

January 9, 2023, 6:02 pm
Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dkt. Festo J. Dugange amewataka viongozi wa Elimu ngazi ya Shule, Kata, Halmashauri na Mikoa kutokaa ofisini bali wafuatilie ufundishaji na ujifunzaji shuleni kwa kushauriana na walimu na kuhakikisha wanafunzi wanapata umahiri…
January 9, 2023, 5:27 pm
Wanafunzi Kidato cha kwanza na darasa la kwanza wameanza kuripoti shuleni katika shule mbalimbali Wilayani Makete huku Mkuu wa Wilaya akiagiza kukamatwa kwa Mzazi yeyote ambaye hataki kupeleka mwanafunzi shuleni. Leo tarehe 9 Januari, 2023 Akiwa katika ukaguzi wa…
January 7, 2023, 8:32 pm
Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda amekagua vyumba vya madarasa kwa shule za Sekondari ambavyo wanafunzi wataripoti na kuanza masomo Januari 9, 2023. Mhe. Sweda amesema Serikali imehakikisha wanafunzi wanapata Mazingira rafiki ya kujifunzia na hivyo mpaka…
January 7, 2023, 7:28 pm
Wakati shule zote nchini Tanzania zikitarajiwa kufunguliwa siku ya Jumatatu ya Januari 9 ,2022 wazazi na walezi mkoani Njombe wametakiwa kuwaandalia watoto mahitaji yote muhimu ili wanafunzi wote waripoti shule na kuanza masomo kwa pamoja. Akizungumza na wanahabari Mwenyekiti…
January 7, 2023, 7:19 pm
Waziri wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari,Mhe.Nape Nnauye ( Mb ) amesema serikali iko mbioni kutafuta namna ya kumuwezesha mtanzania wa kawaida kumudu gharama ya kununua simu janja. Amebainisha hayo wakati akizindua mnara wa simu katika Kijiji cha Kinenulo…
January 6, 2023, 5:49 pm
Mbunge Jimbo la Makete Mhe. Festo Sanga kwa kushirikiana na Jofrey Mbilinyi Mkurugenzi wa GNM CARGO wamekabidhi vifaa kwa wanafunzi 17 waliomaliza shule ya Msingi Maleutsi Kata ya Iwawa Wilaya ya Makete na kufanikiwa kujiunga kidato cha kwanza. Vifaa…
January 6, 2023, 12:00 pm
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dk Ashatu Kijaji amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri zote za Mkoa wa Njombe kuhakikisha inakusanya mapato ya Mbao kwa 3% kwa mujibu wa utaratibu uliowekwa na Serikali na siyo shilingi 100 kwa kila…
January 6, 2023, 11:40 am
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Antony Mtaka amewataka wazazi/walezi wenye watoto waliofikia umri wa kuanza darasa la kwanza kuwapeleka shule ifikapo tarehe 9, Januari 2023. Akizungumza na wafanyabiashara wa Mkoa wa Njombe kwenye Baraza la 7 la wafanyabiashara…
January 4, 2023, 9:31 am
Daraja la Mbao lililokuwa likitumiwa na watembea kwa miguu wanaovuka kutoka Kijiji cha Mwakauta kwenda kupata huduma za Afya Hospitali ya Bulongwa limesombwa na Maji baada ya mvua kubwa kunyesha siku kadhaa zilizopita. Ni siku 5 zimepita wananchi wa…
January 3, 2023, 8:01 pm
Wananchi wa Kata ya Iniho Wilaya ya Makete wameshiriki katika kazi ya kusogeza tofali kwa ajili ya ukamilishaji ujenzi Bwalo la Shule ya Sekondari Mwakavuta baada ya changamoto ya barabara na magari ya mizigo kushindwa kufikisha vifaa eneo la…
This is an example page. It’s different from a blog post because it will stay in one place and will show up in your site navigation (in most themes). Most people start with an About page that introduces them to potential site visitors. It might say something like this:
Hi there! I’m a bike messenger by day, aspiring actor by night, and this is my website. I live in Los Angeles, have a great dog named Jack, and I like piña coladas. (And gettin’ caught in the rain.)
…or something like this:
The XYZ Doohickey Company was founded in 1971, and has been providing quality doohickeys to the public ever since. Located in Gotham City, XYZ employs over 2,000 people and does all kinds of awesome things for the Gotham community.
As a new WordPress user, you should go to your dashboard to delete this page and create new pages for your content. Have fun!