Radio Tadio

Siasa

10 September 2023, 10:11 pm

Tuendelee kumpa ushirikiano Rais wetu – Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wananchi kuendelea kumwamini Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa sababu ana dhamira na malengo makubwa ya kuendelea kuboresha maendeleo katika maeneo mbalimbali nchini yakiwemo na ya wilaya ya Ruangwa. “Tujenge imani ya Serikali yetu, tujenge…

27 July 2023, 09:10

Chongolo: CCM itaendelea kuisimamia serikali

Chama Cha Mapinduzi kimesema kitaendelea kuhakikisha kinaisimamia serikali katika utekelezaji wa masuala mbalimbali ya maendeleo ili kufikisha huduma bora kwa wananchi. Na, Tryphone Odace Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Daniel Chongolo amesema chama hicho kitaendelea kuisimamia Serikali Kuu…

16 July 2023, 3:14 pm

BAVICHA kuadhimisha siku ya vijana duniani mkoani Mwanza

BAVICHA maadhimisho ya siku ya vijana Duniani yatafanyiaka Mwanza kauli mbiu kijana ijue na itambue nguvu yako, lengo ni kuwakutanisha vijana na badarishana mawaza ya fursa zilizopo. Na Adelinus Banenwa Baraza la vijana  chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA wanatarajia…