Radio Tadio

afya

9 July 2025, 6:27 pm

Wanawake wanashirikije kugombea nafasi za uongozi kisiasa?

Makala hii inaelezea ushiriki wa wanawake katika kutia nia kwenye Uchaguzi Mkuu wa Octoba 2025. Na Hafidh Ally na Dorice Olambo Wakati Kipenga cha uchukuaji fomu kikipulizwa kwa baadhi ya vyama kuanza mchakato wa kuwapata wagombea wa nafasi za uongozi…

2 July 2025, 12:11 pm

Tai sio kigezo cha kuhudumiwa-RC Chacha

”Huitaji kujua mtu ametoka wapi au ni nani,akikukuta ofisini mhudumie” RC Chacha Na Zabron George Mkuu wa mkoa wa Tabora Paul Chacha, amewataka wakuu wa wilaya walioapishwa kufanya kazi kwa weledi na kutatua changamoto za wananchi bila ubaguzi. Mkuu wa…

24 June 2025, 1:14 pm

Mwongozo kuwainua kiuchumi wajane wazinduliwa

Kutokana na changamoto wanazopitia wajane, serikali imeamua kufanya utafiti ili kuzitafutia ufumbuzi. Na Adelphina Kutika Serikali imezindua mwongozo mpya wa uratibu wa wajane wenye lengo la kulikomboa kundi hilo dhidi ya changamoto za ukatili wa kijinsia na vikwazo vya kiuchumi.…

23 June 2025, 8:24 pm

TRA Moro yahimiza kulipa kodi kwa hiari

Ulipaji wa kodi siyo tu wajibu wa kisheria, bali ni jukumu la kizalendo katika kuchangia maendeleo ya nchi Na Katalina Liombechi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Morogoro imeendelea kuwatembelea walipakodi kwa lengo la kuwakumbusha kulipa kodi kwa hiari…

19 June 2025, 1:33 pm

Camfed kufanikisha elimu kwa mtoto wa kike

Mipango ya elimu kwa Mtoto wa kike imeanza Kutekelezwa Nchini Ili kukuza ustawi. Na Joyce Buganda Maafisa elimu  nchini wametakiwa kutekeleza miradi  ya Campagn For Female Educatiom CAMFED ili kufanikisha malengo ya mtoto wa kike kupata elimu bora kwa ustawi…

13 June 2025, 11:09 am

Wanawake wahimizwa kugombea nafasi za uongozi

Wanawake wamehamasishwa kujitokeza kwa wingi kupambania nafasi za uongozi ili kuingia kwenye ngazi za uamuzi. Na Hafidh Ally Kuelekea uchaguzi Mkuu wa Okt 2025, Wanawake Mkoani Iringa wametakiwa kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi ili kupata wawakilishi watakaosemea changamoto zao.…

6 June 2025, 17:07 pm

Maafisa ugani wapewa mbinu bora za uzalishaji korosho

Haya ni mafunzo yanayotarajiwa kuwafikia zaidi ya maafisa ugani 500 katika mkoa wa Mtwara ambapo kwa hatua ya awali yanatarajiwa kufanyika katika mikoa yaLindi na Mtwara NA Musa Mtepa Zaidi ya maafisa ugani 500 kutoka mkoa wa Mtwara watanufaika na…