Recent posts
19 May 2026, 3:02 pm
Serikali wilayani Kahama imeipiga Marufuku kampuni ya QNET EAGLES UNITED inayoji…
”kuanzia sasa hakuna kufanya biashara katika wilaya hii ya Kahama kwa kuwa hamna vibali pamoja na kuwatapeli wazazi na wanafunzi; Serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga imeipiga Marufuku kampuni ya QNET EAGLES UNITED inayojihusisha na biashara mtandaoni baada ya kubaini kufanya…
15 May 2026, 5:14 pm
Diwani Idahina aomba barabara zilizoharibiwa na mvua zikarabatiwe
”Madiwani waomba barabara zikarabatiwa kutokana na kuharibiwa na mvua” Wakala wa barabara Vijijini na Mjini (TARURA) wilayani Kahama mkoani Shinyanga, wametakiwa kuendelea kuzifanyia matengenezo barabara zilizoharibika kwa mvua ili wananchi waendelee na shughulu za kijamii na kiuchumi. Hayo yamesemwa na…
15 May 2026, 2:26 pm
Madiwani Kahama watakiwa kufanya mikutano mara kwa mara kwa wananchi
Serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga, imewataka madiwani kufanya mikutano ya hadhara katika maeneo yao ili kusikiliza na kutafuta ufumbuzi wa changamoto zinazowakabili wananchi, ambao wengi wao wanakosa majukwaa ya kuwasilisha matatizo yao. Amesema uzoefu unaonesha kuwa kila anapofanya mikutano na…
15 May 2026, 2:19 pm
Idahina waomba kupelekewa huduma ya umeme
”Wananchi kata ya Idahina wanahitaji nishati ya umeme kwenye maeneo ambayo tayari nguzo za umeme zimepita” Wananchi wa Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga, wameiomba serikali kupelekea nishati ya umeme katika laini kubwa ya umeme ili waendelee kukuza vipato…
13 May 2026, 2:07 pm
Wakazi kata ya Kahama Mji wahitaji shule ya sekondari
”Wananchi wa kata ya Kahama mjini wanahitaji shule ya sekondari ili watoto wao waondokane na changamoto ya kusoma katika shule za kata jirani” Wananchi wa kata ya Kahama mjini wilayani Kahama mkoani Shinyanga, wameiomba serikali kujengewa shule ya sekondari ili…
12 May 2026, 4:03 pm
Madiwani Ushetu wacharuka kusuasua ujenzi miundombinu
Baadhi ya Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoa Shinyanga, wametaka kujua mpaka sasa maboma ambayo yameshajenga na yamefikia hatua gani ili wananchi wapate huduma za afya na shule. Akizungumza katika cha baraza la madiwani katika kikao cha robo…
11 May 2026, 3:17 pm
Zaidi ya wakulima 1,092 wadai ruzuku ya mbolea Ushetu
Zaidi ya wakulima 1,092 katika Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga, wanadai ruzuku ya mfuko wa pembejeo aina ya NPK kwa msimu wa kilimo wa mwaka 2023/2024 yenye thamani ya zaidi ya shilingi million 125. Madai hayo yametolewa na…
7 May 2026, 5:24 pm
Wananchi Kahama watakiwa kuwa waaminifu katika shughuli zao za kiuchumi
Wananchi wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuendelea kuwa waaminifu na waadili katika shuguliza zao mbalimbali za kijamii na kiuchumi pasipo kujitafutia faida kubwa. Na Mwandishi wetu Wito huo umetolewa na Askofu wa jimbo katoliki la Kahama Christopher Ndizeye, wakati wa…
7 May 2026, 5:07 pm
Diwani aomba nishati ya umeme ipelekwe katika shule za msingi Mlimani na Mtakuj…
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga limeombwa kupeleka nishati ya umeme katika shule ya Msingi Mlimani na Mtakuja ambazo tayari zimefungwa miundombinu ya umeme zilizoopo katika kata ya Nyahanga. Akizungumza katika baraza la madiwani la Manispaa…
28 April 2026, 4:29 pm
DC Nkinda: TAKUKURU chunguza vikundi vya ukusanyaji ushuru soko la CDT
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Frank Nkinda ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilayani humo kufanya uchunguzi kufuatia malalamiko ya baadhi ya wafanyabiashara kutozwa ushuru mkubwa pamoja na uwepo wa makusanyo yasiyo rasmi yanayowaumiza wafanyabiashara wadogo. Na…
