Recent posts
9 July 2026, 10:37 am
RC Mhita aiomba ofisi ya CAG kufanya ukaguzi maalum Msalala
‘‘Hatua hiyo ni muhimu ili kubaini ukweli kuhusu matumizi ya fedha za umma na kuhakikisha uwajibikaji unazingatiwa katika usimamizi wa rasilimali za wananchi’’ Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mboni Mhita, ameiomba Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za…
8 July 2026, 12:46 pm
Madiwani Ushetu waomba magari mabovu kutengenezwa
”Orodhesheni magari mabovu yote pamoja na gharama zake ili yatengenezwe na kuanza kufanyakazi” Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameiomba halmashauri hiyo, kuorodheshwa kwa magari mabovu na gharaza za utengenezaji ili kuweza kufanya matengenezo na kuanza kutumika.…
7 July 2026, 7:02 pm
Hubirini waumini kufanyakazi kujikwamua kiuchumi-Mch. Dkt. Gwamiye
‘‘Katika vitabu mbalimbali vya dini vimesisitiza juu ya watu kufanyakazi’’ Waumini wa dini ya kikristo wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameshauri kujishughulisha na shughuli mbalimbali za kiuchumi na kufanyakazi ili kuongeza vipato vyao na kujikwamua kiuchumi. Kauli hiyo imetolewa na Mchungaji…
7 July 2026, 4:36 pm
RC Mhita, Marufuku kupokea dawa zenye muda wa chini ya miezi 12
‘‘Baadhi ya dawa kuharibika kwa muda mfupi, hilo hatuta kubali na badala yake pokeeni dawa zenye muda wake juu ya miezi 12’’ Halmashauri zote za mkoa wa Shinyanga zimeagizwa kutokupokea dawa za matumizi ya binadamu zenye muda wa matumizi uliobaki…
2 July 2026, 3:04 pm
Miaka 30 ya TRA, wafanyabiashara kulipa kodi kwa hiari bila shuruti
‘‘Wafanyabiashara na wajasiliamali lipeni kodi kwa hiari ili kuleta maendeleo ya nchi yetu” Mkuu wa wilaya ya Kahama, Frank Nkinda ameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa kikodi Kahama kwa uendelea kushirikiana vyema na wafanyabiasha na wajasiliamali hali inayosababisha…
30 June 2026, 12:23 pm
Marufuku kuingia nyumba za kulala wageni bila kitambulisho cha taifa
”Kuanzia sasa ni marufuku mgeni yeyote kuingia kwenye nyumba yeyote ya kupanga bila ya utambuzi” Wamiliki wa nyumba za kupanga na kulala wageni(Guest House) wilayani Kahama mkoani Shinyanga, wamepigwa marufuku kupangisha ama kupokea mgeni katika nyumba za kulala wageni bila…
29 June 2026, 6:25 pm
Kilimba: Elimu mliyoipata ifanyieni kazi mkue kiuchumi
‘‘Tumieni elimu mlioyoipata kuboresha na kuongeza thamani bidhaa zenu na kuongeza vipato vyenu’’ Wajasiriamali wa kata ya Nyahanga Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, wametakiwa kutumia elimu ya ujasiriamali walioipata wakaifanyie kazi kwa vitendo ili kuimarisha biashara zao na kuongeza vipata…
28 June 2026, 3:06 pm
Wajasiriamali Kahama changamkieni fursa ya mikopo ya 7% na 10%-Kilimba
Wajasiriamali katika kata ya Nyahanga Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, wametakiwa kuchangamkia fursa za mikopo ya asilimia 7% na 10% yenye masharti nafuu ili kujikwamua kiuchumi na kuongeza vipato vyao. Zaidi ya wajasiriamali 74 wa kata ya Nyahanga…
25 June 2026, 6:52 pm
RC Mhita asisitiza uwazi na uwajibikaji katika miradi ya maendeleo
‘‘Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) mkoani Shinyanga watakiwa kuongeza udhibiti wa makosa hayo ya jinai badala ya kutumia nguvu kubwa kupambana nayo’’ Na mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mboni Mhita, amewataka viongozi na watendaji…
25 June 2026, 6:25 pm
TRA Kahama yatoa msaada kwa watoto wanaoishi mazingira magumu
”Tunapaswa kuisaidia jamii hii ambayo inaishi katika mazingira maguru kwa chochote ulichojaaliwa na Mwenyezi Mungu” Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kikodi Kahama imetoa msaada wa mahitaji mbalimbali katika Kituo cha Kulelea Watoto wanaotokana na Mazingira Magumu cha Mvuma,…
