Pangani FM

Recent posts

14 March 2023, 1:13 pm

Nguvu ya mafunzo ya mguso kuboresha vyombo vya habari

Kwa miaka mingi Shirika la UZIKWASA limekuwa likitoa mafunzo ya ‘mguso’ ambayo yamekuwa yakiwawezesha watu binafsi kutafakari nafasi zao katika kuchochea mabadiliko chanya pamoja na mabadiliko ya kitaasisi na Jamii kwa ujumla. Na Erick Mallya Shirika la UZIKWASA lililopo wilayani…

13 March 2023, 2:18 pm

UZIKWASA yawakutanisha viongozi wa vyombo vya Habari Tanzania

Kwa miaka mingi Shirika la UZIKWASA limekuwa likitoa mafunzo ya ‘mguso’ ambayo yamekuwa yakiwawezesha watu binafsi kutafakari nafasi zao katika kuchochea mabadiliko chanya pamoja na mabadiliko ya kitaasisi na Jamii kwa ujumla. Na Erick Mallya Shirika la UZIKWASA lililopo wilayani…

9 March 2023, 8:38 pm

UZIKWASA yaadhimisha Kipekee Siku ya Wanawake Duniani 2023

Katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya wanawake 2023 yenye kauli mbiu isemayo ‘Ubunifu na mabadiliko ya teknolojia, chachu katika kuleta usawa wa kijinsia’. Shirika la UZIKWASA kwa mara ya kwanza limetoa nafasi kwa kamati za mazingira kuonyesha…

6 March 2023, 10:03 pm

Shilole atoa wito huu kwa wazazi Mitandaoni.

Msanii wa muziki na mjasiriamali maarufu Tanzania Bi. Zuwena Mohamed maarufu kama ‘Shilole’ ametoa wito kwa  wanawake kuwalinda  watoto wao dhidi ya vitendo vya ukatili vinavyoweza kutokana na  matumizi ya mitandao ya kijamii. Shilole alikuwa moja ya wageni walopata afas…

6 March 2023, 9:55 pm

Mwenyekiti U.W.T awasisitiza wanawake Kugombea

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania UWT Bi. Mary Pius Chatanda  amewataka wanawake kuhakikisha wanachukua fomu kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika chaguzi zijazo. Bi Chatanda ameyasema hayo katika maadhimisho ya siku ya wanawake  Duniani, ambayo yamefanyika wilayani Pangani hapo…

1 March 2023, 1:53 pm

Barabara ya Lami Tanga-Pangani hii hapa.

Barabara ya Tanga-Pangani KM 50, ni sehemu ya barabara ya Tanga- Pangani- Saadani -Bagamoyo  yenye urefu wa KM 256 ambayo ni sehemu ya barabara kuu ya Horohoro-Tanga- Pangani- Saadani – Bagamoyo  hadi Dar es Salaam kwa upande wa Tanzania na…

25 February 2023, 4:50 pm

Polisi Muheza waingilia kati utoro unaosababishwa na Machungwa

Na Saa Zumo Baadhi ya vijana wilayani Muheza Mkoani Tanga wamekumbwa na tabia ya kutotilia mkazo suala la Elimu na kukimbilia katika biashara ya uuzaji wa machungwa. Kutokana na wilaya hiyo kuzalisha kwa wingi machugwa zao hilo ni rahisi kupatikana…

18 February 2023, 4:05 pm

AKA alikuwa kama Diamond kwa Afrika Kusini

Na Erick Mallya Siku ya Ijumaa, ibada ya kumbukumbu ambayo ilikuwa wazi kwa umma ilifanyika katika Kituo cha Mikutano cha Sandton, Johanesburg nchini Afrika Kusini katika kuadhimisha maisha ya msanii huyo na mchango wake katika tasnia ya muziki ya Afrika…

16 February 2023, 4:09 pm

Ombi la Aweso kwa Mkuu wa wilaya ya Pangani

Na Saa Zumo Mbunge wa Jimb la Pangani Mkoani Tanga Mheshimiwa Jumaa Hamidu Aweso amemshauri mkuu wa wilaya ya Pangani Bi. Zainabu Abdalla kuliweka suala la kushughulikia changamoto zilizopo katika Hospitali ya Halmashaur ya wilaya hiyo katika moja ya vipaumbele…

15 February 2023, 4:55 pm

Hatua zaanza dhidi ya athari za mabadiliko ya tabianchi kwa wanawake Pangani

Na Erick Mallya Wadau mbalimbali wilayani Pangani Mkoani Tanga wametakiwa kuogeza jitihada zao katika utunzaji wa mazingira na kuiwezesha jamii kushiriki kikamilifu katika kuzuia na kustahimili mabadiliko ya tabia nchi ili kuwanusuru wanawake dhidi ya masaibu mbalimbali wanayokutana nayo ambayo…

Coverage

Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.

Vision

Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.

Mission

To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.

“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”

Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.

Contents.

Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.