Recent posts
5 September 2026, 1:03 am
Wazazi Ushetu, watakiwa kuwekeza elimu kwa watoto wao
‘‘Wazazi somesheni watoto wenu ili watimize ndoto zao’’ Wazazi na walezi katika Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuacha tabia ya kuwaozesha watoto wao kwa lengo la kutafuta mali, na badala kuwapa nafasi ya kusoma ili waweze kutimiza…
2 September 2026, 2:38 pm
Madiwani Ushetu watakiwa kuelimisha wananchi mvua za El Nino
Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu mkoani Shinyanga wametakiwa kwenda kuwajengea uelewa wananchi wa Kata zao kuhusu uchukuaji wa tahadhari baada ya Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini -TMA kutangaza ujio wa mvua za juu ya wastani El Nino. Tahadhari hiyo…
30 August 2026, 3:22 pm
Vijana jitokezeni kuonyesha vipaji vyenu vya soka
‘‘Vijana ni wakati wenu sasa wa kuonyesha vipaji vyenu vya soka ili muweze kupata fursa mbalimbali za mchezo wa mpira wa miguu’’ Vijana wa kata ya Nyahanga Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuonyesha vipaji vyao vya kucheza mpira wa…
23 August 2026, 6:43 pm
Ufugaji wa nyuki unavyotunza mazingira
Mradi wa ufugaji nyuki unaofanywa na kikundi cha Tukwikondele katika Kijiji cha Buyange, Kata ya Bugalama, Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga, umetajwa kuwa na mchango mkubwa katika kuboresha maisha ya wananchi, huku ukichochea uhifadhi wa mazingira na kukabiliana na athari…
23 August 2026, 5:14 pm
Wananchi 51,000 kunufaika na ujenzi wa wodi ya wazazi Kakola
“Serikali kuu ilileta shilingi Milioni 250 na Halmashauri ya Msasa imetoa zaidi ya shilingi Milioni 19 kwa kuboresha miundombinu ya kituo hicho’’ Sebastian Mnakaya Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Wazo Mwang’onda ameweka jiwe la msingi kwenye jengo…
23 August 2026, 3:58 pm
Msalala yapongezwa kwa ujenzi vyumba vya madarasa
‘‘Mwenge wa uhuru waweka jiwe la msingi katika ujenzi wa vumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Segese’’ Na Sebastian Mnakaya Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Wazo Mwang’onda ameipongeza Halmashauri ya Msalala Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga…
22 August 2026, 8:12 pm
Waraibu waomba serikali kuendeleza vita dhidi ya wauza dawa za kulevya
Waraibu wa matumizi ya dawa za kulevya wanaopatiwa matibabu katika Jengo la Waraibu lililopo Hospitali ya Manispaa ya Kahama mkaoni Shinyanga, wameiomba Serikali kuongeza juhudi za kupambana na wauzaji na wasambazaji wa dawa hizo. Na Sebastian Mnakaya Ombi hilo wamelitoa…
22 August 2026, 1:43 pm
Kahama yasajili vikundi maalum 326 katika mfumo wa NeST
‘‘Endeleeni kusajili vikundi na kutumia katika zabuni mtakazokuwa mnatangaza ili nao wawe sehemu ya wanufaika’’ Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga imefanikiwa kusajili jumla ya vikundi 326 vya makundi maalum katika Mfumo wa Manunuzi ya Umma kwa Njia ya…
17 August 2026, 12:27 pm
Vikundi 12 Kahama kortini kwa kutorejesha mikopo ya 10%
‘‘Vikundi rejesheni fedha mlizokopa ili na vikundi vingine vipatiwe fedha hizo’’ Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga imevipeleka vikindi 12 kwa kutofuata utaratibu wa kurejesha mikopo inayotolewa kwa fedha za mapato ya ndani ya 10% kwa wanawake, vijana na…
15 August 2026, 8:24 pm
Kahama yapokea bil. 295.2 utekelezaji wa miradi ya maendeleo
Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Kahama mkoani Shinyanga wanayoisimamia utekelezaji wa Ilani ya CCM 2025/20230, wametakuwa kuweka mifumo mizuri ya ufatiliaji wa utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ili iweze kukamilika kwa wakati. Na mwandishi wetu Kauli hiyo…
