Recent posts
January 14, 2022, 7:32 am
Benki ya CRDB yakanusha taarifa ya Kutoa zawadi Mitandaoni.
Katika siku za hivi karibuni mitandao ya kijamii imetumika kama njia rahisi ya mawasiliano katika jamii. Mitandao hii kuna wakati imekuwa ikitoa taarifa za kweli na kuna wakati imekuwa ikitoa taarifa za uongo zenye lengo la kuwaibia watu au kuzua…
January 6, 2022, 12:17 pm
KAHAMA:Bibi anamtafuta Bwana Nelson Bujaga amkabidhi kiwanja chake.
Mkazi wa Bukondamoyo kata ya Muhungula Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga Bi Monica Athanas anawaomba wasamalia wema wanaomfahamu Bwana Nelson Samatini Bujaga au ndugu zake wamtafute ili aweze kuwakabidhi shamba la ukubwa wa robo tatu alilonunua Bwana Bujaga mwaka 2013…
January 5, 2022, 11:49 am
POLISI KAHAMA: Watembea kwa Miguu acheni Madoido kwenye vivuko vya Pundamilia.
Jeshi la polisi kitengo cha usalama Barabarani Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga limewataka watembea kwa miguu kuheshimu alama za barabarani wakati wa kuvuka hasa eneo la pundamilia na kuacha tabia ya kutembea kwa mizaha eneo hilo. Wito huo umetolewa leo…
January 1, 2022, 7:27 pm
GEITA:Watoto wa Kituo cha Moyo wa Huruma waomba wasamalia kuwasaidia vifaa vya S…
Watanzania wametakiwa kujitokeza kuwasaidia watoto wenye uhitaji hasa katika vituo vya watoto yatima vilivyopo katika maeneo mbalimbali nchini ili kuwatia moyo na kuwafanya watoto hao wasijione wakiwa na wapweke katika jamii inayowazunguka. Hayo yamesemwa leo na Msimamizi wa kituo cha…
December 16, 2021, 12:50 pm
Kahama: Serikali wilayani Kahama imekabidhiwa Madarasa 247 yenye thamani ya shil…
Serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga imekabidhiwa Madarasa 247 yenye thamani ya shilingi Bilioni 5.6 yaliojengwa kwa fedha za fedha za Uviko 19. Akikabidhiwa madarasa hayo leo Mkuu wa wilaya ya Kahama FESTO KISWAGA na wakurugenzi wa halmashauri ya manispaa ya…
December 16, 2021, 12:32 pm
KAHAMA:Serikali ya manispaa ya kahama imezindua mwongozo wa Taasisi ya kuzuia n…
Serikali ya manispaa ya Kahama imezindua mwongozo wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU kwa vijana wa skauti ili kuwawezesha kupambana na rushwa katika maeneo yao…… Katibu tawala wa manispaa ya Kahama TIMOTHY NDANYA ambae amezindua mpango huo…
December 13, 2021, 6:05 pm
MCHANGO WA WATAALAMU WA MAENDELEO YA JAMII TANZANIA NDANI YA MIAKA 60 YA UHURU.
Na Dr Regina Malima Maendeleo ya jamii ni fani ya kitaalamu inayokuza demokrasia shirikishi, maendeleo endelevu na kujikita katika dhana ya uhamasishaji, ushirikishaji na kuwajengea uwezo wanajamii wote ili kuwepo na haki na usawa wa kimaendeleo kwa watu wote. Katika…
December 9, 2021, 4:20 pm
KAHAMA:Wanafunzi wakike shule ya sekondari Mapamba waiomba serikali iwapelekee…
Wanafunzi wakike katika shule ya sekondari Mapamba Halmashuri ya ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameiomba serikali iwapelekee walimu wakike ili waweze kuhudumia pindi wanapohitaji msaada maalum katika masuala ya wanawake. Hayo yamesemwa na wanafunzi wa shule ya sekondari mapamba katika…
December 7, 2021, 6:49 pm
DODOMA:Tumieni Teknolojia ya Internet kujikwamua Kiuchumi.
Wanachama wa Mitandao ya kijamii wametakiwa kutumia Teknolojia ya matumizi ya internet kujikwamua kiuchumi hususan katika maeneo ya pembezoni ikiwa ni pamoja na kuimarisha vikundi vya ushirika ili vitambuliwe na serikali na viweze kusaidiwa. Wito umetolewa jana Jijini Dodoma na…
December 7, 2021, 4:32 pm
KAHAMA:Cherehani atoa Fedha za Mifuko 58 ya Saruji,kata ya Sabasabini Ushetu.
Wananchi wa Kitongoji cha Imalange kata ya Sabasabini Halmashauri ya Ushetu Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga wamemshukuru mbunge wa Jimbo la Ushetu Emmanuel Cherehani kwa kutoa fedha kiasi cha shilingi Milioni moja na laki tatu kwa ajili ya kununua mifuko 58…