Recent posts
27 July 2026, 14:07
Serikali kuwashika mkono watu wenye ulemavu
”Nataka kuwahakikishia serikali imeanzisha mfumo maalumu kwa ajili ya walemavu utakaotumika kutambua idadi ya walemavu ili kufikia utatuzi wa mahitaji yao”, Bwana Tadei Kamisa. Na Cosmas Clement Shirika la UZIKWASA limekutana na wawakilishi wa watu wenye ulemavu wa aina mbalimbali…
22 June 2026, 12:53
Miundombinu ya Elimu ilivyoleta hamasa na kunyayua ufaulu kwa wasichana Wilayani…
Na Saa Zumo Katika miaka ya nyuma, baadhi ya wanafunzi wa kike Wilayani Pangani mkoani Tanga walikumbwa na changamoto mbalimbali zilizokuwa zikichangia kushuka kwa hamasa ya elimu na ufaulu katika masomo yao. Baada ya Serikali kuweka mikakati ya kuboresha miundombinu…
19 June 2026, 11:56
Wanafunzi wanapokataa kukariri darasa pale wanapofeli mitihani ya kujipima
Na Rajabu Mrope Ripoti ya Best Education 2024 iliyotolewa na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) inaonyesha kuwapo kwa ongezeko la wanafunzi wa kidato cha pili wanaorudia darasa kati ya mwaka 2019 hadi 2024. Kwa…
17 June 2026, 16:56
Vitendea kazi kwa maafisa ugani,chachu ya mageuzi ya kilimo wilayani Pangani
“Kwahiyo mara ya kwanza kukodi pikipiki ilikuwa ni changamoto kwahiyo mkulima akipata changamoto ilikuwa ni ngumu kufikia, hivyo wakulima walikuwa wanalima kwa namna wanavyoweza wao, lakini uwepo wa pikipiki hizi na vishikwambi imesaidia kuwafikia wakulima katika mashamba na kuchangia ongezeko…
12 June 2026, 14:29
Maji ya Mto Pangani ndoto inayokwenda kutimia
Na Hamisi Makungu Kilio cha muda mrefu kwa wananchi wa Wilaya ya Pangani juu ya ukosefu wa maji safi na salama licha ya kuishi karibu na mto Pangani, kilisikika zaidi katika Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…
9 June 2026, 11:20
Gesi ya ruzuku ilivyopunguza matumizi ya kuni kwa wananchi wilayani Pangani
Kupata mitungi hii ya gesi ya ruzuku imetusaidia kupunguza ukataji wa miti kwa ajili ya kuni, sasa hivi tunaona matumizi ya gesi yanaongezeka tofauti na miaka ya hapo nyuma hii inasaidia kulinda afya za wananchi wetu jumla ya kaya 3644…
4 June 2026, 11:43
Mabweni shule za Sekondari za Kutwa yanavyochangia ongezeko la ufaulu kwa Mtot…
Na Rajab Mrope Serikali ya Tanzania inatekeleza Mradi wa Kuboresha Elimu ya Sekondari (SEQUIP) unaofadhiliwa na Benki ya Dunia kupitia mkopo wa Dola za Marekani milioni 500 sawa na takribani Trilioni 1.2 za Kitanzania inatekeleza uboreshwaji wa elimu ambapo mingoni…
26 May 2026, 10:41
Ujenzi wa daraja la Mto Pangani mwanzo wa safari salama kwa mama wajawazito
Ujenzi wa daraja la Mto pangani lenye urefu wa mita 525, kwa sasa ndilo tumaini jipya la Wananchi katika kutafuta suluhusho ya kudumu la mawasiliano wilayani Pangani. Kabla ya daraja hili kuanza kujengwa wanawake walikuwa wakijifungua katika kijiji cha Bweni…
25 May 2026, 23:06
Waliokatiza masomo wilayani Pangani, wahimizwa kurudi shuleni kupitia mfumo rasm…
Ingawa utaratibu wa kuwarejesha wanafunzi waliokatisha masomo ulianza kutekelezwa kabla, maboresho ya sera na mwongozo yameufanya utekelezaji kuwa wazi zaidi. Na Saa Zumo Serikali imeandaa Mwongozo wa Kuwarejesha Shuleni Wanafunzi Waliokatiza Masomo katika Elimu ya Msingi na Sekondari kwa Sababu…
21 May 2026, 13:08
Mikopo ya asilimia kumi ilivyokuwa mkombozi kwa vijana wa Pangani
Na Abdilhalim Shukuran Mkoa wa Tanga umefanikiwa kutoa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 6.8 kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu katika kipindi cha mwaka wa fedha 2024/2025, tangu ruhusa ilipotolewa kwa Halmashauri kuanza kutoa mikopo ya asilimia 10.…