Recent posts
19 June 2026, 6:35 pm
Madalali wa mazao makete waaswa kufuata utaratibu katika kutekeleza majukumu yao
viongozi pamoja na madalali wakiwa kwenye kikao cha madalali kutokana na wakulima wengi kulalamika kuhusu madalali wa mazao, halamshaur ya makete imeanzisha umoja wa madalali wa mazao makete ambao watambulika rasmi katika ufanyaji kazi wa udalali ili kuepusha malalamiko ya…
19 June 2026, 6:01 pm
Watendaji wa kata na vijiji hamasisheni upatikanaji wa Mbogamboga na matunda shu…
Afisa Tarafa wa Tarafa ya Ikuwo, Ndg. Albert Luwondo wazazi wametakiwa kuwa mstari mbele kuchangia chakula shuleni ili kufanikisha watoto wanapata chakula mara mbili tofauti na hivi sasa ambapo wanafunzi wanapata mlo mmoja pekee na mwandishi wetu Watendaji wa Kata…
17 June 2026, 6:31 am
Watakiwa kuwalinda watoto dhidi ya vitendo vya ukatili
Wito umeendelea kutolewa kwenye maadhimisho ya siku ya mtoto wa afrika kuendelea kulindwa kwa watoto dhidi ya vitendo viovu ili kuwa na taifa bora la hapo baadaye. Na Mwandishi Wetu Wakazi wa Wilaya ya Makete, mkoani Njombe, leo Juni 16,…
12 June 2026, 6:20 pm
DC Kasongwa atembelea na kuwaona wagonjwa hospitali ya wilaya Makete
Watumishi wa hospitali ya wilaya ya Makete mkoani Njombe wamepongezwa kwa utoaji wa huduma bora kwa wananchi wanapofika kwa ajili ya kupata huduma na kuwasisitiza kuendelea kutimiza majukumu yao kikamilifu. Na Omben Mgongolwa Mkuu wa Wilaya ya Makete, Mhe. Kissa…
11 June 2026, 9:56 am
Lulu Samson atoa mkono wa pole kwa makundi maalumu hospitali ya Makete
Lulu Samson pamoja na mganga Mfawidhi hospitali ya wilaya ya Makete Dkt Amanda Mollel Jamii imesisitizwa kuendelea kuyakumbuka makundi maalumu katika maeneo yao ili kuwafariji na kuwapa pole ili waweze kupata faraja kutoka kwa watu wengine wanaowatembelea Na mwandishi wetu.…
11 June 2026, 9:41 am
Wananchi wa wafurahia ujio wa sekondari
Wananchi wakitoa hoja zao kwenye mkutano wa kijiji mbele ya mkurugenzi kutokana na wanafunzi kutembea umbali mrefu kutafuta elimu wananchi wameishukuru serikali kwa kutoa pesa itakayo saidia ujenzi mpaya wa shule ya sekondari katika kata ya Mlondwe, Makete na mwandishi…
10 June 2026, 6:44 pm
GNM cargo yakabadhi madawati 40 kwa wanafunzi wa Ilumaki sekondari
ili kuendelea kuhakikisha wanafunzi wanasoma katika mazingira mazuri na kuweza kufikia ndoto zao, wazawa wa makete waishio nje ya makete wamekuwa wakihakikisha mazingira mazuri katika shule zote makete yanakuwa mazuri kwa kuendelea kutoa madawati kujenga mabweni ili wanafunzi wafurahie masomo…
8 June 2026, 8:00 pm
Makete imepata Hasara zaidi ya Bilioni 11 kwasababu ya uchomaji wa Misitu
diwani wa kata ya iwawa mhe Rabson mahenge akiwa pamoja na baadhi ya viongozi wa kijiji kutokana na baadhi ya watu kufanya shughuli za kilimo cha kutumia moto wakati wa kuandaa mashamba na hata kuvuna mbao kijiji cha ivalalila kimetunga…
5 June 2026, 6:15 pm
Asilimia 14 ya watu wazima Makete hawajui kusoma na kuandika
Kutokana na baadhi ya watu wazima kutokujua kusoma na kuandika halmashauri ya wilaya ya Makete, Idara ya Elimu ya Watu Wazima wameweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha wakazi wote wa Makete wanajua kusoma na kuandika. Na Mwandishi Wetu Imeelezwa kuwa asilimia…
4 June 2026, 9:41 am
Wazazi wahimizwa kutoa michango shuleni
Kutokana na kukubaliana kwenye vikao shuleni, wazazi wamewaasa wenzao wasiotoa michango pamoja na kuwatumia watoto wao kwenye utafutaji kuacha tabia hiyo. Na Mwandishi Wetu Wazazi pamoja na viongozi wa kijiji cha ivalalila kata ya iwawa wilaya ya makete wamesikitishwa na…