Recent posts
October 26, 2021, 6:47 pm
SHULE YA UONGOZI
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (MNEC) Ndg.Japhari Kubechaatoa shule ya Uongozi kwa Vijana nchini Akizungumza na Kitulo FM, Kubecha amesema kijana ni mtu muhimu kwenye taifa hili husani katika uongozi kwani asilimia kubwa ya watanzania ni vijana…
October 26, 2021, 6:22 pm
IJUE SHERIA
Kwenye Kipindi cha Ijue Sheria kinachorushwa kila siku ya Jumatatu saa 2:00 Usiku mpaka saa 3:00 Usiku Mkurugenzi Mtendaji Shirika la wasaidizi wa Kisheria Wilaya ya Makete (MAPAO) Mch. Denis Sinene ametupiga msasa kuhusu majukumu. (i) Kuwakilisha wananchi katika Halmashauri,…
October 23, 2021, 9:23 am
AHUKUMIWA MIAKA 8 JELA
Bw. Andrew Alfred Mbogela (29) mkazi wa Uyole jijini Mbeya amehukumiwa kwenda jela kifungo cha miaka 8 kwa kosa la wizi Ikulu ndogo Makete Mshtakiwa huyo amekutwa na hatia katika mashtaka mawili ambapo katika shitaka la kwanza ameshtakiwa kwa kosa…
October 22, 2021, 1:27 pm
WALIMU OENI
Walimu wa Kiume shule za Sekondari Wilayani Makete Mkoani Njombe wameshauriwa kuoa ili kupunguza tamaa zinazoweza kuwashawishi kujihusisha kimapenzi na wanafunzi. Hii ni katika kupambana na mimba kwa wanafunzi wa kike shule za Sekondari katika Wilaya ya Makete Akizungumza na…
October 18, 2021, 1:58 pm
Zao la viazi laozea Shambani
Zao la Viazi kwa wakulima wa Kata ya Kitulo Wilayani Makete huenda likaozea shambani kwa sababu ya kukosekana soko la uhakika la zao hilo Kwa mujibu wa Wakulima wa Viazi Kata ya Kitulo, wamesema wengi wao wameshindwa kuvuna viazi shambani…