Recent posts
17 August 2026, 12:27 pm
Vikundi 12 Kahama kortini kwa kutorejesha mikopo ya 10%
‘‘Vikundi rejesheni fedha mlizokopa ili na vikundi vingine vipatiwe fedha hizo’’ Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga imevipeleka vikindi 12 kwa kutofuata utaratibu wa kurejesha mikopo inayotolewa kwa fedha za mapato ya ndani ya 10% kwa wanawake, vijana na…
15 August 2026, 8:24 pm
Kahama yapokea bil. 295.2 utekelezaji wa miradi ya maendeleo
Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Kahama mkoani Shinyanga wanayoisimamia utekelezaji wa Ilani ya CCM 2025/20230, wametakuwa kuweka mifumo mizuri ya ufatiliaji wa utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ili iweze kukamilika kwa wakati. Na mwandishi wetu Kauli hiyo…
13 August 2026, 8:01 pm
Manispaa ya Kahama yatenga eneo la viwanda vya uchenjuaji dhahabu
”Ni lini eneo hilo litaanza kujengwa viwanda vya uchenjuaji wa madini ya dhahabu?” Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga imetanga eneo la Mwagala kata ya Kinaga kwa ajili ya kujengwa kwa viwanda vya kuchenjua madini ya dhahabu (ELUTION PLANT),…
10 August 2026, 2:27 pm
Waziri Ndejembi: Ongezeni mwendo ujenzi barabara ya Kahama-Kakola
Waziri wa Nishati Deogratius Ndejembi ambaye pia ni mlezi wa Kiserikali wa mkoa wa Shinyanga, amemtaka mkandarasi anayetekeleza mradi wa ujenzi wa barabara ya Kahama-Kakola kwa kiwango cha lami yenye urefu wa kilomita 73.1 kwa gharama ya shilingi Bilioni 100.6…
9 August 2026, 12:35 am
Watanzania zaidi ya 100 waandaliwa kuendesha mradi EACOP
”Ujenzi wa Kituo cha Nne cha Kusukuma Mafuta (PS4) ukifikia karibu asilimia 90 na mradi mzima upande wa Tanzania ukitarajiwa kukamilika ifikapo mwisho wa Desemba 2026” Na Mwandishi wetu Zaidi ya Watanzania 100 tayari wamepatiwa mafunzo maalumu yatakayowawezesha kushiriki katika…
24 July 2026, 2:40 pm
NGO’s Kahama zatakiwa kufanya kazi kwa uwazi
”Iwe mnafanya shughuli zenu kwa ufadhili ama kujitolea mnapaswa kuwa wazi na kutoa taariifa kwa serikali na hiyo ni kwa mujibu wa sheria” Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) yanayofanya kazi katika Wilaya ya Kahama yamehimizwa kutekeleza shughuli zake kwa uwazi…
22 July 2026, 1:51 am
Wafanyabiashara Kahama tumieni Mfumo wa IDRAS
‘‘Wafanyabiashara tumieni mfumo wa IDRAS kulipa kodi na kujua taarifa mbalimbal zinazopatikana kupitia mfumo huo’’ Na Mwandishi wetu Wafanyabiashara wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kutumia mfumo jumuishi wa usimamizi wa kodi wa ndani (IDRAS) ili kurahisha ulipaji wa kodi kwa…
20 July 2026, 11:37 pm
ASP Katumbo: Acheni kujaza mafuta kwenye gari likiwa na abiria
‘‘Dereva atakaye jaza mafuta na abiria wakiwa ndani ya gari atapatiwa adhabu’’ Baadhi ya madereva wa magari ya abiria wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuzingatia kanuni za usalama katika vituo vya mafuta kwa kuhahikisha hawajazi mafuta wakiwa na abiria ndani…
17 July 2026, 4:45 pm
Barabara za lami Kahama zaanza kujengwa
‘‘Kwa sasa serikali imechukua mkandalasi mpya mwenye uwezo wa kukamilisha mradi huo kwa wakati’’ Mbunge wa jimbo la Kahama Mjini mkoani Shinyanga Benjamini Ngayiwa, amewahidi wananchi wa Manispaa Kahama ya kuwa ifikapo January 2027 ujenzi wa barabara ya kiwango cha…
13 July 2026, 5:40 pm
Kahama ya kidijitali yanukia
‘‘Kukamilika kwa Mpango Kabambe wa Kidijitali itasaidia kuondoa makazi holela katka Manispaa ya Kahama’’ Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga imetakiwa kuendelea kutoa ushirikiano katika kutekeleza mradi wa Mpango Kabambe wa Kidigitali na msimamizi wa mradi, unaotarajiwa kutekelezwa katika…
