Recent posts
28 May 2026, 1:42 pm
Makarani Kahama wafundwa kuelekea uchaguzi mdogo
Makarani waongozaji wa uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Zongomela wametakiwa kusoma Katiba sheria na miongozo ya tume ya uchaguzi Pamoja na kujiepusha kuwa vyanzo vya malalamiko kutoka katika vyama vya siasa. Na mwandishi wetu Wito huo umetolewa na msimamizi…
28 May 2026, 1:32 pm
Manispaa ya Kahama yatia saini ya ujenzi wa wa barabara ya lami
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Prof. Riziki Shemdoe, ameshuhudia utiaji saini wa mkataba wa ujenzi wa barabara katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga kupitia Mradi wa TACTIC. Na mwandishi…
19 May 2026, 3:02 pm
Serikali wilayani Kahama imeipiga Marufuku kampuni ya QNET EAGLES UNITED inayoji…
”kuanzia sasa hakuna kufanya biashara katika wilaya hii ya Kahama kwa kuwa hamna vibali pamoja na kuwatapeli wazazi na wanafunzi; Serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga imeipiga Marufuku kampuni ya QNET EAGLES UNITED inayojihusisha na biashara mtandaoni baada ya kubaini kufanya…
15 May 2026, 5:14 pm
Diwani Idahina aomba barabara zilizoharibiwa na mvua zikarabatiwe
”Madiwani waomba barabara zikarabatiwa kutokana na kuharibiwa na mvua” Wakala wa barabara Vijijini na Mjini (TARURA) wilayani Kahama mkoani Shinyanga, wametakiwa kuendelea kuzifanyia matengenezo barabara zilizoharibika kwa mvua ili wananchi waendelee na shughulu za kijamii na kiuchumi. Hayo yamesemwa na…
15 May 2026, 2:26 pm
Madiwani Kahama watakiwa kufanya mikutano mara kwa mara kwa wananchi
Serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga, imewataka madiwani kufanya mikutano ya hadhara katika maeneo yao ili kusikiliza na kutafuta ufumbuzi wa changamoto zinazowakabili wananchi, ambao wengi wao wanakosa majukwaa ya kuwasilisha matatizo yao. Amesema uzoefu unaonesha kuwa kila anapofanya mikutano na…
15 May 2026, 2:19 pm
Idahina waomba kupelekewa huduma ya umeme
”Wananchi kata ya Idahina wanahitaji nishati ya umeme kwenye maeneo ambayo tayari nguzo za umeme zimepita” Wananchi wa Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga, wameiomba serikali kupelekea nishati ya umeme katika laini kubwa ya umeme ili waendelee kukuza vipato…
13 May 2026, 2:07 pm
Wakazi kata ya Kahama Mji wahitaji shule ya sekondari
”Wananchi wa kata ya Kahama mjini wanahitaji shule ya sekondari ili watoto wao waondokane na changamoto ya kusoma katika shule za kata jirani” Wananchi wa kata ya Kahama mjini wilayani Kahama mkoani Shinyanga, wameiomba serikali kujengewa shule ya sekondari ili…
12 May 2026, 4:03 pm
Madiwani Ushetu wacharuka kusuasua ujenzi miundombinu
Baadhi ya Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoa Shinyanga, wametaka kujua mpaka sasa maboma ambayo yameshajenga na yamefikia hatua gani ili wananchi wapate huduma za afya na shule. Akizungumza katika cha baraza la madiwani katika kikao cha robo…
11 May 2026, 3:17 pm
Zaidi ya wakulima 1,092 wadai ruzuku ya mbolea Ushetu
Zaidi ya wakulima 1,092 katika Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga, wanadai ruzuku ya mfuko wa pembejeo aina ya NPK kwa msimu wa kilimo wa mwaka 2023/2024 yenye thamani ya zaidi ya shilingi million 125. Madai hayo yametolewa na…
7 May 2026, 5:24 pm
Wananchi Kahama watakiwa kuwa waaminifu katika shughuli zao za kiuchumi
Wananchi wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuendelea kuwa waaminifu na waadili katika shuguliza zao mbalimbali za kijamii na kiuchumi pasipo kujitafutia faida kubwa. Na Mwandishi wetu Wito huo umetolewa na Askofu wa jimbo katoliki la Kahama Christopher Ndizeye, wakati wa…
