Offline
Play internet radio

Recent posts

22 February 2025, 7:57 pm

Pangani washauriwa kuacha shughuli zinazochangia uharibifu wa vyanzo maji

Tunapofanya shughuli ambazo si rafiki kwa mazingira kandokando ya vyanzo vya maji tunaweza kusababisha maji kukauka au vyanzo hivyo kupotea. Na Catherine Sekibaha Wananchi wilayani Pangani Mkoani Tanga wametakiwa kuacha kufanya shughuli zinazochangia uharibifu wa vyanzo maji pembezoni mwa Mito…

21 February 2025, 3:38 pm

Pangani tayari kumpokea Dkt. Samia

mama tunakukaribisha sana Pangani, lakini tunaomba utukamilishie barabara ya Tanga-Pangani -Saadan na Daraja la mto Pangani NA abdillahim Shukran Washuku Baadhi ya wakazi wa wilaya ya Pangani Mkoani Tanga wameelezea shauku yao kufuatia ziara ya Rais wa Tanzania Dokta Samia…

21 February 2025, 10:55 am

Vijana washauriwa kuhudhuria EJITIMAI

nitoe wito kwa vijana kujitokeza kwa wingi kuudhuria mafunzo haya kwasababu mpaka sasa wenzetu kutoka nje ya wilaya ya Pangani wameishafika kwa ajili ya kuudhuria mafunzo haya

20 February 2025, 3:36 pm

Jamii ya kata ya kiman’ga yawezeshwa kupaza sauti changamoto za sekta ya a…

Awali tulikuwa watumishi wawili Dakatari na Nesi lakini kwasasa serikali imeongeza watumishi na tupo wanne angalau changamoto ya kutoa huduma imepungua. Na Maajabu Ally Wananchi wa kata ya Kimang’a Wilayani Pangani Mkoani Tanga wamelishukuru shirika la UZIKWASA kwa kuwezesha uwajibikaji…

20 February 2025, 11:40 am

Raisi Samia kuweka jiwe la msingi ujenzi wa daraja la mto Pangani

Miongoni mwa mambo anayotarajia kufanya katika ziara yake ni kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa daraja la mto Pangani,kukagua ujenzi wa barabara ya Tanga- Pangani -Saadan Bagamoyo na kugawa boti 80 kwa vikundi vya uvuvi Mkoani Tanga Na Maajab…

15 February 2025, 11:21 pm

Programu ya uraghbishi ya TWAWEZA yaleta matumaini kwa wananchi wa Pangani

Miongoni mwa maeneo yaliyofanyiwa kazi zaidi na mradi wa uraghbishi ni Afya, elimu, miundombinu kutokana na wananchi kuibua changamoto zinazowakabili. Na Cosmas Clement Utekelezwaji wa mradi wa URAGHBISHI unaendeshwa na shirika la TWAWEZA kwa kushirikiana na shirika la msaada wa…

15 February 2025, 9:58 pm

Aweso aungana na waumini wa dini ya kiislamu Pangani kwenye maulid

Maulid hiyo imefanyika tarehe 14 february 2025 sawa na mwezi kumi na tano shaban kwa mwaka wa kiislamu ikienda sambamba na kufunga masomo. Na Hamisi Makungu Waumini wa Dini ya Kiislamu na watanzania wote wamehimizwa kujifunza na kuziishi tabia njema…

Coverage

Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.

Vision

Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.

Mission

To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.

“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”

Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.

Contents.

Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.