Recent posts
14 February 2023, 9:41 pm
Huku PSG vs Bayern Munich huku AC Milan vs Spurs: uchambuzi toka Pangani
Na Erick Mallya Barani ulaya hii leo wapenzi wa soka watakuwa wameelekeza hisia zao pale katika dimba la parc des Princes Ufaransa katika mchezo wa hatua ya 16 bora kati ya PSG na Bayern Munich mchezo uliosubiriwa kwa hamu kubwa…
13 February 2023, 4:32 pm
UZIKWASA yapongezwa kwa hili 2023
Na Erick Mallya Wadau mbalimbali wa mazingira wilayani Pangani Mkoani Tanga wamelishukuru shirika la UZIKWASA kwa kuanza kutoa mafunzo ya masuala ya mabadiliko ya tabia nchi pamoja na utunzaji wa mazingira wilayani humo. Kuanzia Februari 7 mpaka 10 shirika hilo…
10 February 2023, 10:37 am
Suluhisho la migogoro ya Ardhi na uharibifu wa mazingira Pangani
Katika ngazi ya kijiji mamlaka inayohusika na maandalizi ya mpango wa matumizi ya ardhi ya kijiji ni halmashauri ya Kijiji ambayo inaweza kufanya utekelezaji wake kupitia kamati ya usimamizi na matumizi ya ardhi. Na Erick Mallya Serikali ya kijiji cha…
8 February 2023, 12:08 pm
Yaliyoibuka kwenye ziara ya kushtukiza ya DC kwenye soko la Pangani
Soko la Pangani liko kwenye maboresho makubwa yaliyoplekea kituo cha mabasi ya Pangani-Tanga na Pangani-Muheza kilichokuwa ndani ya Soko hilo kuhamishwa ili kupisha maboresho hayo. Kwa miaka mingi soko hilo limekuwa taswira ya mji wa Pangani na kituo maarufu kwa…
2 February 2023, 9:01 pm
Mkuu wa wilaya atoa agizo hili katika Sheria Pangani.
Na Saa Zumo kushirikiana na Erick Mallya Kauli mbiu ya wiki ya Sheria mwaka 2023 ni ‘Umuhimu wa Utatuzi wa Migogoro kwa Njia ya Usuluhishi Katika Kukuza Uchumi Endelevu: Wajibu wa Mahakama na Wadau.’ Mkuu wa wilaya ya Pangani Bi.…
31 January 2023, 11:56 am
DAS Pangani atangaza hatua dhidi ya wazazi wasiochangia chakula Shuleni
Jumla ya wanafunzi 280 walifanya mitihani ya Darasa la Saba mwaka 2022 katika shule ya msingi Kipumbwi. Waliochaguliwa kujiunga na Elimu ya Sekondari ni 219 na ambao hawakufanikiwa kupata alama za kutosha kuendelea na elimu ya Sekondari ni 61. Na…
30 January 2023, 12:29 pm
Wakulima Pangani wanavyotumia redio kustahimili mabadiliko ya tabianchi
Mabadiliko ya tabianchi yameleta changamoto nyingi katika mifumo ya uzalishaji na hata maisha ya kila siku. Hali hii inafanya upatikanaji wa taarifa na huduma za hali ya hewa kuwa suala la msingi na la dharura. Na Erick Mallya Wataalamu wamethibitisha…
30 January 2023, 10:25 am
Nishati safi ya kupikia Je wanawake Pangani wanasemaje?
Hujambo na Karibu kusikiliza Makala maalumu inayoangazia namna wanawake wanavyoweza kutumia nishati safi ya kupikia ili kutunza mazingira.
14 December 2022, 9:44 pm
Kivuko cha Pangani kuanza kufanya kazi kwa saa 18
Hatimaye kufuatia hitaji la muda mrefu leo hii Serikali Wilayani Pangani Mkoani Tanga imetangaza kuwa Kivuko cha Pangani-Bweni kimeongezewa muda wa saa 2 za kufanya kazi tofauti na muda wa awali ambapo klikuwa kikifanya kazi kuanzia saa 12 Asubuh mpaka…
22 November 2022, 4:35 pm
Mguso kwa Watumishi wapya Pangani.
Watumishi wa kada mbalimbali za Halmashauri ya wilaya ya Pangani waloshiriki kwenye mafunzo ya Siku tatu ya uongozi wa mguso yanayotolewa na Shirika la UZIKWASA wamelishukuru shirika hilo na kuahidi kuyafanyia kazi ili kuongeza ufanisi katika utoaji huduma pamoja na…