17 March 2026, 5:20 pm

Anyowise ahukumiwa kifungo cha miaka 7 gerezani

Kutokana na wimbi la wizi katika maeneo mbali mbali jamii imetakiwa kuacha vitendo hivyo na badala yake wajike katika shughuli halali za kujipatia kipato na mwandishi wetu. Mahakama ya Wilaya ya Makete Mkoani Njombe imemuhukumu Anyowise Gehezi sanga maarufu kwa…

Offline
Play internet radio

Recent posts

17 June 2026, 6:31 am

Watakiwa kuwalinda watoto dhidi ya vitendo vya ukatili

Wito umeendelea kutolewa kwenye maadhimisho ya siku ya mtoto wa afrika kuendelea kulindwa kwa watoto dhidi ya vitendo viovu ili kuwa na taifa bora la hapo baadaye. Na Mwandishi Wetu Wakazi wa Wilaya ya Makete,  mkoani Njombe, leo Juni 16,…

12 June 2026, 6:20 pm

DC Kasongwa atembelea na kuwaona wagonjwa hospitali ya wilaya Makete

Watumishi wa hospitali ya wilaya ya Makete mkoani Njombe wamepongezwa kwa utoaji wa huduma bora kwa wananchi wanapofika kwa ajili ya kupata huduma na kuwasisitiza kuendelea kutimiza majukumu yao kikamilifu. Na Omben Mgongolwa Mkuu wa Wilaya ya Makete, Mhe. Kissa…

11 June 2026, 9:56 am

Lulu Samson atoa mkono wa pole kwa makundi maalumu hospitali ya Makete

Lulu Samson pamoja na mganga Mfawidhi hospitali ya wilaya ya Makete Dkt Amanda Mollel Jamii imesisitizwa kuendelea kuyakumbuka makundi maalumu katika maeneo yao ili kuwafariji na kuwapa pole ili waweze kupata faraja kutoka kwa watu wengine wanaowatembelea Na mwandishi wetu.…

11 June 2026, 9:41 am

Wananchi wa wafurahia ujio wa sekondari

Wananchi wakitoa hoja zao kwenye mkutano wa kijiji mbele ya mkurugenzi kutokana na wanafunzi kutembea umbali mrefu kutafuta elimu wananchi wameishukuru serikali kwa kutoa pesa itakayo saidia ujenzi mpaya wa shule ya sekondari katika kata ya Mlondwe, Makete na mwandishi…

10 June 2026, 6:44 pm

GNM cargo yakabadhi madawati 40 kwa wanafunzi wa Ilumaki sekondari

ili kuendelea kuhakikisha wanafunzi wanasoma katika mazingira mazuri na kuweza kufikia ndoto zao, wazawa wa makete waishio nje ya makete wamekuwa wakihakikisha mazingira mazuri katika shule zote makete yanakuwa mazuri kwa kuendelea kutoa madawati kujenga mabweni ili wanafunzi wafurahie masomo…

5 June 2026, 6:15 pm

Asilimia 14 ya watu wazima Makete hawajui kusoma na kuandika

Kutokana na baadhi ya watu wazima kutokujua kusoma na kuandika halmashauri ya wilaya ya Makete, Idara ya Elimu ya Watu Wazima wameweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha wakazi wote wa Makete wanajua kusoma na kuandika. Na Mwandishi Wetu Imeelezwa kuwa asilimia…

4 June 2026, 9:41 am

Wazazi wahimizwa kutoa michango shuleni

Kutokana na kukubaliana kwenye vikao shuleni, wazazi wamewaasa wenzao wasiotoa michango pamoja na kuwatumia watoto wao kwenye utafutaji kuacha tabia hiyo. Na Mwandishi Wetu Wazazi pamoja na viongozi wa kijiji cha ivalalila kata ya iwawa wilaya ya makete  wamesikitishwa na…

Mission and Vision

Kitulo Fm radio ni kituo cha kijamii kinachozalisha maudhui yenye hadhi ya kujenga jamii ya kitulo