Recent posts
October 28, 2023, 3:52 pm
Askofu Shoo awataka waumini Makete kuungana ujenzi wa kanisa
Askofu mkuu wa wa kanisa la kilutheri Tanzania Fredrick Shoo pamoja na askofu mkuu wa dayosisi ya kusini ya kati wilson sanga kwenye uwekaji wa jiwe la msingi.picha na Rose njinile Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu, unaweza kusema hivyo…
October 28, 2023, 10:08 am
Kiwanda cha mipira ya kuvaa mikononi (gloves) chazinduliwa rasmi mkoani Njombe
katika kurahisisha upatikanaji wa mipira ya kuvaa mikononi (groves) mkoa wa njombe umekua mstari wa mbele katika kukuza sekta ya afya kwa kuanza na ujenzi wa kiwanda hicho kilichopo katika Halmashauri ya Mji wa Makambako Na mwandishi wetu. Makamu wa…
October 22, 2023, 12:35 pm
Wananchi waaswa kuendelea kutunza miradi ya maendeleo
Naibu waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, (Muungano na Mazingira), Mhe. Khamis Hamza Khamis na viongozi wa halmashauri katika mradi wa shamba la kilimo cha ngano ugabwa.picha na ombeni mgongolwa Kutokana na fedha kutolewa kwaajili ya kuendeleza miradi…
October 18, 2023, 12:56 am
Shule ya sekondari Lupila wilayani Makete yakabidhiwa vitabu
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na mdau wa maendeleo wilaya ya Makete Ndg. Antony Sanga amekabidhi vitabu vya kiada vyenye thamani ya shilingi milioni saba laki tisa na elfu themanini shule ya sekondari Lupila wilayani…
October 18, 2023, 12:46 am
Mchungaji wa kwanza Makete atunukiwa shahada ya juu ya heshima
Chuo Kikuu cha Iringa kimemtunuku Shahada ya Juu ya Heshima Hayati Mchungaji Dkt. Tupevilwe Lugano Sanga. Mchungaji Tupevilwe Lugavano Sanga aliyezaliwa 1898, ni Mchungaji wa mwanzoni kabisa katika jamii ya Wakinga aliyetoa maisha yake kumtumikia Mungu pamoja na kuhamasisha maendeleo…
October 17, 2023, 1:16 pm
Wananchi watakiwa kuwa makini na matangazo ya biashara ya dawa, vifaa tiba
Kutokana na wafanyabiashara kutumia matangazo kufanya bidhaa yake ijulikane na kushawishi watumiaji kutumia bidhaa hiyo TMDA inahakikisha matangazo hayo yanayohusiana na dawa, vifaa tiba na vitendanishi hayana taarifa za upotoshaji. Na Rose Njinile Wito umetolewa kwa wananchi wilayani Makete mkoani…
October 10, 2023, 4:14 pm
Miti ya matunda yapandwa kupunguza udumavu wilayani Makete
Ikumbukwe kua Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania imeweka vipaumbele kwa mwaka 2023/2024 kusimamia utekelezaji wa mpango kabambe wa hifadhi na usimamizi wa mazingira na kuchukua hatua za kupunguza uharibifu wa mazingira na Aldo Sanga Katika kuunga mkono juhudi…
October 9, 2023, 4:47 pm
Makete kutumia shilingi bilioni nne miradi ya maendeleo
Kutokana na chanagamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wa wilaya ya Makete hususani katika miundombinu ya sekta za elimu, afya, kilimo na ujenzi serikali imetoa fedha zaidi ya bilioni 4 kutatua changamoto hizo. Na Aldo Sanga Zaidi ya bilioni nne (Tsh. 4,489,684.61)…
October 7, 2023, 9:53 am
Wito watolewa kuwa na desturi ya kujiendeleza na elimu ya watu wazima
Elimu ya watu wazima imeelezwa kua mkombozi kwa watanzania hususani ambao hawakupata nafasi ya kuendele na masomo wakiwa katika mafumo rasmi wa Elim katika Shule za sekondari na Vyuo na Gift Kyando Afisa Elimu watu wazima mkoa wa Njombe Joseph…
October 7, 2023, 9:41 am
DC Samweli Sweda aagiza Fundi kuongeza Kasi ujenzi wa Bwalo
katika kuhakikisha miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa wakati mkuu wa wilaya ya Makete Mh:Samweli Sweda ametembelea miradi inayotekelezwa katika maeneo yote ya Wilaya ya makete Huku akitoa maagizo kwa watendaji na mafundi kukamilisha miradi hiyo kwa wakati na Aldo Sanga…