On air
Play internet radio

Recent posts

5 August 2026, 20:59

Hospitali ya Wilaya Pangani yaokoa maisha ya mtoto aliyezaliwa njiti

Wazazi wa toto huyu wameonesha mfano wa ushirikiano mkubwa sana kwetu, na hii inaonyesha kwamba jamii tukishirikiana na wataalamu wa afya basi tunaweza kupata matokeo naiomba jamii iiamini hospitali yao kwa sasa ina uwezo wa kufanya mambo kama haya. Amesema…

27 July 2026, 14:07

Serikali kuwashika mkono watu wenye ulemavu

”Nataka kuwahakikishia serikali imeanzisha mfumo maalumu kwa ajili ya walemavu utakaotumika kutambua idadi ya walemavu ili kufikia utatuzi wa mahitaji yao”, Bwana Tadei Kamisa. Na Cosmas Clement Shirika la UZIKWASA  limekutana na wawakilishi wa watu wenye ulemavu wa aina mbalimbali…

17 June 2026, 16:56

Vitendea kazi kwa maafisa ugani,chachu ya mageuzi ya kilimo wilayani Pangani

“Kwahiyo mara ya kwanza kukodi pikipiki ilikuwa ni changamoto kwahiyo mkulima akipata changamoto ilikuwa ni ngumu kufikia, hivyo wakulima walikuwa wanalima kwa namna wanavyoweza wao, lakini uwepo wa pikipiki hizi na vishikwambi imesaidia kuwafikia wakulima katika mashamba na kuchangia ongezeko…

12 June 2026, 14:29

Maji ya Mto Pangani ndoto inayokwenda kutimia

Na Hamisi Makungu Kilio cha muda mrefu kwa wananchi wa Wilaya ya Pangani juu ya ukosefu wa maji safi na salama licha ya kuishi karibu na mto Pangani, kilisikika zaidi katika Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…

Coverage

Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.

Vision

Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.

Mission

To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.

“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”

Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.

Contents.

Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.