Kitulo FM

Recent posts

17 November 2023, 6:53 pm

Watumishi 5 wafukuzwa kazi halmashauri ya Makete

Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya Makete Mh. Christopher Fungo pamoja na viongozi wengine katika kikao cha baraza la madiwani. Picha na Ombeni Mgongolwa Ili kuhakikisha maendeleo kwa wananchi yanawafikia hususani viongozi nao kuwajibika katika nafasi zao imeonesha utoro kwa baadhi…

12 November 2023, 2:04 am

kibonge wa Yesu kaja kivingine Tanzania

Mtumishi wa Mungu na mwimbaji wa Nyimbo za Injili Juma Kyando alimaarufu kwa Jina la Kibonge wa Yesu,ameachia Nyimbo mbili usiku wa kuamukia tarehe 11Nov 2023 ikiwa ni siku ya kumbukizi ya Siku yake ya kuzaliwa na Aldo Sanga Mwanamuziki…

7 November 2023, 2:19 pm

Jeshi la akiba Makete latakiwa kuimarisha ulinzi na usalama

Katika kudumisha uzalendo kwa wananchi wa Tanzania, vijana 99 wa kata ya Mfumbi wamefuzu mafunzo ya jeshi la akiba maarufu kama mgambo wilayani Makete mkoani Njombe lengo likiwa ni kuimarisha ulinzi na usalama kwa jamii. Na mwandishi wetu. Mkuu wa…

1 November 2023, 1:19 pm

Mbunge Sanga akabidhi baiskeli kwa mlemavu Makete

baada ya wananchi wa kijiji cha kisinga kupaza sauti dhidi ya mlemavu Sinahabari mbunge wa jimbo la makete Festo Sanga kwa kushirikiana na wadau mbali mbali wamemkabidhi baiskeli yenye thamani ya shilingi milioni moja Na Ahazi Ndelwa. Mbunge wa jimbo…

1 November 2023, 11:02 am

Maambukizi ya virusi vya UKIMWI Njombe sasa yafikia asilimia 10.4

Moja ya njia mojawapo Ssrikali inaendelea kupambana ni kuhakikisha elimu inaendelea kutolewa kwa wananchi wake kuhakikisha wanajikinga na kuwalinda wengine dhidi ya maambuki ya ukimwi. Na Rose Njinile. Kutokana na maambukizi ya virusi vya ukimwi kuendelea mpaka kufikia asilimia 10.4…

28 October 2023, 3:52 pm

Askofu Shoo awataka waumini Makete kuungana ujenzi wa kanisa

Askofu mkuu wa wa kanisa la kilutheri Tanzania Fredrick Shoo pamoja na askofu mkuu wa dayosisi ya kusini ya kati wilson sanga kwenye uwekaji wa jiwe la msingi.picha na Rose njinile Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu, unaweza kusema hivyo…

22 October 2023, 12:35 pm

Wananchi waaswa kuendelea kutunza miradi ya maendeleo

Naibu waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, (Muungano na Mazingira), Mhe. Khamis Hamza Khamis na viongozi wa halmashauri katika mradi wa shamba la kilimo cha ngano ugabwa.picha na ombeni mgongolwa Kutokana na fedha kutolewa kwaajili ya kuendeleza miradi…

18 October 2023, 12:56 am

Shule ya sekondari Lupila wilayani Makete yakabidhiwa vitabu

Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na mdau wa maendeleo wilaya ya Makete Ndg. Antony Sanga amekabidhi vitabu vya kiada vyenye thamani ya shilingi milioni saba laki tisa na elfu themanini shule ya sekondari Lupila wilayani…

Mission and Vision

Kitulo Fm radio ni kituo cha kijamii kinachozalisha maudhui yenye hadhi ya kujenga jamii ya kitulo