Siasa
4 October 2023, 1:43 pm
Mbogo atoa fedha kukamilisha ofisi za CCM Mlele
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Katavi kupitia CCM Taska Restituta Mbogo ametoa zaidi ya shilingi milioni tatu kwa ukamilishaji wa ofisi za CCM wilaya ya Mlele na ofisi ya UWT wilayani hapo. Na Ben Gadau – MleleMbunge wa Viti Maalumu…
2 October 2023, 10:11 pm
Katibu mkuu CCM taifa Daniel Chongolo awasili Katavi
KATAVIKatibu mkuu wa chama cha mapinduzi CCM taifa Daniel Chongolo Amewasili Mkoani Katavi kuanza Ziara ya Siku 6 kwa ajili ya kukagua miradi na kuzungumza na wananchi. Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na chama cha Mapinduzi mkoani Katavi mara baada…
28 September 2023, 12:49 am
Wanahabari wapewa siri ya kuwawezesha kuhoji
Kupitia matokeo ya Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 mwanahabari unaweza kuhoji ili kuisaidia jamii Na Edward Lucas Kamisaa wa Sensa ya watu na makazi, Spika msaafu Mhe.Anna Makinda amewaasa waandishi wa habari kuhakikisha kuwa wanasoma taarifa ya…
26 September 2023, 12:15
Kada CHADEMA alia na serikali ugumu wa maisha
CHADEMA kata ya Kandete Busokelo kinafanya mkutano huo ikiwa ni maandalizi ya kumpokea Mwenyekiti wa Taifa Freeman Mbowe na safu yake wanaotarajiwa kuwa na mikutano katika wilaya ya Rungwe. Na Josea Sinkala Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kata ya…
25 September 2023, 8:41 am
CCM Makete yafanya uchaguzi wa vijana chipukizi
katika kuwaandaa vijana wazalendo na viongozi wa baadaye chama cha Mapinduzi CCM Makete kimefanya uchaguzi wa viongozi wa vijana hao huku nafasi ya mweneyekiti ikichukuliwa na Michael Kened Chaula . na :Rose Njilile Jumuiya ya Vijana Makete mkoani Njombe kupitia…
September 21, 2023, 1:50 pm
ACT Wazalendo wapinga matokeo uchaguzi jimbo la Mbarali, kukata rufaa mahakamani
Chama cha ACT Wazalendo kimesema hakikubaliani na matokeo ya Ubunge yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na kutangazwa na Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Mbarali Ndugu Missana K. Kwangura Septemba20,2023. Na Laurent Gervas: Chama cha ACT Wazalendo chapinga…
20 September 2023, 18:11
Jimbo la Mbarali lapata mrithi wa aliyekuwa Mbunge Francis Mtega
Tume ya Taifa ya uchaguzi ilitangaza uchaguzi mdogo baada ya kifo cha aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Francis Mtega kufariki kwa ajali akielekea shambani kwake. Na Daniel Simelta Msimamizi wa Uchaguzi katika jimbo la Mbarali mkoani Mbeya, Missana Kwangura amemtangaza…
20 September 2023, 5:31 pm
Tanzia Mwenyekiti wa Ccm Wilaya ya Mpanda Method Mtepa afariki dunia
Taarifa za msiba huo amezipokea kwa masikitiko makubwa sana na kiongozi wake alikuwa anamfahamu kwamba alikuwa mchapakazi katika utendaji wa kazi. Na Kalala Robert & Anna Millanzi – MpandaMwenyekiti wa chama cha mapinduzi Ccm wilaya ya Mpanda Bw. Method Mtepa…
20 September 2023, 10:09 am
Babylon: aikacha Chadema atoa mifuko 30 ya saruji ujenzi wa ofisi ccm
Babylon Mwakyembile alie Wahi kugombe ubunge kupitia CHADEMA ameamua kuachana na chama Hicho na kujiunga na chama cha Mapinduzi ambapo katika ujenzi unaoendelea kwenye ofisi ya ccm kata ya Ngusa ametoa vifaa mbalimbali vya ujenzi. Na Rahm Sakabona. Aliye kuwa…
14 September 2023, 9:50 am
Ziara ya Mbunge Mufindi Kaskazini Kata ya Kibengu
Mbunge wa Mufindi Kaskazini Mh. Exaud Kigahe (wa kwanza kushoto pichani) akiwa ziarani katika kata ya Kibengu wilayani Mufindi Jana. Picha na Kelvin Mickdady Na Kelvin Mickdady-Mufindi Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kaskazini ambaye pia ni Naibu waziri wa Viwanda…