FM Manyara
FM Manyara
10 April 2026, 6:07 pm
Kuelekea maadhimisho ya siku ya kimataifa ya mtoto anayeishi na kufanya kazi mtaani , wananchi mkoani Manyara wametakiwa kutoa ushirikiano katika mapambano ya watoto waishio mtaani na kufanya kazi mtaani. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na afisa ustawi…
9 April 2026, 5:57 pm
Wananchi mkoani Manyara wameshauriwa kujitokeza katika kambi maalum ya matibabu na upasuaji katika Hospitali ya Rufaa mkoa wa Manyara kuanzia april 19 hadi april 24 mwaka huu itakayohusisha madaktari bingwa na wataalamu bobezi kutoka marekani. Na Mzidalfa Zaid Ushauri huo…
3 April 2026, 12:26 pm
Maafisa wa jeshi la polisi wilayani Babati mkoani Manyara wamepatiwa elimu ya matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa kutumia majiko ya kisasa yanayotumia umeme, ikiwa ni juhudi za serikali kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuendelea kulinda …
3 April 2026, 10:44 am
Zaidi ya wananchi 2700 wamenufaika na kambi ya matibabu ya afya ya siku sita iliyoratibiwa na shirika la SO THEY CAN Tanzania kwa kushirikiana  na halmashauri ya wilaya ya Babati mkoani Manyara. Na Marino Kawishe Akihitimisha  kambi  hiyo ya matibabu …
1 April 2026, 6:43 pm
Wanawake mkoani manyara wametakiwa kulima kilimo cha ikolojia ambacho hakitumia gharama kubwa ili kumuinua mwanamke kiuchumi na kuepelekea kufanya shuguli zake kwa urahisi. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa na mratibu wa vituo vya taarifa na maarifa mkoa wa Manyara…
31 March 2026, 1:31 pm
Katika miaka ya hivi karibuni, suala la usawa wa kijinsia limeendelea kupewa kipaumbele katika jamii nyingi Duniani, ikiwemo Tanzania. Na Mzidalfa Zaid Makala yetu imezungumza na wanawake, wanaume, mganga mkuu wa mkoa wa Manyara ,mkaguzi wa jeshi ka zima moto…
26 March 2026, 10:36 pm
Kambi ya Afya ya matibabu ya siku sita imezinduliwa Rasmi leo kwenye Shule ya Msingi Oim Iliyopo katika kata ya Galapo Wilayani Babati mkoani Manyara iliyoandaliwa na Shirika la So They Can Tanzania. Na Mwandishi Wetu Akizungumza na Fm Manyara…
23 March 2026, 4:02 pm
Leo ikiwa ni Siku ya Hali ya Hewa Duniani, wananchi mkoani Manyara wametakiwa kuzingatia ushauri unaotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) pamoja na kufuatilia utabiri unaotolewa. Na Mzidalfa Zaid Akiongea na FM Manyara mtabiri wa hali ya…
21 March 2026, 8:54 pm
Taasisi ya Chem Chem na Chair The Love kutoka nchini Marekani kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Babati wamekabidhi viti mwendo zaidi ya 148 kwa wananchi wenye mahitaji maalum kutoka maeneo mbalimbali ya halmashauri hiyo. Na Mwandishi Wetu Akizungumza…
19 March 2026, 5:18 pm
Zadi ya wananchi 5000 katika Mkoa wa Manyara wamefanyiwa uchunguzi wa afya ya kinywa na meno ambapo kati yao 318 wamepatiwa matibabu ya kuzibwa meno, 191 wamesafishwa, zaidi ya 500 wamen’golewa meno, 14 wamefanyiwa upasuaji mdogo, 3 upasuaji mkubwa na…
COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.
Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.
We provide and promote business through the following
ï‚· Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
ï‚· Airing spot adverts.
ï‚· Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.
COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.
VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.
MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.