Kitulo FM
Kitulo FM
2 October 2023, 8:32 am
Kupitia ongezeko la wanafunzi hususani kidato cha tano na cha sita serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa fedha kiasi cha shilingi bilioni 1 kujenga madarasa shule ya sekondari ya wasichana Makete. na Furahisha Nundu Kiasi cha shilingi bilioni…
29 September 2023, 9:04 am
Ikiwa ni mwendelezo wa ujenzi wa shule ya Makete ilitopo katika kata ya Mlondwe wilayani Makete serkali imeendelea kutoa fedha kwaajili ya kukamilisha Ujenzi wa Miundombinu ya shule hiyo na Furahisha Nundu Kiasi cha shilingi milioniĀ 100 kimetolewa na serikali…
27 September 2023, 7:51 am
Katika kuhakikisha Wananchi wanapata Hatimiliki za Ardhi,Serikali imechukua hatua za kupima na kugawa Hatimiliki bure kwa Wananchi Na Furahisha Nundu Utatuzi wa Migogoro ya Ardhi umeendelea kufanyika ambapo Wananchi wa Kijiji cha Malanduku Wilayani Makete wameonesha njia bora ya kutatua…
25 September 2023, 8:41 am
katika kuwaandaa vijana wazalendo na viongozi wa baadaye chama cha Mapinduzi CCM Makete kimefanya uchaguzi wa viongozi wa vijana hao huku nafasi ya mweneyekiti ikichukuliwa na Michael Kened Chaula . na :Rose Njilile Jumuiya ya Vijana Makete mkoani Njombe kupitia…
23 September 2023, 3:41 pm
Mtandao wa Redio jamii nchini (TADIO) umefanya mafunzo ya ndani kwa waandishi wa Habari wa Kituo cha Jamii Kitulo FM
23 September 2023, 3:35 pm
Mwonekano wa vyumba vya Madarasa ya Awali shule ya Msingi Kinyika
22 September 2023, 8:57 am
Kutokana na ubovu wa miundombinu ya barabara katika kijiji cha Igolwa kilichopo wilaya ya Makete – Njombe wananchi wamelazimika kuchangisha fedha katika matukio mbalimbali ikiwemo misiba ili kujikwamua na changamoto hiyo. Na Aldo Sanga. Wananchi wa kijiji cha Igolwa wameomba…
21 September 2023, 10:29 am
kupitia rufaa ya wanufaika wa mpango wa Tasaf wilaya ya Makete,timu ya wataalamu kutoka Halmashauri ya wilaya ya Makete wameanza zoezi la kuhakiki taarifa katika baadhi ya kata za wilaya ya Makete. na Aldo Sanga TASAF Wilaya ya Makete imeanza…
19 September 2023, 9:21 pm
Kuelekea msimu wa kupanda mazao wananchi wameendelea kujitokeza katika vituo vya pembejeo kwa ajili ya kuchukua mbolea, ikiwa ni siku chache baada ya serikali kutangaza wakulima kuhakiki taarifa zao. Na Aldo Sanga. Wananchi wamejitokeza kwa wingi kwenye vituo vya pembejeo…
16 September 2023, 6:17 pm
ikiwa ni muda mfupi baaya kumaliza mitihani ya Taifa Darasa la saba juma la wahitim tisa wametunukiwa vyeti vya kuhitim katika shule ya st,Johakim pri & Primaly school shule inayomilikiwa na kanisa katoliki parokia ya Makete Jimbo la Njombe, na…
Kitulo Fm radio ni kituo cha kijamii kinachozalisha maudhui yenye hadhi ya kujenga jamii ya kitulo