Radio Tadio

afya

June 4, 2026, 16:05 pm

UNICEF, TADIO, Wizara ya Afya mguu sawa dhidi ya ebola

Na Bakari Khalid Watendaji wa redio za kijamii kutoka maeneo mbalimbali nchini wanashiriki mafunzo yaliyoandaliwa na TADIO kwa ushirikiano na UNICEF pamoja na Wizara ya Afya, yenye lengo la kuimarisha maandalizi na mwitikio dhidi ya ugonjwa wa Ebola. Mkufunzi  kutoka Wizara…

4 June 2026, 15:34

Kilosa kuadhimisha siku ya mazingira

Kila mwananchi ana wajibu wa kushiriki katika upandaji miti, utunzaji wa vyanzo vya maji na matumizi endelevu ya rasilimali za mazingira ili kujenga Tanzania ya kijani na salama kwa vizazi vya sasa na vijavyo. Na Asha Madohola Wananchi wa Wilaya…

2 June 2026, 11:21

Mtwara yawakutanisha wataalamu wa Korosho barani Afrika

Mtwara imekuwa mwenyeji wa mafunzo ya kimataifa ya korosho yaliyowakutanisha washiriki kutoka zaidi ya nchi 11 za Afrika kujadili mbinu za kuongeza uzalishaji, thamani na masoko ya zao la korosho kwa manufaa ya wakulima na wadau wa sekta hiyo Na…

20 May 2026, 14:08

Upandaji miti kuokoa mto Mkondoa

Katika kuelekea Siku ya Mazingira Duniani, kaulimbiu ya utunzaji wa mazingira 05 Juni 2026 inaendelea kuwa wito muhimu wa kujenga taifa lenye mazingira bora na maisha endelevu. Na Mwandishi wetu Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kulinda mazingira na kuokoa…

5 May 2026, 20:57

Mch. Sanga asimikwa mwenyekiti Moravian dinari ya Iwambi

Makanisa Mengi ya yaliyo chini ya jumuiya ya kikristo Tanzania CCT yanao utaratibu wa kuwasimikia watendaji wake wa kanisa pindi wanapata nafasi ya uongozi.‎‎Na Hobokela Lwinga‎Mwenyekiti wa Wilaya ya Mbeya wa Kanisa la Moravian Jimbo la Kusini Magharibi, Mchungaji Greenwell…

April 28, 2026, 1:37 pm

Ngara kuuenzi Muungano

Shughuli zilizofanyika ni pamoja na usafi wa mazingira, mazoezi na upandaji miti katika Shule ya Msingi Ngara Mjini, ikiwa ni sehemu ya kuenzi na kuendeleza mshikamano miongoni mwa wananchi. Na David Mwaluseke- Ngara, KAGERA Baada ya maadhimisho ya miaka 62…

2 April 2026, 10:34

Viongozi watakiwa kuwa wakweli na kutenda haki

Amani ni tunda la roho kibiblia,hivyo kila mtu anaowajibu wa kulinda na kutunza Amani eneo alilopo. Na Hobokela Lwinga ‎Askofu wa kanisa la Moravian Tanzania mhashamu Conrad Nguvumali Sikombe ameongoza ibada  ya maombi ya kuliombea taifa. ‎Ibada hiyo imefanyika katika…

1 April 2026, 15:24

Makato ya korosho kikwazo mradi wa soko Mnyahi

Wananchi wa Mnyahi Mtwara walalamikia kuchelewa kwa ujenzi wa soko licha ya makato ya korosho, wakitupia lawama viongozi wa kijiji na mfumo wa ukusanyaji fedha. Na Musa Mtepa Wananchi wa kijiji cha Mnyahi, kata ya Milangominne mkoani Mtwara, wameulalamikia uongozi…