Recent posts
29 July 2026, 7:50 pm
DC Kissa aipongeza halmashauri ya makete kwa mafanikio ya afua za lishe
Mkuu wa Wilaya ya Makete, Mhe. Kissa Gwakisa Kasongwa wito umetolewa kwa watendaji wa kata zote ishirini na tatu wilaya ya makete kuhakikisha watoto wanapata chakula mara mbili tofauti na ilivyo kwasasa wanapata chakula mara moja huku akisisitiza jambo hilo…
22 July 2026, 10:13 am
Ikonda walia na changamoto ya barabara
Kutokana na umuhimu mkubwa wa miundombinu ya barabara katika maeneo mengi hapa nchini, wakazi wa kijiji cha Ikonda wamewasilisha changamoto ya barabara ambazo zimekuwa zikiwaletea adha kubwa katika shughuli zao za kila siku hasa wakati wa masika na kuiomba serikali…
22 July 2026, 10:04 am
Makete waomba bunduki, risasi kufukuza ngedere waharibifu
Baada ya baadhi ya wananchi kupatiwa mafunzo ya kutumia bunduki, wameiomba serikali kuwapa bunduki na risasi kwa lengo la kufukuza ngedere waharibifu wanaoharibu mazao yao shambani na kukosa mazao mengi ambayo walitarajia kuyapata jambo linalowaletea adha kubwa wakulima hao. Na…
22 July 2026, 9:33 am
Makete wahaha: Aliyesababisha tukose umeme kwa wiki mbili ashughulikiwe
Kutokana na umuhimu mkubwa wa umeme katika makazi ya watu na hata katika shughuli mbalimbali za uzalishaji mali wakazi wa kijiji cha Usagatikwa wameonyesha kutoridhishwa na baadhi ya watu kuharibu miundombinu ya umeme na kupelekea kukosa umeme kwa mda wa…
24 June 2026, 9:40 am
Dc Kissa awanyoonyeshea mkono wananchi wa makete
Mkuu wa wilaya ya makete mh kissa gwakisa kasongo kutokana na halmashauri kupata hati safi mkuu wa wilaya ya makete ametoa pongezi kwa mkurugenzi pamoja na wananchi kwa kazi kubwa wanayofanya ya kujiingizia kipato huku akiongeza kwa kusema kuwa haimpishida…
24 June 2026, 9:30 am
Halmashauri ya makete yapongezwa kupata hati safi
katibu tawala mkoa wanjombe Dkt Stephen Nindi umoja ni nguvu utengano ni udhaifu ni kauli iliyojidhihilisha kwenye baraza maalumu la madiwani la kupokea na kujadili hoja za mdhibiti na maguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG) jambo lililopelekea halmashauri kupata…
22 June 2026, 7:34 pm
Wazazi acheni kuwapa simu watoto wenu
Afisa tawala wilaya ya makete ndg Onespholia Ngogo kutokana na wimbi la watoto kutumia simu wito umetolewa kwa wazazi na jamii kwa ujumla kuacha tabia hiyo ya kuwazoesha watoto simu ili kuwa na kizazi kilicho bora pamoja na kuacha kuwalaza…
22 June 2026, 9:57 am
DC Makete ahimiza waumini kudumisha amani
Wito umeendea kutolewa kwa vijana na wananchi kwa ujumla kuendelea kuitunza amani na kudumisha upendo na mshikamano ili kuwa na taifa imara na lilobora. na mwandishi wetu. Mkuu wa Wilaya ya Makete kissa gwakisa kasongwa jana Juni 21, 2026 ameshiriki…
19 June 2026, 6:35 pm
Madalali wa mazao makete waaswa kufuata utaratibu katika kutekeleza majukumu yao
viongozi pamoja na madalali wakiwa kwenye kikao cha madalali kutokana na wakulima wengi kulalamika kuhusu madalali wa mazao, halamshaur ya makete imeanzisha umoja wa madalali wa mazao makete ambao watambulika rasmi katika ufanyaji kazi wa udalali ili kuepusha malalamiko ya…
19 June 2026, 6:01 pm
Watendaji wa kata na vijiji hamasisheni upatikanaji wa Mbogamboga na matunda shu…
Afisa Tarafa wa Tarafa ya Ikuwo, Ndg. Albert Luwondo wazazi wametakiwa kuwa mstari mbele kuchangia chakula shuleni ili kufanikisha watoto wanapata chakula mara mbili tofauti na hivi sasa ambapo wanafunzi wanapata mlo mmoja pekee na mwandishi wetu Watendaji wa Kata…