FM Manyara
FM Manyara
1 May 2026, 8:32 pm
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga, amewataka wafanyakazi kutumia nishati safi ya kupikia kwa kutumia majiko ya umeme ambayo yanatumia umeme kidogo na kuivisha kwa muda mfupi. Na Mzidalfa Zaid Amesema hayo Leo katika siku ya wafanyakazi (meimosi) mkoani…
1 May 2026, 7:39 pm
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga, ameipongeza Kampuni ya MATI Super Brand ya mjini Babati mkoani Manyara kwa kuwaajiri vijana wengi na kupunguza changamoto ya vijana kuwa tegemezi . Na Mzidalfa Zaid Sendiga amesema hayo leo katika maadhimisho ya…
30 April 2026, 1:34 pm
Wananchi wametakiwa wilayani Babati mkoani Manyara wametakiwa kuzingati mlo kamili kwa kula vyakula vyenye lishe na sio kula kwa mazoea huku waisisitizwa kufanya mazoezi ili kujikinga na magonjwa mbalimbali na kuweka Afya zao vizuri. Na Mzidalfa Zaid Hayo yamesemwa na…
29 April 2026, 1:13 am
Na Marino Kawishe. Jumla ya wanavikundi 56 kutoka kwenye vituo vya taarifa na maarifa katika kata ya Mamire na Murray Mkoani Manyara wametoa tathimini ya utekelezaji mradi uletao mabadiliko ambao unatekelezwa kwenye halmashauri 6 na mikoa mitatu hapa nchini. Wakizungumza…
26 April 2026, 11:10 am
 Babati TC yang’ara na kuibuka mshindi wa jumla katika Bonanza la Maadhimisho ya Miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaliyofanyika Jana kwa ngazi ya Mkoa wa Manyara katika Uwanja wa Tanzanite Kwaraa. Na Mzidalfa Zaid Halmashauri ya Mji…
25 April 2026, 11:50 am
Mkoa wa Manyara umeaadhimisha miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar  kwa kufanya shughuli mbalimbali za kijamii ikiwemo upandaji wa miti , kufanya usafi katika halmashauri ya mji wa babati pamoja na kufanya michezo mbalimbali. Na Mzidalfa Zaid Akiongea…
24 April 2026, 6:46 pm
Zaidi ya wananchi 1800 wamenufaika kwa kufanyiwa uchunguzi na matibabu katika kambi maalum ya matibabu na upasuaji katika Hospitali ya Rufaa mkoa wa Manyara na kuhudumiwa na madaktari bingwa na wataalamu bobezi kutoka Marekani kuanzia april 19 hadi april 24,2026.…
24 April 2026, 2:02 pm
Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe. Emmanuela Mtatikolo Kaganda amewataka Wananchi wa Vijiji vya Kiru, Masware na Marangi waliojenga makazi yao ndani ya eneo la muwekezaji kubomoa nyumba zao na kuacha eneo hilo likiwa wazi kwani eneo hilo sio lao…
24 April 2026, 1:02 pm
Mfuko wa Taifa wa hifadhi ya jamii (NSSF) mkoa wa Manyara imewashauri wananchi kujiunga na kuchangia (NSSF) kwa wale ambao wamejiajiri au sekta binafsi kupitia mfuko hifadhi skimu yaani mpango maalum unaolenga kuwawezesha wananchi walioajiriwa kujiunga na kuchangai (NSSF) kulingana…
23 April 2026, 10:08 pm
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Almishi Issa Hazali ameunga mkono kwa vitendo agenda ya Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ya matumizi ya nishati safi kupikia, kwa kununua jiko la umeme lenye Presha (Electrical Pressure Cooker)…
COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.
Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.
We provide and promote business through the following
ï‚· Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
ï‚· Airing spot adverts.
ï‚· Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.
COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.
VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.
MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.