Recent posts
11 April 2026, 1:38 pm
Makete waungana kuboresha miundombinu ya barabara
Wakati mvua zikiendelea kunyesha katika maeneo mbali mbali na miundombinu ya barabara kuathirika kwa kiasi kikubwa wananchi kwa kushirikiana na viongozi wa serikali za mitaa wamekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha changmoto hiyo inatatuliwa. Na, Rose Njinile Kutokana na mvua…
17 March 2026, 5:20 pm
Anyowise ahukumiwa kifungo cha miaka 7 gerezani
Kutokana na wimbi la wizi katika maeneo mbali mbali jamii imetakiwa kuacha vitendo hivyo na badala yake wajike katika shughuli halali za kujipatia kipato na mwandishi wetu. Mahakama ya Wilaya ya Makete Mkoani Njombe imemuhukumu Anyowise Gehezi sanga maarufu kwa…
3 May 2024, 8:46 am
Zaidi ya bilioni 7 kutekeleza shughuli za maendeleo Makete
katika utekelzaji wa ilani ya chama cha mapinduzi CCM zaidi ya bilioni saba zimetolewa na Serikali katika kata ya Iwawa ili kutekelez miradi ya maendeleo katika nyanja mbalimbali ikiwa ni pamoja na Afya,barabda,umeme pamoja na Elimu. Na Aldo Sanga Zaidi…
3 May 2024, 7:30 am
Wazabuni Makete watakiwa kusambaza vifaa kwa wakati
Kufatia kusuasua ujenzi wa baadhi ya miradi ya maedeleo inayoendelea katika wilaya ya Makete, DC Samweli Sweda amewataka wazabuni kupeleka vifaa kwa wakati ili kuendana na kasi ya ukamilishaji wa miradi hiyo kwa wakati ili kufikia malango yaliyotarajiwa Na Shafii…
3 May 2024, 7:08 am
Sekondari Mang’oto yatakiwa kutunza mazingira
DC Sweda atembelea miradi ya maendeleo kukagua maendeleo ya miradi hiyo huku akiwataka wanaosimamia miradi hiyo kuhahikisha wanaitunza ili kuleta tija na ufanisi . Na Shafi. Mkuu wa Wilaya ya Makete mhe. Juma Sweda amemtaka mwalimu mkuu wa shule ya…
3 May 2024, 6:53 am
Bodaboda Makete washauriwa kuripoti matukio ya uhalifu
Kutokana na kundi kubwa la waendesha vyombo vya moto hususani pikipiki maarufu kama bodaboda kutumia vyombo hivyo bila leseni mkuu wa wilaya ya Makete mh.Samweli Sweda ametoa rai kwa vijana hao kumiliki leseni na kutoa taarifa za matukio ya uharifu.…
23 April 2024, 10:25 pm
Wasichana 8,035 kupata chanjo ya saratani ya malango wa kizazi Makete
kupitia kampeni ya Kitafa ya chanjo ya HPV kwa wasichana wa umri miaka Jumla wa wasichana 8035 wa umri wa kuanzia miaka 9-14 wanatarajia kupata chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi ,zoezi ambalo litafanyika kwa siku tano kuanzia April…
22 April 2024, 12:21 pm
Wafugaji wa nyuki washauriwa kutumia wataalam
Kutokana na wafugaji wengi wa nyuki kufuga kienyeji na kutopata faida ofisi ya misitu Halmashauri ya wilaya ya Makete wameshauri wafugaji kutumia ushauri wa wataalamu ili wafuge kwa tija. Na Bensoni Kyando. Wananchi Wilayani Makete Mkoani Njombe wanaojishuhulisha na shughuli…
18 April 2024, 11:10 pm
ukaguzi wa miradi umefanyika na kamati ya fedha Makete
katika kutekeleza miradi ya maendeleo Makete katika sekta mbalimbali kamati ya Fedha utawala na mipango imefanya ukaguzi wa miradi kwalengo la kusukuma kasi ya miradi ikamilike kwa wakati Na Aldo Sanga. Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango, leo April i,18,…
17 April 2024, 6:24 am
Maafisa ugani watakiwa kusimamia zao la ngano Makete
katika kusimamia na kutekeleza kwa vitendo mpango wa Serikali wa kufungua fulsa za kiuchumi katika Wilaya ya Makete maafisa ugani wametakiwa kusimamia kilimo cha zao la ngano kwalengo la kuleta tija kiuchumi kwa wananchi wa Wilaya ya Makete. Na Aldo…