Kitulo FM
Kitulo FM
18 January 2023, 10:39 am
Halmashauri ya mji wa Makambako imetakiwa kutoa elimu kuhusiana na usafi wa mazingira ili kuhakikisha maeneo yote yanafanyiwa usafi lengo likiwa ni kukabiliana na magonjwa ambukizi. Wakizungumza na Kituo hiki baadhi ya wananchi wa mtaa wa rajabu mahakamani uliopo…
18 January 2023, 10:04 am
WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe ameagiza kukamatwa kwa mmiliki wa Kampuni ya Candia Fresh pamoja na kuifunga kampuni hiyo, kwa kile alichoeleza kuwa inanunua parachichi ambazo hazijakomaa. Bashe amesema kuwa kampuni hiyo imekuwa ikinunua parachichi hizo changa na kisha…
17 January 2023, 9:58 am
Wazazi kijiji cha Usagatikwa Kata ya Tandala na Ibaga Kata ya Mang’oto wamebainika kushawishi wanafunzi wafeli mitihani ya Darasa la Saba kwa maksudi. Kaimu Afisa Elimu Idara ya Msingi Wilaya ya Makete Mwalimu Bakari Msuya amesema kumekuwa na tabia…
17 January 2023, 9:31 am
Wananchi wa Kijiji cha Ihela Kata ya Tandala Wilayani Makete wameiomba Serikali kuangalia chanzo cha radi eneo la shule ili kuepusha hatari ya watoto kupigwa radi Wakizungumza na Kitulo Fm kwa nyakati tofauti wananchi hao wameeleza kuwa kumekuwa na…
17 January 2023, 9:02 am
MKAZI wa Matalawe mkoani Njombe, Furaha Lugenge (28) amefikishwa mahakamani kwa kosa la kumchoma moto mtoto wa mume wake sehemu za mapajani na kwenye makalio kwa kutumia moto wa mkaa kwa madai ya mtoto huyo kukojoa kitandani. Mbele ya…
17 January 2023, 8:57 am
Kijiji cha Usagatikwa wilayani Makete mkoani Njombe kipo kwenye hatari ya kukosa wasomi katika siku zijazo kutokana na wanafunzi wanaopangiwa kuanza kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Lupalilo wengi wao kutohitimu kidato cha Nne Akitoa taarifa ya ripoti…
16 January 2023, 8:24 am
Wanafunzi wa kike walioacha masomo kwa sababu mbalimbali kuanzia mwaka 2016 wametakiwa kujiandikisha ili waweze kuanza masomo kwa muhula wa masomo 2023/24 katika program ya Elimu ya Sekondari kwa Njia Mbadala (SEQUIP-AEP) Baptista Kaguo Mratibu wa elimu ya watu…
16 January 2023, 8:00 am
Watu wasiojulikana wameng’oa na kuiba Mabomba matano ya Vibao vya alama za usalama Barabarani katika Barabara kuu ya Makete – Njombe usiku wa kuamkia January 13, 2023 katika eneo la kijiji cha Ikonda wilayani Makete mkoani Njombe Wakizungumza na…
16 January 2023, 7:46 am
Wananchi wa Kijiji cha Kigulu wameiomba Serikali kukamilisha ujenzi wa Barabara ya Kijiji hicho ili kurahisisha shughuli za usafiri na kuongeza mzunguko wa Uchumi kwa wananchi. Wakizungumza mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda wananchi hao…
11 January 2023, 7:47 pm
Kufuatia kuanza kwa miradi midogo ya uchimbaji madini ya makaa ya mawe wilayani Ludewa mkoani Njombe huku miradi mikubwa ya Liganga na Mchuchuma ikitarajiwa kuanza hivi karibuni shirika lisilo la kiserikali Umbrella of Women and Disabled organization (UWODO) imewasili…
Kitulo Fm radio ni kituo cha kijamii kinachozalisha maudhui yenye hadhi ya kujenga jamii ya kitulo