Radio Tadio

Vijana

8 January 2024, 14:20

Viongozi CCM watakiwa kuwekeza kwa watoto

Viongozi wa umoja wa  UVCCM  Kata ya Gungu Manispaa ya Kigoma Ujiji wameomba viongozi wa chama hicho Mkoa wa Kigoma pamoja na wananchi kuwekeza katika malezi ya watoto kwa kuwalea katika misingi ya uadilifu ili baadaye waweze kulitumikia taifa na…

December 7, 2023, 12:49 pm

Bodaboda Ndulamo wakabidhiwa viaksi mwanga

Katika kukabiliana na ajali za barabarani vijana bodaboda wametahadharishwa kuwa makini wanapokuwa barabarani wakati wa usiku wakijitafutia kipato kutokana na matukio mbalimbali yanayotokea ya kiuharifu na shafii Madereva pikipiki (bodaboda) Wilayani Makete Mkoani Njombe wameshauriwa kufuata sheria za barabarani kwa…

November 28, 2023, 11:58 am

Bodaboda Ndulamo wakusanya Milioni 16 kwa mwaka

baadhi ya viongozi wa serikali ya kijiji na jeshi la polisi kwenye mkutano na waendesha bodaboda.picha na mwandishi wetu licha ya jitihada za serikali kuendelea kutoa elimu kwa vijana kuanzisha vikundi pamoja na kupata mikopo vijana wa bodaboda ndulamo kupitia…

16 November 2023, 17:03

Familia ya kijana aliyefariki Kakonko yaomba uchunguzi ufanyike

Familia ya Kijana Enock Elias aliyefariki katika mazingira ya kutatanisha yaomba uchunguzi dhidi ya waliohusika na mauaji hayo. Na Kadislaus Ezekiel Familia ya kijana Enock Elias Sabakwishi, mkazi wa kijiji cha Ilabiro kata ya Katanga wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma,…

25 October 2023, 1:25 pm

Madereva bodaboda wanaoendekeza tamaa Bahi waonywa

Bodaboda wamekuwa na mazoea ya kukodiwa usiku wa manane na watu ambao hawawafahamu matokeo yake wanauawa na kuporwa pikipiki. Na. Bernad Magawa. Kamanda wa Polisi wilaya ya Bahi SSP Idd Ibrahim amekemea vikali madereva wa bodaboda wanaoendekeza tamaa ya fedha…

28 September 2023, 6:26 am

Makundi ya kihalifu na utelekezaji wa watoto

Utelekezaji wa watoto katika familia inatajwa kuwa ni miongoni mwa sababu zinazopelekea ukosefu wa elimu kwa vijana na kuongezeka kwa makundi ya kihalifu Katavi. Na Ben Gadau – MpandaUtelekezaji wa watoto katika familia inatajwa kuwa ni miongoni mwa sababu zinazopelekea…

26 September 2023, 16:20

Vibaka watoto tishio Ndobo Kyela

Kumekuwa na tabia ya baadhi ya wanafunzi wilayani Kyela kujiingiza katika vitendo viovu na kupelekea kushindwa kuendelea na masomo kutokana na sababu mbalimbali na wengine kujiingiza katika wimbi la uhalifu. Na Samwel Mpogole.. Imeibuka tabia kwa baadhi ya vijana katika…

12 September 2023, 3:02 pm

Vijana watakiwa kuacha tabia ya kutazama picha za utupu

Kwa mujibu wa mwanasaikolojia huyo anasema kuwa zipo athari mbalimbali ambazo zinaweza kusababishwa na suala hilo ambapo wanashauri jamii hususani vijana kuachana na tabia hiyo. Na Thadei Tesha. Wito umetolewa kwa Wananchi hususani vijana kuepukana na tabia ya kuangalia picha…