29 March 2026, 12:23 am

TANESCO Kahama yakabidhiwa vitendea kazi

Serikali kupitia Wizara ya Nishati imekabidhi vitendea kazi kwa TANESCO Mkoa wa Shinyanga, vikiwemo magari manne, bajaji moja na pikipiki mbili, ili kuboresha utoaji wa huduma za umeme hasa vijijini. Na Sebastian Mnakaya Akizungumza katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika mjini…

Play internet radio

Recent posts

9 July 2026, 10:37 am

RC Mhita aiomba ofisi ya CAG kufanya ukaguzi maalum Msalala

‘‘Hatua hiyo ni muhimu ili kubaini ukweli kuhusu matumizi ya fedha za umma na kuhakikisha uwajibikaji unazingatiwa katika usimamizi wa rasilimali za wananchi’’ Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mboni Mhita, ameiomba Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za…

8 July 2026, 12:46 pm

Madiwani Ushetu waomba magari mabovu kutengenezwa

”Orodhesheni magari mabovu yote pamoja na gharama zake ili yatengenezwe na kuanza kufanyakazi” Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameiomba halmashauri hiyo, kuorodheshwa kwa magari mabovu na gharaza za utengenezaji ili kuweza kufanya matengenezo na kuanza kutumika.…

7 July 2026, 7:02 pm

Hubirini waumini kufanyakazi kujikwamua kiuchumi-Mch. Dkt. Gwamiye

‘‘Katika vitabu mbalimbali vya dini vimesisitiza juu ya watu kufanyakazi’’ Waumini wa dini ya kikristo wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameshauri kujishughulisha na shughuli mbalimbali za kiuchumi na kufanyakazi ili kuongeza vipato vyao na kujikwamua kiuchumi. Kauli hiyo imetolewa na Mchungaji…

7 July 2026, 4:36 pm

RC Mhita, Marufuku kupokea dawa zenye muda wa chini ya miezi 12

‘‘Baadhi ya dawa kuharibika kwa muda mfupi, hilo hatuta kubali na badala yake pokeeni dawa zenye muda wake juu ya miezi 12’’ Halmashauri zote za mkoa wa Shinyanga zimeagizwa kutokupokea dawa za matumizi ya binadamu zenye muda wa matumizi uliobaki…

2 July 2026, 3:04 pm

Miaka 30 ya TRA, wafanyabiashara kulipa kodi kwa hiari bila shuruti

‘‘Wafanyabiashara na wajasiliamali lipeni kodi kwa hiari ili kuleta maendeleo ya nchi yetu” Mkuu wa wilaya ya Kahama, Frank Nkinda ameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa kikodi Kahama kwa uendelea kushirikiana vyema na wafanyabiasha na wajasiliamali hali inayosababisha…

30 June 2026, 12:23 pm

Marufuku kuingia nyumba za kulala wageni bila kitambulisho cha taifa

”Kuanzia sasa ni marufuku mgeni yeyote kuingia kwenye nyumba yeyote ya kupanga bila ya utambuzi” Wamiliki wa nyumba za kupanga na kulala wageni(Guest House) wilayani Kahama mkoani Shinyanga, wamepigwa marufuku kupangisha ama kupokea mgeni katika nyumba za kulala wageni bila…

29 June 2026, 6:25 pm

Kilimba: Elimu mliyoipata ifanyieni kazi mkue kiuchumi

‘‘Tumieni elimu mlioyoipata kuboresha na kuongeza thamani bidhaa zenu na kuongeza vipato vyenu’’ Wajasiriamali wa kata ya Nyahanga Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, wametakiwa kutumia elimu ya ujasiriamali walioipata wakaifanyie kazi kwa vitendo ili kuimarisha biashara zao na kuongeza vipata…

28 June 2026, 3:06 pm

Wajasiriamali Kahama changamkieni fursa ya mikopo ya 7% na 10%-Kilimba

Wajasiriamali katika kata ya Nyahanga Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, wametakiwa kuchangamkia fursa za mikopo ya asilimia 7% na 10% yenye masharti nafuu ili kujikwamua kiuchumi na kuongeza vipato vyao. Zaidi ya wajasiriamali 74 wa kata ya Nyahanga…

25 June 2026, 6:52 pm

RC Mhita asisitiza uwazi na uwajibikaji katika miradi ya maendeleo

‘‘Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) mkoani Shinyanga watakiwa kuongeza udhibiti wa makosa hayo ya jinai badala ya kutumia nguvu kubwa kupambana nayo’’ Na mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mboni Mhita, amewataka viongozi na watendaji…

25 June 2026, 6:25 pm

TRA Kahama yatoa msaada kwa watoto wanaoishi mazingira magumu

”Tunapaswa kuisaidia jamii hii ambayo inaishi katika mazingira maguru kwa chochote ulichojaaliwa na Mwenyezi Mungu” Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kikodi Kahama imetoa msaada wa mahitaji mbalimbali katika Kituo cha Kulelea Watoto wanaotokana na Mazingira Magumu cha Mvuma,…

KAHAMA FM PROFILE

INTRODUCTION
Kahama FM Stereo Radio is a registered commercial Radio Station broadcasting from Clinic Road-Nyahanga Kahama Town in Shinyanga region (North western Tanzania), East  Africa (EA), reaching out to a population of about 7.5 million people in the remote areas of the five Western regions of Shinyanga, Simiyu, Tabora, Kigoma and Geita.

AIMS AND OBJECTIVES
Besides being a commercial entity, Kahama FM has been established with the main objective of informing, educating and entertaining the society. Situated in the mining belt of Tanzania, Kahama district is also home to international trade resulting from the district being an inland port and a transit corridor for the landlocked countries of Rwanda, Burundi, Uganda and DRC. Despite all these economic advantages, Kahama district has the worst primary and secondary school performance with the highest prevalence of child marriage (59%), a very serious problem in most parts of Tanzania.

In Tanzania, like elsewhere child marriage occurs more frequently among girls who are the least educated, poorest and living in rural areas. In Shinyanga region and Kahama district in particular, the main tribe – Sukuma – has a strong bride price tradition. Bride prices are high (>200 cows) and prestige is attached to receiving and being able to pay a high dowry.

Other social maladies prevailing in the area  and pose as a big hindrance to social and economic welfare of the communities include Female Genital Mutilation (FGM), the killing and maiming of the elderly people and people with disabilities including albinism on superstitious beliefs and rampant school drop outs resulting from school girl pregnancies and truancy.

The establishment of the radio station there for, had the aim of highlighting the economic opportunities available in and around Kahama district as well as addressing the listed social maladies that hinder people’s development.

Apart from that the Radio has been established to create a strong base for the voiceless people in Kahama district and other remote parts of the Western Tanzania to be heard, hence our Motto: “Kahama FM Fahari Yako”, in the sense that the Radio represents the views of the people in its areas of jurisdiction.

COVERAGE
The Radio which broadcasts in Swahili reaches out to audiences in a total of 17 districts of Kahama, Shinyanga Rural, Bukombe, Chato, Uyui, Tabora Rural, Misungwi, Kaliua and Urambo. Other districts covered are Nzega, Geita, Mbogwe, Nyang’hwale, Kibondo, Igunga, Sengerema and parts of Bihalamuro District, Kagera region.

Plans are underway to expand the coverage at least to 25 per cent of Tanzania’s land mass. This is our major concern, having obtaining clearance from the Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). The clearance paves the way for the Radio station to move from the current ‘District Status to the ‘Regional’, one.

The coverage expansion program is underway and it is hoped that by 2021 we shall be able to cover 10 (north to south western regions) of Geita, Kagera, Katavi, Kigoma, Mara, Rukwa, Simiyu, Tabora and Shinyanga. We are currently available on frequency 90.80 MHz or at www.kahamafm.co. tz through online link www.tunein.com or through social media –  @facebook90.8 or twitter@kahamafm

LEGAL STATUS
The Radio has been registered under the Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) with certificate for the Provision of Content Service number TCRA/CSRD/21/2010 of June 23rd, 2010.

As a business entity, Kahama FM is also registered at the Business Registration and Licensing Agency (BRELA) with a Certificate of Registration number 170273 and it is also registered at the Tanzania Revenue Authority (TRA) holding the Tax Payer’s Identification Number (TIN) 110-496-907 and the Value Added Tax (VRN) certificate number 40-018015-H of 13th July 2010 and January 27th, 2014, respectively.

THE STATE OF THE RADIO
During the period of nine years of its existence, Kahama FM Stereo Radio has grown from its infancy when it started operations in make-shift studios at rented premises at Kahama town to now fully equipped modern studios built in its own ‘State of the Art’ premises.

Apart from the studios, the spacious state of the art building located at Nyahanga area in Kahama town also consists of a Production Room, Main Control Room, the Newsroom and a mini-conference hall.

It also accommodates the offices of the Managing Director, the Radio Station Manager, the Administrator, the Programme Manager,the Accountant and the Marketing Manager.

BUSINESS POTFOLIO
During the same period, revenues at Kahama FM Stereo Radio have grown from literally zero monthly accounts to a tune of Tanzania shillings 400 – plus million annually, with prospects for increased revenues after plans to expand the area of coverage are realized.


The prospects for increased business turnover at Kahama FM Stereo Radio are supported by the ever-flourishing investment atmosphere in and around Kahama town in the presence of two giant goldmines, namely the Acacia Buzwagi GoldMine and the Acacia Bullyanhulu Goldmine as well as small scale mines.

Kahama District is also famous as a grain basket for the western and central regions of Tanzania producing large quantities of rice, maize, cassava, sweet potatoes, groundnuts, sunflower and sesame. It has large stocks of livestock and is rich in tropical fruits and vegetables. The District is also potential in Tobacco and cotton farming as well as Forest products such as honey, wax and timber. Tourism and hunting industry is also potential in the area.


Kahama town which is one of the fastest growing towns in Tanzania is also a big stop over for up-country bound buses and heavy trucks which transport cargo between the port of Dar es salaam and the Democratic Republic of Congo (DRC), Uganda, Rwanda, and Burundi with a big dry port at Isaka.

The vast economic opportunities around Kahama have made Kahama town a vibrant business centre with a high concentration of hotels, bars, guest houses, and food and cattle markets, public corporations as well as local and international NGOs. The Banking industry is also flourishing in Kahama whereby as of 2018 there were more than ten commercial Banks in operation along with a number of Micro-Finance institutions.


These offer a potential market for advertisements, while the adjacent councils of Msalala and Ushetu and the other 16 districts in the four regions provide a good source for news and current affairs as well as feature programmes and advertisements.

PROPERTY PORTIFOLIO
Kahama FM has an accumulated property portfolio with a market value of over Tanzania shillings 1.5 billion.
These include the Radio House, 1 Staff Van, a seven ton Fuso lorry and 2 motorcycles, a set of Discotheque Equipment, Studio Equipment, Office furniture and accessories.

CORPORATE SOCIAL RESPONSIBILITY
Apart from being the mouthpiece of the voiceless people, Kahama FM has been extending donations to a number of development ventures in the district with a particular emphasis in areas of Health, Water, Sports, Environment and Education.
The Radio also offers on- the job training facilities to a number of Journalism students studying in various colleges around the country.