Radio Tadio

Siasa

11 December 2023, 12:31 pm

Mwankenja: CHADEMA tulieni mambo mazuri yanakuja

Uchaguzi wa ndani wa chama cha demokrasia na amaendeleo CHADEMA ngazi ya kata ya Kyela mjini umefanyika na kumpata Lafaele Mwankenja kuwa menyekiti. Na James Mwakyembe. Zoezi la uchaguzi  wa ndani kuchagua viongozi wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA…

7 December 2023, 22:21

Kamati ya siasa yaridhishwa utekelezaji Ilani ya CCM Karagwe

Na Eliud Henry Karagwe Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi CCM wilaya Karagwe imeridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleleo na kuagiza kurekebisha kasoro ndogondogo ili kuhakikisha irani ya chama hicho ya mwaka 2020/2025 inatekelezwa ipasavyo. Hayo yamebainika…

2 December 2023, 07:44

Kamati ya siasa Maswa yaridhishwa utekelezaji miradi ya maendeleo

Kamati  ya Siasa ya  chama  cha  Mapinduzi   (CCM) Wilaya  ya  Maswa  ikiongozwa  na  Mwenyekiti wa  Chama  hicho   Ndugu  Onesmo   Makota Imetembelea   na  Kukagua  Miradi  mbalimbali  ya  Maendeleo inayotekelezwa  katika  Jimbo  la  Maswa  Magharibi. Miradi  iliyotembelewa  na  kukaguliwa  na  Kamati  hiyo …

30 November 2023, 10:13 pm

Kumekucha uchaguzi CHADEMA Kyela

Hekaheka za kuwapata viongozi wa nafasi mbalimbali ndani ya chama cha Demokrasia na Maendeleo zimepamba moto hapa wilayani Kyela mkoani mbeya. Na James Mwakyembe Zoezi la uchukuaji fomu kugombea nafasi mbalimbali ndani ya chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA limeanza…

20 November 2023, 20:10

Opareshen peperusha bendera ilivyofana Kata Kayanga – Karagwe

Ziara ya oparesheni peperusha bendendera imelenga kuhamasisha masuala ya utawala bora, kuhamasisha kusajiliwa kwa njia ya elektronik, kuhamasisha uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu 2025 pamoja na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo. Na Ospicia Didace Viongozi wa Chama…

13 November 2023, 3:27 pm

Familia ya Mwansasu yawashukuru watanzania

Jamii imeshauriwa kuwaombea viongozi wa serikali ili waweze kuwatumikia kwa moyo Mh,Tulia akiwashukuru wana Rungwe kwa kumuombea kwenye shuguli za Serikali [picha na lennox mwamakula] RUNGWE.MBEYA Na Lennox mwamakula Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Tulia Ackson…