Radio Tadio

Siasa

26 May 2023, 10:26 am

CHADEMA na Katiba Mpya kabla ya uchaguzi

KATAVI Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kuwa kitaendelea kusimamia misingi ya chama hicho kwa kutetea haki, uhuru, na demokrasia kwa wanachama wa chama hicho na wananchi wa taifa kwa ujumla. Akiwahutubia wanachama wa chama hicho katika uzinduzi wa…

10 April 2023, 1:37 pm

Waliotajwa kwenye ripoti ya CAG waachie ngazi

Waliotajwa katika ripoti ya CAG watakiwa kuachia ngazi za madaraka walizonazo kutokana na ubadhirifu walioufanya kabla ya kuchukuliwa hatua za kisheria. “Serikali imepata hasara kubwa kutokana na watumishi wenye nia ovu na kama Rais alishasema wapishe, kama chama cha mapinduzi…

22 February 2023, 2:04 pm

 CCM Yawataka Wafanyakazi Kutimiza Wajibu 

Serikali ya Mkoa wa Iringa imetoa taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Na Adeliphina Kutika. Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa kimewataka wafanyakazi wa serikali kutambua wajibu wao wawapo kazini kwa kutatua changamoto mbalimbali za…

31 January 2023, 12:16 pm

Wazazi hakikisheni watoto wanapata elimu

Wazazi na walezi watakiwa kuhakikisha watoto wao wanapata elimu ambayo inatolewa bila malipo pamoja na kuwalea katika maadili mema kwa kuwarithisha mila na desturi njema ili kuwa taifa lenye sifa njema na maadili mema. By Asha Mado Katika kuhakikisha watoto…