Recent posts
9 June 2026, 11:52 am
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na majukumu yake
Sekretarieti ya maadili imeeleza jinzi inavyofanya kazi kwa mujibu wa sheria za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania huku ikieleza majukumu iliyonayo katika usimamizi wa maadili ya viongozi wa Umma. Na: Sharifat Shinji Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imeanzishwa…
6 June 2026, 6:51 pm
Ushirikiano wa wanandoa katika upangaji wa bajeti za familia
Kutokana na takwimu na machapisho mbalimbali kuhusu umhimu wa kupanga bajeti kwa wanandoa na familia kwa ujumla Buha FM Radio imeangazia umhimu wa wanandoa kushirikiana katika upangaji wa bajeti. Imeandaliwa na Timu nzima ya Makala ya kipindi chetu leo Kwa…
6 June 2026, 5:05 pm
TAWEN kuwawezesha kiuchumi wakazi wa Kasulu
Shirika la TAWEN limesema limejipanga kuwawezesha wananwake wa Halmashauri ya Mji Kasulu kiuchumi na kuachana na vikundi vya vikomba ambavyo vimekuwa changamoto kwa baadhi familia. Na; Irene Cherles Katibu Tawala Halmashauri Mji Kasulu Bi.Theresia Mtewele amesema elimu ya ujasiriamali ndio…
4 June 2026, 11:48 am
Kasulu washauriwa kutumi mamlaka kusuluhisha migogoro ya ardhi
Mkaguzi msaidizi wa polisi ( A/Insp.) Willy Lupa ambaye ni Polisi kata ya Nyamunyusi amesema wananchi wanaokumbana na migogoro ya aridhi kusuluhisha katika mamalaka husika kabla ya kufikishana polisi. Na; Paulina Majaliwa Wananchi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wameshauriwa kusuluhisha migogoro…
12 May 2026, 9:41 am
Angilikana Kasulu yazindua mradi wa magari ya abiria
Waumini wa Kanisa la Angilikana Dayosisi ya Western Tanganyika wilayani Kasulu waombwa kuendelea kujitolea katika uchangiiaji wa maendeleo ya kanisa hilo. Na; Emily Adam Kanisa la Angilikana Dayosisi ya Western Tanganyika wilayani Kasulu mkoani Kigoma limefanya uzinduzi wa mradi wa…
10 May 2026, 5:16 pm
Klabu ya mazoezi yazinduliwa hospitali ya rufaa Kabanga
Jamii yasisitizwa kufanya mazoezi ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukizwa. Na; Sharifat Shinji Hospitali ya Rufaa Kabanga imezindua klabu ya mazoezi (Jogging Club) ikiwa ni juhudi za kuunga mkono serikali kupunguza wimbi la magonjwa yasiyoambukizwa ambapo kila Jumamos klabu hiyo itafanya…
6 May 2026, 8:38 pm
Maafisa usafirishaji walia na bei ya Mafuta Kasulu
Baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) kutangaza bei mpya za mafuta wafanya biashara ya Usafirishaji waeleza ongezeko hilo la bei. Na; Helbeth Barayata Maafisa usafirishaji alimarufu Bodaboda katika Halimashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma…
6 May 2026, 8:10 pm
Kasulu yasisitiza matumizi sahihi na marejesho ya mikopo ya 10%
Wananchi na wanufaika wa mikopo ya asilimia 10% waombwa kuitumia vizuri na kurejesha kwa wakati. Na; Mwandishi wetu Mwenyekiti wa Kamati ya Uhakiki wa Mikopo ya 10% na Katibu Tawala wa Wilaya ya Kasulu, Theresia Mtewele, amevitaka vikundi vinavyoomba mikopo…
22 April 2026, 12:04 am
Madiwani Kasulu waombwa kusimamia oparesheni ya kurudisha wakimbizi
“Kigoma ndo Mkoa pekee umebaki na wakimbizi wengi kuliko maeneo yote, Nyarugusu pekee inahudumia zaidi ya wakimbizi 140,000 kwahiyo hakikisheni mnasimamia kikamilifu zoezi la raia hawa wa kigeni wanarudishwa kwao pamoja na kushirikiana kutoa tarifa za raia walioingia kinyume na…
21 April 2026, 10:44 pm
Magonjwa yasiyoambukizwa yatajwa kuwa janga la dunia
Daktari Simon Mtekwa amesema magonjwa yasiyo ya kuambukiza yameendelea kuisumbua dunia kwa sasa. Na; Helbeth Barayata Wananchi wa Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma waaswa kujikinga na magojwa yasiyo ya kuambukizwa kwa kuchukua tahadhari ya lishe, mazoezi na uchunguzi wa…