Recent posts
September 22, 2023, 8:57 am
Fedha zachangwa msibani kutatua changamoto ya barabara Makete
Kutokana na ubovu wa miundombinu ya barabara katika kijiji cha Igolwa kilichopo wilaya ya Makete – Njombe wananchi wamelazimika kuchangisha fedha katika matukio mbalimbali ikiwemo misiba ili kujikwamua na changamoto hiyo. Na Aldo Sanga. Wananchi wa kijiji cha Igolwa wameomba…
September 21, 2023, 10:29 am
waliokata rufaa Tasafu kuhakikiwa upya
kupitia rufaa ya wanufaika wa mpango wa Tasaf wilaya ya Makete,timu ya wataalamu kutoka Halmashauri ya wilaya ya Makete wameanza zoezi la kuhakiki taarifa katika baadhi ya kata za wilaya ya Makete. na Aldo Sanga TASAF Wilaya ya Makete imeanza…
September 19, 2023, 9:21 pm
Wananchi Makete waishukuru serikali kutoa pembejeo kwa wakati
Kuelekea msimu wa kupanda mazao wananchi wameendelea kujitokeza katika vituo vya pembejeo kwa ajili ya kuchukua mbolea, ikiwa ni siku chache baada ya serikali kutangaza wakulima kuhakiki taarifa zao. Na Aldo Sanga. Wananchi wamejitokeza kwa wingi kwenye vituo vya pembejeo…
September 16, 2023, 6:17 pm
Wahitimu tisa (9) darasa la saba watunukiwa vyeti St.Johakim pri & primal sc…
ikiwa ni muda mfupi baaya kumaliza mitihani ya Taifa Darasa la saba juma la wahitim tisa wametunukiwa vyeti vya kuhitim katika shule ya st,Johakim pri & Primaly school shule inayomilikiwa na kanisa katoliki parokia ya Makete Jimbo la Njombe, na…
September 15, 2023, 10:50 am
Wananchi watakiwa kutunza miundombinu, vifaa vya ujenzi hosptitali ya wilaya Mak…
Wakazi wa kata ya Iwawa wilaya ya Makete mkoani Njombe wametakiwa kutunza miundombinu na vifaa vya ujenzi katika Hosptitali ya Wilaya pamoja na kuacha kufunga mifugo yao kuzunguka eneo la Hosptitali hiyo.Wito huo umetolewa na Dkt. Kitundu kwa niaba ya…
September 12, 2023, 12:22 pm
mbunge Festo Sanga akabidhi fedha shule ya msingi unenemwa
kutokana na uchakavu wa madarasa katika shule ya msingi unenamwa ilioko kata ya luwumbu mbunge wa jimbo la makete Mh Festo Sanga amekabidhi shilingi laki 5 na elfu sabii. na Lulu Samson MBUNGE wa jimbo la makete mh festo sanga…
September 12, 2023, 10:29 am
wakulima wahimizwa kuhuisha taarifa zao kwenye daftari la wakulima
kulingana na serikali kutoa ruzuku ya pembejeo wakulima wametakiwa kuendelea kuhuisha taarifa zao kwenye daftari kwa wakati ili kuepuka usumbufu wa kupata pembejeo na mwandishi wetu Wakulima Wilayani Makete Mkoani Njombe wametakiwa kwenda kwenye Ofisi za Vijiji ili kuhuisha taarifa…
September 11, 2023, 12:50 pm
Wafugaji Makete wapigwa marufuku kuingiza mifugo eneo la hospitali
Juhudi za kuendelea kutoa elimu kwa wananchi zinaendelea kutunza mazingira kwa kutopeleka mifugo katika eneo la hospitali. Furahisha Nundu – Makete Wakazi wa kata ya Iwawa wilaya ya Makete mkoani Njombe wametakiwa kutunza miundombinu na vifaa vya ujenzi katika Hosptitali…
September 1, 2023, 7:25 am
Faida za hatimiliki
Wananchi pimeni Ardhi mpate Hatimiliki-Maofisa Ardhi Makete
August 31, 2023, 2:11 pm
Madiwani Makete wafanya Kikao Maalumu kujadili taarifa ya Fedha 2022/2023
Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Makete wafanya Kikao maalumu kujadili taarifa ya fedha mwaka 2022/2023