Kitulo FM

Recent posts

January 11, 2023, 7:37 pm

Wazazi wakamatwe wafanye usafi Shuleni-RC Njombe

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Antony Mtaka amemuagiza mkuu wa Wilaya ya Njombe Kissa Kasongwa kuwakamata na kuwafanyisha usafi kwenye mashuleni pamoja na vituo vya afya wazazi wote ambao watoto wao hawajaripoti shuleni kuanza muhula mpya wa masomo badala ya…

January 9, 2023, 5:27 pm

Msako kuanza kwa Wazazi/Walezi ambao hawajapeleka Wanafunzi Shule

  Wanafunzi Kidato cha kwanza na darasa la kwanza wameanza kuripoti shuleni katika shule mbalimbali Wilayani Makete huku Mkuu wa Wilaya akiagiza kukamatwa kwa Mzazi yeyote ambaye hataki kupeleka mwanafunzi shuleni. Leo tarehe 9 Januari, 2023 Akiwa katika ukaguzi wa…

January 7, 2023, 8:32 pm

Mwanafunzi hata kama hana Sare aanze Masomo-dc Mhe. Sweda

  Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda amekagua vyumba vya madarasa kwa shule za Sekondari ambavyo wanafunzi wataripoti na kuanza masomo Januari 9, 2023. Mhe. Sweda amesema Serikali imehakikisha wanafunzi wanapata Mazingira rafiki ya kujifunzia na hivyo mpaka…

January 7, 2023, 7:28 pm

Miundombinu imekamilika kupokea Wanafunzi Januari 9, 2023- Mhe. Mpete

  Wakati shule zote nchini Tanzania zikitarajiwa kufunguliwa siku ya Jumatatu ya Januari 9 ,2022 wazazi na walezi mkoani Njombe wametakiwa kuwaandalia watoto mahitaji yote muhimu ili wanafunzi wote waripoti shule na kuanza masomo kwa pamoja. Akizungumza na wanahabari Mwenyekiti…

January 7, 2023, 7:19 pm

Serikali kutafuta namna ya Kumkopesha Mwananchi Simu Janja

  Waziri wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari,Mhe.Nape Nnauye ( Mb ) amesema serikali iko mbioni kutafuta namna ya kumuwezesha mtanzania wa kawaida kumudu gharama ya kununua simu janja. Amebainisha hayo wakati akizindua mnara wa simu katika Kijiji cha Kinenulo…

January 6, 2023, 12:00 pm

Wakurugenzi simamieni Malipo ya Ushuru wa Mbao wa 3%- Waziri Kijaji

  Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dk Ashatu Kijaji amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri zote za Mkoa wa Njombe kuhakikisha inakusanya mapato ya Mbao kwa 3% kwa mujibu wa utaratibu uliowekwa na Serikali na siyo shilingi 100 kwa kila…

January 6, 2023, 11:40 am

Watoto wote waende Shule-Rc Mtaka

  Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Antony Mtaka amewataka wazazi/walezi wenye watoto waliofikia umri wa kuanza darasa la kwanza kuwapeleka shule ifikapo tarehe 9, Januari 2023. Akizungumza na wafanyabiashara wa Mkoa wa Njombe kwenye Baraza la 7 la wafanyabiashara…

January 4, 2023, 9:31 am

Daraja lasombwa na Maji Mwakauta-Makete

  Daraja la Mbao lililokuwa likitumiwa na watembea kwa miguu wanaovuka kutoka Kijiji cha Mwakauta kwenda kupata huduma za Afya Hospitali ya Bulongwa limesombwa na Maji baada ya mvua kubwa kunyesha siku kadhaa zilizopita. Ni siku 5 zimepita wananchi wa…

Sample Page

This is an example page. It’s different from a blog post because it will stay in one place and will show up in your site navigation (in most themes). Most people start with an About page that introduces them to potential site visitors. It might say something like this:

Hi there! I’m a bike messenger by day, aspiring actor by night, and this is my website. I live in Los Angeles, have a great dog named Jack, and I like piña coladas. (And gettin’ caught in the rain.)

…or something like this:

The XYZ Doohickey Company was founded in 1971, and has been providing quality doohickeys to the public ever since. Located in Gotham City, XYZ employs over 2,000 people and does all kinds of awesome things for the Gotham community.

As a new WordPress user, you should go to your dashboard to delete this page and create new pages for your content. Have fun!