17 March 2026, 6:45 pm

Kasulu yanufaika na ruzuku ya majiko banifu

“Majiko haya mkayatumie vizuri kwani kutokana na serikali kuyatoa kwa gharama kidogo isiwe sababu ya kuyapeleka kwingine na watu watakaofanya hivyo nikiwabaini nitawashughulikia” Amesema Mwakisu. Na; Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kanali Isaack Mwakisu, amesema Rais wa Jamhuri…

On air
Play internet radio

Recent posts

10 May 2026, 5:16 pm

Klabu ya mazoezi yazinduliwa hospitali ya rufaa Kabanga

Jamii yasisitizwa kufanya mazoezi ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukizwa. Na; Sharifat Shinji Hospitali ya Rufaa Kabanga imezindua klabu ya mazoezi (Jogging Club) ikiwa ni juhudi za kuunga mkono serikali kupunguza wimbi la magonjwa yasiyoambukizwa ambapo kila Jumamos klabu hiyo itafanya…

6 May 2026, 8:38 pm

Maafisa usafirishaji walia na bei ya Mafuta Kasulu

Baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) kutangaza bei mpya za mafuta wafanya biashara ya Usafirishaji waeleza ongezeko hilo la bei. Na; Helbeth Barayata Maafisa usafirishaji alimarufu Bodaboda katika Halimashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma…

6 May 2026, 8:10 pm

Kasulu yasisitiza matumizi sahihi na marejesho ya mikopo ya 10%

Wananchi na wanufaika wa mikopo ya asilimia 10% waombwa kuitumia vizuri na kurejesha kwa wakati. Na; Mwandishi wetu Mwenyekiti wa Kamati ya Uhakiki wa Mikopo ya 10% na Katibu Tawala wa Wilaya ya Kasulu, Theresia Mtewele, amevitaka vikundi vinavyoomba mikopo…

22 April 2026, 12:04 am

Madiwani Kasulu waombwa kusimamia oparesheni ya kurudisha wakimbizi

“Kigoma ndo Mkoa pekee umebaki na wakimbizi wengi kuliko maeneo yote, Nyarugusu pekee inahudumia zaidi ya wakimbizi 140,000 kwahiyo hakikisheni mnasimamia kikamilifu zoezi la raia hawa wa kigeni wanarudishwa kwao pamoja na kushirikiana kutoa tarifa za raia walioingia kinyume na…

21 April 2026, 10:44 pm

Magonjwa yasiyoambukizwa yatajwa kuwa janga la dunia

Daktari Simon Mtekwa amesema magonjwa yasiyo ya kuambukiza yameendelea kuisumbua dunia kwa sasa. Na; Helbeth Barayata Wananchi wa Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma waaswa kujikinga na magojwa yasiyo ya kuambukizwa kwa kuchukua tahadhari ya lishe, mazoezi na uchunguzi wa…

17 April 2026, 5:06 pm

Mamia wahudumiwa kibingwa Hospitali ya Rufaa Kabanga

“Lengo la hospitali yetu ni kuwasaidia wagonjwa kwa ukaribu zaidi kama sera ya wizara ya afya inavyotaka hivyo hata sisi tumesogeza huduma hizi za kibingwa ili kurejesha matumaini ya wananchi wa Kasulu na maeneo mengine jirani” Amesema Dkt. Kitenyi. Na;…

13 April 2026, 9:35 pm

Wafurika kambi ya madaktari bingwa Hospitali ya Rufaa Kabanga

Wananchi mkoani Kigoma wafurahia huduma za madaktari bingwa katika Hospitali ya Rufaa Kabanga. Na Sharifat Shinji Wananchi wa Wilaya ya Kasulu na Mkoa wa Kigoma kwa ujumla wamejitokeza kwa wingi katika hospitali ya rufaa Kabanga kwa ajili ya kupata huduma…

6 April 2026, 9:51 am

Kabanga kuendesha kambi ya madaktari bingwa

Wananchi wilayani Kasulu na mkoa wa Kigoma kwa ujumla waombwa kujitokeza siku ya kambi ya madaktari bingwa katika hospitali hiyo. Na; Sharifat Shinji Hospitali ya Rufaa Kabanga wilayani Kasulu mkoani Kigoma inatarajia kuwa na Kambi ya madaktari bingwa kuanzia tarehe…

17 March 2026, 6:45 pm

Kasulu yanufaika na ruzuku ya majiko banifu

“Majiko haya mkayatumie vizuri kwani kutokana na serikali kuyatoa kwa gharama kidogo isiwe sababu ya kuyapeleka kwingine na watu watakaofanya hivyo nikiwabaini nitawashughulikia” Amesema Mwakisu. Na; Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kanali Isaack Mwakisu, amesema Rais wa Jamhuri…

10 March 2026, 11:31 pm

Bugaga wanufaika na Miche 120,000 ya kahawa

“Tungependa kahawa hii imee na kusambaa katika Halmashauri yetu ya Wilaya ya Kasulu, hivyo tumieni fursa hii ambayo serikali imeitoa bure mkaitunze na msiende kuifanyia biashara badala yake mkaipande kwenye maeneo yenu”Amesema Ladislaus. Na; Mwandishi wetu Wakazi wa Kijiji cha…

Buha FM Radio

The Radio will be known as BUHA FM RADIO, it is devoted to serve whole Kigoma region and neighbouring area such as Katavi, Tabora, Kagera and Burundi. Our primary target will be the Refugee host area and refugee camps in Kasulu, Kibondo and Kakonko. As the community engagement process, on August 21, 2018, the Organization for Human Investment and Development (OHIDE Tanzania) and RTTS Centre (The refugee-based communication centre) in Nyarugusu Refugee Camp signed a Memorandum of Understanding to collaborate in producing local content based on refugee affairs. The agreement is based on making sure that the refugees voice is included and are well informed, educated, and entertained through Radio broadcasting. Either the goal of the project is to make sure there is a good neighbourhood between the Refugees and the host community and also support the UN agencies and partners to serve both communities in Kasulu, Kibondo, and Kakonko.

Vision 

The VISION of Buha FM Radio is to see the community of Kigoma Region particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role in their development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication to achieve sustainable rural development.

 Objectives of the Buha news and Buha Radio      

The following are our objectives; –

 ·       Enhanced access to the information within refugees and host community through the well-established Radio station

·       Promoted implementation of the United Nations Sustainable Development Goals

·       Reduced tension among refugees and host communities

·       Reduced poverty among women and youth

·       Increased cross border business integrations within the Kigoma region and neighbouring countries

·       Promoted protection to girls, children, and elders

Our Activities

To engage communities in content production

·       To involve Refugees and refugee-based journalists in intercultural programs and current affairs news

·       Give space/cooperate with the Government, UN agencies, Development partners to debate and discuss solutions on challenges being faced by both communities

·       Produce news and programs that ensuring the existence of a harmonious relationship between the refugees and the horst community to foster improved corporation, awareness, and protection issues.

·       Produce information stories on peace and security news from refugee country of origin to promote voluntary repatriation (This will be part of the Go and See visit and Come and Tell method for refugees and host local village leaders)

·       Promote agribusiness and environmental conservation for poverty eradication

·       Promote wildlife conservation

·       Promote the preservation of the indigenous culture of the Kigoma region and historical sites