Radio Tadio

afya

5 May 2026, 20:57

Mch. Sanga asimikwa mwenyekiti Moravian dinari ya Iwambi

Makanisa Mengi ya yaliyo chini ya jumuiya ya kikristo Tanzania CCT yanao utaratibu wa kuwasimikia watendaji wake wa kanisa pindi wanapata nafasi ya uongozi.‎‎Na Hobokela Lwinga‎Mwenyekiti wa Wilaya ya Mbeya wa Kanisa la Moravian Jimbo la Kusini Magharibi, Mchungaji Greenwell…

April 28, 2026, 1:37 pm

Ngara kuuenzi Muungano

Shughuli zilizofanyika ni pamoja na usafi wa mazingira, mazoezi na upandaji miti katika Shule ya Msingi Ngara Mjini, ikiwa ni sehemu ya kuenzi na kuendeleza mshikamano miongoni mwa wananchi. Na David Mwaluseke- Ngara, KAGERA Baada ya maadhimisho ya miaka 62…

2 April 2026, 10:34

Viongozi watakiwa kuwa wakweli na kutenda haki

Amani ni tunda la roho kibiblia,hivyo kila mtu anaowajibu wa kulinda na kutunza Amani eneo alilopo. Na Hobokela Lwinga ‎Askofu wa kanisa la Moravian Tanzania mhashamu Conrad Nguvumali Sikombe ameongoza ibada  ya maombi ya kuliombea taifa. ‎Ibada hiyo imefanyika katika…

1 April 2026, 15:24

Makato ya korosho kikwazo mradi wa soko Mnyahi

Wananchi wa Mnyahi Mtwara walalamikia kuchelewa kwa ujenzi wa soko licha ya makato ya korosho, wakitupia lawama viongozi wa kijiji na mfumo wa ukusanyaji fedha. Na Musa Mtepa Wananchi wa kijiji cha Mnyahi, kata ya Milangominne mkoani Mtwara, wameulalamikia uongozi…

18 March 2026, 16:43

TANROADS Simiyu waanza ujenzi wa barabara ya heavy weight

“Tunahitaji kuwa na miundombinu imara ya barabara ili kulinda usalama wa vyombo vya usafiri pamoja na watumiaji wake maana siku hizi kelele zimekuwa nyingi sana kutoka kwa watumiaji wa barabara juu ya ubovu wake na namna ambavyo unachangia kuhari vyombo…

15 March 2026, 15:32

Mch. Sinkwembe aongoza ibada ya ‘jenga wilaya’ Mbeya

Kutoa sadaka kwa ajili ya kujenga madhabahu ni jambo muhimu katika kuifanya kazi ya Mungu kwa sababu madhabahu ni mahali pa kumtolea Mungu ibada. Na Hobokela Lwinga Mwenyekiti wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi wilaya ya Mbeya…

9 March 2026, 10:09 pm

Wanawake tupunguze maneno kwa waume zetu

anapoanza kwenda huko inaweza kuwa sababu ya familia kutelekezwa na watoto kukosa huduma za Msingi Na. Abdunuru Shafii Mkuu wa Dawati la Jinsia na watoto Wilaya ya Uvinza na Polisi Kata Inspekta Winfrida Joram,  amewataka akina mama kutokuwa na maneno…

9 March 2026, 09:45

RC Kheri akemea wanaoficha ushahidi matukio ya ukatili

Serikali imeweka mifumo na vituo vya kuripoti matukio ya ukatili, na wananchi wanapaswa kuitumia Na Fredrick Siwale Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, amekemea tabia ya baadhi ya wanawake, kutotoa ushahidi katika mashauri yanayohusiana na matukio ya ukatili…

8 March 2026, 08:00

Wanawake Iringa DC watoa msaada kwa watoto

“Tumeona tusherehekee siku ya wanawake duniani Kwa kutoa msaada wa mahitaji Kwa watoto hawa” Na Joyce Buganda Wanawake kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Iringa wameadhimisha maadhimisho ya siku ya wanawake kiwilaya kitofauti kwa kwenda kutembelea vituo viwili vya watoto yatima…