afya
21 October 2024, 15:39
Kanisa la Moravian laamuaga rasmi mch. Mbotwa
Kama ilivyo utaratibu wa kikatiba ya kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi kila mchungaji anayefikisha umri wa miaka 60 huwa anastaafu. Na Deus Mellah Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusin Magharibi wilaya ya Mbeya limemuaga Mwenyekiti wao…
11 October 2024, 15:50 pm
TANECU yauza korosho tani 3,857 kwa Tsh 4,120
Mnada wa leo wameshindana makampuni 37 na korosho zote zilizouzwa zimenunuliwa na makampuni 10 hivyo makampuni 27 yamekosa korosho maana yake ni kwamba kunauhitaji wa korosho duniani na beii hii ni kutokana dunia ina uhitaji mkubwa wa korosho karanga na…
3 October 2024, 12:48 pm
TANECU kuwakomboa wakulima wa korosho Mtwara
Kiwanda hiki kinakadiriwa kuwa na thamani ya shilingi bilioni 3.4 huku kikitarajiwa kubangua tani 3,500 za korosho kwa mwaka. Na Musa Mtepa Wakulima wa korosho katika wilaya za Tandahimba na Newala mkoani Mtwara wameonesha furaha yao kuhusu ujenzi wa kiwanda…
2 October 2024, 23:45 pm
Bashe azindua kiwanda cha kubangua korosho Mtwara
Takribani Bilioni 3.4 inaelezwa kuwa zimetumika kujenga kiwanda hicho huku ikikadiriwa kuwa na uwezo wa kubangua korosho tani 3,500 kwa mwaka Waziri wa Kilimo, Mh. Hussein Bashe, amezindua rasmi kiwanda cha kubangua korosho cha Chama Kikuu cha Ushirika cha Tandahimba,…
30 September 2024, 11:27 am
TANECU yawaita Wananchi Katika Uzinduzi wa Kiwanda cha kubangua Korosho
Matarajio kwa miaka mitano ijayo katika uwekezaji wa viwanda vya korosho ni kuona wawekezaji kutoka nchini Uholanzi na china ambao wameonesha mahitaji ya korosho karanga. Na Musa Mtepa Wananchi wa Mtwara wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika uzinduzi wa kiwanda cha…
30 September 2024, 01:13 am
Waziri Bashe kuzindua kiwanda cha kubangua korosho Mtwara
Suala la viwanda kumilikiwa na wakulima ni jambo la umuhimu na wakulima hawawezi kumiliki viwanda hivyo pasipo kushirikiana na vyama vya ushirika pamoja na usimamizi wa tume ya ushirika nchini. Na Musa Mtepa Waziri wa Kilimo Husein Bashe, tarehe 1…
18 September 2024, 4:55 pm
RC Kihongosi amwaga fedha kwa bodaboda wa Nyashimo Busega
“Mchango wa maendeleo na kupunguza wimbi la ajira umekuwa mkubwa sana kwa Taifa kutokana na baadhi ya vijana kujiajiri wao wenyewe kupitia bodaboda hivyo kujiongezea kipato“. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa mkoa wa Simiyu,Kenani Kihongosi ametoa kiasi cha fedha milioni…
16 September 2024, 17:26 pm
CBT yaondoa tozo kwa wakulima wa korosho nchini
Katika kuelekea msimu wa korosho 2024/2025 bodi ya korosho CBT imeamua kuondoa tozo zilizokuwa zinatozwa kwa wakulima na kuzipeleka kwa wanunuzi lengo likiwa kumsaidia mkulima kunufaika na zao hilo. Na Musa Mtepa Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Francis…
15 September 2024, 11:58 am
Dkt. Serera aitaka CBT kuimarisha ubora wa korosho kwa soko la kimataifa
Soko bora la korosho huchangiwa na ubora wenyewe wa korosho hivyo wadau hawana budi kuhakikisha korosho zinazo kusanywa,kuhifadhiwa na kusafirishwa nje ya nchi zinakuwa bora kimataifa. Na Musa Mtepa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayeshughulikia Ushirika na Umwagiliaji,…
23 August 2024, 2:10 pm
Vitambulisho 528 vya NIDA vyakwama ofisi ya mtendaji Bunda mjini
Wananchi watakiwa kuepuka kutoa namba zao za NIDA ovyo ili kuepuka changamoto ya kutumika vibaya kwa namba hizo. Na Gaudensia Zakayo Jumla ya vitambulisho 528 vya taifa (NIDA) havijachukuliwa katika kata ya Bunda mjini. Hayo yamesemwa na Mtendaji wa kata…