vyote vya kutolea huduma za afya kuanzia ngazi ya Zahanati hadi hospital“ Na Mwandishi Wetu Wananchi katika wilaya ya Tanga, mkoani Tanga wameaswa kuepuka kutumia…

24 March 2026, 22:04

Pangani yajizatiti kudhibiti TB

Wataalam wa afya katika zahanati na vituo vya afya wilayani Pangani watakuwa wakipima watu wanaohisiwa kuwa na dalili za ugonjwa wa kifua kikuu ili waanzishiwe dawa mapema pale watakapobainika. Na Saa Zumo Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Kifua Kikuu hii…

19 March 2026, 23:39

Ireland wafurahishwa, UZIKWASA kuvifikia vikundi vya kijamii Handeni

“Tunaomba maafisa maendeleo ya jamii kata zote kutoa ushirikiano na wilaya tunaomba muwe na kipaumbele kusimamia mradi huu” Bi Oliver Na Cosmas Clement Wawakilishi kutoka Ubalozi wa Ireland nchini Tanzania wamesema wameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa kuongeza uwezo kwa…

17 March 2026, 19:19

Pangani kuvunja rekodi upandaji miti

Halmashauri ya Wilaya ya Pangani imesema inatarajia kuvuka lengo la serikali la kupanda miti mil. 1.5  mwaka huu ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha Wiki ya Upandaji Miti Duniani ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Na Cosmas Clement Akizungumza…

17 March 2026, 12:34

Rushwa yakwamisha kesi wilayani Handeni

Rushwa inatajwa kuchangia kukwamisha kesi za ukatili wa kijinsia  kata ya Kabuku Wilayani Handeni mkoani TANGA. Na Saa Zumo Hayo yamezungumzwa na baadhi ya wajumbe wa kamati zya MTAKUWWA kata ya Kabuku wilayani Handeni ambapo wamesema wanakumbana na ugumu wa…

12 March 2026, 21:27

Soko lililokwama kwa zaidi ya miaka 10 Pangani sasa kukamilika

“Huku ni kuwarudisha nyuma wananchi na kuwavunja moyo waliacha kazi zao na kuchimba msingi wakiamini wanatengeneza kitu cha kuwasaidia lakini mpaka sasa malengo hayajatimia, lazima tuwasaidie wananchi kutatua changamoto zao, soko hili likikamilika wananchi wataongeza kipato chao na hayo ndiyo…

10 March 2026, 19:12

Taka, dhahabu iliyojificha na nyenzo kukabiliana na hewa ukaa

“Tunalishukuru shirika la UZIKWASA kwa kutupa mafunzo haya ya udhibiti wa taka, kwakuwa yametusaidia kutengeneza mkaa mbadala kupitia maganda ya ndizi kwasasa mazingira yetu ni safi” Na Cosmas Clement Baadhi ya vijana kutoka vijiji vya wilaya ya Pangani wamelipongeza shirika…

9 March 2026, 13:58

Mbunge wa Jimbo la Pangani akabidhi photocopy machine ya milion 8

Na Cosmas Clement Mbunge wa jimbo la Pangani na waziri wa maji Mhe. Juma Hamidu Aweso hii leo amekabidhi mashine moja ya kudurufu nakala (photocopy machine) yenye thamani ya shilingi milioni nane kwa shule ya sekondari Muhembo iliyopo kijiji cha…

Coverage

Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.

Vision

Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.

Mission

To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.

“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”

Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.

Contents.

Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.