24/02/2025, 15:44

Dokta Samia kufanya ziara Pangani, februari 26 2025

Katika Wilaya ya Pangani Mheshimiwa Rais pamoja na mambo mengine ataongea na wananchi katika uwanja wa Kumba kuanzia saa mbili kamili asubuhi hivyo wananchi mnaaswa kufika mapema kuumlaki mgeni wetu Mkuu wa (W) Pangani Bi Gift Msuya Na Maajab Ally…

Offline
Play internet radio

Recent posts

10/03/2026, 19:12

Taka, dhahabu iliyojificha na nyenzo kukabiliana na hewa ukaa

“Tunalishukuru shirika la UZIKWASA kwa kutupa mafunzo haya ya udhibiti wa taka, kwakuwa yametusaidia kutengeneza mkaa mbadala kupitia maganda ya ndizi kwasasa mazingira yetu ni safi” Na Cosmas Clement Baadhi ya vijana kutoka vijiji vya wilaya ya Pangani wamelipongeza shirika…

09/03/2026, 13:58

Mbunge wa Jimbo la Pangani akabidhi photocopy machine ya milion 8

Na Cosmas Clement Mbunge wa jimbo la Pangani na waziri wa maji Mhe. Juma Hamidu Aweso hii leo amekabidhi mashine moja ya kudurufu nakala (photocopy machine) yenye thamani ya shilingi milioni nane kwa shule ya sekondari Muhembo iliyopo kijiji cha…

08/03/2026, 19:27

Shirika la Earth Lungs laadhimisha siku ya wanawake wilayani Pangani

“Tunawashirikisha wanawake katika utunzaji wa mikoko kwa kuwa ni watu wenye uwezo wa kuleta mabadiliko katika jamii dhidi ya mabadiiko ya tabia nchi” Na Cosmas Clement/Catherine Sekibaha Shirika la Earth Lungs Restoration Foundation hii leo limeadhimisha siku ya wanawake duniani…

04/03/2026, 20:33

Mmomonyoko wa maadili chanzo mimba za utotoni Pangani

Na Saa Zumo Mmomonyoko wa maadili katika jamii wilayani Pangani unatajwa kuwa chanzo cha uwepo wa Mimba za utotoni kwa wasichana. Hayo yameeleza na Mkaguzi wa Polisi na mkuu wa dawati la jinsia na watoto Wilaya ya Pangani Inocent Panga…

26/02/2026, 18:51

Wawili wanusurika kifo mnazi ukivunja nyumba usiku

‘Niliposhituka nilijiona kama nakandamizwa na vitu vizito, lakini namshukuru Mungu nipo hai. Naomba msaada wa kujenga upya nyumba mimi uwezo wangu mdogo nyumba yote imeanguka” Bahati Omary Na Cosmas Clement Watu wawili wa familia moja wanaoishi katika mtaa wa majengo…

25/02/2026, 15:08

Maafisa elimu nchini kujadili muongozo wa adhabu za viboko mashuleni

Na Saa Zumo Maafisa elimu nchini wametakiwa kujadili muongozo wa adhabu za viboko mashuleni ili kuepuka vipigo vilivyopitiliza kwa wanafunzi. Hayo yameelezwa Februari 24 2026 na Waziri wa maendeleo ya jamii, wanawake, watoto na makundi maalumu Muheshimiwa Dorothy Gwajima wakati…

23/02/2026, 15:20

Dkt. Bashiru: Migogoro ya ardhi ikomeshwe

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe .Balozi. Dkt. Bashiru Ally Kakurwa (Mb) ameagiza kushughulikiwa kwa migogoro ya ardhi na uvamizi wa maeneo ya malisho, akisisitiza umuhimu wa kulinda na kusimamia ipasavyo rasilimali ardhi ili kuimarisha amani na tija katika shughuli…

19/02/2026, 18:35

Uongozi wa Mguso wawafungua MTAKUWWA Mkata

“Mafunzo haya yameniwezesha kukumbuka majukumu yangu katika kamati hii ya MTAKUWWA hivyo nilichokipokea ni kujitathimini na pia kuwa na mshikamano kwa ajili ya kwenda kupinga ukatili katika maeneo yetu” Wajumbe wa MTAKUWWA Mkata Na Cosmas Clement Wajumbe wa kamati ya…

18/02/2026, 19:29

Wakuu wa idara Handeni kuja kivingine

“Mafunzo haya yamenihuisha maarifa ya kiuongozi, kujitathimini na uwezo wa kuwasikiliza wananchi na nimejifunza kwamba unapokuwa kiongozi unapaswa kuwa na mguso hususani katika kusikiliza mwananchi” Na Cosmas Clement Wakuu wa idara na vitengo wa halmashauri ya wilaya ya Handeni Mkoani…

Coverage

Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.

Vision

Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.

Mission

To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.

“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”

Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.

Contents.

Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.