Recent posts
16 June 2026, 6:00 pm
Vijana, wanawake na watu wenye ulemavu changamkieni mikopo
‘‘Vijana msikate tamaa wakati mkishughulikia kupata mikopo ya 10% inayotolewa na halmashauri, inayotokana na mapato ya ndani’’ Vijana, wanawake na watu wenye ulemavu katika Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wametakiwa kuaiha tabia ya kukata tamaa katika ufatiliaji wa upatikanaji wa…
16 June 2026, 12:25 am
Vijana Kahama wahimizwa kulinda uhuru, umoja na mshikamano wa Kitaifa
‘‘Vijana wana uwezo mkubwa sana wa kulinda amani ya nchi yetu na kuwa na mshikamano wa pamoja wa kitaifa’’ Vijana wa kata ya Mhungula, katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kulinda uhuru, umoja na mshikamao wa ili kuendelea kuilinda…
6 June 2026, 1:32 pm
Vyama vya ushirika Shinyanga vyatakiwa kuwalipa wakulima kidijitali
‘‘Lipeni wakulima katika mfumo wa njia ya simu ama benki na si kwa njia ya mkononi kama ilivyo sasa’’ Wakulima wa zao la Pamba mkoani Shinyanga wametakiwa kufanya malipo yao wa kutumia mfumo wa kidigiti ili kuondokana na upotevu fedha…
4 June 2026, 2:16 pm
TAKUKURU Kahama yapongezwa
Serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga imeipongeza taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU), kwa juhudi za mapambano ya kuzia rushwa katika wilaya hiyo yenye halmashauri tatu. Na mwandishi wetu Hayo yamesemwe na Mkuu wa wilaya ya Kahama Frank Nkinda…
3 June 2026, 5:20 pm
Kahama kuwa mji wa kisasa, mpango wa kidigitali kutumika
”Wananchi katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wako tayari kwa mabadiliko ya mji wa Kahama kuwa wa kisasa ifikapo 2050” Wananchi wa kata Zongomera, Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wameishukuru serikali kwa kuwaletea mradi wa mpango kabambe wa kidigitali, utakaokwenda…
1 June 2026, 7:04 pm
Wadau waikumbuka Kahama Orphanage Center
Uongozi huo umeeleza kuwa licha ya mafanikio yaliyopo, kituo bado kina mahitaji mbalimbali ikiwemo chakula, mavazi, vifaa vya shule na maboresho ya miundombinu, hivyo umeomba wadau wengine kuendelea kujitokeza kusaidia. Wadau wa maendeleo wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamejitokeza wa wingi…
1 June 2026, 5:41 pm
Migogoro ya ardhi Kahama kubaki historia
”Kuanza kwa mradi wa Mpango Kabambe Kidigitali na kukamilika utaweza kutatua migogoro mbalimbali ya ardhi, pamoja na kuendelea kupanga mji” Imeelezwa kuwa miaka 25 ijayo, Wananchi wa Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga kuondokana na migogoro ya ardhi baada ya kukamilika…
28 May 2026, 1:42 pm
Makarani Kahama wafundwa kuelekea uchaguzi mdogo
Makarani waongozaji wa uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Zongomela wametakiwa kusoma Katiba sheria na miongozo ya tume ya uchaguzi Pamoja na kujiepusha kuwa vyanzo vya malalamiko kutoka katika vyama vya siasa. Na mwandishi wetu Wito huo umetolewa na msimamizi…
28 May 2026, 1:32 pm
Manispaa ya Kahama yatia saini ya ujenzi wa wa barabara ya lami
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Prof. Riziki Shemdoe, ameshuhudia utiaji saini wa mkataba wa ujenzi wa barabara katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga kupitia Mradi wa TACTIC. Na mwandishi…
19 May 2026, 3:02 pm
Serikali wilayani Kahama imeipiga Marufuku kampuni ya QNET EAGLES UNITED inayoji…
”kuanzia sasa hakuna kufanya biashara katika wilaya hii ya Kahama kwa kuwa hamna vibali pamoja na kuwatapeli wazazi na wanafunzi; Serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga imeipiga Marufuku kampuni ya QNET EAGLES UNITED inayojihusisha na biashara mtandaoni baada ya kubaini kufanya…
