Radio Tadio

afya

28 July 2026, 12:18 am

Simanzi yatanda Arusha vifo vya mapacha watano

Watoto mapacha watano waliozaliwa njiti katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha (Mount Meru),waliozaliwa usiku wa kuamkia Julai 26,2026 wamefariki dunia kwa nyakati tofauti wakati wakipatiwa matibabu.​ Na Mariam Mallya Watoto hao walizaliwa wakiwa na umri wa miezi sita…

21 July 2026, 05:32

Watoto wachungaji wawafariji yatima Nsalaga

Upendo kwa wasiojiweza hujengwa kwa matendo kwa watoto yatima na watu wenye mahitaji. Na Ezra Mwilwa Umoja wa Watoto wa Wachungaji wa Kanisa la Moravian mkoa wa Mbeya umewatembelea watoto yatima wanaolelewa katika Kituo cha Amani Nsalaga, kinachomilikiwa na Kanisa…

18 July 2026, 10:55

TARI Naliendele yawanoa wenye ulemavu kilimo cha korosho

TARI Naliendele imetoa mafunzo kwa watu wenye ulemavu kuhusu kilimo bora cha korosho, ikiwajengea uwezo wa kutumia mbegu bora na kudhibiti magonjwa ili kuongeza uzalishaji na tija. Na Musa Mtepa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI), Kituo cha Naliendele…

17 July 2026, 13:19

Mradi wa bilioni 65 kuimarisha kilimo cha mpunga Kigoma

Mradi wa umwagiliaji wa bonde la Mto Luiche unaotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ni miongoni mwa miradi mikubwa ya maendeleo inayolenga kuimarisha sekta ya kilimo nchini Na Tryphone Odace Serikali imeanza utekelezaji wa mradi mkubwa wa umwagiliaji wenye…

21 June 2026, 2:14 pm

Redcross Kasulu yafanya uchaguzi wa viongozi

Wananchi wilayani Kasulu wahimizwa kujiunga katika Chama Cha Msalaba Mwekundu kikitajwa kuwa kina mchango mkubwa katika jamii. Na; Emily Adam Chama cha Msalaba Mwekundu Redcross Tawi la Mjini  na Mrusi,  Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma kimefanya uchaguzi wa viongozi…

5 June 2026, 17:42

Kilosa yaunga mkono Dira ya Tanzania ya kijani 2050

Wananchi wamehimizwa kushiriki kikamilifu katika juhudi za kuifanya Tanzania kuwa ya kijani na salama kwa mazingira kwa kuzingatia kaulimbiu ya mwaka huu inayohamasisha uwajibikaji katika uhifadhi wa mazingira. Na Asha Madohola Wilaya ya Kilosa imeungana na mataifa mbalimbali duniani kuadhimisha…

4 June 2026, 15:34

Kilosa kuadhimisha siku ya mazingira

Kila mwananchi ana wajibu wa kushiriki katika upandaji miti, utunzaji wa vyanzo vya maji na matumizi endelevu ya rasilimali za mazingira ili kujenga Tanzania ya kijani na salama kwa vizazi vya sasa na vijavyo. Na Asha Madohola Wananchi wa Wilaya…

2 June 2026, 11:21

Mtwara yawakutanisha wataalamu wa Korosho barani Afrika

Mtwara imekuwa mwenyeji wa mafunzo ya kimataifa ya korosho yaliyowakutanisha washiriki kutoka zaidi ya nchi 11 za Afrika kujadili mbinu za kuongeza uzalishaji, thamani na masoko ya zao la korosho kwa manufaa ya wakulima na wadau wa sekta hiyo Na…

20 May 2026, 14:08

Upandaji miti kuokoa mto Mkondoa

Katika kuelekea Siku ya Mazingira Duniani, kaulimbiu ya utunzaji wa mazingira 05 Juni 2026 inaendelea kuwa wito muhimu wa kujenga taifa lenye mazingira bora na maisha endelevu. Na Mwandishi wetu Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kulinda mazingira na kuokoa…