FM Manyara

Recent posts

March 15, 2024, 11:27 pm

Watatu wauawa akiwemo mama mjamzito Manyara

Polisi Manyara inamshikilia  Ahita Dahachi (42), kwa tuhuma za kumuua mama yake mzazi na mama mjamzito. Na Mzidalfa Zaid Jeshi la Polisi mkoani Manyara linamshikilia  mtu mmoja aliyefahamika  kwa jina la Ahita Dahachi (42), kwa tuhuma za kuwaua watu watatu…

March 15, 2024, 11:14 pm

RC Manyara aagiza wakurugenzi kusimamia miradi

Sendiga amewataka wakurugenzi wa halmshauri  za mkoa wa Manyara kusimamia miradi ya kimkakati. Na Mzidalfa Zaid Mkuu  wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga amewataka wakurugenzi wa halmshauri zote za mkoa wa Manyara kuhakikisha miradi yote ya kimkakati inatekelezwa kwa wakati kutokana na…

March 8, 2024, 11:03 am

Wagonjwa 10 wa kipindupindu waruhusiwa Mrara

Wagonjwa waliokuwa wanaugua ugonjwa wa kipindu pindu waruhusiwa baada ya kupatiwa matibabu. Na Mzidalifa zaid Wagonjwa 10 waliokuwa wanaugua ugonjwa wa kipindupindu katika hospitali ya mji mrara wilayani babati mkoani manyara  wameruhusiwa  baada ya kupatiwa matibabu ambapo wananchi wametakiwa kuendelea …

March 7, 2024, 3:56 pm

Nida Manyara yatoa zaidi ya Vitambulisho laki tatu

Nida mkoa wa Manyara yafanikiwa kutoa zaidi ya vitambulisho laki tatu kwa wananchi wa mkoa wa Manyara. Na Hawa Rashid Mamlaka ya vitambilisho vya Taifa Nida mkoa wa Manyara imeafanikiwa kutoa zaidi ya vitambulisho laki tatu kwa wananchi wa mkoa…

February 23, 2024, 5:41 am

Kichanga chaokotwa katika shimo la kuhifadhia maji taka Babati

Na Emmy perter Mwili wa mtoto mchanga umeokotwa leo katika chemba ya kuhifadhia maji taka katika mtaa wa mji mpya nyumba ya ndugu Raeli wanayoishi wapangaji  katika kata ya Maisaka wilayani Babati mkoani Manyara. Mwenyekiti wa mtaa  huo John Mosko …

February 22, 2024, 6:31 pm

Wananchi watakiwa kutowanyanyapaa waraibu wa dawa za kulevya

Jamii  mkoani Manyara imetakiwa kuacha tabia ya kuwanyanyapaa waraibu wa dawa za kulevya na badala yake wawaunganishe na vituo vya tiba. Na Mzidalfa Zaida Jamii  mkoani Manyara na Kanda ya Kaskazini kwa ujumla imetakiwa kuacha tabia ya kuwanyanyapaa waraibu wa…

February 21, 2024, 5:57 pm

Polisi Manyara watumia mabomu ya machozi kutawanya wananchi

Jeshi la polisi mkoani Manyara lalazimika kutumia mabomu ya machozi  kuwatawanya wananchi walioandamana bara bara kuu ya Babati -Arusha kufuatia kuuliwa kwa mtoto wa miaka saba Jeshi la polisi mkoani Manyara limelazimika kutumia mabomu ya machozi  ili kuwatawanya wananchi waliokuwa…

February 20, 2024, 7:14 pm

Mtoto wa miaka 7 Babati auwawa kwa kutenganishwa kichwa, kiwiliwili

Na Mzidalfa Zaid Mtoto mwenye umri wa miaka saba   ambaye ni mwanafuzi wa chekechea  ameuwawa kwa kuchinjwa na mtu asiyejulikana katika kijiji cha Mapea kata ya magugu wilayani babati mkoani Manyara. Akizungumzia tukio hilo Mwenyekiti wa kijiji cha Mapea Filmon…

February 16, 2024, 7:21 pm

Tosci yawataka wakulima kutoa taarifa wanapouziwa mbegu zisizo na ubora

Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kutoa taarifa kwa Taasisi ya kudhibiti ubora wa mbegu Tanzania (TOSCI) wanapobaini wameuziwa mbegu bandia. Na Mzidalfa Zaid Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kutoa taarifa kwa Taasisi ya Kudhibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) wanapobaini wameuziwa mbegu bandia…

About FM Manyara

COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.

Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.

We provide and promote business through the following
 Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
 Airing spot adverts.
 Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.

COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.

VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.

MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.