afya
19 August 2026, 06:08
DC Simalenga atangaza usafi wa mji, ataka kuundwa vikundi
“Tunahitaji kuuweka mji wetu katika mazingira ya usafi ili kulinda heshima tuliyopewa ya mji hivyo kila mtumishi wa umma na wananchi kwa ujumla tunao wajibu wa kuufanya mji wetu kuwa safi majira yote na hii itasaidia sana katika mapambano ya…
14 August 2026, 16:30
TARI Naliendele yaimarisha utafiti kwa teknolojia mpya
TARI Naliendele imezindua vifaa vya kisasa vya utafiti na miundombinu vitakavyoongeza ufanisi, kuharakisha tafiti na kuinua tija katika uzalishaji na kuongeza thamani ya zao la korosho nchini Na Musa Mtepa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI), Kituo cha Naliendele,…
10 August 2026, 23:57
Waziri Kapinga azitaka CAMARTEC, WRRB kusaidia wakulima
Waziri wa Viwanda na Biashara Judith Kapinga amezitaka CAMARTEC na WRRB kuwawezesha wananchi kupata mashine za kuchakata korosho, kuongeza thamani ya zao hilo, ajira na kipato. Na Musa Mtepa Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga, amezitaka kituo cha…
28 July 2026, 12:18 am
Simanzi yatanda Arusha vifo vya mapacha watano
Watoto mapacha watano waliozaliwa njiti katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha (Mount Meru),waliozaliwa usiku wa kuamkia Julai 26,2026 wamefariki dunia kwa nyakati tofauti wakati wakipatiwa matibabu. Na Mariam Mallya Watoto hao walizaliwa wakiwa na umri wa miezi sita…
21 July 2026, 05:32
Watoto wachungaji wawafariji yatima Nsalaga
Upendo kwa wasiojiweza hujengwa kwa matendo kwa watoto yatima na watu wenye mahitaji. Na Ezra Mwilwa Umoja wa Watoto wa Wachungaji wa Kanisa la Moravian mkoa wa Mbeya umewatembelea watoto yatima wanaolelewa katika Kituo cha Amani Nsalaga, kinachomilikiwa na Kanisa…
18 July 2026, 10:55
TARI Naliendele yawanoa wenye ulemavu kilimo cha korosho
TARI Naliendele imetoa mafunzo kwa watu wenye ulemavu kuhusu kilimo bora cha korosho, ikiwajengea uwezo wa kutumia mbegu bora na kudhibiti magonjwa ili kuongeza uzalishaji na tija. Na Musa Mtepa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI), Kituo cha Naliendele…
17 July 2026, 13:19
Mradi wa bilioni 65 kuimarisha kilimo cha mpunga Kigoma
Mradi wa umwagiliaji wa bonde la Mto Luiche unaotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ni miongoni mwa miradi mikubwa ya maendeleo inayolenga kuimarisha sekta ya kilimo nchini Na Tryphone Odace Serikali imeanza utekelezaji wa mradi mkubwa wa umwagiliaji wenye…
21 June 2026, 2:14 pm
Redcross Kasulu yafanya uchaguzi wa viongozi
Wananchi wilayani Kasulu wahimizwa kujiunga katika Chama Cha Msalaba Mwekundu kikitajwa kuwa kina mchango mkubwa katika jamii. Na; Emily Adam Chama cha Msalaba Mwekundu Redcross Tawi la Mjini na Mrusi, Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma kimefanya uchaguzi wa viongozi…
5 June 2026, 17:42
Kilosa yaunga mkono Dira ya Tanzania ya kijani 2050
Wananchi wamehimizwa kushiriki kikamilifu katika juhudi za kuifanya Tanzania kuwa ya kijani na salama kwa mazingira kwa kuzingatia kaulimbiu ya mwaka huu inayohamasisha uwajibikaji katika uhifadhi wa mazingira. Na Asha Madohola Wilaya ya Kilosa imeungana na mataifa mbalimbali duniani kuadhimisha…
4 June 2026, 15:34
Kilosa kuadhimisha siku ya mazingira
Kila mwananchi ana wajibu wa kushiriki katika upandaji miti, utunzaji wa vyanzo vya maji na matumizi endelevu ya rasilimali za mazingira ili kujenga Tanzania ya kijani na salama kwa vizazi vya sasa na vijavyo. Na Asha Madohola Wananchi wa Wilaya…