Kitulo FM
Kitulo FM
11 April 2026, 1:38 pm
Wakati mvua zikiendelea kunyesha katika maeneo mbali mbali na miundombinu ya barabara kuathirika kwa kiasi kikubwa wananchi kwa kushirikiana na viongozi wa serikali za mitaa wamekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha changmoto hiyo inatatuliwa. Na, Rose Njinile Kutokana na mvua…
17 March 2026, 5:20 pm
Kutokana na wimbi la wizi katika maeneo mbali mbali jamii imetakiwa kuacha vitendo hivyo na badala yake wajike katika shughuli halali za kujipatia kipato na mwandishi wetu. Mahakama ya Wilaya ya Makete Mkoani Njombe imemuhukumu Anyowise Gehezi sanga maarufu kwa…
3 May 2024, 8:46 am
katika utekelzaji wa ilani ya chama cha mapinduzi CCM zaidi ya bilioni saba zimetolewa na Serikali katika kata ya Iwawa ili kutekelez miradi ya maendeleo katika nyanja mbalimbali ikiwa ni pamoja na Afya,barabda,umeme pamoja na Elimu. Na Aldo Sanga Zaidi…
3 May 2024, 7:30 am
Kufatia kusuasua ujenzi wa baadhi ya miradi ya maedeleo inayoendelea katika wilaya ya Makete, DC Samweli Sweda amewataka wazabuni kupeleka vifaa kwa wakati ili kuendana na kasi ya ukamilishaji wa miradi hiyo kwa wakati ili kufikia malango yaliyotarajiwa Na Shafii…
3 May 2024, 7:08 am
DC Sweda atembelea miradi ya maendeleo kukagua maendeleo ya miradi hiyo huku akiwataka wanaosimamia miradi hiyo kuhahikisha wanaitunza ili kuleta tija na ufanisi . Na Shafi. Mkuu wa Wilaya ya Makete mhe. Juma Sweda amemtaka mwalimu mkuu wa shule ya…
3 May 2024, 6:53 am
Kutokana na kundi kubwa la waendesha vyombo vya moto hususani pikipiki maarufu kama bodaboda kutumia vyombo hivyo bila leseni mkuu wa wilaya ya Makete mh.Samweli Sweda ametoa rai kwa vijana hao kumiliki leseni na kutoa taarifa za matukio ya uharifu.…
23 April 2024, 10:25 pm
kupitia kampeni ya Kitafa ya chanjo ya HPV kwa wasichana wa umri miaka Jumla wa wasichana 8035 wa umri wa kuanzia miaka 9-14 wanatarajia kupata chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi ,zoezi ambalo litafanyika kwa siku tano kuanzia April…
22 April 2024, 12:21 pm
Kutokana na wafugaji wengi wa nyuki kufuga kienyeji na kutopata faida ofisi ya misitu Halmashauri ya wilaya ya Makete wameshauri wafugaji kutumia ushauri wa wataalamu ili wafuge kwa tija. Na Bensoni Kyando. Wananchi Wilayani Makete Mkoani Njombe wanaojishuhulisha na shughuli…
18 April 2024, 11:10 pm
katika kutekeleza miradi ya maendeleo Makete katika sekta mbalimbali kamati ya Fedha utawala na mipango imefanya ukaguzi wa miradi kwalengo la kusukuma kasi ya miradi ikamilike kwa wakati Na Aldo Sanga. Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango, leo April i,18,…
17 April 2024, 6:24 am
katika kusimamia na kutekeleza kwa vitendo mpango wa Serikali wa kufungua fulsa za kiuchumi katika Wilaya ya Makete maafisa ugani wametakiwa kusimamia kilimo cha zao la ngano kwalengo la kuleta tija kiuchumi kwa wananchi wa Wilaya ya Makete. Na Aldo…
Kitulo Fm radio ni kituo cha kijamii kinachozalisha maudhui yenye hadhi ya kujenga jamii ya kitulo