Recent posts
10/03/2026, 19:12
Taka, dhahabu iliyojificha na nyenzo kukabiliana na hewa ukaa
“Tunalishukuru shirika la UZIKWASA kwa kutupa mafunzo haya ya udhibiti wa taka, kwakuwa yametusaidia kutengeneza mkaa mbadala kupitia maganda ya ndizi kwasasa mazingira yetu ni safi” Na Cosmas Clement Baadhi ya vijana kutoka vijiji vya wilaya ya Pangani wamelipongeza shirika…
09/03/2026, 13:58
Mbunge wa Jimbo la Pangani akabidhi photocopy machine ya milion 8
Na Cosmas Clement Mbunge wa jimbo la Pangani na waziri wa maji Mhe. Juma Hamidu Aweso hii leo amekabidhi mashine moja ya kudurufu nakala (photocopy machine) yenye thamani ya shilingi milioni nane kwa shule ya sekondari Muhembo iliyopo kijiji cha…
08/03/2026, 19:27
Shirika la Earth Lungs laadhimisha siku ya wanawake wilayani Pangani
“Tunawashirikisha wanawake katika utunzaji wa mikoko kwa kuwa ni watu wenye uwezo wa kuleta mabadiliko katika jamii dhidi ya mabadiiko ya tabia nchi” Na Cosmas Clement/Catherine Sekibaha Shirika la Earth Lungs Restoration Foundation hii leo limeadhimisha siku ya wanawake duniani…
04/03/2026, 20:33
Mmomonyoko wa maadili chanzo mimba za utotoni Pangani
Na Saa Zumo Mmomonyoko wa maadili katika jamii wilayani Pangani unatajwa kuwa chanzo cha uwepo wa Mimba za utotoni kwa wasichana. Hayo yameeleza na Mkaguzi wa Polisi na mkuu wa dawati la jinsia na watoto Wilaya ya Pangani Inocent Panga…
04/03/2026, 20:18
Makosa matano ya usambazaji picha za utupu yaripoti polisi Pangani
Na Saa Zumo Takribani kesi 5 za Usambazaji wa video za ngono zimeripotiwa tangu January hadi March 2026 katika kitengo cha Dawati la jinsia na watoto Jeshi la Polisi Wilayani Pangani. Hayo yameelezwa na Afisa kutoka dawati la jinsia na…
26/02/2026, 18:51
Wawili wanusurika kifo mnazi ukivunja nyumba usiku
‘Niliposhituka nilijiona kama nakandamizwa na vitu vizito, lakini namshukuru Mungu nipo hai. Naomba msaada wa kujenga upya nyumba mimi uwezo wangu mdogo nyumba yote imeanguka” Bahati Omary Na Cosmas Clement Watu wawili wa familia moja wanaoishi katika mtaa wa majengo…
25/02/2026, 15:08
Maafisa elimu nchini kujadili muongozo wa adhabu za viboko mashuleni
Na Saa Zumo Maafisa elimu nchini wametakiwa kujadili muongozo wa adhabu za viboko mashuleni ili kuepuka vipigo vilivyopitiliza kwa wanafunzi. Hayo yameelezwa Februari 24 2026 na Waziri wa maendeleo ya jamii, wanawake, watoto na makundi maalumu Muheshimiwa Dorothy Gwajima wakati…
23/02/2026, 15:20
Dkt. Bashiru: Migogoro ya ardhi ikomeshwe
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe .Balozi. Dkt. Bashiru Ally Kakurwa (Mb) ameagiza kushughulikiwa kwa migogoro ya ardhi na uvamizi wa maeneo ya malisho, akisisitiza umuhimu wa kulinda na kusimamia ipasavyo rasilimali ardhi ili kuimarisha amani na tija katika shughuli…
19/02/2026, 18:35
Uongozi wa Mguso wawafungua MTAKUWWA Mkata
“Mafunzo haya yameniwezesha kukumbuka majukumu yangu katika kamati hii ya MTAKUWWA hivyo nilichokipokea ni kujitathimini na pia kuwa na mshikamano kwa ajili ya kwenda kupinga ukatili katika maeneo yetu” Wajumbe wa MTAKUWWA Mkata Na Cosmas Clement Wajumbe wa kamati ya…
18/02/2026, 19:29
Wakuu wa idara Handeni kuja kivingine
“Mafunzo haya yamenihuisha maarifa ya kiuongozi, kujitathimini na uwezo wa kuwasikiliza wananchi na nimejifunza kwamba unapokuwa kiongozi unapaswa kuwa na mguso hususani katika kusikiliza mwananchi” Na Cosmas Clement Wakuu wa idara na vitengo wa halmashauri ya wilaya ya Handeni Mkoani…