Radio Tadio

Vijana

9 August 2026, 1:19 pm

Je, uchumi wa mwanamke hupunguza ukatili wa kijinsia?

Uwezeshaji wa wanawake kiuchumi umeendelea kuwa moja ya njia zinazotajwa katika kuimarisha uwezo wa wanawake kufanya maamuzi, kujitegemea na kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya familia na jamii. Mzidalfa Zaid na Hawa Rashid Lakini je, kuwa na kipato na uwezo wa…

31 July 2026, 9:18 pm

Lightness aibuka mshindi Tsh 1 mil kampeni ya Yas

Hafla ya kukabidhi hundi ya mshindi huyo imefanyika katika ofisi za Yas zilizopo mtaa wa FM, mjini Mugumu, Wilaya ya Serengeti, Mkoa wa Mara. Na Adelinus Banenwa Katika kuendelea kudhihirisha ubora wa huduma zake na kuwazawadia wateja wake, kampuni ya…

20 June 2026, 12:07

Jamii Mtwara yaaswa kuepuka matumizi holela ya Dawa

Wataalamu wa afya Mtwara wameitaka jamii kuacha kutumia dawa bila vipimo na ushauri wa daktari, wakionya kuwa matumizi yasiyo sahihi yanaweza kusababisha madhara na usugu wa vimelea dhidi ya dawa. Na Musa Mtepa Jamii imetakiwa kuachana na tabia ya kutumia…

17 June 2026, 7:08 pm

Mbunge Bulaya afadhili vifaa vya michezo Bitaraguru FC

Wakati mwingine wachezaji hao walikuwa wakicheza vifua wazi kutokana ana uhaba wa jezi hivyo msaada huo wa jezi utasaidia kwa kiasi kikubwa vijana hao kuongeza morali. Na Adelinus Banenwa Katika kuunga mkono maendeleo ya michezo kwa vijana, Mbunge wa Jimbo…

5 May 2026, 7:14 pm

Wawekezaji watakiwa kuchangamkia fursa Manyara

Wawekezaji  mkoani Manyara wametakiwa kuchangamkia fursa ya kuwekeza biashara mbalimbali  ili kujiinua kiuchumi  baada  ya Geti la Mamire  kufunguliwa  kwa ajili ya  kupitisha  magari  ya watalii. Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga  ameyasema hayo leo wakati…

1 May 2026, 7:39 pm

MATI Super Brand yapongezwa kuongeza ajira kwa vijana

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga, ameipongeza Kampuni ya MATI Super Brand ya mjini Babati mkoani Manyara kwa kuwaajiri vijana wengi na kupunguza changamoto ya vijana kuwa tegemezi . Na Mzidalfa Zaid Sendiga amesema hayo leo katika maadhimisho ya…

26 February 2026, 3:47 pm

Wakazi walia miundombinu duni msimu wa mvua

Licha ya mvua kuleta neema kwa wakulima , hali imekuwa tofauti kwa wakazi wa Nyatorotoro B, kata ya Nyankumbu wilayani na mkoani Geita kwani wanalazimika kulala wakiwa wamesimama. Na: Ester Mabula Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini, Wakazi wa…

8 February 2026, 5:23 pm

Msalala yatoa bilioni moja kwa vikundi vya wajasiriamali

Mkuu wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga Frank Nkinda  amewaasa wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 ya Halmashauri kuitumia vizuri kwa kuinua uchumi wao na zisiwe chanzo cha malumbano na ugomvi baina yao. Nkinda ameyasema hayo wakati akikabidhi hundi ya Shilingi…