Kitulo FM

Recent posts

November 23, 2023, 9:29 am

Semina ya uwekezaji kwenye dhamana yafanyika kwa watumishi Makete

Ili kukuza uchumi kwa wananchi serikali kupitia BOT imetoa mafunzo kwa watumishi wa Umma juu ya Kuwekeza kwenye dhamana ya serikali ili kufaidi fulsa za uwekezaji serikalini. Na Ombeni Mgongolwa Luther Luvanda Mhasibu na mwezeshaji wa semina ya wadau juu…

November 17, 2023, 7:46 pm

Mvua yaleta maafa Makete, wananchi watakiwa kupanda miti kwa wingi

Kutokana na Mamlaka ya Hali ya Hewa kutangaza mvua nyingi, wananchi wameaswa kupanda miti katika maeneo yao ili kuepukana na adha ya kuezuliwa nyumba zao. Na mwandishi wetu. Mkuu wa wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda ametoa pole kwa wananchi…

November 17, 2023, 6:53 pm

Watumishi 5 wafukuzwa kazi halmashauri ya Makete

Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya Makete Mh. Christopher Fungo pamoja na viongozi wengine katika kikao cha baraza la madiwani. Picha na Ombeni Mgongolwa Ili kuhakikisha maendeleo kwa wananchi yanawafikia hususani viongozi nao kuwajibika katika nafasi zao imeonesha utoro kwa baadhi…

November 12, 2023, 2:04 am

kibonge wa Yesu kaja kivingine Tanzania

Mtumishi wa Mungu na mwimbaji wa Nyimbo za Injili Juma Kyando alimaarufu kwa Jina la Kibonge wa Yesu,ameachia Nyimbo mbili usiku wa kuamukia tarehe 11Nov 2023 ikiwa ni siku ya kumbukizi ya Siku yake ya kuzaliwa na Aldo Sanga Mwanamuziki…

November 7, 2023, 2:19 pm

Jeshi la akiba Makete latakiwa kuimarisha ulinzi na usalama

Katika kudumisha uzalendo kwa wananchi wa Tanzania, vijana 99 wa kata ya Mfumbi wamefuzu mafunzo ya jeshi la akiba maarufu kama mgambo wilayani Makete mkoani Njombe lengo likiwa ni kuimarisha ulinzi na usalama kwa jamii. Na mwandishi wetu. Mkuu wa…

November 1, 2023, 1:19 pm

Mbunge Sanga akabidhi baiskeli kwa mlemavu Makete

baada ya wananchi wa kijiji cha kisinga kupaza sauti dhidi ya mlemavu Sinahabari mbunge wa jimbo la makete Festo Sanga kwa kushirikiana na wadau mbali mbali wamemkabidhi baiskeli yenye thamani ya shilingi milioni moja Na Ahazi Ndelwa. Mbunge wa jimbo…

November 1, 2023, 11:02 am

Maambukizi ya virusi vya UKIMWI Njombe sasa yafikia asilimia 10.4

Moja ya njia mojawapo Ssrikali inaendelea kupambana ni kuhakikisha elimu inaendelea kutolewa kwa wananchi wake kuhakikisha wanajikinga na kuwalinda wengine dhidi ya maambuki ya ukimwi. Na Rose Njinile. Kutokana na maambukizi ya virusi vya ukimwi kuendelea mpaka kufikia asilimia 10.4…

October 28, 2023, 3:52 pm

Askofu Shoo awataka waumini Makete kuungana ujenzi wa kanisa

Askofu mkuu wa wa kanisa la kilutheri Tanzania Fredrick Shoo pamoja na askofu mkuu wa dayosisi ya kusini ya kati wilson sanga kwenye uwekaji wa jiwe la msingi.picha na Rose njinile Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu, unaweza kusema hivyo…

Sample Page

This is an example page. It’s different from a blog post because it will stay in one place and will show up in your site navigation (in most themes). Most people start with an About page that introduces them to potential site visitors. It might say something like this:

Hi there! I’m a bike messenger by day, aspiring actor by night, and this is my website. I live in Los Angeles, have a great dog named Jack, and I like piña coladas. (And gettin’ caught in the rain.)

…or something like this:

The XYZ Doohickey Company was founded in 1971, and has been providing quality doohickeys to the public ever since. Located in Gotham City, XYZ employs over 2,000 people and does all kinds of awesome things for the Gotham community.

As a new WordPress user, you should go to your dashboard to delete this page and create new pages for your content. Have fun!