

January 29, 2023, 8:02 am
Zoezi la kufunga vifaa tiba vya kisasa jengo la dharura (EMD) Hospital ya Wilaya ya Makete Mkoa wa Njombe limefanywa na wataalamu kwa lengo la kuanza kutoa huduma za Afya Hospitalini hapo. Serikali imetoa Milioni 300 kujenga jengo hilo la…
January 29, 2023, 7:54 am
Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT) Mkoa wa Njombe wamefanya Maadhimisho ya miaka 46 ya Chama cha Mapinduzi Wilayani Makete kwa kupanda miti kuzunguka eneo la shule ya Sekondari Ilumaki iliyopo Kata ya Lupalilo Wilaya ya Makete. Zoezi hilo limefanywa…
January 29, 2023, 7:43 am
Serikali imeongeza mfuko wa Jimbo la Makete kutoka Milioni 36,282,000 kwa mwaka 2021/2022 hadi kufikia Milioni 59,647,000 kwa mwaka 2022/2023. Kupitia Kikao cha Baraza maalumu la Madiwani kilichofanyika leo Tarehe 27 Januari 2023 cha kupitisha Bajeti ya mwaka wa fedha…
January 27, 2023, 10:56 am
Serikali ya Hait toka Amerika ya kusini imetuma wajumbe wake kuja kujifunza katika wilaya ya Njombe namna ilivyofanikiwa katika utekelezaji wa utoaji wa Chanjo ya UVICO 19 kupitia kampeni maalum ya kijiji kwa kijiji chini ya mkuu wa Wilaya ya…
January 27, 2023, 7:55 am
Hakimu mkazi mfawidhi Mahakama ya Wilaya ya Makete Mh. Ivan Msaki amesema jamii ikijikita katika utatuzi wa migogoro kwa njia ya usuluhishi kutaifanya jamii yenyewe kuishi bila uhasama. Mh. Msaki ameyasema hayo januari 25,2023 wakati akizungumza na wanafunzi wa chuo…
January 27, 2023, 7:28 am
Wananchi wametakiwa kuhakikisha wanahudumia Familia hususani watoto pale wazazi/wanandoa wanapokuwa wametengana kwa sababu mbalimbali. Rai hiyo imetolewa na Mwanasheria wa Halmashauri ya Wilaya ya Wilaya ya Makete Ndg. Appolo Laizer akizungumza na Kitulo FM kwenye Kipindi cha Daladala tarehe 27…
January 25, 2023, 4:00 pm
Mwakilishi wa Mkutano Mkuu CCM Taifa Mkoa wa Njombe (MNEC) Ndg. Abraham Okoka amempongeza Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda kwa kuaminiwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kuendelea kuwatumikia wananchi wa Makete MNEC ametoa pongezi hizo leo…
January 25, 2023, 2:19 pm
Ili kukabiliana na umasikini uliopo kwenye baadhi ya familia mkoani Njombe Serikali chini ya Wizara ya Kilimo imegawa miche elfu 20 kwa kaya zinazonufaika na mpango wa TASAF Katika Halmashauri ya mji wa Makambako. Akitoa miche hiyo katika kata ya…
January 25, 2023, 2:18 pm
Wazazi na walezi katika kijiji cha nyamande kilichopo kata ya kitandililo halmashauri ya mji wa Makambako wametajwa kuwa sababu ya wanafunzi hasa wa darasa la saba kufanya vibaya katika mitihani ya kuhitimu elimu ya msingi. Wazazi hao wametajwa kuwashawishi watoto…
January 25, 2023, 2:16 pm
Katekista wa kanisa la Roman Catholic parokia ya Mlangali wilayani Ludewa mkoani Njombe Simon Njavike (43) amepandishwa kizimbani katika mahakama ya wilaya hiyo kwa Tuhuma za kumbaka mwanafunzi wa kidato cha tatu (17) ambaye jina lake limehifadhiwa. Akisomewa shitaka hilo…
This is an example page. It’s different from a blog post because it will stay in one place and will show up in your site navigation (in most themes). Most people start with an About page that introduces them to potential site visitors. It might say something like this:
Hi there! I’m a bike messenger by day, aspiring actor by night, and this is my website. I live in Los Angeles, have a great dog named Jack, and I like piña coladas. (And gettin’ caught in the rain.)
…or something like this:
The XYZ Doohickey Company was founded in 1971, and has been providing quality doohickeys to the public ever since. Located in Gotham City, XYZ employs over 2,000 people and does all kinds of awesome things for the Gotham community.
As a new WordPress user, you should go to your dashboard to delete this page and create new pages for your content. Have fun!