
Recent posts

November 28, 2023, 11:58 am
Bodaboda Ndulamo wakusanya Milioni 16 kwa mwaka
baadhi ya viongozi wa serikali ya kijiji na jeshi la polisi kwenye mkutano na waendesha bodaboda.picha na mwandishi wetu licha ya jitihada za serikali kuendelea kutoa elimu kwa vijana kuanzisha vikundi pamoja na kupata mikopo vijana wa bodaboda ndulamo kupitia…

November 27, 2023, 7:24 pm
Kamishna msaidizi, mkuu wa hifadhi ya Kitulo kuchangia mifuko 10 ya saruji Veta…
kutokana na jitihada za serikali kuendelea kujenga vyuo vya veta nchini imekuwa ni chachu kwa vijana kunufaika na mafunzo hayo katika kujiinua kiuchumi na shafii Kamishna msaidizi na mkuu wa hifadhi ya kitulo ambaye pia alikuwa mgeni rasmi katika maafali…

November 23, 2023, 12:47 pm
Watumiaji wa vyombo vya moto watakiwa kufuata sheria za usalama barabarani
Na mwandishi wetu Wito umetolewa kwa waendesha vyombo vya moto wilayani makete mkoni njombe kuendelea kuheshimu alama za usalama barabarani ili kuepukana na ajali ambazo zinaweza kuzuilika kutokana na uzembe ambao umekuwa ukifanywa na baadhi ya waendesha vyombo vya moto…

November 23, 2023, 12:24 pm
Waziri Silaa amaliza mgogoro wa mpaka kati ya Makete na Wanging’ombe
Kutokana na kudumu kwa muda mrefu kuhusu mpaka kati ya Makete na Wanging’ombe imetafutiwa ufumbuzi wa tatizo hilo ambao ulikuwa kizungumkuti. na Gift kyando Waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi mh Jerry Silaha hii leo ametatua mgogoro wa…

November 23, 2023, 9:29 am
Semina ya uwekezaji kwenye dhamana yafanyika kwa watumishi Makete
Ili kukuza uchumi kwa wananchi serikali kupitia BOT imetoa mafunzo kwa watumishi wa Umma juu ya Kuwekeza kwenye dhamana ya serikali ili kufaidi fulsa za uwekezaji serikalini. Na Ombeni Mgongolwa Luther Luvanda Mhasibu na mwezeshaji wa semina ya wadau juu…

November 17, 2023, 7:46 pm
Mvua yaleta maafa Makete, wananchi watakiwa kupanda miti kwa wingi
Kutokana na Mamlaka ya Hali ya Hewa kutangaza mvua nyingi, wananchi wameaswa kupanda miti katika maeneo yao ili kuepukana na adha ya kuezuliwa nyumba zao. Na mwandishi wetu. Mkuu wa wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda ametoa pole kwa wananchi…

November 17, 2023, 6:53 pm
Watumishi 5 wafukuzwa kazi halmashauri ya Makete
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya Makete Mh. Christopher Fungo pamoja na viongozi wengine katika kikao cha baraza la madiwani. Picha na Ombeni Mgongolwa Ili kuhakikisha maendeleo kwa wananchi yanawafikia hususani viongozi nao kuwajibika katika nafasi zao imeonesha utoro kwa baadhi…

November 12, 2023, 2:04 am
kibonge wa Yesu kaja kivingine Tanzania
Mtumishi wa Mungu na mwimbaji wa Nyimbo za Injili Juma Kyando alimaarufu kwa Jina la Kibonge wa Yesu,ameachia Nyimbo mbili usiku wa kuamukia tarehe 11Nov 2023 ikiwa ni siku ya kumbukizi ya Siku yake ya kuzaliwa na Aldo Sanga Mwanamuziki…

November 7, 2023, 2:19 pm
Jeshi la akiba Makete latakiwa kuimarisha ulinzi na usalama
Katika kudumisha uzalendo kwa wananchi wa Tanzania, vijana 99 wa kata ya Mfumbi wamefuzu mafunzo ya jeshi la akiba maarufu kama mgambo wilayani Makete mkoani Njombe lengo likiwa ni kuimarisha ulinzi na usalama kwa jamii. Na mwandishi wetu. Mkuu wa…

November 1, 2023, 1:19 pm
Mbunge Sanga akabidhi baiskeli kwa mlemavu Makete
baada ya wananchi wa kijiji cha kisinga kupaza sauti dhidi ya mlemavu Sinahabari mbunge wa jimbo la makete Festo Sanga kwa kushirikiana na wadau mbali mbali wamemkabidhi baiskeli yenye thamani ya shilingi milioni moja Na Ahazi Ndelwa. Mbunge wa jimbo…