Kitulo FM

Recent posts

January 22, 2024, 8:04 pm

Waziri Bashungwa aagiza kasi zaidi ujenzi barabara ya Makete-Mbeya

Waziri Bashungwa amefanya ziara katika mradi wa ujenzi wa barabara ya Mbeya- Makete kwa kiwango cha lami huku akitoa maelekezo kwa mkandarasi kuongeza kasi ya ujenzi ikiwa nipamoja na kuongeza mitambo ili kuendana na mkataba wamradi huo Na Aldo Sanga…

January 21, 2024, 9:53 pm

Makete washiriki misa ya shukrani mapokezi ya askofu Eusebius Kyando

Ikiwa nisiku chache tangu Askofu Eusebius aingizwe kazini katika jimbo la Njombe mapema hii leo amefanya ziara yake ya kwanza katika parokia ya Makete ibada iliyohudhuriwa na mamia ya wanamakete wakiwemo viongozi mbalimbali wa vyama na serikali. Na Mwandishi wetu…

January 20, 2024, 9:01 pm

Zaidi ya kaya 20 zaathiriwa na upepo mkali Makete

Ikiwa mamlaka za utabiri wa hali ya hewa nchini zinazidi kutoa tahadhari juu ya mvua zinazoendelea kunyesha nchini, baadhi ya maeneo katika mikoa na wilaya kumetokea athari mbalimbali ikiwa ni pamoja na vifo vya binadamu pamoja na uharibifu wa miundombinu.…

January 19, 2024, 6:30 pm

DC Sweda aahidi laki tano matengenezo barabara Kinyika-Mlondwe

na mwandishi wetu. Imeelezwa kuwa barabara ni moja ya njia inayowasaidia wanananchi kuweza kujikwamua kiuchumi. mkuu wa wilaya makete mh juma sweda ametembela barabara  ya kinyika- mlondwe na kuona changamoto inayowakumba wanachi wa maeneo hayo  na kuahidi  kutoa kiasi cha…

January 19, 2024, 5:56 pm

DC Sweda ampa kongole Rais Samia kwa miradi Makete

na mwandishi wetu kutokana na fedha nyngi kutolewa na serikali viongozi mbali mbali na wananchi wahimizwa kutunza miradi hiyo Mkuu  wa wilaya ya  makete mh Juma Sweda amemshukuru Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mh Samia Suluh Hassani kwa…

December 7, 2023, 1:13 pm

DC Sweda akagua miradi ya bilioini 1.5 kata ya Ipelele

Kutokana na fedha kutolewa na serikali ili kufanikisha miradi inatekelezwa katika maeneo mbali mbali dc sweda ameendelea kuhakikisha anafatilia kwa karibu miradi hiyo ili weze kukamilika kwa wakati Na mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya Makete Mhe. Juma Sweda amewataka viongozi…

December 7, 2023, 12:49 pm

Bodaboda Ndulamo wakabidhiwa viaksi mwanga

Katika kukabiliana na ajali za barabarani vijana bodaboda wametahadharishwa kuwa makini wanapokuwa barabarani wakati wa usiku wakijitafutia kipato kutokana na matukio mbalimbali yanayotokea ya kiuharifu na shafii Madereva pikipiki (bodaboda) Wilayani Makete Mkoani Njombe wameshauriwa kufuata sheria za barabarani kwa…

November 28, 2023, 11:58 am

Bodaboda Ndulamo wakusanya Milioni 16 kwa mwaka

baadhi ya viongozi wa serikali ya kijiji na jeshi la polisi kwenye mkutano na waendesha bodaboda.picha na mwandishi wetu licha ya jitihada za serikali kuendelea kutoa elimu kwa vijana kuanzisha vikundi pamoja na kupata mikopo vijana wa bodaboda ndulamo kupitia…

Sample Page

This is an example page. It’s different from a blog post because it will stay in one place and will show up in your site navigation (in most themes). Most people start with an About page that introduces them to potential site visitors. It might say something like this:

Hi there! I’m a bike messenger by day, aspiring actor by night, and this is my website. I live in Los Angeles, have a great dog named Jack, and I like piña coladas. (And gettin’ caught in the rain.)

…or something like this:

The XYZ Doohickey Company was founded in 1971, and has been providing quality doohickeys to the public ever since. Located in Gotham City, XYZ employs over 2,000 people and does all kinds of awesome things for the Gotham community.

As a new WordPress user, you should go to your dashboard to delete this page and create new pages for your content. Have fun!