![](
https://radiotadio.co.tz/kahamafm/wp-content/uploads/sites/17/2021/03/kahama-1500x800.jpg )
Recent posts
![](
https://radiotadio.co.tz/kahamafm/wp-content/uploads/sites/17/2024/07/1000309432-350x350.jpg )
July 22, 2024, 6:30 pm
Wanawake wachimbaji walia na rushwa ya ngono migodini Kahama
Wanawake kutokuwa na mitaji mikubwa kunafanya waingie katika vishawishi vya rushwa ya ngono ili kukidhi mitaji yao. Na William Bundala Kahama Wanawake wanaojishughulisha na uchimbaji mdogo wa madini wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamesema kuwa wanakumbuna na changamoto nyingi katika shughuli…
![](
https://radiotadio.co.tz/kahamafm/wp-content/uploads/sites/17/2023/07/whatsapp-image-2023-04-07-at-114859-am-2-350x350.jpeg )
July 22, 2024, 6:14 pm
Mtoto aliyepotea stendi ya mabasi Manzese Kahama apatikana
Na leokadia Andrew Mtoto mwenye umri miezi 9 Meresiana Paschal,ambaye aliibwa katika Stendi ya Mabasi Manzese wilaya Kahama mkoani Shinyanga,amepatikana mkoani Geita akidaiwa kuwa na Binti Maduki Sabuni mwenye umri wa miaka (16). Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga…
![](
https://radiotadio.co.tz/kahamafm/wp-content/uploads/sites/17/2024/07/images-1-350x350.jpg )
July 15, 2024, 3:53 pm
Ripoti za (CAG) kwa Asasi za Kiraia umetajwa kuchangia kasi ya ufuatiliaji wa M…
Na Sebastian Mnakaya Uwasilishwaji wa Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi wa hesabu za Serikali (CAG) kwa Asasi za Kiraia mkoani Shinyanga umetajwa kuchangia kasi ya ufuatiliaji wa Miradi mbalimbali ya Maendeleo inayotekelezwa kwenye jamii ikilinganishwa na hapo awali. Ni katika…
![](
https://radiotadio.co.tz/kahamafm/wp-content/uploads/sites/17/2024/07/whatsapp-image-2024-05-14-at-003147-350x350.jpeg )
July 15, 2024, 3:40 pm
Wananchi kata ya Nyahanga waomba kujengewa shule ya sekondari
wameimarisha ulinzi katika maeneo hatarishi kwa kuweka ulinzi wa jeshi la jadi katika nyakati za asubuhi pindi wanafunzi wanapokwenda shuleni. Na Sebastian Mnakaya Baadhi ya wananchi wa kata ya Nyahanga Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wameiomba serikali kujenga shule nyingine…
![](
https://radiotadio.co.tz/kahamafm/wp-content/uploads/sites/17/2024/07/images-350x350.jpg )
July 4, 2024, 4:53 pm
Madiwani watakiwa kuhamasisha wananchi uboreshaji daftari la mpiga kura
vijana ambao tayari wamefikisha miaka 18 kujiandisha nao waweze kupata haki yao ya msingi ya kupiga kura Na leokadia Andrew Madiwani wa halmashauri tatu za wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuendelea kuwahamasisha wananchi kujiandikisha katika daftari la kudumi la…
![](
https://radiotadio.co.tz/kahamafm/wp-content/uploads/sites/17/2024/07/1000274005-350x350.jpg )
July 4, 2024, 4:39 pm
Naibu Waziri Kapinga awahakikishia umeme wananchi wa vijiji vya Manzwagi, Kidun…
Naibu Waziri wa Nishati. Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea kuwasimamia kwa umakini wakandarasi ili waweze kukamilisha kazi zao kwa wakati na kwa ufanisi, pia amewaelekeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha wanaongeza nguzo 40 ambazo ni Sawa na kilometa…
![](
https://radiotadio.co.tz/kahamafm/wp-content/uploads/sites/17/2024/06/img-20240616-wa00011-350x350.jpg )
June 18, 2024, 5:07 pm
Watoto walindwe dhidi ya vitendo vya ukatili wa kijinsia
Kauli mbiu ya mwaka huu ni Siku ya Mtoto wa Afrika ni “Elimu jumuishi kwa watoto izingatie maarifa, maadili na stadi za kazi” Na Leokadia Andrew Wananchi wa manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuendeleo kuwalinda watoto wao dhidi ya…
![](
https://radiotadio.co.tz/kahamafm/wp-content/uploads/sites/17/2024/04/whatsapp-image-2023-12-30-at-201255-1-350x350.jpeg )
June 18, 2024, 4:48 pm
Viongozi wa kata, vijiji someni mapato na matumizi kwa wananchi
Wananchi walikataa kuhudhuria mkutano kutokana na mwenyekiti wa kijiji cha Uyogo kutokuwepo hali iliyosababisha mkutano kutokufanyika hadi leo. Na Leokadia Andrew Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mboni Mhita amewataka maafisa watendaji wa kata na vijiji wa halmashauri ya Ushetu mkoani…
![](
https://radiotadio.co.tz/kahamafm/wp-content/uploads/sites/17/2024/06/vlcsnap-error846-350x350.png )
June 18, 2024, 4:31 pm
Wazazi, walezi simamieni maelekezo ya Mwenyezi Mungu katika familia
Wazazi wanapaswa kujitambua kwa kuwapelekea watoto wao katika shule zenye maadili pamoja na kuwasaidia jamii yenye uhitaji. Na sebastian Mnakaya Wazazi wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kusimamia na kuwalea vyema watoto wao katika maadili mema ya kumpendeza Mungu ili kuwa…
![](
https://radiotadio.co.tz/kahamafm/wp-content/uploads/sites/17/2024/06/img-20240614-wa00091-350x350.jpg )
June 14, 2024, 3:56 pm
Watoto wanaoishi mazingira magumu wawekewe mazingira wezeshi wapate elimu
halmashauri hiyo ilikuwa imetenga fungu ili kuwasaida watoto na baadae kilifutwa kutokana na serikali kuanzisha elimu bure Na leokadia Andrew Walimu wa shule za msingi na sekondari halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameiomba serikali kuwasaidia na kuwatengenezea mazingira…