Recent posts
February 7, 2024, 5:36 pm
Serkali yatoa milioni 300 ujenzi madarasa, matundu ya vyoo Mount Chafukwe Makete
Kiasi cha fedha milion miatatu (300,000,000) zitatumika kukamilisha ujenzi wa vyumba 12 vya madarasa na matundu 20 ya vyoo ikiwa nikuendeleza juuhudi za wananchi katika kutika kuleta maendeleo kwa jamii hususani katika sekta ya elimu. Na Lulu Mbwaga Ujenzi wa…
February 6, 2024, 9:24 pm
DC Makete aiagiza MAKEUWASA kuhakikisha mradi wa maji Isaplano unakamilika
Ikiwa ni muda mrefu umepita tangu kuanza kutekelezwa kwa Mradi wa Maji katika kata ya Isaplano Mkuu wa wilaya ya Makete Mh.Juma Samweli Sweda ameagiza Mamlaka ya Maji safi na Mazingira kuhakikisha mradi huo unakamailika kwa wakati Na Ombeni Mgongolwa…
February 1, 2024, 6:31 pm
Wananchi wahimizwa kufuata sheria pindi matukio ya uharifu yanapojitokeza
Imeelezwa kuwa elimu ni nguzo pekee ya wananchi kuweza kutambua sheria ili kufahamu haki na wajibu wao pindi ambapo wanapokuwa na changamoto mbali mbali pamoja na kutoa ushirikiano na vyombo husika katika kufanikisha haki inatendeka pindi ambapo uharifu unapojitokeza Na…
January 31, 2024, 5:11 pm
Wananchi Makete washauriwa kulima mazao mchanganyiko kukabili baa la njaa
Kutokana na wananchi kuhamasika katika kilimo cha kibiashara hususani katika zao la viazi Dc Sweda ametoa tahadhari kwa wakulima wa Makete kulima mazao mchanganyiko ili kukabili baa la njaa baada ya wananchi kujikita zaidi katika zao la viazi pekee. na…
January 30, 2024, 9:55 pm
Ded William Makufwe awataka watendaji kusimamia mapato
Kutokana na upotevu wa mapato Ded Makufwe amewataka Watendaji hususani katika maeneo yote yenye mageti kuahkikisha wanasimamia kikamilifu kudhibiti mianya yote ya utoroshaji wa mapato ambayo ndio uti wamgongo wa Halmashauri ya Makete na Mwandishi wetu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya…
January 30, 2024, 9:26 pm
Dc Juma Sweda Ametembelea kaya zilizoezuliwa na upepo Ipelele Makete
Tayari takribani nyumba saba zimeshajengwa ikiwa ni hatua za kunusuru kaya zilizokosa makazi baad ya mvua na upepo mkali kuezua nyumba siku za hivi karibuni katika maeneo kadha katika wilaya ya Makete ambapo serkali wadau na wananchi wamechangia nguvu zao…
January 25, 2024, 8:28 am
Milioni 622 kufidia ujenzi wa barabara Makete
Ikiwa tayari ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami katika eneo la ujuni umeshaanza kwa zaidi ya kilometa 3 serikali imeendelea kutoa fedha ili kukamilisha ujenzi wa barabara hiyo kutoka Makete ,kupitia Nkenja kwenda Mbeya Na Aldo Sanga Waziri wa…
January 24, 2024, 9:53 pm
DC Samweli Sweda ahimiza upandaji miti katika taasisi Mbalimbali Makete
Kutokana na maafa yaliyotokea katika baadhi ya taasisi ikiwemo shule za Sekondari Mang’oto na Ipelele Mkuu wa Wilaya ya Makete Mh.Samweli Sweda amewataka wananchi Kupanda Miti katika maeneo yote yenye Taasisi Na Aldo Sanga Mkuu wa Wilaya ya Makete, Mhe.…
January 22, 2024, 8:36 pm
Zaidi ya miti 2,000 yapandwa Makete kutunza, kuhifadhi mazingira
katika kuendeleza juhudi za utunzaji wa mazingira Halmashauri ya Wilaya ya Makete kupitia Idara ya Mazingira imeendelea kutoa elimu kwa jamii ikiwa nipamoja na kupanda miti zaidi ya Elufu mbili (2000) katika kata ya Tandala na Aldo Sanga Zoezi la…