Recent posts
November 23, 2023, 9:29 am
Semina ya uwekezaji kwenye dhamana yafanyika kwa watumishi Makete
Ili kukuza uchumi kwa wananchi serikali kupitia BOT imetoa mafunzo kwa watumishi wa Umma juu ya Kuwekeza kwenye dhamana ya serikali ili kufaidi fulsa za uwekezaji serikalini. Na Ombeni Mgongolwa Luther Luvanda Mhasibu na mwezeshaji wa semina ya wadau juu…
November 17, 2023, 7:46 pm
Mvua yaleta maafa Makete, wananchi watakiwa kupanda miti kwa wingi
Kutokana na Mamlaka ya Hali ya Hewa kutangaza mvua nyingi, wananchi wameaswa kupanda miti katika maeneo yao ili kuepukana na adha ya kuezuliwa nyumba zao. Na mwandishi wetu. Mkuu wa wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda ametoa pole kwa wananchi…
November 17, 2023, 6:53 pm
Watumishi 5 wafukuzwa kazi halmashauri ya Makete
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya Makete Mh. Christopher Fungo pamoja na viongozi wengine katika kikao cha baraza la madiwani. Picha na Ombeni Mgongolwa Ili kuhakikisha maendeleo kwa wananchi yanawafikia hususani viongozi nao kuwajibika katika nafasi zao imeonesha utoro kwa baadhi…
November 12, 2023, 2:04 am
kibonge wa Yesu kaja kivingine Tanzania
Mtumishi wa Mungu na mwimbaji wa Nyimbo za Injili Juma Kyando alimaarufu kwa Jina la Kibonge wa Yesu,ameachia Nyimbo mbili usiku wa kuamukia tarehe 11Nov 2023 ikiwa ni siku ya kumbukizi ya Siku yake ya kuzaliwa na Aldo Sanga Mwanamuziki…
November 7, 2023, 2:19 pm
Jeshi la akiba Makete latakiwa kuimarisha ulinzi na usalama
Katika kudumisha uzalendo kwa wananchi wa Tanzania, vijana 99 wa kata ya Mfumbi wamefuzu mafunzo ya jeshi la akiba maarufu kama mgambo wilayani Makete mkoani Njombe lengo likiwa ni kuimarisha ulinzi na usalama kwa jamii. Na mwandishi wetu. Mkuu wa…
November 1, 2023, 1:19 pm
Mbunge Sanga akabidhi baiskeli kwa mlemavu Makete
baada ya wananchi wa kijiji cha kisinga kupaza sauti dhidi ya mlemavu Sinahabari mbunge wa jimbo la makete Festo Sanga kwa kushirikiana na wadau mbali mbali wamemkabidhi baiskeli yenye thamani ya shilingi milioni moja Na Ahazi Ndelwa. Mbunge wa jimbo…
November 1, 2023, 11:27 am
Dkt Mpango azindua mtambo wa kuzalisha umeme ijangala wenye kilowati 360
Hivi karibuni Makamu wa Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mh Philipo Mpango alizindua mtambo wa kuzalisha umeme ijangala wenye kilowati 360 kutokana na umuhimu wa umeme katika shughuli mbali mbali na wengi wao kujiajiri kupitia umeme wadau mbali…
November 1, 2023, 11:02 am
Maambukizi ya virusi vya UKIMWI Njombe sasa yafikia asilimia 10.4
Moja ya njia mojawapo Ssrikali inaendelea kupambana ni kuhakikisha elimu inaendelea kutolewa kwa wananchi wake kuhakikisha wanajikinga na kuwalinda wengine dhidi ya maambuki ya ukimwi. Na Rose Njinile. Kutokana na maambukizi ya virusi vya ukimwi kuendelea mpaka kufikia asilimia 10.4…
October 28, 2023, 3:52 pm
Askofu Shoo awataka waumini Makete kuungana ujenzi wa kanisa
Askofu mkuu wa wa kanisa la kilutheri Tanzania Fredrick Shoo pamoja na askofu mkuu wa dayosisi ya kusini ya kati wilson sanga kwenye uwekaji wa jiwe la msingi.picha na Rose njinile Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu, unaweza kusema hivyo…
October 28, 2023, 10:08 am
Kiwanda cha mipira ya kuvaa mikononi (gloves) chazinduliwa rasmi mkoani Njombe
katika kurahisisha upatikanaji wa mipira ya kuvaa mikononi (groves) mkoa wa njombe umekua mstari wa mbele katika kukuza sekta ya afya kwa kuanza na ujenzi wa kiwanda hicho kilichopo katika Halmashauri ya Mji wa Makambako Na mwandishi wetu. Makamu wa…