Kitulo FM

Recent posts

23 November 2023, 12:47 pm

Watumiaji wa vyombo vya moto watakiwa kufuata sheria za usalama barabarani

Na mwandishi wetu Wito umetolewa kwa waendesha vyombo vya moto wilayani makete mkoni njombe kuendelea kuheshimu alama za usalama barabarani ili kuepukana na ajali ambazo zinaweza kuzuilika kutokana na uzembe ambao umekuwa ukifanywa na baadhi ya waendesha vyombo vya moto…

23 November 2023, 9:29 am

Semina ya uwekezaji kwenye dhamana yafanyika kwa watumishi Makete

Ili kukuza uchumi kwa wananchi serikali kupitia BOT imetoa mafunzo kwa watumishi wa Umma juu ya Kuwekeza kwenye dhamana ya serikali ili kufaidi fulsa za uwekezaji serikalini. Na Ombeni Mgongolwa Luther Luvanda Mhasibu na mwezeshaji wa semina ya wadau juu…

17 November 2023, 7:46 pm

Mvua yaleta maafa Makete, wananchi watakiwa kupanda miti kwa wingi

Kutokana na Mamlaka ya Hali ya Hewa kutangaza mvua nyingi, wananchi wameaswa kupanda miti katika maeneo yao ili kuepukana na adha ya kuezuliwa nyumba zao. Na mwandishi wetu. Mkuu wa wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda ametoa pole kwa wananchi…

17 November 2023, 6:53 pm

Watumishi 5 wafukuzwa kazi halmashauri ya Makete

Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya Makete Mh. Christopher Fungo pamoja na viongozi wengine katika kikao cha baraza la madiwani. Picha na Ombeni Mgongolwa Ili kuhakikisha maendeleo kwa wananchi yanawafikia hususani viongozi nao kuwajibika katika nafasi zao imeonesha utoro kwa baadhi…

12 November 2023, 2:04 am

kibonge wa Yesu kaja kivingine Tanzania

Mtumishi wa Mungu na mwimbaji wa Nyimbo za Injili Juma Kyando alimaarufu kwa Jina la Kibonge wa Yesu,ameachia Nyimbo mbili usiku wa kuamukia tarehe 11Nov 2023 ikiwa ni siku ya kumbukizi ya Siku yake ya kuzaliwa na Aldo Sanga Mwanamuziki…

7 November 2023, 2:19 pm

Jeshi la akiba Makete latakiwa kuimarisha ulinzi na usalama

Katika kudumisha uzalendo kwa wananchi wa Tanzania, vijana 99 wa kata ya Mfumbi wamefuzu mafunzo ya jeshi la akiba maarufu kama mgambo wilayani Makete mkoani Njombe lengo likiwa ni kuimarisha ulinzi na usalama kwa jamii. Na mwandishi wetu. Mkuu wa…

1 November 2023, 1:19 pm

Mbunge Sanga akabidhi baiskeli kwa mlemavu Makete

baada ya wananchi wa kijiji cha kisinga kupaza sauti dhidi ya mlemavu Sinahabari mbunge wa jimbo la makete Festo Sanga kwa kushirikiana na wadau mbali mbali wamemkabidhi baiskeli yenye thamani ya shilingi milioni moja Na Ahazi Ndelwa. Mbunge wa jimbo…

1 November 2023, 11:02 am

Maambukizi ya virusi vya UKIMWI Njombe sasa yafikia asilimia 10.4

Moja ya njia mojawapo Ssrikali inaendelea kupambana ni kuhakikisha elimu inaendelea kutolewa kwa wananchi wake kuhakikisha wanajikinga na kuwalinda wengine dhidi ya maambuki ya ukimwi. Na Rose Njinile. Kutokana na maambukizi ya virusi vya ukimwi kuendelea mpaka kufikia asilimia 10.4…

Mission and Vision

Kitulo Fm radio ni kituo cha kijamii kinachozalisha maudhui yenye hadhi ya kujenga jamii ya kitulo