Radio Tadio

Siasa

10 November 2023, 3:59 pm

Makonda atua Chato, asema Rais Samia hana ubaguzi

Akiwa kwenye mwendelezo wa ziara yake Kanda ya Ziwa Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda , leo November 10, 2023 amefika wilayani Chato na kuzungumza na wananchi. Na Mrisho Sadick- Geita Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na…

10 November 2023, 14:14

CCM yawaita wananchi kumpokea Dk.Tulia

mwandishi lameck Charles Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya kimekamilisha maandalizi ya kumpokea Mbunge wa jimbo la Mbeya mjini dokta Tulia Acksoni anayetarajia kuwasili kesho ikiwa ni siku chache tangu kiongozi huyo achaguliwe kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge…

4 November 2023, 17:39

CCM Mbeya wajipanga kumpokea Dk.Tulia

Mwandishi samweli ndoni Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Mbeya imempogeza Spika wa Bunge Dk. Tulia Acksoni kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa umoja wa wabunge duniani (IPU).Dk, Tulia ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Mbeya…

4 November 2023, 17:26

CCM Mbeya yamtambulisha katibu mwenezi mpya

Mwandishi : samweli ndoni Chama Cha Mapiduzi (CCM) mkoa wa Mbeya kimemtambulisha katibu wa siasa na uenezi wa Chama hicho ngazi ya mkoa Christopher Uhagile, akichukua nafasi ya Bashiru Madodi ambaye amepangiwa majukumu mengine ya kichama. Akimtambulisha kwa waandishi wa…

11 October 2023, 11:19

Aboud Ziarani Iringa

Na KEFA SIKA/MUFINDI. Mlezi wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Iringa Ndugu Mohamed Aboud Mohamed amewataka wananchi Wilayani Mufindi kufanya kazi kwa bidii kwani Serikali inaendelea kusikiliza na kutatua changamoto za wananchi. Mhe. Aboud ameyasema hayo katika ziara ya…

4 October 2023, 1:43 pm

Mbogo atoa fedha kukamilisha ofisi za CCM Mlele

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Katavi kupitia CCM Taska Restituta Mbogo ametoa zaidi ya shilingi milioni tatu kwa ukamilishaji wa ofisi za CCM wilaya ya Mlele na ofisi ya UWT wilayani hapo. Na Ben Gadau – MleleMbunge wa Viti Maalumu…

2 October 2023, 10:11 pm

Katibu mkuu CCM taifa Daniel Chongolo awasili Katavi

KATAVIKatibu mkuu wa chama cha mapinduzi CCM taifa Daniel Chongolo Amewasili Mkoani Katavi kuanza Ziara ya Siku 6 kwa ajili ya kukagua miradi na kuzungumza na wananchi. Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na chama cha Mapinduzi mkoani Katavi mara baada…