Radio Tadio

afya

7 September 2026, 18:29

Minada ya korosho 2026/2027 kuanza Oktoba 19

Bodi ya Korosho Tanzania imetangaza kuwa minada rasmi ya mauzo ya korosho kwa msimu wa 2026/2027 itaanza Oktoba 19, huku maandalizi ya msimu huo yakiendelea Na Musa Mtepa Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania (CBT), Frances Alfred, ametangaza kuwa…

27 August 2026, 20:17

TARI yaongeza utafiti kukabili visumbufu vya zao la korosho

TARI inaendelea na utafiti wa magonjwa na visumbufu vya korosho, ikiwemo mnyauko Fusari, huku ikitumia teknolojia ya drones na AI kuboresha udhibiti wa changamoto hizo na kuongeza uzalishaji Na Musa Mtepa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) imeeleza kuwa…

27 August 2026, 7:17 am

RC Makala ataka Ngorongoro kujiandaa kukabili El nino

Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro yatakiwa kuimarisha miundombinu ya barabara na maandalizi ya kukabiliana na mvua za El Niño zinazotarajiwa kuanza Septemba 2026. Na Saitoti Saringe Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. CPA Amos Makala, ametoa wito kwa Mamlaka ya…

14 August 2026, 16:30

TARI Naliendele yaimarisha utafiti kwa teknolojia mpya

TARI Naliendele imezindua vifaa vya kisasa vya utafiti na miundombinu vitakavyoongeza ufanisi, kuharakisha tafiti na kuinua tija katika uzalishaji na kuongeza thamani ya zao la korosho nchini Na Musa Mtepa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI), Kituo cha Naliendele,…

10 August 2026, 23:57

Waziri Kapinga azitaka CAMARTEC, WRRB kusaidia wakulima

Waziri wa Viwanda na Biashara Judith Kapinga amezitaka CAMARTEC na WRRB kuwawezesha wananchi kupata mashine za kuchakata korosho, kuongeza thamani ya zao hilo, ajira na kipato. Na Musa Mtepa Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga, amezitaka kituo cha…

28 July 2026, 12:18 am

Simanzi yatanda Arusha vifo vya mapacha watano

Watoto mapacha watano waliozaliwa njiti katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha (Mount Meru),waliozaliwa usiku wa kuamkia Julai 26,2026 wamefariki dunia kwa nyakati tofauti wakati wakipatiwa matibabu.​ Na Mariam Mallya Watoto hao walizaliwa wakiwa na umri wa miezi sita…

21 July 2026, 05:32

Watoto wachungaji wawafariji yatima Nsalaga

Upendo kwa wasiojiweza hujengwa kwa matendo kwa watoto yatima na watu wenye mahitaji. Na Ezra Mwilwa Umoja wa Watoto wa Wachungaji wa Kanisa la Moravian mkoa wa Mbeya umewatembelea watoto yatima wanaolelewa katika Kituo cha Amani Nsalaga, kinachomilikiwa na Kanisa…

18 July 2026, 10:55

TARI Naliendele yawanoa wenye ulemavu kilimo cha korosho

TARI Naliendele imetoa mafunzo kwa watu wenye ulemavu kuhusu kilimo bora cha korosho, ikiwajengea uwezo wa kutumia mbegu bora na kudhibiti magonjwa ili kuongeza uzalishaji na tija. Na Musa Mtepa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI), Kituo cha Naliendele…