Kitulo FM

Recent posts

January 17, 2023, 9:58 am

Wazazi wanashawishi Wanafunzi wafeli Mitihani

  Wazazi kijiji cha Usagatikwa Kata ya Tandala na Ibaga Kata ya Mang’oto wamebainika kushawishi wanafunzi wafeli mitihani ya Darasa la Saba kwa maksudi. Kaimu Afisa Elimu Idara ya Msingi Wilaya ya Makete Mwalimu Bakari Msuya amesema kumekuwa na tabia…

January 17, 2023, 9:31 am

Waiomba Serikali kunusuru wanafunzi kupigwa na Radi

  Wananchi wa Kijiji cha Ihela Kata ya Tandala Wilayani Makete wameiomba Serikali kuangalia chanzo cha radi eneo la shule ili kuepusha hatari ya watoto kupigwa radi Wakizungumza na Kitulo Fm kwa nyakati tofauti wananchi hao wameeleza kuwa kumekuwa na…

January 17, 2023, 9:02 am

Mama wa Kambo Kizimbani kwa kumchoma mtoto wa Mumewe Mkoani Njombe

  MKAZI wa Matalawe mkoani Njombe, Furaha Lugenge (28) amefikishwa mahakamani kwa kosa la kumchoma moto mtoto wa mume wake sehemu za mapajani na kwenye makalio kwa kutumia moto wa mkaa kwa madai ya mtoto huyo kukojoa kitandani. Mbele ya…

January 17, 2023, 8:57 am

Idadi ya wanafunzi kuripoti shule bado changamoto

  Kijiji cha Usagatikwa wilayani Makete mkoani Njombe kipo kwenye hatari ya kukosa wasomi katika siku zijazo kutokana na wanafunzi wanaopangiwa kuanza kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Lupalilo wengi wao kutohitimu kidato cha Nne Akitoa taarifa ya ripoti…

January 16, 2023, 8:24 am

Wanafunzi walioacha masomo washauriwa kujisajili waanze kusoma

  Wanafunzi wa kike walioacha masomo kwa sababu mbalimbali kuanzia mwaka 2016 wametakiwa kujiandikisha ili waweze kuanza masomo kwa muhula wa masomo 2023/24 katika program ya Elimu ya Sekondari kwa Njia Mbadala (SEQUIP-AEP) Baptista Kaguo Mratibu wa elimu ya watu…

January 16, 2023, 8:00 am

Waiba Alama za Barabarani Ikonda-Makete

  Watu wasiojulikana wameng’oa na kuiba Mabomba matano ya Vibao vya alama za usalama Barabarani katika Barabara kuu ya Makete – Njombe usiku wa kuamkia January 13, 2023 katika eneo la kijiji cha Ikonda wilayani Makete mkoani Njombe Wakizungumza na…

January 16, 2023, 7:46 am

Wananchi waiomba Serikali kujenga Barabara Kigulu

  Wananchi wa Kijiji cha Kigulu wameiomba Serikali kukamilisha ujenzi wa Barabara ya Kijiji hicho ili kurahisisha shughuli za usafiri na kuongeza mzunguko wa Uchumi kwa wananchi. Wakizungumza mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda wananchi hao…

January 11, 2023, 7:47 pm

Elimu ya Utunzaji wa Mazingira kuanza kutolewa Liganga na Mchuchuma Ludewa

  Kufuatia kuanza kwa miradi midogo ya uchimbaji madini ya makaa ya mawe wilayani Ludewa mkoani Njombe huku miradi mikubwa ya Liganga na Mchuchuma ikitarajiwa kuanza hivi karibuni shirika lisilo la kiserikali Umbrella of Women and Disabled organization (UWODO) imewasili…

January 11, 2023, 7:43 pm

Wananchi elfu 15 Waanza kunufaika na mradi wa Maji Matamba-Kinyika

Mamlaka ya Majisafi na usafi wa Mazingira Iringa (IRUWASA) imetekeleza mradi wa Zaidi ya Bilioni moja katika Tarafa ya Matamba na kuukabidhi kwa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Makete Ruwasa mradi huo unatambulika kwa jina la Matamba-Kinyika Makabidhiano…

January 11, 2023, 7:39 pm

Wanaume wakatazwa kusimama na Wanafunzi wa Kike Njombe

  Serikali wilayani Ludewa mkoani Njombe, imepiga marufuku wanaume kusimama na wanafunzi wa kike kwa zaidi dakika 15 katika mazingira yenye mashaka, baada ya kufanya utafiti mwepesi na kubaini kwamba kuna kundi kubwa la watoto wa kike wanaokatisha masomo kwa…

Sample Page

This is an example page. It’s different from a blog post because it will stay in one place and will show up in your site navigation (in most themes). Most people start with an About page that introduces them to potential site visitors. It might say something like this:

Hi there! I’m a bike messenger by day, aspiring actor by night, and this is my website. I live in Los Angeles, have a great dog named Jack, and I like piña coladas. (And gettin’ caught in the rain.)

…or something like this:

The XYZ Doohickey Company was founded in 1971, and has been providing quality doohickeys to the public ever since. Located in Gotham City, XYZ employs over 2,000 people and does all kinds of awesome things for the Gotham community.

As a new WordPress user, you should go to your dashboard to delete this page and create new pages for your content. Have fun!