
Recent posts

February 6, 2025, 10:46 pm
Mwanafunzi afariki kwa kuangukiwa na ukuta wa nyumba aliyokuwa amepanga
Mvua zinazoendelea kunyesha katika halmashauri ya Ushetu zimesababisha ukuta wa nyumba kupata unyevu na kusababisha kuanguka kutokana na nyumba hiyo kutokuwa imara. Na Leokadia Andrew Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya Sekondari ya Chona Halmashauri ya Ushetu Wilayani…

February 6, 2025, 11:23 am
Miili ya wachimbaji wadogo waliofariki mgodi wa Nkandi yaagwa Kahama
Mpaka sasa miili miwili kati ya mitatu ya wachimbaji wanaodhaniwa kufukiwa na kifusi ndani ya mgodi wa Nkandi uliopo eneo la mwime Wilayani Kahama imepatikana, huku mmoja ukiendelea kutafutwa na leo miili miwili imekabidhiwa kwa ndugu kwa ajili ya kusafirishwa…

February 5, 2025, 10:36 pm
Ushetu yainidhisha bajeti ya shilingi bilioni 41.2
Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Ushetu, wilayani Kahama mkoani Shinyanga, limepitisha makadirio ya bajeti ya Shilingi bilioni 41.2 kwa mwaka wa fedha 2025/2026 Na Leokadia Andrew Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Ushetu, wilayani Kahama mkoani Shinyanga, limepitisha makadirio…

February 4, 2025, 5:08 pm
TAKUKURU yaokoa milioni 137.8 fedha za mauzo ya viwanja Kahama
Na Marco Maduhu Dawati la uchunguzi walipokea malalamiko 38,yaliyohusu rushwa ni 20 yasiyo husu rushwa ni 18, na kwamba uchunguzi wake unaendelea, huku akibainisha kuwa wamejipanga pia kuzuia vitendo vya rushwa kwenye uchaguzi mkuu ambao utafanyika mwaka huu 2025. Taasisi…

February 3, 2025, 6:29 pm
Watendaji katika taasisi za utoaji haki watakiwa kuzingatia weledi wakati w…
Kilele cha Wiki ya Sheria ni kiashiria cha kuanza rasmi kwa shughuli za Mahakama ambapo kwa mwaka huu maadhimisho hayo yameongozwa na Kauli isemayo “Tanzania ya 2050, nafasi ya Taasisi zinazosimamia haki Madai katika kufikia malengo Makuu ya Dira ya…

February 3, 2025, 5:13 pm
Wachimbaji watatu wahofiwa kufariki dunia kutokana na kufukiwa na kifusi Kahama
Zoezi la uokoaji linaendelea kwa kushirikiana na wananchi, lakini linakabiliwa na changamoto ya maji mengi ndani ya duara hilo Na leokadia Andrew Wachimbaji watatu wa dhahabu katika mgodi wa Nkandi, eneo la Mwime, Manispaa ya Kahama, mkoani Shinyanga, wanahofiwa kufukiwa…

February 1, 2025, 4:58 pm
Mkuu wa Shule ajiua kwa kunywa kitu kinachodhaniwa ni sumu Kahama
Zaharani alikunywa kitu kinachodhaniwa ni sumu manamo Januari 29 majira ya saa tano, akiwa nyumbani kwake na alipozidiwa alipelekwa katika hospitali ya Manispaa ya Kahama kwa matibabu zaidi na ilipofika Januari 30 alipoteza maisha. Na Salvatory Ntandu Mkazi wa Kijiji…

January 31, 2025, 5:36 pm
Wananchi watakiwa kutoa ushirikiano kwa jeshi la zimamoto na uokoaji Kahama
Mkaguzi msaidizi wa jeshi la zima moto na uokoaji wilaya ya Kahama Hafidhi Omary{picha na Sebastian Mnakaya} wananchi wameshauriwa kutoa taarifa mapema kwa jeshi la zimamoto na uokoaji endapo kukatokea janga la moto na majanga mengine ili liweze kutoa msaada…

January 27, 2025, 11:52 am
Mahakama ya wilaya Kahama yazindua wiki ya sheria
kauli mbiu ya mwaka huu ‘‘Tanzania ya 2025 nafasi ya Taasisi zinazosimamia haki madai katika kufikia malengo mkuu ya dira ya Taifa ya maendeleo’’ Na Sebastian Mnakaya Wananchi wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika viwanja…

January 24, 2025, 10:59 am
Wanachama CHADEMA Kahama wampongeza Lisu kwa ushindi
Tundu Lisu ameibuka kuwa mshindi kwa nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA baada ya kupata kura 513 sawa na silimia 51.5% huku mpinzani wake wa karibu Freeman Mbowe 482 sawa na asilimia 48.3 na Odero Charles akipata kura 01%, katika uchaguzi…