Kitulo FM

Recent posts

October 7, 2023, 9:31 am

Wahitim 34 watunukiwa vyeti shule ya sekondari Kitulo

Kuelekea mtihani wa Taifa wa kumaliza elimu ya sekondari jumla ya wanafunzai 34 wametunukiwa vyeti vya kuhitimu elimu ya sekondari katika shule ya sekondari Kitulo iliyopo Makete Njombe na Aldo Sanga Jumla ya wanafunzi 34 wa metunukiwa cheti cha kuhitim…

October 5, 2023, 8:52 am

Serikali yatoa fedha ujenzi wa madarasa

Kutokana na upungufu wa vyumba vya madarasa katika shule ya sekondari Matamba serikali imetoa fedha shilingi milioni 700 kutatua changamoto hiyo, Na mwandishi wetu. Zaidi ya Shilingi Milioni 700 zimetolewa na Serikali kujenga madarasa, bweni na yoo katika shule ya…

October 5, 2023, 8:39 am

DC Sweda akasirishwa kituo cha afya kutofanya huduma za upasuaji

Kituo cha afya Lupila kwa muda mrefu sasa kimeshindwa kutoa huduma za upasuaji sababu zikiwa ni kukosekana kwa mtaalam wa upasuaji na kupelekea adha kubwa kwa wananchi wanaolazimika kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya kilomita zaidi ya 50 hadi…

October 2, 2023, 8:53 am

Serikali yatoa fedha ukarabati wa hospitali ya wilaya Makete

Kupitia uchakavu wa Hospitali ya wilaya ya Makete serikali umetoa fedha zaidi ya shilingi milioni miatisa (900) kukarabati miundombinu ikiwemo Majengo Majengo makubwa matano (5) yamejengwa Hospitali ya Wilaya ya Makete kwa fedha za Serikali zaidi ya shilingi Milioni 900…

October 2, 2023, 8:32 am

Miundombinu shule ya sekondari ya wasichana Makete sasa shwari

Kupitia ongezeko la wanafunzi hususani kidato cha tano na cha sita serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa fedha kiasi cha shilingi bilioni 1 kujenga madarasa shule ya sekondari ya wasichana Makete. na Furahisha Nundu Kiasi cha shilingi bilioni…

September 29, 2023, 9:04 am

Fedha zatolewa na serikali ujenzi wa nyumba za walimu Makete

Ikiwa ni mwendelezo wa ujenzi wa shule ya Makete ilitopo katika kata ya Mlondwe wilayani Makete serkali imeendelea kutoa fedha kwaajili ya kukamilisha Ujenzi wa Miundombinu ya shule hiyo na Furahisha Nundu Kiasi cha shilingi milioniĀ  100 kimetolewa na serikali…

September 27, 2023, 7:51 am

Elimu ya Upimaji Ardhi yawakomboa Wananchi

Katika kuhakikisha Wananchi wanapata Hatimiliki za Ardhi,Serikali imechukua hatua za kupima na kugawa Hatimiliki bure kwa Wananchi Na Furahisha Nundu Utatuzi wa Migogoro ya Ardhi umeendelea kufanyika ambapo Wananchi wa Kijiji cha Malanduku Wilayani Makete wameonesha njia bora ya kutatua…

September 25, 2023, 8:41 am

CCM Makete yafanya uchaguzi wa vijana chipukizi

katika kuwaandaa vijana wazalendo na viongozi wa baadaye chama cha Mapinduzi CCM Makete kimefanya uchaguzi wa viongozi wa vijana hao huku nafasi ya mweneyekiti ikichukuliwa na Michael Kened Chaula . na :Rose Njilile Jumuiya ya Vijana Makete mkoani Njombe kupitia…

Sample Page

This is an example page. It’s different from a blog post because it will stay in one place and will show up in your site navigation (in most themes). Most people start with an About page that introduces them to potential site visitors. It might say something like this:

Hi there! I’m a bike messenger by day, aspiring actor by night, and this is my website. I live in Los Angeles, have a great dog named Jack, and I like piña coladas. (And gettin’ caught in the rain.)

…or something like this:

The XYZ Doohickey Company was founded in 1971, and has been providing quality doohickeys to the public ever since. Located in Gotham City, XYZ employs over 2,000 people and does all kinds of awesome things for the Gotham community.

As a new WordPress user, you should go to your dashboard to delete this page and create new pages for your content. Have fun!