Recent posts
10 May 2026, 5:16 pm
Klabu ya mazoezi yazinduliwa hospitali ya rufaa Kabanga
Jamii yasisitizwa kufanya mazoezi ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukizwa. Na; Sharifat Shinji Hospitali ya Rufaa Kabanga imezindua klabu ya mazoezi (Jogging Club) ikiwa ni juhudi za kuunga mkono serikali kupunguza wimbi la magonjwa yasiyoambukizwa ambapo kila Jumamos klabu hiyo itafanya…
6 May 2026, 8:38 pm
Maafisa usafirishaji walia na bei ya Mafuta Kasulu
Baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) kutangaza bei mpya za mafuta wafanya biashara ya Usafirishaji waeleza ongezeko hilo la bei. Na; Helbeth Barayata Maafisa usafirishaji alimarufu Bodaboda katika Halimashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma…
6 May 2026, 8:10 pm
Kasulu yasisitiza matumizi sahihi na marejesho ya mikopo ya 10%
Wananchi na wanufaika wa mikopo ya asilimia 10% waombwa kuitumia vizuri na kurejesha kwa wakati. Na; Mwandishi wetu Mwenyekiti wa Kamati ya Uhakiki wa Mikopo ya 10% na Katibu Tawala wa Wilaya ya Kasulu, Theresia Mtewele, amevitaka vikundi vinavyoomba mikopo…
22 April 2026, 12:04 am
Madiwani Kasulu waombwa kusimamia oparesheni ya kurudisha wakimbizi
“Kigoma ndo Mkoa pekee umebaki na wakimbizi wengi kuliko maeneo yote, Nyarugusu pekee inahudumia zaidi ya wakimbizi 140,000 kwahiyo hakikisheni mnasimamia kikamilifu zoezi la raia hawa wa kigeni wanarudishwa kwao pamoja na kushirikiana kutoa tarifa za raia walioingia kinyume na…
21 April 2026, 10:44 pm
Magonjwa yasiyoambukizwa yatajwa kuwa janga la dunia
Daktari Simon Mtekwa amesema magonjwa yasiyo ya kuambukiza yameendelea kuisumbua dunia kwa sasa. Na; Helbeth Barayata Wananchi wa Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma waaswa kujikinga na magojwa yasiyo ya kuambukizwa kwa kuchukua tahadhari ya lishe, mazoezi na uchunguzi wa…
17 April 2026, 5:06 pm
Mamia wahudumiwa kibingwa Hospitali ya Rufaa Kabanga
“Lengo la hospitali yetu ni kuwasaidia wagonjwa kwa ukaribu zaidi kama sera ya wizara ya afya inavyotaka hivyo hata sisi tumesogeza huduma hizi za kibingwa ili kurejesha matumaini ya wananchi wa Kasulu na maeneo mengine jirani” Amesema Dkt. Kitenyi. Na;…
13 April 2026, 9:35 pm
Wafurika kambi ya madaktari bingwa Hospitali ya Rufaa Kabanga
Wananchi mkoani Kigoma wafurahia huduma za madaktari bingwa katika Hospitali ya Rufaa Kabanga. Na Sharifat Shinji Wananchi wa Wilaya ya Kasulu na Mkoa wa Kigoma kwa ujumla wamejitokeza kwa wingi katika hospitali ya rufaa Kabanga kwa ajili ya kupata huduma…
6 April 2026, 9:51 am
Kabanga kuendesha kambi ya madaktari bingwa
Wananchi wilayani Kasulu na mkoa wa Kigoma kwa ujumla waombwa kujitokeza siku ya kambi ya madaktari bingwa katika hospitali hiyo. Na; Sharifat Shinji Hospitali ya Rufaa Kabanga wilayani Kasulu mkoani Kigoma inatarajia kuwa na Kambi ya madaktari bingwa kuanzia tarehe…
17 March 2026, 6:45 pm
Kasulu yanufaika na ruzuku ya majiko banifu
“Majiko haya mkayatumie vizuri kwani kutokana na serikali kuyatoa kwa gharama kidogo isiwe sababu ya kuyapeleka kwingine na watu watakaofanya hivyo nikiwabaini nitawashughulikia” Amesema Mwakisu. Na; Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kanali Isaack Mwakisu, amesema Rais wa Jamhuri…
10 March 2026, 11:31 pm
Bugaga wanufaika na Miche 120,000 ya kahawa
“Tungependa kahawa hii imee na kusambaa katika Halmashauri yetu ya Wilaya ya Kasulu, hivyo tumieni fursa hii ambayo serikali imeitoa bure mkaitunze na msiende kuifanyia biashara badala yake mkaipande kwenye maeneo yenu”Amesema Ladislaus. Na; Mwandishi wetu Wakazi wa Kijiji cha…