Recent posts
July 5, 2023, 7:11 am
Chatanda: Changamoto ya barabara Kigala-Makete nitaifikisha kwa waziri
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Taifa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) UWT Marry Chatanda amesema kilio cha mbunge na wananchi wa Kigala kuhusu barabara atakifikisha kwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan. Chatanda amesema hayo akiwa na wananchi wa Kigala kwenye…
July 4, 2023, 8:20 am
Mhe. Sanga aungana na wadau kukarabati Shule Unenamwa-Makete
Mbunge Sanga aunga jitihada za wadau kwenye Elimu
July 4, 2023, 8:17 am
Waziri Pindi Chana akabidhi Bati 200 Iwawa Sekondari
Waziri Mhe.Balozi Dkt. Pindi Chana akabidhi bati 200 Iwawa Sekondari
June 27, 2023, 4:50 pm
Wanufaika TASAF Makete waishukuru serikali
Wanufaika wa mradi wa kunusuru kaya Maskini Kijiji cha Ivilikinge waeleza mafanikio ya mradi huo na kuishukuru Serikali kwa kuwasaidia wazee
June 26, 2023, 7:20 am
Viongozi vyama vya siasa, dini wafanya kikao kuelekea uchaguzi udiwani kata Kiny…
Viongozi wa Dini, Siasa na wazee maarufu wakiwa kwenye Kikao kuelekea uchaguzi mdogo wa Udiwani Kata ya Kinyika
June 26, 2023, 7:16 am
Wananchi vijiji 44 kupewa hati za kimila bure Makete
Halmashauri ya wilaya ya Makete kwa kushirikiana na tume ya taifa ya mipango ya matumizi bora ya ardhi imeanza kutoa elimu ya mpango wa matumizi ya ardhi katika vijiji 44 katika kata za Ikuwo, Kigala, Kinyika, Iniho, Kipagalo, Luwumbu, Bulongwa,…
June 23, 2023, 12:59 pm
Wito: Wanaume ongozaneni na wenzi wenu kliniki
Elimu ya Lishe ikitolewa kwa wazazi na walezi Kijiji cha Maleutsi
June 23, 2023, 8:10 am
Ushauri: Zingatieni lishe bora kwa watoto
Wazazi na walezi kijiji cha Ihela Kata ya Tandala wilayani Makete wamekumbushwa namna ya kuzingatia lishe bora kwa watoto ili kuhakikisha wanakuwa na Afya imara. Akizungumza na Wazazi na walezi wa kijiji hicho tarehe 21 Juni, 2023 Bi. Jackline Nanauka…
June 23, 2023, 8:05 am
Uchaguzi udiwani ndani ya CCM Kinyika wafanyika
Mwangalizi wa Uchaguzi ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) mwenye Koti Jeusi Ndg. Award Mpandila akishuhudia mchakato wa maoni ndani ya chama Kata ya Kinyika
June 23, 2023, 7:57 am
Vijana kufanya kongamano Makete
Mkurugenzi wa Elimu na vijana KKKT-DKK Makete Mwl. Kudra Jekela akizungumza na WanaMakete hususani Wakristo na Vijana wote kupitia Redio Jamii (KITULO FM) kuhamasisha wajitokeze kwa wingi kwenye Kongamano la Vijana linalotarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 30 Juni-02 Julai 2023. Kudra…