Recent posts
22 June 2026, 12:53
Miundombinu ya Elimu ilivyoleta hamasa na kunyayua ufaulu kwa wasichana Wilayani…
Na Saa Zumo Katika miaka ya nyuma, baadhi ya wanafunzi wa kike Wilayani Pangani mkoani Tanga walikumbwa na changamoto mbalimbali zilizokuwa zikichangia kushuka kwa hamasa ya elimu na ufaulu katika masomo yao. Baada ya Serikali kuweka mikakati ya kuboresha miundombinu…
17 June 2026, 16:56
Vitendea kazi kwa maafisa ugani,chachu ya mageuzi ya kilimo wilayani Pangani
“Kwahiyo mara ya kwanza kukodi pikipiki ilikuwa ni changamoto kwahiyo mkulima akipata changamoto ilikuwa ni ngumu kufikia, hivyo wakulima walikuwa wanalima kwa namna wanavyoweza wao, lakini uwepo wa pikipiki hizi na vishikwambi imesaidia kuwafikia wakulima katika mashamba na kuchangia ongezeko…
12 June 2026, 14:29
Maji ya Mto Pangani ndoto inayokwenda kutimia
Na Hamisi Makungu Kilio cha muda mrefu kwa wananchi wa Wilaya ya Pangani juu ya ukosefu wa maji safi na salama licha ya kuishi karibu na mto Pangani, kilisikika zaidi katika Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…
9 June 2026, 11:20
Gesi ya ruzuku ilivyopunguza matumizi ya kuni kwa wananchi wilayani Pangani
Kupata mitungi hii ya gesi ya ruzuku imetusaidia kupunguza ukataji wa miti kwa ajili ya kuni, sasa hivi tunaona matumizi ya gesi yanaongezeka tofauti na miaka ya hapo nyuma hii inasaidia kulinda afya za wananchi wetu jumla ya kaya 3644…
4 June 2026, 11:43
Mabweni shule za Sekondari za Kutwa yanavyochangia ongezeko la ufaulu kwa Mtot…
Na Rajab Mrope Serikali ya Tanzania inatekeleza Mradi wa Kuboresha Elimu ya Sekondari (SEQUIP) unaofadhiliwa na Benki ya Dunia kupitia mkopo wa Dola za Marekani milioni 500 sawa na takribani Trilioni 1.2 za Kitanzania inatekeleza uboreshwaji wa elimu ambapo mingoni…
26 May 2026, 10:41
Ujenzi wa daraja la Mto Pangani mwanzo wa safari salama kwa mama wajawazito
Ujenzi wa daraja la Mto pangani lenye urefu wa mita 525, kwa sasa ndilo tumaini jipya la Wananchi katika kutafuta suluhusho ya kudumu la mawasiliano wilayani Pangani. Kabla ya daraja hili kuanza kujengwa wanawake walikuwa wakijifungua katika kijiji cha Bweni…
21 May 2026, 13:08
Mikopo ya asilimia kumi ilivyokuwa mkombozi kwa vijana wa Pangani
Na Abdilhalim Shukuran Mkoa wa Tanga umefanikiwa kutoa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 6.8 kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu katika kipindi cha mwaka wa fedha 2024/2025, tangu ruhusa ilipotolewa kwa Halmashauri kuanza kutoa mikopo ya asilimia 10.…
1 May 2026, 13:06
CAN Tanzania waiwezesha Pangani mabadiliko ya tabianchi
Shirika la Climate Action Network Tanzania limekuwa likiendesha mradi wa Alligning III ambao unawalenga wakulima, wafugaji na wavuvi katika kuwa na taarifa sahihi za mwenendo wa hali ya hewa kwa msimu na kwa kipindi husika. Pia kupitia mradi huo unawawezesha…
14 April 2026, 12:04
Uvuvi wa dagaa unavyokuza uchumi wa Tanzania na mahusiano ya biashara na nchi za…
Na Rajabu Mrope Shughuli za uvuvi wa dagaa katika pwani ya Bahari ya Hindi kinahusisha wavuvi,wanaobeba,wachemshaji,wachuuzi na wafanyabiashara wakubwa ambao husafirisha bidhaa hiyo hadi mataifa ya nje ikiwemo nchi za jumuiya ya maendeleo kusini mwa Afrika (SADC) hivyo ukuaji wa…
9 April 2026, 23:42
Goli la Mama kuinua vipaji vya wanasoka nchini
Na Catherine Sekibaha. Goli la mama ni mpango wa motisha kwa wachezaji na viabu vya tanzania vinavyoshiriki michezo ya kimataifa kama njia ya kuongeza hamasa. Kupitia mpango huo umechangia maendeleo makubwa ya kimichezo nchini. Hayo yanaelezwa kupitia makala hii.