Recent posts
7 May 2026, 5:24 pm
Wananchi Kahama watakiwa kuwa waaminifu katika shughuli zao za kiuchumi
Wananchi wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuendelea kuwa waaminifu na waadili katika shuguliza zao mbalimbali za kijamii na kiuchumi pasipo kujitafutia faida kubwa. Na Mwandishi wetu Wito huo umetolewa na Askofu wa jimbo katoliki la Kahama Christopher Ndizeye, wakati wa…
7 May 2026, 5:07 pm
Diwani aomba nishati ya umeme ipelekwe katika shule za msingi Mlimani na Mtakuj…
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga limeombwa kupeleka nishati ya umeme katika shule ya Msingi Mlimani na Mtakuja ambazo tayari zimefungwa miundombinu ya umeme zilizoopo katika kata ya Nyahanga. Akizungumza katika baraza la madiwani la Manispaa…
28 April 2026, 4:29 pm
DC Nkinda: TAKUKURU chunguza vikundi vya ukusanyaji ushuru soko la CDT
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Frank Nkinda ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilayani humo kufanya uchunguzi kufuatia malalamiko ya baadhi ya wafanyabiashara kutozwa ushuru mkubwa pamoja na uwepo wa makusanyo yasiyo rasmi yanayowaumiza wafanyabiashara wadogo. Na…
28 April 2026, 4:14 pm
Wachimbaji wadogo wa madini wahimizwa usalama kazini
Mkurugenzi wa Huduma za Leseni wa Tume ya Madini, Mhandisi Aziza Swedi (Sebastian Mnakaya) Wakaguzi Wakuu wa Migodi pamoja na wachimbaji wadogo nchini wamesisitizwa umuhimu wa kuimarisha usalama kazini, kulinda mazingira na kuongeza mchango wa sekta ya madini katika ukuaji…
28 April 2026, 4:00 pm
Wakaguzi wahimizwa kuzingatia maadili ya uchimbaji
Wakaguzi wakuu migodi mkoani Shinyanga wametakiwa kutoa taaifa za kweli na sahihi kwa kile kitakacho tokea katika migodi ili kuondoka na taarifa zinazoleta tahuruki kwa Jamii, pamoja na kuzingatia maadili ya uchimbaji. Sebastian Mnakaya Wito huo umetolewa leo na mwenyekiti…
29 March 2026, 12:23 am
TANESCO Kahama yakabidhiwa vitendea kazi
Serikali kupitia Wizara ya Nishati imekabidhi vitendea kazi kwa TANESCO Mkoa wa Shinyanga, vikiwemo magari manne, bajaji moja na pikipiki mbili, ili kuboresha utoaji wa huduma za umeme hasa vijijini. Na Sebastian Mnakaya Akizungumza katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika mjini…
26 March 2026, 12:03 pm
Halmashauri Ushetu yazindua rasmi chanjo ya polio
”Chanjo ya polio ni salama, imehakikiwa kitaalam, na hutolewa bila malipo yoyote, hivyo hakuna sababu kwa mzazi au mlezi kushindwa kumpeleka mtoto wake kupata huduma hiyo muhimu” Sebastian Mnakaya Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga imezindua rasmi kampeni ya…
25 March 2026, 4:25 pm
Polio yabisha hodi Mwanza, Kahama yazindua utoaji chanjo
Na Sebastian Mnakaya Watoto takribani 145,820 wanatarajiwa kufikiwa na chanjo ya polio Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga huku watoa huduma ya chanjo wakitarajia kuwafikia watoto hao nyumba kwa nyumba, stend, sokoni, shule, vituo vya kulea watoto na kliniki. Kaimu Mganga…
23 March 2026, 6:18 pm
Mabinti 18 wanaoishi mazingira magumu Kahama wafadhiliwa masomo
Na Sebastian Mnakaya Zaidi ya mabinti 18 wanaoishi katika mazingira magumu halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, wamepatiwa ufadhili na serikali kusomeshwa katika elimu ya ufundi VETA kwa fani mbalimbali, ikiwemo ufundi cherehani na ususi. Akizungumza wakati wa kuwaaga…
20 March 2026, 9:18 pm
Wanawake Kahama mguu sawa tuzo za ‘mwanamke mjasiriamali’
”Wajasiriamali wa wilaya ya Kahama, changamkieni fursa kupitia jukwaa la Mwanamke Mjasiriamali” Sebastian Mnakaya Wanawake wajasiriamali wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamezindua jukwaa lao la Mwanamke Mjasiriamali kwa lengo la kusaidiana katika shughuli zao za kujipatia vipato pamoja na mikopo isiyokuwa…
