Pangani FM
Pangani FM
14 November 2025, 21:46
Na Catherine Sekibaha Makala hii ya Nitunze Nikutunze inaangazia namna mazoea yaliyojengeka kwenye jamii ya watu wengi kwamba ili chakula kiwe kizuri ni lazima kipikwe na nishati isiyo safi ilhali nishati hiyo si rafiki kwa mazingira wala kwa afya zao…
24 September 2025, 22:47
“Amani ni hewa unavuta bila ushuru lakini kwakuwa ipo unaweza kuona ni jambo lakawaida ni sawa na amani ikiwemo unaona kama haina haja ila ikitoweka ndiyo unona faida yake.” Wasira Na Cosmas Clement Makamu mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi bara…
4 September 2025, 22:06
Shirika la We world linashirikiana kwa pamoja na 4H Tanzania kwa ajili ya kukuza uelewa kwa wanafunzi katika baadhi ya shule wilayani Pangani. Na Abdilhalim Shukran Shirika la we world kwakushirikiana na 4H Tanzania, wamekutanisha wanafunzi, walimu na baadhi ya…
2 September 2025, 18:58
Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania imekuwa ikitoa taarifa utabiri wa hali ya hewa uliopimwa kwa njia za kisayansi kisha kusambazwa kwa wananchi katika maeneo husika. Hata hivyo katika jamii za wakulima na wafugaji na wavuvi wilayani Pangani, wapo wagunduzi…
30 August 2025, 20:04
Na Maajabu Madiwa Nishati ya solar katika zahanati ya mtaa wa marungu iliyopo halmashauri ya jiji la Tanga inatajwa kuleta mwanga salama kwa wanawake wakati wa kujifungua . Hatua hii inatokana na mahusiano mazuri yaliyowekwa baina ya serikali na wadau…
29 August 2025, 11:31
“Tunaona mambo makubwa yanakwenda kutokea kwa sababu lengo kubwa la huu Uraghbishi ni kuchochea uwajibikaji.” Na Cosmas Clement Utekelezwaji wa program ya uraghbishi inayoendeshwa na shirika la usaidizi wa kisheria (PACOPA) kwa kushirikiana na shirika la Twaweza wilayani Pangani umetajwa…
15 August 2025, 12:55
Na Cosmas Clement. Makala haya yanaelezea jinsi hali ya utoro ilivyopungua kwa shule za msingi wilaya ya Pangani kwa kipindi cha kuanzia June 2022 hadi June 2023 kutoka asilimia 15 kufikia asilimia 2. katika makala haya utasikia jinsi ushirikiano wa…
12 August 2025, 17:49
Makala ya Afya yako ilipofika katika Kituo cha afya Tongoni mwaka 2023 ilikutana na changamoto ya kukosekana kwa huduma za uzazi. Pangani FM iliwasilisha changamoto hizo katika Serikali ya Wilaya ya Tanga, na kuahidi kwamba ingerejea tena mwaka mmoja baadae.…
25 July 2025, 20:55
Na Cosmas Clement Suala la uhifadhi wa misitu huhitaji ushirikiano na jitihada kubwa kuhakikisha hakuna muingiliano wa shughuli za kijamii ndani yake ikiwemo ukataji miti kwa ajili ya kuni na mkaa kwa ajili ya kupikia pia kwa ajili ya kukata…
17 July 2025, 21:41
Awali imeelezwa mahakamani kuwa mtuhumiwa alitenda makosa hayo kwa nyakati tofauti kuanzia tarehe 16 Julai 2024 ambapo alifanya vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia kwa wanafunzi watano wa kike na mmoja wa kiume, wote wenye umri kati ya miaka 14 na…
Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.
Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.
To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.
“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”
Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.
Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.