Siasa
11 December 2023, 12:31 pm
Mwankenja: CHADEMA tulieni mambo mazuri yanakuja
Uchaguzi wa ndani wa chama cha demokrasia na amaendeleo CHADEMA ngazi ya kata ya Kyela mjini umefanyika na kumpata Lafaele Mwankenja kuwa menyekiti. Na James Mwakyembe. Zoezi la uchaguzi wa ndani kuchagua viongozi wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA…
7 December 2023, 22:21
Kamati ya siasa yaridhishwa utekelezaji Ilani ya CCM Karagwe
Na Eliud Henry Karagwe Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi CCM wilaya Karagwe imeridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleleo na kuagiza kurekebisha kasoro ndogondogo ili kuhakikisha irani ya chama hicho ya mwaka 2020/2025 inatekelezwa ipasavyo. Hayo yamebainika…
2 December 2023, 07:44
Kamati ya siasa Maswa yaridhishwa utekelezaji miradi ya maendeleo
Kamati ya Siasa ya chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Maswa ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Ndugu Onesmo Makota Imetembelea na Kukagua Miradi mbalimbali ya Maendeleo inayotekelezwa katika Jimbo la Maswa Magharibi. Miradi iliyotembelewa na kukaguliwa na Kamati hiyo …
30 November 2023, 10:13 pm
Kumekucha uchaguzi CHADEMA Kyela
Hekaheka za kuwapata viongozi wa nafasi mbalimbali ndani ya chama cha Demokrasia na Maendeleo zimepamba moto hapa wilayani Kyela mkoani mbeya. Na James Mwakyembe Zoezi la uchukuaji fomu kugombea nafasi mbalimbali ndani ya chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA limeanza…
27 November 2023, 1:37 pm
Jumla ya Miradi 9 inayogharimu zaidi ya Tshs Bilioni Moja inatekelezwa Wilayani…
Kamati ya Siasa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Katavi Wakikagua Nyumba ya Watumishi ambayo imekamilika katika Zahanati Kijiji cha Lugonesi Wilaya ya Tanganyika .Picha na Betord Benjamini Zaidi ya Billion 8 zimepatikana katika Biashara ya hewa ya ukaa kwa…
27 November 2023, 12:59 pm
Kamati ya Siasa Mkoa wa Katavi wameitaka Serikali kutoa elimu kwa Wafanyabiash…
Viongozi wa Kamati ya Siasa Mkoa akiwemo Mkuu wa Mkoa wa katavi wa pili kushoto na Mkuu wa wilaya ya Mpanda wa pili kulia Na mwakilishi wa mwenyekiti Ccm mkoa ambaye ni katibu mwenezi Ccm mkoa Joseph lwamba wakitembelea Miradi…
27 November 2023, 12:05 pm
Mkoa wa Katavi umefanikiwa kupokea zaidi ya Bilioni 800 katika utekelezaji wa Mi…
Kamati ya Siasa ikiwa katika kijiji cha Kakese wakikagua Mradi wa Maji .Picha na Betord Benjamini Taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya chama Cha Mapinduzi (CCM ) kwa mwaka 2020 hadi 2025 katika kipindi cha Miaka Miwili kuanzia 2022 hadi…
26 November 2023, 12:16 pm
Makamu wa Kwanza SMZ ahimiza vijana kuandaliwa kwa ajili ya taifa la kesho
Na Mwandishi wetu – Zanzibar Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Othman Masoud Othaman ametoa wito wa kuandaliwa vijana ili wawe viongozi watakaolinda miiko, silka, haki, uadilifu na uwajibikaji katika utumishi wa umma kwa ajili ya maslahi ya taifa.…
20 November 2023, 20:10
Opareshen peperusha bendera ilivyofana Kata Kayanga – Karagwe
Ziara ya oparesheni peperusha bendendera imelenga kuhamasisha masuala ya utawala bora, kuhamasisha kusajiliwa kwa njia ya elektronik, kuhamasisha uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu 2025 pamoja na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo. Na Ospicia Didace Viongozi wa Chama…
13 November 2023, 3:27 pm
Familia ya Mwansasu yawashukuru watanzania
Jamii imeshauriwa kuwaombea viongozi wa serikali ili waweze kuwatumikia kwa moyo Mh,Tulia akiwashukuru wana Rungwe kwa kumuombea kwenye shuguli za Serikali [picha na lennox mwamakula] RUNGWE.MBEYA Na Lennox mwamakula Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Tulia Ackson…